Mungu akubariki, nimepata kumwona mtumishi mwingine kutoka Congo anaitwa mtume Meshack yupo vizuri sana kuna clip alikutaja🔥🔥🔥. Mungu azidi kuwatumia watumishi tunaitaji mafundisho yenu kila wakati.
Ubarikiwe sana mtumishi,kwa kweli kama watumishi wangekuwa wanaubiri injili y ukweli kama ulivyo wewe kwa ukweli wengi tungekombolewa,lakini inatupa kazi kujua nabii wa uongo na nabii wa ukweli eeeh mwenyezi utuonekanie na uwanike hawa manabii wa uongo ili tuwatambue ili kujiepusha nao,bariki mtumishi wa mungu kwa mafundisho yako napendezwa kwa kweli roho wa mungu ako ndani yako
Mimi mwenyeji wa Malawi 🇲🇼 nipo Africa kusini ila nina fatiliya sana injiri yako, Mafundisho kusema ukweri nima zuri sana, I like the way you preaching. Manabii wanatabiri uwongo katika jina la Mungu. I agree with you 💯 Mtumishi wa Mungu
Amina kubwa .paza sauti yako mtumishi hata kwa talumbeta ,wambie makosa yao wapate kupona na nguvu na mitego ya ibilisi.wakishupaza shingo wewe hautadsiwa.barikiwa saana.
Mahubiri ya kuto kupepesa mdomo Wala jicho ili wanaojifanya hawasikii Basi ikiwezekana ujumbe upite Kama unatoboa sikio et. Hii Kweli NI INJILI YA SIKU ZA MWISHO. MTU AJIFANYE HASIKII, LAKINI ATASIKIA
MUNGU akutunze katika kumtumikia na azidi kukupa afya njema ibilisi asiwe na nafasi juu yako Wala katika family Ako nakufunika Kwa damu ya kristo YESU barikiwa sana
Shida ya wahubiri sikuhizi hawamuhubiri kristo ila wanapondana wenyewe kwa wenyewe,moombe mungu akuonyeshe wito wako kama kuna mtumishi wa mungu hafanyi sawa sio kazi yako,unaingilia kazi ya mungu.wacha sisi tunao hubiriwa tuchague Pumba na mchele.
Niliona Zumaridi anaamuru mapepo ya Mico Jackson yacheze ndani ya mtu ktk kanisa lake mtu huyu alicheza sana kama Mico Jackson na watu walifurahia sana nilkashangaa sana. Mungu atufungue macho tuone sawa sawa lasivyo wengi wanaenda Jehanam bila kujua.
Warumi 15:26 maana imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya watakatifu huko Yerusalemu walio maskini. 1 Wakorintho 16:1 Kwa habari ya ile changizo kwa ajili ya watakatifu, kama vile nilivyoamuru makanisa ya Galatia, nanyi fanyeni vivyo.
Au tufanye hivi...tusiwahusishe hawa aina ya kina Zumaridi na Ukristo....wala tuiwazungumzie kabisa since tunawapa umaarufu .Tuelekeze nguvu kwenye injili ya uponyaji wa kiroho.Amen
Aminasema ile kweli mtumishi ili watu wakijua kweli kupitia maandiko watakuwa huru na manabii wa uongo wataaibika Maana wanaandaa watu kuingia Jehanamu badala ya kuwafundisha habari njema ya wokovu kwa Yesu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila wewe utakuwa umemuona kbsaa 😅😅😅😅😅😅Na ndiyo karudi sasa nguvu za wanaomshangilia mmmmmh huwez amini kuwa alkuwa gerezani yaani watu kama viroboto kanisani kwake😂😂😂😂😂😂😂
Ushauri wangu mchungaji hubiri neno acha kufatilia maisha ya watu, neno la Mungu linasema vita na mapigano ya toka wapi? Si humu humu katka tamaa zenu?
Waombee acha maneno maneno tunataka mafundisho sio kila ck unatusimulia ya watu, hubilini neno muifanye kazi ya Mungu pasipo manung'uniko wala mashidano asiwepo mtu yoyote atasema sikusikia neno bwana ili utumishi wenu usiwe na lawama
Mungu akubariki, nimepata kumwona mtumishi mwingine kutoka Congo anaitwa mtume Meshack yupo vizuri sana kuna clip alikutaja🔥🔥🔥. Mungu azidi kuwatumia watumishi tunaitaji mafundisho yenu kila wakati.
