inasikitisha sana kuona sasaiv Kila mtumishi wa Mungu unatumia picha yake kufundisha mafundisho ya wanaotumika na shetani. Nakuomba sana mtumishi Muombe Mungu akupe ufunuo wa kiroho kuwajua lakn sio kueka Kila picha. Mfano pastor Chris ni mtu wa Mungu kabsa na anasimamia kwa nguvu sana injili ya Mungu daah inaumiza sana kuona umeeka picha yake hapa. lakn pia waambie basi na watu watumishi wakwel unaowajua Leo maana watu unawaacha njia ya panda na ukwel hata Sasa bado wapo watumishi wa kwel Mungu anawatumia
Aisee kumbe kila anaefanya miujiza sana kwako ni Mtu wa Shetani, akina Pastor Chris mafundisho Yao Yako strict ni injili ya Kristo sema kila ukiona miujiza ni mingi unaingiwa na mashaka ❤❤❤
Asante somo nzuri rakini watu walikuwa wanapendana arafu wakifika kuwowana razima ikiwa wako dini tofawuti muke alikuwa amugewukie mwana wume abatiziwe dini yamume ndo wanakuwa pamoja kwasababa imani tayari nimoja.
Mimi namkubaligi sana huyu mtumishi,,lakini kitunbacho nashindwa kumwelewa mbona watumishi wengine wote anawaona waongo.Hata Kama ilitabiriwa watakuja Nabii wauongo,lkn Sasa ndiyo wote waliopo waongo?
Sasa mtumishi paschal sizani kama utakua ujaona video ya bahati bukuku. Amedai kua urembo unaitajika mbinguni, yaani ata makalio navyote kama make up. Chtistina shusho, umemupa vidonge vyake 👍tamaa iilikua imemzidi. Bahati kakulipa mbona ujamripua?staki unipe wasi wasi mtumishi
Mhhh! Mama wa dini zote...ACHA UWONGO PASCHAL....unatafuta waumini kwa nguvu....😢 halafu kuhusu walokole enzi za kina Paulo walitoka wapi na ukatoliki ndo ulikuwa umetawala?? .....Hata Nebukadreza aliua, akakufuru na akaongoka.
Lakini sasa kwann umewaweka hao watumishi picha zao hapo,mbona kati yao hapo wapo wanahubiri vizuri hawatoki nje yaneno,mimi nakukubali sana,lakn kwakiweka picha zawezio nahuku ukihubiri mambo yanayowadanya waonekane wao niwauongo wote mimi hapo hapana mtumishi,siyo sahihi.Kama weww unafanya hivyo hauoni unachukia nafasi ya Mungu,Mungu afanye nn sasa.Wapo wanaosimama katika neno pekee kufundisha watu,lkn kwann unawaona waongo wote mkweli peke yako,mmmmh Mbingu sote tunaitaka lkn Mungu tusaidie,maana unavyowasema vby watumishi wengine kunawashirika wanaamua kuondoka nakuacha lmani mara baada tu yakisikia kiongozi wake kasemwa vby,ama kawekwa picha yake hapo,katika mapokeo ama uelewa wakulipokea jamno tumetofautiana.
Uyo ni wivu unakusumbuwa ndiyo Sababu unapiga Kelele kwenye mitandao Na kuingiliya Mayisha watumishi wa ukweli wewe umechanganikiwa na sura Yako inaonyesha kabisa wewe ndiye mutumishi washetani na wa kristu wote wamekukimbiya
😂😂😂 ndoa kamari. Nilidhani nitaoleka Tanzania, kumbe sio maana imani yangu haitaambatana nao. Itakua sijafungiwa nira sawa sawa. Mungu kwa mapenzi yako naomba usaidizi wa kukaa na marafiki wa imani maana hakuna shirika wa giza na nuru.
Sasa ndo umuweke askofu gwajima kwenye hilo genge ndugu yangu?....mbona wamchukulia poa sana....huyu ni mjoli wa Bwana...hata kama wamuona kakosea jambo muonye ila sio kumuweka kundi moja na magugu...usifanye hivo next time maana unakuwa unaushambulia mwili wa kristo....haitakuacha salama hata wewe.
inasikitisha sana kuona sasaiv Kila mtumishi wa Mungu unatumia picha yake kufundisha mafundisho ya wanaotumika na shetani.
