MWISHOE WAIMABAJI WAMTOA MACHOZI PASCHAL KUHUSU MZIKI WA INJILI EV PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 78

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 23 วันที่ผ่านมา +5

    Ibada zetu, sifa zetu, na kuabudu kwetu kumeingiliwa na udunia mwingi kiasi kwamba nguvu iliyo ndani ya ibada, sifa na kuabudu imepotea katika kanisa la leo.
    Watu wanachezea Yesu wakaki hata waume zao au wazazi wao hawawezi wachezea.

  • @EliasBaltazary
    @EliasBaltazary 20 วันที่ผ่านมา +1

    Niyasikiapo mafundisho yako napata amani sana ndani ya moyo wangu, napenda injili ya kweli, sihitaji kupoteza muda bure...
    Ubarikiwe sana.
    Anayekuchukia ni wazi kaanza kumchukia Yesu Kristo...
    Wengi wameilanisha injili, kumekuwa hakuna sheria kuliko hata kwa Shetani...
    Ubarikiwe sana.

  • @annewanjiru818
    @annewanjiru818 20 วันที่ผ่านมา +1

    Thank you mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kiwango gani shetani ametamani kuiba our souls through music. Embalamba is a disgrace to the gospel world, na hizo zingine ati..unataka unaiwe, 😢. Mungu aturehemu esp sisi wakenya

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kusema ukweli nyimbo zazamani zinamabariki Sana jamani♥️🙏🥰

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 23 วันที่ผ่านมา +3

    Ubarikiwe mtumishi wenye masikio wasikie.

  • @Franckmulaj-Officiel
    @Franckmulaj-Officiel 22 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu ni man of god, kwa kweli ubarakiwe sana♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @JULIANAJOSEPH-wq4lm
    @JULIANAJOSEPH-wq4lm 20 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi mwenye kuhukumu ni Mungu pekee 😮!!Kuhusu hao waimbaji hupaswi kusema kitu maana watu bado humpokea Mungu kupitia nyimbo hizo hizo wanazoimba hao waimbaji,mapokeo ya mtu mwenyew ndo yanayomuunganisha mtu na Mungu na sio Mwimbaji anayekuunganishq na Mungu. Hata waimbe wakitaka umaarufu hukumu atatoa mwenye ENZI YAKE PEKEE 🙌

  • @GustaveAbedi-td9yv
    @GustaveAbedi-td9yv 6 วันที่ผ่านมา

    La gloire, l'honneur et la puissance et la puissance Soit avec notre seigneur Jésus Christ de Nazareth.

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 21 วันที่ผ่านมา +1

    Sema Babq sema wenye masikio watasikia Mungu atusaidie

  • @Franckmulaj-Officiel
    @Franckmulaj-Officiel 22 วันที่ผ่านมา +1

    Tuna kupenda sana,na tunakufwata sana congo namutumushi moja wa mungu,wewe ni mutumishi endelea vile, na mungu akushike mukono

  • @patiencehumbled3519
    @patiencehumbled3519 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hallelujah sifa na utukufu ni kwako Yesu

  • @btsanime6138
    @btsanime6138 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi wa Mungu Cassian waimbaji wa sasa hawaimbi bali badhi wanatafta umarufu tu. Mungu atusamehe kabsa .

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ni Heri Waimbe Tenzi za Rohoni. Unapoimba Tenzi za Rohoni uponyaji na ufungulivu vinashuka Usipokuwa Rohoni huwezi kutunga wimbo wa kubariki watu.

  • @user-ne1cd7oq4z
    @user-ne1cd7oq4z 23 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Yesu,na kubaliana na wewe, Mungu akutiye nguvu kwa huduma hii.

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 23 วันที่ผ่านมา +1

    YESU wangu. Heee!! Hongera Paschal MUNGU akusaidie shetani yupo kazini Ni kanisani?

  • @merabKitundu
    @merabKitundu 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli

  • @hanagango6922
    @hanagango6922 18 วันที่ผ่านมา

    Waimbaji wengi nyakat hizi hawaimbi kwa ajili ya mungu wanatafuta pesa tu ndy maana wanadance ili kuwaatract watu wamepende izo sebene zao

  • @subirachristopher1984
    @subirachristopher1984 11 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli, saiz waimbaji wengi wameishia kuwa wanq mziki waliojipatia ustaa na sio kumuinua Mungu

  • @DastanChite
    @DastanChite 2 วันที่ผ่านมา

    Kwa mafundisho yako mtumishi mimi hakika macho ya rohoni yamefunguka kwel kabsa

  • @elizabethbrown6748
    @elizabethbrown6748 14 วันที่ผ่านมา

    Kweli ni upuuzi sana. Mungu atuhurumie jamani. Hata kwenye tv haileti maana kabisa. Nyimbo ni za kidunia sana.