Ubarikiwe sana mtumishi,kwa kweli kama watumishi wangekuwa wanaubiri injili y ukweli kama ulivyo wewe kwa ukweli wengi tungekombolewa,lakini inatupa kazi kujua nabii wa uongo na nabii wa ukweli eeeh mwenyezi utuonekanie na uwanike hawa manabii wa uongo ili tuwatambue ili kujiepusha nao,bariki mtumishi wa mungu kwa mafundisho yako napendezwa kwa kweli roho wa mungu ako ndani yako
Mimi mwenyeji wa Malawi 🇲🇼 nipo Africa kusini ila nina fatiliya sana injiri yako, Mafundisho kusema ukweri nima zuri sana, I like the way you preaching. Manabii wanatabiri uwongo katika jina la Mungu.
I agree with you 💯 Mtumishi wa Mungu
Anatufundisha mengi sana japo tumwombee maana vita ni kubwa
Barikiwa mno ,Ahsante Mungu kwa kumtuma Mtumishi wako Cassian Kuziokoa nafsi zetu.
Amen Amen kaka yangu, ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu hakika umetumwa na Mungu utuokoe
Amina kubwa .paza sauti yako mtumishi hata kwa talumbeta ,wambie makosa yao wapate kupona na nguvu na mitego ya ibilisi.wakishupaza shingo wewe hautadsiwa.barikiwa saana.
Mahubiri ya kuto kupepesa mdomo Wala jicho ili wanaojifanya hawasikii Basi ikiwezekana ujumbe upite Kama unatoboa sikio et. Hii Kweli NI INJILI YA SIKU ZA MWISHO. MTU AJIFANYE HASIKII, LAKINI ATASIKIA
Eeeh Yesu kristo kwa uweza wa nguvu ya Roho mtatifu wigo wako umfunike mtumishi huyu lil azid kutupa kweli nayo kweli ituweke huru. Amen
GOD is with you Ev Cassian people of GOD will be free throw your preeching so I pray to our lord Jesus Christ of Nazareth to protect you Amen
Amina mtumish wa Mungu,tuko pamoja na usichoke kusema kweli,waambie Ila ile CK ikifka wasiseme hawakuambiwa,barikiwa sana
Ukweli hujitenga na haukosi pingamizi. Be blessed a man of God.
Ameni ubalikiwe pia Kuna Chanel inaitwa TENGWA tv mafundisho yenu ni Moto Yana roho wa mungu naombeni Wana wa mungu tufuatilie nakuyashika moyoni Amen
Ubarikiwe sana pastor Pascal upo sahihi. SEMA kweli mpaka mwisho wa uhai wako
Aminaaaa Mtumishi wa MUNGU alie hai! Sema tupate kupona , YESU Kristo akupe maisha malefu Sana
MUNGU akutunze katika kumtumikia na azidi kukupa afya njema ibilisi asiwe na nafasi juu yako Wala katika family Ako nakufunika Kwa damu ya kristo YESU barikiwa sana
Shida ya wahubiri sikuhizi hawamuhubiri kristo ila wanapondana wenyewe kwa wenyewe,moombe mungu akuonyeshe wito wako kama kuna mtumishi wa mungu hafanyi sawa sio kazi yako,unaingilia kazi ya mungu.wacha sisi tunao hubiriwa tuchague Pumba na mchele.
Niliona Zumaridi anaamuru mapepo ya Mico Jackson yacheze ndani ya mtu ktk kanisa lake mtu huyu alicheza sana kama Mico Jackson na watu walifurahia sana nilkashangaa sana. Mungu atufungue macho tuone sawa sawa lasivyo wengi wanaenda Jehanam bila kujua.
