Ibada zetu, sifa zetu, na kuabudu kwetu kumeingiliwa na udunia mwingi kiasi kwamba nguvu iliyo ndani ya ibada, sifa na kuabudu imepotea katika kanisa la leo. Watu wanachezea Yesu wakaki hata waume zao au wazazi wao hawawezi wachezea.
Niyasikiapo mafundisho yako napata amani sana ndani ya moyo wangu, napenda injili ya kweli, sihitaji kupoteza muda bure... Ubarikiwe sana. Anayekuchukia ni wazi kaanza kumchukia Yesu Kristo... Wengi wameilanisha injili, kumekuwa hakuna sheria kuliko hata kwa Shetani... Ubarikiwe sana.
Thank you mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kiwango gani shetani ametamani kuiba our souls through music. Embalamba is a disgrace to the gospel world, na hizo zingine ati..unataka unaiwe, 😢. Mungu aturehemu esp sisi wakenya
Mtumishi mwenye kuhukumu ni Mungu pekee 😮!!Kuhusu hao waimbaji hupaswi kusema kitu maana watu bado humpokea Mungu kupitia nyimbo hizo hizo wanazoimba hao waimbaji,mapokeo ya mtu mwenyew ndo yanayomuunganisha mtu na Mungu na sio Mwimbaji anayekuunganishq na Mungu. Hata waimbe wakitaka umaarufu hukumu atatoa mwenye ENZI YAKE PEKEE 🙌
2 samwel 6: 14-22 David danced before the lord with all his might. So! Praising/dancing before God is not just or only a rohoni act, but can also be done with physical bodily expression ofcourse in an acceptable manner. Remember what happened to Davids wife when she tried rebuke David ways of dancing? Well, go check it out again. Shalom and Gods blessings
Leo nimekuwa wa kwanza..mungu akubariki poster akupe nguvu...endelea kusema ukwel nakubaliana na maubiri yako kwasababu ayafanani na awa wengine makonimani
@@paschalcassianoriginal9411 poster mm sijui venye naweza ku2ma sadaka ya kujenga madhabau..natuma vip kwasababu mm ni mkenya na nko saudia rabia..ebu niambie ni2me vp
Kuna kanisa ingine pale nairobi ..ilikuwa kanisa ya kabila moja ya kiluyah,wasipoimba kilugha roho hashuki Alafu roho akishuka wanapasua viti wanachapa watu ,siku moja mdada fula alipasua madhabahu na akaumia kichwa.iam telling you watu walikuwa wanakuja kanisani wakiwa wasafi wanarudi nyumbani wakiwa wachafu,wengine wameumia,eti ni roho wa MUNGU😳😳😁😁😁😂😂😂😂😂
@@paschalcassianoriginal9411 iam telling mtumishi,, 😁but nilisafiri,,, finally nikasikia haipo walianza vita wenyewe kwa wenyewe na Kila mtu akaenda zake
Yani waimbaji wanasaidia shetani kutimiza kusudi la shetani sijui wanazichunguza roho au wanapenda fedha maana wengi wamekuwa rafiki wa manabii wanapotosha watu kwa kweli
Ninalo swali, ukiwa unamwimbia Mungu ili kufanya ibada na wengine na usiruhusu wimbo wako kujukuliwa ( download) ili kuusikia baadaye maana umeguzwa na ujumbe aliouimba mtumishi, hapo utakua umehubiri kikamilifu? Maana yule wa chini hana uwezo wa kuusikiza mziki wako pasipo hela. Wakosoe pasipo kituo, atakaye gairi akinywee kikombe chake cha hukumu siku ya kiama. Wasilete chukizo patakatifu pa Mungu.
Ibada zetu, sifa zetu, na kuabudu kwetu kumeingiliwa na udunia mwingi kiasi kwamba nguvu iliyo ndani ya ibada, sifa na kuabudu imepotea katika kanisa la leo.
Watu wanachezea Yesu wakaki hata waume zao au wazazi wao hawawezi wachezea.