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wa2 wanaimba kupata pesa na umarufu awaimbii mungu..shetan ameteka wengi tena wenye wako kanisani...siku za mwisho hizi

  • @dajo7523
    @dajo7523 20 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 22 วันที่ผ่านมา

    2 samwel 6: 14-22 David danced before the lord with all his might. So! Praising/dancing before God is not just or only a rohoni act, but can also be done with physical bodily expression ofcourse in an acceptable manner. Remember what happened to Davids wife when she tried rebuke David ways of dancing? Well, go check it out again. Shalom and Gods blessings

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 22 วันที่ผ่านมา

    Uinjilisti una kufaa kabisaa mkuu , namna unavyo pazaaa kwa kishindo hakika ✊✊🙏🙏

  • @user-tn5hv5oj7g
    @user-tn5hv5oj7g 21 วันที่ผ่านมา

    Judgment is for God only , Preach the gospel and judgement leave for God

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k 23 วันที่ผ่านมา +4

    Leo nimekuwa wa kwanza..mungu akubariki poster akupe nguvu...endelea kusema ukwel nakubaliana na maubiri yako kwasababu ayafanani na awa wengine makonimani

    • @paschalcassianoriginal9411
      @paschalcassianoriginal9411  23 วันที่ผ่านมา +1

      ❤❤❤❤❤❤

    • @user-cr6fc7nt8k
      @user-cr6fc7nt8k 23 วันที่ผ่านมา

      @@paschalcassianoriginal9411 poster mm sijui venye naweza ku2ma sadaka ya kujenga madhabau..natuma vip kwasababu mm ni mkenya na nko saudia rabia..ebu niambie ni2me vp

    • @user-cr6fc7nt8k
      @user-cr6fc7nt8k 23 วันที่ผ่านมา

      @@paschalcassianoriginal9411 niambie code na je niki2ma zitafika kwel hapo ndyo nachanginyikiwa juu sijawahi ku2ma pesa Tanzania 🇹🇿

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@paschalcassianoriginal9411MZEE UNANENA YAUKWELI SEMA WATU HAWAKUEREWI MAHUBILI YAUONGO NDO WANAEREWA MAERUFU NAMAERUFU ENDELEA MZZEE ATA UKIOCOA WAWILI WATATU KWENDA MBINGUNI TAJIUNAYO((((MUNGU TUMEVAMIWA TUSAIDIE ))))

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw 23 วันที่ผ่านมา

      😭

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n 23 วันที่ผ่านมา

    Amina amina mungu akubarki mchungaji,from kenyA

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 20 วันที่ผ่านมา +1

    🤣🤣🤣🤣 Ila embarambamba😂🙌🙌

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 22 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana Mch.Paschal🙏🙏🙏

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 19 วันที่ผ่านมา

    Hivi hao wanashida gani mweee au wamechanganyikiwa

  • @SophiaThadei-hx4wd
    @SophiaThadei-hx4wd 23 วันที่ผ่านมา

    Asante Mungu akubaliki🙏🙏🙏🙏

  • @user-ij8cj7zl7b
    @user-ij8cj7zl7b 23 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana

  • @NicholausMbalani
    @NicholausMbalani 22 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana pastor Cassian

  • @AnaMeshack
    @AnaMeshack 23 วันที่ผ่านมา

    Ni kwwli waimbaji siku hizi wanaimba kidunia ni bora tu waache kumuimba yesu waendelee tu na kidunia...

  • @LillianMunyaka
    @LillianMunyaka 23 วันที่ผ่านมา

    Amen my God bless you

  • @ABIGAIL67-tria
    @ABIGAIL67-tria 23 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna kanisa ingine pale nairobi ..ilikuwa kanisa ya kabila moja ya kiluyah,wasipoimba kilugha roho hashuki
    Alafu roho akishuka wanapasua viti wanachapa watu ,siku moja mdada fula alipasua madhabahu na akaumia kichwa.iam telling you watu walikuwa wanakuja kanisani wakiwa wasafi wanarudi nyumbani wakiwa wachafu,wengine wameumia,eti ni roho wa MUNGU😳😳😁😁😁😂😂😂😂😂