Kweliiiiiii kweli mungu atufungue macho ya kiroho tupate kumbuka yeye zaidi na kimtegemea
Watanzania ndo mwaka unga huwo,Kenya haiwezekani shetani mtu atawale
Wana wa MUNGU ALIYEHAI
Tulisome sana Neno la MUNGU ALIYEHAI tukifudishwa na ROHO MTAKATIFU na MUNGU MWENYEZI ALIYEHAI atusaidie 🙏🏾
Ata mimi niliiona iyo😫nilisikitika sana
Ile ilikuwa ni maonyesho ya show tu hamna lolote pale yule kijana alilipwa akacheze na wajinga wakashangilia yaani ni usanii mtupu
Barikiwa sana paschal Mungu akubariki mno na akurehem
Mungu akutie nguvu na kukulinda mtumishi
Ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu
Piga kelele mtumishi wa MUNGU,DAMU ya YESU KRISTO ikufunike
.pastor. slmbeye.toka.mbeya.yesu.akubariki
Mungu akubariki kassian mtumishi wa mungu umenena vyema kiukweli huyu mama anamtumikia Ibilisi na sio mungu ninae mjua
Amen tukazane kuomba ubarikiwe mtumishi
Amém, glória á Senhor Deus.
Mungu akubalik mtumishi wa mungu mungu anisamee mm nilud shamban mwake
Mungu akubariki sanaa mtumishi na akulinde pia najua umetangaza vita Kali!mkono wa BWANA UWE JUU YAKO
Barikiwa sana mtumishi..lakini usiite pesa yeyote inayotolewa KWAAJILI ya kazi ya Mungu changizo Bali ni sadaka
Warumi 15:26
maana imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya watakatifu huko Yerusalemu walio maskini.
1 Wakorintho 16:1
Kwa habari ya ile changizo kwa ajili ya watakatifu, kama vile nilivyoamuru makanisa ya Galatia, nanyi fanyeni vivyo.
Mungu tuu ndiye kimbilio ..dunia imelewa na kuharibika .Yesu rudi upesi
Sema Mtumishi wa MUNGU YESU Kristo yuko pamoja na wew
Amina mtumishi sema tumepone Mwenyenzi Mungu akutunze na kukulinada
Amen. Dunia imefika mwishoni
Au tufanye hivi...tusiwahusishe hawa aina ya kina Zumaridi na Ukristo....wala tuiwazungumzie kabisa since tunawapa umaarufu .Tuelekeze nguvu kwenye injili ya uponyaji wa kiroho.Amen
Watching from kenya napenda mfndisho yko, speak the truth to ashamed the devil 👿👿👿 God protect u for that naked truth.
Alikuwa anauza kibanda Buhongwa sakoni inavyosemekana Sema kweli mtumishi mwenye macho haambiw taxama
Mungu akulinde Pascal usiache kufungua akili za watu mwenye masikio na asikie
Wewe ni malaika kutoka mbinguni ubarikiwe sana mungu AKULINDE ila kuna kipengele ulihubiri khs mambambo ya wanawake ni dhambi hapo Cjaelewa bado
Barikiwa mtumishi, Mungu akutunze.. maombi yako kwetu tunahitaji kumjua Mungu kweli
Amen Mungu akutunze sana mtumishi wa Mungu 🙏😭
Nakufuatilia vizur San kutoka Canada 🙏🇨🇦🇨🇦 Mungu akubariki
Amina
Amina mtumishi wa Mungu.Mungu azidi kukubariki na kukupigania
Amen mtumishi wa Mungu napenda sana mafundisho yako yananibariki sana
Mungu aendelee kuku tia nguvu nyingi sana ili kweli yake iendelee kusimama
Mungu akubariki na ninamuomba Mungu anipe upako kama wako wa kusema ukweli naninamuomba Mungu anisikie
Be blessed man of God ukweli usemewa
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, umetufunza na kujua ukweli Mungu azidi kukulinda.
Mtumishi wa MUNGU mwinjilisti Paschal Cassian MUNGU azidi kukujalia nguvu zake.
Amen 🙏 barikiwa sana mtumish wa mungu
Mungu akubariki kwakusemaukweli
Aminasema ile kweli mtumishi ili watu wakijua kweli kupitia maandiko watakuwa huru na manabii wa uongo wataaibika
Maana wanaandaa watu kuingia Jehanamu badala ya kuwafundisha habari njema ya wokovu kwa Yesu
Nakukubali mtumishi wa Mungu aliye Hai. Mungu aendelee kukutunza
Amina mtumishi Mungu akutunnze
Mungu abalik kazi ya imani yako
Amen Amen Mtumishi wa Mungu
Hakika mwenyezi mungu asimame nawewe wakati wote utoapo huduma hii ya kuwafungua watu kiroho
Mtumish mungu akubaliki sana
Ubarikiwe kwaajili ya ufunuo ubarikiwe sanaa tena na sanaa.
Mungu akushike kwa mkono wake
Amen ubarikiwe mtumishi wa mungu
Mtumishi, Sema Ukweli , tuepuke watumishivwa uongo. Amen
Mungu akubariki sana mtumishi
AMEEN
Mnaweza mkadhani yupo jela kumbe yupo kuzimu anapewa kozi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila wewe utakuwa umemuona kbsaa 😅😅😅😅😅😅Na ndiyo karudi sasa nguvu za wanaomshangilia mmmmmh huwez amini kuwa alkuwa gerezani yaani watu kama viroboto kanisani kwake😂😂😂😂😂😂😂
Asante sana kwa ujumbe wa kuwa na Hekima,kutujulisha ujanja wa shetani
Mungu akurinde namitego yamwovu
Kunabaki miujiza miili Yesu kristo aliye sema ya kupoteza wa fuasi wa Yesu kristo sikiliza:
Damu ya Yesu inanena mema
Kwakweli mutumishi wamungu. Umetumwa usaidie watu wamungu kabisa 🙏 ubarikiwe sana na ulindwe kwa damu ya yesu kristo 🙏🙏
Amen,mwanzo nilikua sijakuelwa lkn sasa nafwatilia mahubiri yako
Amen mungu akubariki sana
Amen - kweli itatuweka huru- Mungu akulinde
Amina
ubarikiwe sana tu mtumishi wa mungu
Ubarikiwe mtumish wa Mungu
Ahsante mtu wa Mungu TUTAMSAMBARATISHA KAMA SIMONI MCHAWI✍️
Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu na Mungu akutunze kwajili ya taifa letu na watu Kwa ujumla
@@ruthjemson4386 amen
Amina Sana Baba 🙏❤
Amen mungu akubarki mtumishi wa mingu
Ubarikiwe sana mtumishi. Endelea kusema kweli....nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi! Hakuna kuremba! Huyu mama ni shetani mkubwa!
Ushauri wangu mchungaji hubiri neno acha kufatilia maisha ya watu, neno la Mungu linasema vita na mapigano ya toka wapi? Si humu humu katka tamaa zenu?
🤝 jambo mutu michi aku jidisie nguvu apa ni mu congo stephano
Neno la Mungu Linatutazarisha,mukiyaona ayo musiyakubali
Mungu akubalik 🙏 san ten xan
MUNGU TUREHEMU 😓😓😢😢🙏🙏🙏
Asante mtumishi unanishtua baba
Aminaaaa sanaaaa nakukubali sana mtumishiiii
Amina mtumishi wa Mungu
MUNGU akubariki mtumishi.
Ubarikiwe sana mtumishi
Mungu akubariki sana Mtumishi
Amina mtumishi barikiwa
Amen Amen powerful message
Mungu aturehemu tuwe na macho ya rohoni .....nilimuota zumadi yupo pembeni mwa mto anapika kwa kutmia kuni...ila upande wa mwili anamagamba ya yoka
Mtumishi ubarikiwe sana,lakini, vipi yule moto Eunice kutoka wilaya Roria tz
Wacha Mungu atende makuu juu ya maisha yetu, atuongoze kwenye njia zake tuweze kumgeukia tutoke kwenye Giza...
Mungu akulinde na alicho kiweka ndani yako kizid kukilinda na kutuonya ili tupone
Mungu akutunze BABA
Mungu akubariki mtumishi unapotuamsha kiimani
Mungu aturehemu dunia imekwishaaaa😭😭
Tuambie tupone Mungu akulinde daima
Zumaridi ni shetani kama ulivosema mtumishi Na MUNGU wa mbinguni akulinde kaka Cassian.
Amen amen amen mtumishi
Mungu akubaliki
Waombee acha maneno maneno tunataka mafundisho sio kila ck unatusimulia ya watu, hubilini neno muifanye kazi ya Mungu pasipo manung'uniko wala mashidano asiwepo mtu yoyote atasema sikusikia neno bwana ili utumishi wenu usiwe na lawama