Yaani mimi namshukuru sana Yesu Kristo kwasababu alishanionesha siku mingi kuwa huo mziki ni wa kidunia tu. Huo mziki unaoitwa yerusalemu. Sikuwahi kuupenda huu wimbo hata siku mmoja. Jirani yangu mmoja alikuwa anaupenda vibaya sana mno zaidi. Yesu ni mwema, alinifunulia. Yesu Kristo asifiwe sana.
@@RaphaelMsangi kijana acha kuwa mjinga. Maarifa ni neno la Mungu. Kwahiyo tunajua miziki ya kidunia na kwaya au tenzi au nyimbo za injili. 1Yohana2:15. Warumi 12:2. Soma hizo mistari za Biblia. Oky?
@@RaphaelMsangi sawa, jifunza sasa, usije ukajuta baadae. Fuata neno la Mungu tu. Ukiweza hivyo bac utatambua kama mtu ni mwongo au sio. Kuwa mjanja kijana.
Sasa nikulize yelusalemu alio kua anaimba unajua alikua anamanisha nini au kwakua alisema yelusalemu mkajua ni wimbo wa dini ule wimbo wa kidunia afu mchungaji alijuaje mambo ya kuzimu au ndo mambo ya kufikilisha anatuletea sisi
Hakika mziki ni shida..... Mungu anisaidie ila kwasasa namshukuru Mungu sana kama vile nimeanza na mimi kupambanuapambanua hivi vijimiziki vya shetani vikijivisha maneno ya Mungu. Mungu nisaidie mziki ulinitekaga sana. Asante pastor!!! Ubarikiwe
Namshukuru Mungu kwa kuwa nimejifunza mengi kuhusu muziki angalau ninaelewa sasa bora nionekane mshamba ila nisilize nyimbo za Fanuel Sedekia, Godwin Ombeni, Jackson Benty, Paul Mwangosi,Boaz Danken kuliko hizo za akina Mgogo,Gozbert,Zabron singers,Shusho,Rose,Lwaga wanaimba burudani siyo injili
Fact, naona playlist yangu. Ila umemsahau John Lisu, Upendo Nkone, Essence of Worship, Bahati Bukuku old album, Christina Shusho old album, Martha Mwaipaja old album, Sifael Mwabuka old album, Daniel Mgogo old album, Rose Mhando old album na wengineo wengi ila old au first album huwa ndiyo nzuri sana.
Safi sana mtu wa Mungu, ujumbe wa muhimu sana huu. Jitahidi wakati mwingine wakati wa kurecodi ala za muziki zipungue katikati ya mahubiri/ mafundisho ili ujumbe usikike vyema. Barikiwa mtumishi
much blessings man of God,kweli kanisa limechanganyikiwa,linahitaji uamsho nena kama Mungu anavyokujalia nguvu kutamka,mwenye sikio asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
Amina, mtumishi, Mimi nakuomba uniombee, nyimbo ninazoimba, ziwe zilizotokana na Mungu wa kweli yani Yesu Kristo wanazareti alie hai, na Yesu anikoe mikononi mwa shetani, Yesu nikoe
Amen man of God you have really answered a question that has been disturbing me for a very longtime that why is it that some songs when i feel like singing them they vanish in my mind and all of a sudden a new song from just comes into my mind from the bottom of my heart ,thank you so much speak it into Christians because we have lost sense of belonging
cosimus Mwache Mungu aweze kuhukum Unachokifanya ni kujimaliza ktk kupigana Na Mungu Let God judge Time Will tell kuwa Ametokana na Mungu Au rahaa TANZANIA AMKA MTUMISHI WA MUNGU ALIE JAA ROHO MTAKATIFU HANA MDA WAKUHUM MTU MAANA MDA UPO KATIKA KRISTO YESU TU NDIE MUHUM KUMBKA LUKE 11:49 ZABURI 105:15 GOD BLESS YOU ALL
Continuez à dire la vérité serviteur, et n'arrêtez pas de dire la vérité, vous en sauvez beaucoup, je prie pour que Dieu continue à vous bénir parce que vous dites la vérité, que Dieu bénisse votre service. Amen Endelea kusema ukweli mtumishi, na usiache kusema ukweli, unaokoa wengi, naomba Mungu aendelee kukubariki maana unasema kweli, Mungu abariki utumishi wako. Amen Keep speaking the truth servant, and don't stop speaking the truth, you save many, I pray that God continues to bless you because you speak the truth, may God bless your service. Amen
Shida kubwaa umebaki mkosowajji kila kilichopo hapa dunian bado utasema hata kunya nizambi tushike lipi baba tuache lipi dah Tusubir hukumu ya Mungu tu
Kama kuzimu nako wanamuimbia Mungu, ni ushindi mkubwa. Yesu alisema, kama nyie wakina Paschal mlioacha kumuimbia Yesu na kugeukia kiki za mitandoni, Yesu atainua mawe na ndo akifanyacho. Acha wivu
Daaaa..kweli hii dunia ilipofika pabaya..mm nimekuelewa lakin kicha kinaniuma ninapoona asilimi 80 za vijana ndio nyimbo zetu hizo... nashukur ubalikiwe sana mtumishi
Pia kuna mziki umeenea makanisani wanasema sengele ya Yesu wanashonea mawigi kichwani watingisha kichwa wanakizungusha na bila kushonea hilo wingi anasema awezi kucheza
God bless you, nimeerea sasa kwa nini iyi nyimbo imezunguruka fasi nyingi Duniani ,hata uraa bazungu bausikia banaupenda nashangara, kumbi ninguvu za giza.
Siwezi kupingana na wewe mtumishi kwa sababu umetoka Freemason na unajua mbinu za shetani za kuliteka kanisa na ulikua unajua mfanye njia gani ili kanisa lisishituke na mastepu ya kukata mauno
Cjakuelewa ktk mataifa hakuna dhambi ya mziki soma mdo 15 yote uone,na miziki yote ni ya MUNGU shetani ndo anaiba mziki,ndo maana na mbinguni ni kuimba tu,
Hiii wataelewa walio na muunganiko na Mbingu na ROHO MTAKATIFU TUUU
Niseme nini jaman we Mtumishi wa Mungu unanibariki sana sana Yesu kristo aendelee kutufunulia yaliyo sirini😢
I agree with you, unless we move with holy spirit, we are lost, may God give us spiritual understanding
Yaani mimi namshukuru sana Yesu Kristo kwasababu alishanionesha siku mingi kuwa huo mziki ni wa kidunia tu. Huo mziki unaoitwa yerusalemu. Sikuwahi kuupenda huu wimbo hata siku mmoja. Jirani yangu mmoja alikuwa anaupenda vibaya sana mno zaidi. Yesu ni mwema, alinifunulia. Yesu Kristo asifiwe sana.
Yani MTU anatafuta view we unamsapoti tumieni malifa we kuzimu alipaona wapi jiongeze zakwambiwa changanya na zako
@@RaphaelMsangi kijana acha kuwa mjinga. Maarifa ni neno la Mungu. Kwahiyo tunajua miziki ya kidunia na kwaya au tenzi au nyimbo za injili. 1Yohana2:15. Warumi 12:2. Soma hizo mistari za Biblia. Oky?
@@user-cw8zn2dn6m ujinga donda LA kichwa uwezi ona Ila utalishika tu
@@RaphaelMsangi sawa, jifunza sasa, usije ukajuta baadae. Fuata neno la Mungu tu. Ukiweza hivyo bac utatambua kama mtu ni mwongo au sio. Kuwa mjanja kijana.
Sasa nikulize yelusalemu alio kua anaimba unajua alikua anamanisha nini au kwakua alisema yelusalemu mkajua ni wimbo wa dini ule wimbo wa kidunia afu mchungaji alijuaje mambo ya kuzimu au ndo mambo ya kufikilisha anatuletea sisi
Hakika mziki ni shida..... Mungu anisaidie ila kwasasa namshukuru Mungu sana kama vile nimeanza na mimi kupambanuapambanua hivi vijimiziki vya shetani vikijivisha maneno ya Mungu. Mungu nisaidie mziki ulinitekaga sana. Asante pastor!!! Ubarikiwe
Ni kweli ya MUNGU wa mbinguni. Wewe ni sauti ya mungu aliye hai. Alie n'a sikio asikie neno ambalo roho aongea na kanisa
Amina Mtumishi wa Mungu natamani sana uwe Mchungaji wangu nijifunze kutoka kwako naomba Mungu akupe maisha marefu uwasaidie wengi
Give me old time religion and old mytiarys songs 😢😢😢and it's good enough for me😢😢😢
Namshukuru Mungu kwa kuwa nimejifunza mengi kuhusu muziki angalau ninaelewa sasa bora nionekane mshamba ila nisilize nyimbo za Fanuel Sedekia, Godwin Ombeni, Jackson Benty, Paul Mwangosi,Boaz Danken kuliko hizo za akina Mgogo,Gozbert,Zabron singers,Shusho,Rose,Lwaga wanaimba burudani siyo injili
Fact, naona playlist yangu. Ila umemsahau
John Lisu, Upendo Nkone, Essence of Worship, Bahati Bukuku old album, Christina Shusho old album, Martha Mwaipaja old album, Sifael Mwabuka old album, Daniel Mgogo old album, Rose Mhando old album na wengineo wengi ila old au first album huwa ndiyo nzuri sana.
Safi sana mtu wa Mungu, ujumbe wa muhimu sana huu. Jitahidi wakati mwingine wakati wa kurecodi ala za muziki zipungue katikati ya mahubiri/ mafundisho ili ujumbe usikike vyema. Barikiwa mtumishi
much blessings man of God,kweli kanisa limechanganyikiwa,linahitaji uamsho nena kama Mungu anavyokujalia nguvu kutamka,mwenye sikio asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
Mtumishi, ubarikiwe mnoo naelewa sana mafundisho yako endelea kusema kweli ya Yesu Kristo
Amen amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
Mungu atu saidiye tupate ku elewa na kujuwa kufafanuwa ma sounds za shetani na za kwake baba yetu wambinguni
Sema ukiongea kwa kufoka ndo nakosa mood ya kuskiliza me naona sio kila mada uitoe ktk hali ya kufoka
Amina, mtumishi, Mimi nakuomba uniombee, nyimbo ninazoimba, ziwe zilizotokana na Mungu wa kweli yani Yesu Kristo wanazareti alie hai, na Yesu anikoe mikononi mwa shetani, Yesu nikoe
Amen man of God you have really answered a question that has been disturbing me for a very longtime that why is it that some songs when i feel like singing them they vanish in my mind and all of a sudden a new song from just comes into my mind from the bottom of my heart ,thank you so much speak it into Christians because we have lost sense of belonging
Endelea kuhubili mtumishi wa Mungu uokoe kizazi hiki najua umeona mengi mambo ya kishetani Mungu akulinde na akutunze daima🙏
Shetani yuko kazini. Wao wanajidhihirisha kumwimbia na kumchezea Mungu ila waongozwa na shetani.
Mungu aniongeze nifuate njia zake.
cosimus
Mwache Mungu aweze kuhukum
Unachokifanya ni kujimaliza ktk kupigana
Na Mungu
Let God judge Time Will tell kuwa Ametokana na Mungu
Au rahaa
TANZANIA AMKA MTUMISHI WA MUNGU ALIE JAA ROHO MTAKATIFU HANA MDA WAKUHUM MTU MAANA MDA UPO KATIKA KRISTO YESU TU NDIE MUHUM
KUMBKA LUKE 11:49
ZABURI 105:15
GOD BLESS YOU ALL
Continuez à dire la vérité serviteur, et n'arrêtez pas de dire la vérité, vous en sauvez beaucoup, je prie pour que Dieu continue à vous bénir parce que vous dites la vérité, que Dieu bénisse votre service. Amen
Endelea kusema ukweli mtumishi, na usiache kusema ukweli, unaokoa wengi, naomba Mungu aendelee kukubariki maana unasema kweli, Mungu abariki utumishi wako. Amen
Keep speaking the truth servant, and don't stop speaking the truth, you save many, I pray that God continues to bless you because you speak the truth, may God bless your service. Amen
1s
Amen mtumishi wa Mungu tunakupenda sana
Mwenye masikio ndio atasikia asante mtumishi wa Mungu barikiwa sana
Namuomba Mungu anisaidie nyimbo zangu ziwe baraka kwa Mungu,Asante Yesu
Huyu ni yule mhubiri wa panga kwa kichwa 😏 ama 🤔, anyway your preaching has added something in my salvation, amen
Ukeli mtupu, Mungu azidi kukutumia kwa viwango zaidi
Shida kubwaa umebaki mkosowajji kila kilichopo hapa dunian bado utasema hata kunya nizambi tushike lipi baba tuache lipi dah Tusubir hukumu ya Mungu tu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa somo zuri.
Keeping preaching men of God I don't like double double song
Mavazi pia yanaweza kumwakilisha mwimbaji utajua anamwimbia nani
Mungu akubariki mtumishi kwa somo hili zuri.
It's true servant of god praise and glory belongs to the lord .never stop speaking the truth of god
God,,not god
Amena emungu wangu tusaidie wanao
Amos 5:23 Mungu nisaidie nisikie Sauti Yako na maelekezo yako nyimbo zangu zisiwe makelele mbele ya Uso wako
Kama kuzimu nako wanamuimbia Mungu, ni ushindi mkubwa. Yesu alisema, kama nyie wakina Paschal mlioacha kumuimbia Yesu na kugeukia kiki za mitandoni, Yesu atainua mawe na ndo akifanyacho. Acha wivu
Mungu akusamehe sana na akuhurumie
Usishupaze shingo mtazame Mungu wa mbinguni
Mungu akusamehe sana
Daaaa..kweli hii dunia ilipofika pabaya..mm nimekuelewa lakin kicha kinaniuma ninapoona asilimi 80 za vijana ndio nyimbo zetu hizo... nashukur ubalikiwe sana mtumishi
Inahitaji neema kubwa ya Mungu
Mungu akubariki pastor napendaga sana ibadayako🙏👏🇧🇮🇴🇲
Angalia na mavazi pamoja na kujipamba kwao pastor you is true😂❤❤
Mtu wa Mungu hongera kwa kazi hii ngumu.
Mungu atusaidie
Ni nyimbo gan nzuri basi twaweza kuimba
Unaroho wabwana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
Barikiwa sana
Now you are the true man of God I can see
Nikwenye gizanene kati yamwanga mdogo watakao onanjia kwenye mwangahuu niwalewateule waMungu wengine tutaishia kusemahuyo naye kachanganyikiwa tunafunuliwa kitabu kigumu chenyemafumbo chaufunuo waYohana huyu.muhubiri Yokosawa karibuasilimia miamoja.
My the lord bless you
Aise Mungu akutunze sana
Keep on ufalme wa mungu unatekwa na wenye nguvu
Ubarikiwe mtumishi wa bwana
Amina mtumishi wa MUNGU kanisa limeanguka
Mungu nipe nipe usikivu mwema na mwisho mwema
Kweli dunian hakuna usalama tumtafute mungu wapendwa
Amina makanisa ya leo ni hataru nimewai kwenda kwenye kanisa mojawapo la EAGT lakini wanaumba nyimbo kwa kutumia beat ya singeli yaani ni uharibifu
asande mungu akupekipali ubarikiwe
It's true servant of GOD
Acha kuwanadi.unamkosea.Mungu.yesu mbona hakuwanadi.wa kina yuda iskalioti hata.walipojihisi cassian kaka yangu uchanga unakusumbua harafu unahubiri wewe kama wewe kusema yesu upo.nae.hujui
Mungu akubariki sana Pascal
Kweli kabisa mungu atupe neema tuyashinde yote
Pia kuna mziki umeenea makanisani wanasema sengele ya Yesu wanashonea mawigi kichwani watingisha kichwa wanakizungusha na bila kushonea hilo wingi anasema awezi kucheza
Tunashukuru sana Kwa kutufungua
Mungu akulinde Mitumishi
Nikweli mtumishi, ubarikiwe
Amen mtumishi
Barikiwa mtumishi
Ukiona hujaelewa huu ujumbe Lia machozi
Kabisa
No wonder i listen to worship but sio zile wanazivuruta sana plus before I look at the dressing n too much make issa no
Hahaha,,,,, mtumishi barikiwa sana
Mtumishi uko sahihi,,,,,,makanisani ni changamoto,,,, MUNGU tupe kutoka huko kwa jina la YESU
ubarikiwe mtumixhi wa mungu
Mungu tusaidie aki maana shetani katawala dunia
Wakeisto sasa tumeingiliwa maaana kila mwinjirist anaamka na lake
Amina
Imeandikwa wapi hiyo aina ya midundo kwenye biblia utusaidie zaidi tusikalili injili bila kuelewa
Shetani ni mwizi tu, alikuwa malaika wa sifa akaiba codes....
Ubalikiwe sana.uko sahihi
Mbona watu wasiimbe tenzi jameni,na ndizo Zina upako zaidi.
Amin Amin
Amina mtumishiiiiih!!!
Amen juzi nimeota muziki za injili huwa nasikia niliona mapepo peke yake
mapepo peke yake?
Aki ukweli niliona mapepo tu wakimba
@@josykogei7647 hatari, yamekaa wapi?
Amina bwana yesu asifiwe tuuu
Kweli kabisa MUNGU ATUSAIDIE
Duh hpn jmn so kwakusifu huko😢 mavazi sasa😢
MTUMISHI UKO SAWA lakini jitahidi kuseti sauti mwangwi ni mkubwa mno hatukusikii vizuri
Kelele nyingi sana kwa hiivideo
God bless you, nimeerea sasa kwa nini iyi nyimbo imezunguruka fasi nyingi Duniani ,hata uraa bazungu bausikia banaupenda nashangara, kumbi ninguvu za giza.
hata kuvalia kwao hakupendezi kabisaaa......wanawake wamevaa ma sleaveless clothes.....haifai.mungu atusaidie tu.
Siwezi kupingana na wewe mtumishi kwa sababu umetoka Freemason na unajua mbinu za shetani za kuliteka kanisa na ulikua unajua mfanye njia gani ili kanisa lisishituke na mastepu ya kukata mauno
Maskiniii mweeeee pole Baba MUNGU akukumbuke
Waimbaji wanaume wameva kofia
Amina ! Kweli kabisa!
I think we need to improve our theology
Hizo saut hatusikii vizuri mbona
Eeee Mungu nipe macho ya rohoni.
Amen
Acha kumpa shetani utukufu hakuna mziki wa shetani,upotoshaji mtupu
Amen.
AMEN AMEN
🙏
Cjakuelewa ktk mataifa hakuna dhambi ya mziki soma mdo 15 yote uone,na miziki yote ni ya MUNGU shetani ndo anaiba mziki,ndo maana na mbinguni ni kuimba tu,
Ubalikiwe
Baba