    • @paschalcassianoriginal9411
      @paschalcassianoriginal9411  23 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @paschalcassianoriginal9411
      @paschalcassianoriginal9411  23 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😍😍😍😍😍😍❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ABIGAIL67-tria
      @ABIGAIL67-tria 23 วันที่ผ่านมา

      @@paschalcassianoriginal9411 iam telling mtumishi,, 😁but nilisafiri,,, finally nikasikia haipo walianza vita wenyewe kwa wenyewe na Kila mtu akaenda zake

    • @user-ij8cj7zl7b
      @user-ij8cj7zl7b 23 วันที่ผ่านมา

      BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU NIKWELI KABISA

  • @Rurengera
    @Rurengera 23 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe ❤❤❤❤

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7x 20 วันที่ผ่านมา

    Na Ambwene Tena duuuuuuuh!

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 19 วันที่ผ่านมา

    Hayo ni mazingaombwe

  • @angelemmanuel7143
    @angelemmanuel7143 23 วันที่ผ่านมา

    Yani waimbaji wanasaidia shetani kutimiza kusudi la shetani sijui wanazichunguza roho au wanapenda fedha maana wengi wamekuwa rafiki wa manabii wanapotosha watu kwa kweli

  • @EstherChadi-xe7se
    @EstherChadi-xe7se 23 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen

  • @ItikaWito
    @ItikaWito 23 วันที่ผ่านมา

    Amen kaka

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 23 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @EmanuelSolomon-ij1is
    @EmanuelSolomon-ij1is 23 วันที่ผ่านมา

    Hee Mr cassina niembie shida na kasoro ya ambwene mwasongwo acha hao wengine ni wahuni.

  • @pendofrances617
    @pendofrances617 22 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli

  • @AbbahCostaabbahCostaabbah
    @AbbahCostaabbahCostaabbah 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 23 วันที่ผ่านมา

    Ninalo swali, ukiwa unamwimbia Mungu ili kufanya ibada na wengine na usiruhusu wimbo wako kujukuliwa ( download) ili kuusikia baadaye maana umeguzwa na ujumbe aliouimba mtumishi, hapo utakua umehubiri kikamilifu? Maana yule wa chini hana uwezo wa kuusikiza mziki wako pasipo hela.
    Wakosoe pasipo kituo, atakaye gairi akinywee kikombe chake cha hukumu siku ya kiama. Wasilete chukizo patakatifu pa Mungu.

  • @emilianagodwine6138
    @emilianagodwine6138 23 วันที่ผ่านมา

    Nimecheka sana jamani leo nahii kadogoli

  • @mengindegeya2780
    @mengindegeya2780 22 วันที่ผ่านมา

    Brother mi sina mengi ya kusema ila mungu akubariki.

  • @mkalibizz
    @mkalibizz 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 nyimbo hizo

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 22 วันที่ผ่านมา

    Kenya🙌🙌🙌🙌😁

  • @isakashega6056
    @isakashega6056 23 วันที่ผ่านมา

    Ubalikiwe

  • @bahatimaselo8528
    @bahatimaselo8528 23 วันที่ผ่านมา

    TUMEKARIBIA NYUMBANI 🏠 wapendwa

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 18 วันที่ผ่านมา

    Nyieee

  • @dennisipaella3769
    @dennisipaella3769 23 วันที่ผ่านมา

    Ukweli mtupu

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 22 วันที่ผ่านมา

    Shida kwelikweli

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 23 วันที่ผ่านมา

    waimbaji wakoloni sana au

  • @ChengulaWema
    @ChengulaWema 23 วันที่ผ่านมา

    Kuna kit kimenishangaza had ambwene ???

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 23 วันที่ผ่านมา

    Mbwene naye ametokea wapi

  • @user-ub2vn5vt3o
    @user-ub2vn5vt3o 22 วันที่ผ่านมา

    Ila kiukweli huyu kaka atafika mbinguni amechoka sana, kwann anahukumu wenzie? Ye si afanye kazi aloitiwa na Mungu khaa😂😂

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kukemea na kuonya hata yesu alifanya

  • @happinessvuriva922
    @happinessvuriva922 23 วันที่ผ่านมา

    We huna kazi za kufanya?

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw 23 วันที่ผ่านมา +2

      Huna neno ndomana umecoment hivyo Polle mungu akusaidie

    • @hasanygodda9242
      @hasanygodda9242 23 วันที่ผ่านมา +3

      Neno la MUNGU N MOTO ULAO ,, MUNGU AKUSAIDIE

  • @merabKitundu
    @merabKitundu 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli