Sasa naona unaitwa pastor na hata haujui jina mungu ni miungu soma Zaburi 81:9 inasemaje kuhusu hilo jina lenye umeandika na mandiko tu mengine kuanzia kitabu cha kutoka mbaka ufunuo wa Yohana soma utaelewa Amen
Mungu akubariki sana kaka pascal kwa ujumbe mzuri: Maombi yangu MUNGU aendelee kukutunza na kuendelea kukutumia kutukumbusha wana wa MUNGU kuitangaza INJILI ya kristo katika maadili 🙏
Kama ukigeuza mguu wako usihalifu sabato, usifanye anasa yako siku ya utakatifu wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku takatifu ya Bwana yenye heshima; ukiitukuza, kwa kutokuzifanya njia zako mwenyewe, wala kuyatafuta yakupendezayo, wala kusema maneno yako mwenyewe. Wanatafuta kupendeza watu na kujipendeza wenyewe,wamemuasi Mungu. Utukufu wa Mungu haupo tena bali tuwaombee Bwana awarudishe kwenye zizi lake. Ubarikiwe mtumishi kwa kuendelea kuonya kizazi hiki kilichopotoka.
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe sana Mimi nina amini ss wanawake ni wengi kuzimu wanawake hatusikii hatatuubiriweje MUNGU nisaidiye nipate kushinda mambo yote ya Duniani
Ata mimi uwa nashangaa kwnn m2 anaaza vizuri badae anajipotosha kwnn lakn...kuna kifungu nilisoma kw bibilia inasema kuna wakati itafika tutamuacha mungu tufate mambo ya kidunia na ndyo hii ya sasa tunaona
Kwa anastasia mukabwa nimestuka mnooooooo😂😂😂😂hv wanapatwa nann jmn hawa watumishi wa Mungu ALAFU WAKIAMBIWA UKWELI WANAKIMBILIA POLISI KM SHUSHO WALITAKIWA WAKIMBILIE KWA ROHOMTAKATIFU
Ukweli Mimi nakuelewa ev casiani,Mungu azidi kukutetea zaidi najua unavita kubwa Sana lakini Mungu atakulinda Wala hatakuacha kamwe usiogope kuusema ukweli nyakati hizi za mwisho
Wewe nawe umekosa la kuhubiri ,huna mengine wewe mchungaji mzima huja haya,ivi unapo huburi na ww hujui pia ww kuna sadaka za hao malaya pia unakusanya.hukumu muachie mungu,unamuita mtu malaya wewe ya kwako huyaoni.hubiri neno na sio kushtumu watumishi.nyinyi ndio wale hamna yakuhubiri sasa munatafuta mambo yasiyokuwa na maana, yani utoke kwako tu ukamhubiri annastacia 😂😂😂😂😂una kazi basi
Biblia inasema nikimwambia mwanadamu utakufa na wewe usimwambie na mtu huyo akafa damu yake nitaitaka mikononi mwako lakini ukimwambia mtu huyo na asipokusikia damu yake itakuwa juu yake na wewe umenawa damu yake...... biblia inasema pia paza sauti usiache wambie watu wangu mwakosa yao
Waibaji wa Injili wanawake Shetani anawatumia kueneza upotofu na ukahaba.Mioyo yao waimbaji wa Injili sasa inaelekea ubaya tu kila wakati.Basi wajaze kikombe cha uovu wao. Endelea kupaza sauti Ev.Pascal mwenye masikio asikie na na asiye masikio asisikie. Ndiyo maana siku za Nuhu watu wachache waliookoka.
Huu ujumbe ulikuwa wake Mungu alimwambia avue hizo nguo yeye hakumsikia vizuri akazani wanamwambia Musa avue kiato. Vueni hayo mavazi mkavae mavazi yanayo sitiri miili. Sisi ni nuru ya ulimwengu.