Nakuomba sana mtumishi Muombe Mungu akupe ufunuo wa kiroho kuwajua lakn sio kueka Kila picha.
Mfano pastor Chris ni mtu wa Mungu kabsa na anasimamia kwa nguvu sana injili ya Mungu daah inaumiza sana kuona umeeka picha yake hapa.
lakn pia waambie basi na watu watumishi wakwel unaowajua Leo maana watu unawaacha njia ya panda na ukwel hata Sasa bado wapo watumishi wa kwel Mungu anawatumia
Haleluyah ni ukweli kabisa laiti ningejuwa hili tokea ujana wangu. Mungu akulinde sana mtumishi wa Mungu.
Aisee kumbe kila anaefanya miujiza sana kwako ni Mtu wa Shetani, akina Pastor Chris mafundisho Yao Yako strict ni injili ya Kristo sema kila ukiona miujiza ni mingi unaingiwa na mashaka ❤❤❤
Na hiyo ndio doubt yangu kwake
Wanafanya kazi kwasiri sana hadi uwe na Roho wa Mungu Ili akufunulie au utawatambua hata kwa matendo yao ya mwilini mpendwa
@@evelinadodie9443 Mimi Nina roho mtakatifu na ananishuhudia pamoja nao, kuwa wao ni Wana wa Mungu sawa na Mimi na wanatenda miujiza sana
Sema mtumishi sema wenye masikio na wasikie Mungu afungue masikio ya walio wake yaisikie sauti hiii
Daaah.. Muirsael kweli kweli.. Kifua kilichobeba chepeo ya wokovu. Umesimama kama mwanasimba... Wacha tuchangie huduma
Amen nasikiza maubiri yako yananifuza mambo mengi sana
Ubarikiwe Sana mtumishi.
Ubarikiwe Mtumishi WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI AkutiyeNguvu Zaidi
mungu akutiye nguvu mtumishi
Mungu azidi kukutumia na akulinde hakika
Amen ubarikiwe sana mtumishi Mungu akupe maisha marefu
Amen amen. Amen😂😂😂nikweli mungu atulide naulimwenfu😢😢
Kwakweli Mungu mwema sana Mtumishi Mungu atusaidie sana
Mtumishi pascal, Bahati bukuku yupo kupotosha watu, et urembo ulimfanya mwanamke kahaba apate kibali kuingia mbinguni, yaaani kwamwita Bwana YESU, et jamaa alipoona urembo wa yule kahaba alishawishika akasema wewe over mbinguni moja kwa moja. Please fatilia
Asante somo nzuri rakini watu walikuwa wanapendana arafu wakifika kuwowana razima ikiwa wako dini tofawuti muke alikuwa amugewukie mwana wume abatiziwe dini yamume ndo wanakuwa pamoja kwasababa imani tayari nimoja.
Mungu akubariki mutumishi
Mungu anatupenda jamani
Barikiwa xana mtumishi wa kweli wa mungu
KAZI unayo kasian waombee sasa wa mungu utakuwa umewasaidia kuliko kila CK maneno yako
Mimi namkubaligi sana huyu mtumishi,,lakini kitunbacho nashindwa kumwelewa mbona watumishi wengine wote anawaona waongo.Hata Kama ilitabiriwa watakuja Nabii wauongo,lkn Sasa ndiyo wote waliopo waongo?
Mungu akutie nguvu mtumishi
Mimi Nika Dhani mnyama ni Joka, haaaa mimi sio mpagani
Shetani aliyekutuma kutupoteza Hana nafasi Wakati huyu Acha kupoteza muda wako kwenye mitandao
Sasa mtumishi paschal sizani kama utakua ujaona video ya bahati bukuku. Amedai kua urembo unaitajika mbinguni, yaani ata makalio navyote kama make up. Chtistina shusho, umemupa vidonge vyake 👍tamaa iilikua imemzidi. Bahati kakulipa mbona ujamripua?staki unipe wasi wasi mtumishi
Mtumish wAmbiee watu wamegeuza mungu Kama kityu Cha kawaida sku ipo
Hiyo hapana mnajidanganya wenyewe
Lakini Yesu huyohuyo alisema mwisho wa siku kutainika mitume na manabii wapinga Kristo....mmojawapo ni wewe.😢
Mungu akusaidie
Mungu akusaidie
Mtumishi hatutakiwi kuwasema watumishi wa MUNGU. Hubiri neno acha ngano na magugu viote pamoja MUGU anawajua waliowake.
Camanda paza. Sauti yako wambie tumekaribia nyumbani,. Maasikofu wamenyamaza hawajawa waawazi
Hongera sana
Mhhh! Mama wa dini zote...ACHA UWONGO PASCHAL....unatafuta waumini kwa nguvu....😢 halafu kuhusu walokole enzi za kina Paulo walitoka wapi na ukatoliki ndo ulikuwa umetawala?? .....Hata Nebukadreza aliua, akakufuru na akaongoka.
Kwan umelazimishwa kuamin?
Du Asante saaana
Jamani jamani,,,,hakuna kugandana ika chapa ilale,,,,eeee MUNGU tusaidie
mungu atusadie
Lakini sasa kwann umewaweka hao watumishi picha zao hapo,mbona kati yao hapo wapo wanahubiri vizuri hawatoki nje yaneno,mimi nakukubali sana,lakn kwakiweka picha zawezio nahuku ukihubiri mambo yanayowadanya waonekane wao niwauongo wote mimi hapo hapana mtumishi,siyo sahihi.Kama weww unafanya hivyo hauoni unachukia nafasi ya Mungu,Mungu afanye nn sasa.Wapo wanaosimama katika neno pekee kufundisha watu,lkn kwann unawaona waongo wote mkweli peke yako,mmmmh Mbingu sote tunaitaka lkn Mungu tusaidie,maana unavyowasema vby watumishi wengine kunawashirika wanaamua kuondoka nakuacha lmani mara baada tu yakisikia kiongozi wake kasemwa vby,ama kawekwa picha yake hapo,katika mapokeo ama uelewa wakulipokea jamno tumetofautiana.
Tunachangia huduma
Anazungumzia umoja na umoja huo utataka kuwaunganisha na wale wazuri ,
Uyu Sasa ndo mtumishi wA kwel mi nawambieni tusome neno kwenye bibilia
Mim
Hivi pastor Chris unamweka apo kwenye picha ni mtu wa shetani au unabahatisha tu
MUNGU akupe ujasili zaidi ili ukweli uhubiliwe watu wapone kipindi kigumu hiki
Ni hayari sana siku hizi hata makanisa ya kiroho yanaungana makanisa matano ila ni dhehebu moja hapo inakuwaje mtumishi ni vema au si vema
Uyo ni wivu unakusumbuwa ndiyo Sababu unapiga Kelele kwenye mitandao Na kuingiliya Mayisha watumishi wa ukweli wewe umechanganikiwa na sura Yako inaonyesha kabisa wewe ndiye mutumishi washetani na wa kristu wote wamekukimbiya
Injili zipo mbili,ya Paulo yawasio tahiriwa na ya Petro ya waliotahiriwa,wewe unaifua ipi? Wagalatia 2:7
Kwanini umeweka picha za hawa wahubiri??
😂😂😂 ndoa kamari. Nilidhani nitaoleka Tanzania, kumbe sio maana imani yangu haitaambatana nao. Itakua sijafungiwa nira sawa sawa. Mungu kwa mapenzi yako naomba usaidizi wa kukaa na marafiki wa imani maana hakuna shirika wa giza na nuru.
Msema ukweli
Sasa ndo umuweke askofu gwajima kwenye hilo genge ndugu yangu?....mbona wamchukulia poa sana....huyu ni mjoli wa Bwana...hata kama wamuona kakosea jambo muonye ila sio kumuweka kundi moja na magugu...usifanye hivo next time maana unakuwa unaushambulia mwili wa kristo....haitakuacha salama hata wewe.
Imeandikwa ijue kweli nayo kwel itakuweka huru
We huoni picha yake na yeye amejiweka?
Sika unachokisikia unakiamini, na sikila ushawishi unakuja mbele Yako unautendea kazi,zijaribun hizo roho
@@magdalenapeter6106😂😂😂😂😂
unaowasema ni makafiri wenzako ,maana wote sio waislam,kama nimoto wote mtaingia
MTOTO AKILILIA JELA MPATIE
Huyu mtumishi amenifungua nakweli anaushuhuda mkubwa
Ubarikiwe Mtumishi WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI AkutiyeNguvu Zaidi
Ubarikiwe Mtumishi WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI AkutiyeNguvu Zaidi