Niyasikiapo mafundisho yako napata amani sana ndani ya moyo wangu, napenda injili ya kweli, sihitaji kupoteza muda bure...
Ubarikiwe sana.
Anayekuchukia ni wazi kaanza kumchukia Yesu Kristo...
Wengi wameilanisha injili, kumekuwa hakuna sheria kuliko hata kwa Shetani...
Ubarikiwe sana.
Thank you mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kiwango gani shetani ametamani kuiba our souls through music. Embalamba is a disgrace to the gospel world, na hizo zingine ati..unataka unaiwe, 😢. Mungu aturehemu esp sisi wakenya
Kusema ukweli nyimbo zazamani zinamabariki Sana jamani♥️🙏🥰
Ubarikiwe mtumishi wenye masikio wasikie.
Uyu ni man of god, kwa kweli ubarakiwe sana♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mtumishi mwenye kuhukumu ni Mungu pekee 😮!!Kuhusu hao waimbaji hupaswi kusema kitu maana watu bado humpokea Mungu kupitia nyimbo hizo hizo wanazoimba hao waimbaji,mapokeo ya mtu mwenyew ndo yanayomuunganisha mtu na Mungu na sio Mwimbaji anayekuunganishq na Mungu. Hata waimbe wakitaka umaarufu hukumu atatoa mwenye ENZI YAKE PEKEE 🙌
La gloire, l'honneur et la puissance et la puissance Soit avec notre seigneur Jésus Christ de Nazareth.
Sema Babq sema wenye masikio watasikia Mungu atusaidie
Tuna kupenda sana,na tunakufwata sana congo namutumushi moja wa mungu,wewe ni mutumishi endelea vile, na mungu akushike mukono
Hallelujah sifa na utukufu ni kwako Yesu
Mtumishi wa Mungu Cassian waimbaji wa sasa hawaimbi bali badhi wanatafta umarufu tu. Mungu atusamehe kabsa .
Ni Heri Waimbe Tenzi za Rohoni. Unapoimba Tenzi za Rohoni uponyaji na ufungulivu vinashuka Usipokuwa Rohoni huwezi kutunga wimbo wa kubariki watu.
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Yesu,na kubaliana na wewe, Mungu akutiye nguvu kwa huduma hii.
YESU wangu. Heee!! Hongera Paschal MUNGU akusaidie shetani yupo kazini Ni kanisani?
Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli
Waimbaji wengi nyakat hizi hawaimbi kwa ajili ya mungu wanatafuta pesa tu ndy maana wanadance ili kuwaatract watu wamepende izo sebene zao
Ni kweli, saiz waimbaji wengi wameishia kuwa wanq mziki waliojipatia ustaa na sio kumuinua Mungu
Kwa mafundisho yako mtumishi mimi hakika macho ya rohoni yamefunguka kwel kabsa
Kweli ni upuuzi sana. Mungu atuhurumie jamani. Hata kwenye tv haileti maana kabisa. Nyimbo ni za kidunia sana.