Nakuombea kwa mungu akubarik xana kakaang uixhi umri mrefu ukimtangaza mungu, dunia imeixha maandiko yametimia, mollah wetu atunuxur juu ya haya Amina,,
@@FestoJemsi-lr8pw Je wewe umekamilika? Hivi hayo ndio mahubiri ya jumapili? Mtu asimame kuhubiri Anastasia badala ya kuhubiri Kristo. Toa kwanza boriti Kwa jicho lako kisha utoe kibanzi Kwa jicho la mwengine.
Na waume zao wote ni maajenti wa kuzimu kwa hiyo wanakamilisha walichotumwa kufanya. Ila Yesu anawaona wasipotubu watashangaa watakaposiki ondokeni siwajui.
Na sisi ambao tumeajiriwa na makampuni tumewekewa sheria ni lazima tuvae sare za kazi na ni tishati na suruwali wake kwa waume kwa ujumla wanawake ambao tumeajiriwa na sekta ya polisi ama kampuni na tunava suruwali sote ni malaya?
Kwani Daniel na wenzake walipopewa chakula Cha Mfalme Nebukadneza alifanya Nini? Kwa Nini ninyi wakristo hamuwezi kutetea Imani yenu? Ulishawahi kuona mwislamu akavuliwa ushungi hata kama Kuna Sheria?
Chagua njia moja maana Mungu anasema huliangalia Neno lake apate kulitimiza, kwahiyo sisi tunatakiwa kutii Neno la Mungu sio kutii maagizo ya wanadamu wokovu ni kuchagua.
Wakiitwa malaya wanakimbilia polisi badala ya kukimbilia kushitaki kwa Mungu😂
Huyo Mungu wanamtaka Sasa ni hatari.
Hawana mda huo wanaona Mungu atachelewa kiwajibu
😂😂😂😂😂
😂
Tukikosa maonyo tutakufa vibaya Acha tukemewe huo ndo uhai wetu
Kweli huo ndo upendo wa kweli.👏👏👏
Very true tujirekebeshe tumrudie Mungu
Nakupenda sana mama yangu, Mungu akusaidie uendelee kutunza agano lako na Mungu
Ninapenda sana vile unavyokemea uovu bila uoga.Mungu wa mbinguni akubariki sana.
Hii ni sauti yamtu aliaye nyikani , kila pando lisilo pandwa na Bwana motoniiiiiiiii Aminaaaaa ✊✊✊
Amina mtumishi Asante Kwa mafundisho Yako juu ya mavazi
Bro. Paschal Mungu akutumie kwa ajili ya wokovu wa watu wake. Nabarikiwa sana na kazi zako
Nakuuga mko mtumishi wa mungu kemea dhambi kabisa
Sasa naona unaitwa pastor na hata haujui jina mungu ni miungu soma Zaburi 81:9 inasemaje kuhusu hilo jina lenye umeandika na mandiko tu mengine kuanzia kitabu cha kutoka mbaka ufunuo wa Yohana soma utaelewa Amen
Walianza kwa roho, wanamaliza kwa mwili.
Wahubiri wasije kua kama nyumba ya Yakobo. Wageuke wamrudie Mungu.
Mungu akubariki sana kaka pascal kwa ujumbe mzuri: Maombi yangu MUNGU aendelee kukutunza na kuendelea kukutumia kutukumbusha wana wa MUNGU kuitangaza INJILI ya kristo katika maadili 🙏
Naacha kuvaa surual kuanzia Leo,kumbe ni dhambi,Mungu nisaidie ,nazichoma zote leo
Kama ukigeuza mguu wako usihalifu sabato, usifanye anasa yako siku ya utakatifu wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku takatifu ya Bwana yenye heshima; ukiitukuza, kwa kutokuzifanya njia zako mwenyewe, wala kuyatafuta yakupendezayo, wala kusema maneno yako mwenyewe.
Wanatafuta kupendeza watu na kujipendeza wenyewe,wamemuasi Mungu. Utukufu wa Mungu haupo tena bali tuwaombee Bwana awarudishe kwenye zizi lake.
Ubarikiwe mtumishi kwa kuendelea kuonya kizazi hiki kilichopotoka.
Sauti ya mtu aliye nyikani itengenezeni njia ya Bwana Dunia hii inahitaji watu kama ninyi.
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe sana Mimi nina amini ss wanawake ni wengi kuzimu wanawake hatusikii hatatuubiriweje MUNGU nisaidiye nipate kushinda mambo yote ya Duniani
Piga kelele paza sauti Yako usiache kuwaambia watu wangu maovu Yao sema baba na mungu akutumie
Mungu azidi kufunguliya mtumishi Paschal Cassian. Tatuwa tena baba usiwe nafu wala haya.
Huu ndio ujumbe wawakati kweli tusipo chunga jehanam itatuhusu wapendwa tugeuke 😢
Hallelujah 🙏
Ata mimi uwa nashangaa kwnn m2 anaaza vizuri badae anajipotosha kwnn lakn...kuna kifungu nilisoma kw bibilia inasema kuna wakati itafika tutamuacha mungu tufate mambo ya kidunia na ndyo hii ya sasa tunaona
Kujiinua na kusahau MUNGU alikomtoa mie tangu namjua Jenifer mgendi sijawahi kuona kajichafulia jina kama Hawa wengine wanaojiinua
@@AnethSwila-tw9mv Jennifer mgendi yeye ametulia na anajuwa ni nn anafanya siyo kama awa viruka njia
Veajabu kama vijuku vyashetani
Sana binadamu wanabadilika kwà kweli shetani yupo kazini
Hongera Mtumwa Ubarikiweee
Kwa anastasia mukabwa nimestuka mnooooooo😂😂😂😂hv wanapatwa nann jmn hawa watumishi wa Mungu ALAFU WAKIAMBIWA UKWELI WANAKIMBILIA POLISI KM SHUSHO WALITAKIWA WAKIMBILIE KWA ROHOMTAKATIFU
Kaka paschal uimbaji wa nyimbo za injili sasaivi nibiashara za masrah Yao wenyewe, kuabudu Wala kusifu kwa Leo ni asilimia 20 tu imebaki.
sema mtumishi japo wengine awkuelewi ila iposiku watakuelewa tu endelea kusema na MUNGU wa mbinguni akulinde utokapo na uingiapo kwa jina la Yesu
Amen. Nakupenda sana na MUNGU akulinde na kukubariki
A man of God with no fear ❤️
MUNGU atusaidie sana wanawake tulio wengi sisi kibuli kimetutawala sana nakujiamini pamoja na tamaa Tunaomba mtuombee Watumishi
Ukweli Mimi nakuelewa ev casiani,Mungu azidi kukutetea zaidi najua unavita kubwa Sana lakini Mungu atakulinda Wala hatakuacha kamwe usiogope kuusema ukweli nyakati hizi za mwisho
Paschal uko sahihi kabisa hata Mimi nimeona hayo mavazi hayamuwakilishi Mungu kabisa
Nimeipenda, ukweli mtupu. Japo inaumaa. Mungu akulinde
Amina Mtumishi wa Bwana ubarikiwe mwenye masikio amesikia
UKIMUONA SASA HUYO BINTI YAKE ANAVOKAA UCHI MAPAJA NJE KILA SIKU ...BORA UMEMWAMBIA
Eeee! Yesu Kristo turehemu na uzao wetu 🙏
MUNGU akubaliki sana tunahitaji watu kama ninyi katika kizazi hiki.
Mungu tusaidie tusikengeuke Amen 🙏🙏
Saluti mpiga kinanda..unapooza utamu sana❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwaajili pascal upo sahihi Waimbaji badilikeni rudini mlivokuwa mwazo JAMANI heshima kanisa iwepo.mmmh
Asante sana nashukuru Mimi mungu wangu
Wenye kukuelewa ni wachache mno, lakini endelea kupiga injili mtumishi
Wewe nawe umekosa la kuhubiri ,huna mengine wewe mchungaji mzima huja haya,ivi unapo huburi na ww hujui pia ww kuna sadaka za hao malaya pia unakusanya.hukumu muachie mungu,unamuita mtu malaya wewe ya kwako huyaoni.hubiri neno na sio kushtumu watumishi.nyinyi ndio wale hamna yakuhubiri sasa munatafuta mambo yasiyokuwa na maana, yani utoke kwako tu ukamhubiri annastacia 😂😂😂😂😂una kazi basi
Mungu atuhurumie
Ni umalaya na freemason
ONYEKENI JAMANI MUDA UKIPITA WA KUONYWA MTAKUNYWEA KIKOMBE KIKIJAA.
uko sahihi kwa hili asante kwa ushairi
Biblia inasema nikimwambia mwanadamu utakufa na wewe usimwambie na mtu huyo akafa damu yake nitaitaka mikononi mwako lakini ukimwambia mtu huyo na asipokusikia damu yake itakuwa juu yake na wewe umenawa damu yake...... biblia inasema pia paza sauti usiache wambie watu wangu mwakosa yao
Hayo mavazi sio mazuri
Ina sikitisha kweli walinza kwa Roho wana elekiya kumaliza kwa mwili 😭😭😭😭😭😭😭
Acheni kuzoea maonyo kwa JINA LA YESU KRISTO.hii sio sauti ya paschal oh! Ni sauti ya mtu aliayae nyikani Tengenezeni jamani
Brother big up isee you difficut with other's.
Waibaji wa Injili wanawake Shetani anawatumia kueneza upotofu na ukahaba.Mioyo yao waimbaji wa Injili sasa inaelekea ubaya tu kila wakati.Basi wajaze kikombe cha uovu wao.
Endelea kupaza sauti Ev.Pascal mwenye masikio asikie na na asiye masikio asisikie. Ndiyo maana siku za Nuhu watu wachache waliookoka.
Huu ujumbe ulikuwa wake Mungu alimwambia avue hizo nguo yeye hakumsikia vizuri akazani wanamwambia Musa avue kiato.
Vueni hayo mavazi mkavae mavazi yanayo sitiri miili. Sisi ni nuru ya ulimwengu.
Yani naon kam nakuon moyon mwako ambavy unataman watu waijue kwer n waach dhamb man unahubili kwa hisia san mung akubariki n tutend mema
Kweli kabisa Mtumwa
Utafika mbinguni kama umechoka
Jamani binadamu tumehalibika
Wengi wameingia agano na mungu wao shetani ndiyo maana wanafanya mapenzi ya baba yao shetani,paza sauti mwenye maskio atasikia.
Kamanda wa Yesu💪
Naku support saaaaaaana kwa hilo kaka!
Ni mapepo muchafu inawaongoza awa 😭😭😭😭
samahani mweshimiwa nakupenda sana naomba mahubili yasiwe ya kusemezana maana wengine wana imani na watu hao samahani lakini mngu awe nawe
Huyu ni muhubiri lazima aseme ,unataka afiche nini?
AMINA
Aaah baba una kasheshe 😂😂😂 umetoka kwa Tony sasa kwa Anna twende mkuyuni kwa Tony utapata hiyo pesa😅
Kaka kwer huo ni umalaya tu
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, piga injili watu waokoke achia Mungu ahukumu
Kwel
Nakuombea kwa mungu akubarik xana kakaang uixhi umri mrefu ukimtangaza mungu, dunia imeixha maandiko yametimia, mollah wetu atunuxur juu ya haya Amina,,
Jifunze kuandika jina la MUNGU kwa herufi kubwa mungu ni miungu tafadhali Amen
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,
Hapo nimepata somo
kaka video haionyesh hapa nifanyeje
Hahahaha 🤣 Wachape Baba , Nitakua nachukua nafasi ya kukuombea
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Kweli Baba 👏👏👏
👏👏👏👏 kabisa baba
Sana Baba
Amen
Yani sijuwi tunakwenda wapi nyimbo za sasa hazina tofauti na za kidunia
Gog bless
Hapo nikweli kabisa
Huoo ni umalaya
Mhuuuuuh hatari
Hakuna aliye mkamilifu, badala ya kuhubiri dhambi mhubiri Yesu ndio suluhisho tosha!!!
Soma mandiko wewe
@@stevenkipara9310 Wewe soma kwanza, nyinyi ndio mafarisayo wa Leo.
@@estherbettyfavourupo nyuma sana soma biblia kilasku uku ukimuomba MUNGU loho mtakatifu atakuongoza kujua ulimwengu unaendaje 🙏
@@FestoJemsi-lr8pw Je wewe umekamilika? Hivi hayo ndio mahubiri ya jumapili? Mtu asimame kuhubiri Anastasia badala ya kuhubiri Kristo. Toa kwanza boriti Kwa jicho lako kisha utoe kibanzi Kwa jicho la mwengine.
Mungu aturehemu
AMEIN
❤️❤️
Wimbo wa zaidi ya miaka 10.ndio.munaongelea leo?Wajuaje kama watu wametubu na kubadilika usihukumu usije ukahukumiwa
Waaambie ukwel..pesa ndyo zimeaingia..
Huruma sana
Ukweli usemwe
Ongea yote mtumishi wa mungu
mungu ni miungu ndugu yangu soma bibilia yako kutoka mwanzo mbaka ufunuo wa Yohana ama soma Zaburi 81:9
Mmmmh yaani
Ni kahaba
God forgive us
Sielewi hao wadada wanamwimbia nani
TUSOMEE PALE PALIPOANDIKWA MALAYA.
Safi sana kaka piga kelele
Nauliza wakati bibilia inaandikwa kulikuwa na marazi au water walivaa ngozi tafadhali nijibu
Waaambie Tena na Tena kaka
Mtu akivaa kimin amtaki mtukivaa suruali amtaki mnataka vip ama unataka mtu avae nguo inaburuza chini mpaka anguke
Ndiyo
Heeeee n'a shangaaa tu
Hawa wa dada hata waume zao awaoni wivu ?? Wakezao wanatubaka ki hisia 🤔
Na waume zao wote ni maajenti wa kuzimu kwa hiyo wanakamilisha walichotumwa kufanya. Ila Yesu anawaona wasipotubu watashangaa watakaposiki ondokeni siwajui.
😂😅
Kabisa Malaya kwel kwel Tena Malaya la sodoma na gomora pepo lililovaa ubinadam
Wewe sio muhukumu wa haki,Tazama Familia yako maisha ya wenzio yatakunyonga,
Okoka
@@zionfahariofficial2057 huna neno pole MUNGU AKUSAIDIE soma biblia kilasku uku ukimuomba MUNGU AKUSAIDIE ufaham wako
Kwani wewe kutwa kusema wenzio kwani wewe umekamilika?
@@ZinjaLashes MUNGU AKUSAIDIE soma biblia kilasku uku ukimuomba MUNGU AKUSAIDIE
Na sisi ambao tumeajiriwa na makampuni tumewekewa sheria ni lazima tuvae sare za kazi na ni tishati na suruwali wake kwa waume kwa ujumla wanawake ambao tumeajiriwa na sekta ya polisi ama kampuni na tunava suruwali sote ni malaya?
😢hapo hamvai kwa hiari yenu kikubwa ni katika yake YALIYO katika uhuru wakoako mwenyewe
Kwani Daniel na wenzake walipopewa chakula Cha Mfalme Nebukadneza alifanya Nini? Kwa Nini ninyi wakristo hamuwezi kutetea Imani yenu? Ulishawahi kuona mwislamu akavuliwa ushungi hata kama Kuna Sheria?
Chagua njia moja maana Mungu anasema huliangalia Neno lake apate kulitimiza, kwahiyo sisi tunatakiwa kutii Neno la Mungu sio kutii maagizo ya wanadamu wokovu ni kuchagua.
Huu ni ukahaba.sodoma na gomola.
Ee kakanzu kako baba kameendandana na kakipala kako hako jamani.
Mbona mnaacha kuubiri injili mnaubiri watu ,,maisha y mtu yanakuhusi nn
Hiyo ndiyo injili