Wa2 wanaimba kupata pesa na umarufu awaimbii mungu..shetan ameteka wengi tena wenye wako kanisani...siku za mwisho hizi
Ubarikiwe sana mtumishi
2 samwel 6: 14-22 David danced before the lord with all his might. So! Praising/dancing before God is not just or only a rohoni act, but can also be done with physical bodily expression ofcourse in an acceptable manner. Remember what happened to Davids wife when she tried rebuke David ways of dancing? Well, go check it out again. Shalom and Gods blessings
Uinjilisti una kufaa kabisaa mkuu , namna unavyo pazaaa kwa kishindo hakika ✊✊🙏🙏
Judgment is for God only , Preach the gospel and judgement leave for God
Leo nimekuwa wa kwanza..mungu akubariki poster akupe nguvu...endelea kusema ukwel nakubaliana na maubiri yako kwasababu ayafanani na awa wengine makonimani
❤❤❤❤❤❤
@@paschalcassianoriginal9411 poster mm sijui venye naweza ku2ma sadaka ya kujenga madhabau..natuma vip kwasababu mm ni mkenya na nko saudia rabia..ebu niambie ni2me vp
@@paschalcassianoriginal9411 niambie code na je niki2ma zitafika kwel hapo ndyo nachanginyikiwa juu sijawahi ku2ma pesa Tanzania 🇹🇿
@@paschalcassianoriginal9411MZEE UNANENA YAUKWELI SEMA WATU HAWAKUEREWI MAHUBILI YAUONGO NDO WANAEREWA MAERUFU NAMAERUFU ENDELEA MZZEE ATA UKIOCOA WAWILI WATATU KWENDA MBINGUNI TAJIUNAYO((((MUNGU TUMEVAMIWA TUSAIDIE ))))
😭
Amina amina mungu akubarki mchungaji,from kenyA
🤣🤣🤣🤣 Ila embarambamba😂🙌🙌
Ubarikiwe sana Mch.Paschal🙏🙏🙏
Hivi hao wanashida gani mweee au wamechanganyikiwa
Asante Mungu akubaliki🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana
Ubarikiwe sana pastor Cassian
Ni kwwli waimbaji siku hizi wanaimba kidunia ni bora tu waache kumuimba yesu waendelee tu na kidunia...
Amen my God bless you
Kuna kanisa ingine pale nairobi ..ilikuwa kanisa ya kabila moja ya kiluyah,wasipoimba kilugha roho hashuki
Alafu roho akishuka wanapasua viti wanachapa watu ,siku moja mdada fula alipasua madhabahu na akaumia kichwa.iam telling you watu walikuwa wanakuja kanisani wakiwa wasafi wanarudi nyumbani wakiwa wachafu,wengine wameumia,eti ni roho wa MUNGU😳😳😁😁😁😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😍😍😍😍😍😍❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@paschalcassianoriginal9411 iam telling mtumishi,, 😁but nilisafiri,,, finally nikasikia haipo walianza vita wenyewe kwa wenyewe na Kila mtu akaenda zake
BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU NIKWELI KABISA
Ubarikiwe ❤❤❤❤
Na Ambwene Tena duuuuuuuh!
Hayo ni mazingaombwe
Yani waimbaji wanasaidia shetani kutimiza kusudi la shetani sijui wanazichunguza roho au wanapenda fedha maana wengi wamekuwa rafiki wa manabii wanapotosha watu kwa kweli
Amen Amen
Amen kaka
Amen
Hee Mr cassina niembie shida na kasoro ya ambwene mwasongwo acha hao wengine ni wahuni.
Ni kweli
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Ninalo swali, ukiwa unamwimbia Mungu ili kufanya ibada na wengine na usiruhusu wimbo wako kujukuliwa ( download) ili kuusikia baadaye maana umeguzwa na ujumbe aliouimba mtumishi, hapo utakua umehubiri kikamilifu? Maana yule wa chini hana uwezo wa kuusikiza mziki wako pasipo hela.
Wakosoe pasipo kituo, atakaye gairi akinywee kikombe chake cha hukumu siku ya kiama. Wasilete chukizo patakatifu pa Mungu.
Nimecheka sana jamani leo nahii kadogoli
Brother mi sina mengi ya kusema ila mungu akubariki.
😂😂😂😂 nyimbo hizo
Kenya🙌🙌🙌🙌😁
Ubalikiwe
TUMEKARIBIA NYUMBANI 🏠 wapendwa
Nyieee
Ukweli mtupu
Shida kwelikweli
waimbaji wakoloni sana au
Kuna kit kimenishangaza had ambwene ???
Mbwene naye ametokea wapi
Ila kiukweli huyu kaka atafika mbinguni amechoka sana, kwann anahukumu wenzie? Ye si afanye kazi aloitiwa na Mungu khaa😂😂
Kukemea na kuonya hata yesu alifanya
We huna kazi za kufanya?
Huna neno ndomana umecoment hivyo Polle mungu akusaidie
Neno la MUNGU N MOTO ULAO ,, MUNGU AKUSAIDIE
Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli