Kwa mapenzi yako Mungu, naomba kuisikia sauti itokayo kwako na kutazama neno lako kwa kulisoma na kulitafakari zaidi kiroho. Nisije nikatekwa na mkumbo wa dunia ulivyo sasa.
Asante mtumishi kwa kufichua siri hizi za kishetani.. Mungu wa Mbinguni awe pamoja nawe siku zote akutie nguvu zaidi nyakati hizi za mwisho. Mungu aturehemu sana maana kupitia kusikia makanisa yashakamatwa na badala ya kujazwa Roho mtakatifu wanajazwa roho za mapepo.
Mikumbo yashetani haiepukiki kwakizazi tunaoishi sasa hivi maanatunapenda raha namaishabora bilakujishugulisha nakazizamikonoyetu kamatulivyotakiwa naMungu.
Kwa mapenzi yako Mungu, naomba kuisikia sauti itokayo kwako na kutazama neno lako kwa kulisoma na kulitafakari zaidi kiroho. Nisije nikatekwa na mkumbo wa dunia ulivyo sasa.
Asante mtumishi kwa kufichua siri hizi za kishetani.. Mungu wa Mbinguni awe pamoja nawe siku zote akutie nguvu zaidi nyakati hizi za mwisho.
Mungu aturehemu sana maana kupitia kusikia makanisa yashakamatwa na badala ya kujazwa Roho mtakatifu wanajazwa roho za mapepo.
Kweli kabisa Dunia Iko ukingoni.ubarikiwe Sana kaka yangu
Mungu akupe maisha maref mtumishi ili kweli iwafikie wengi
Mungu akulinde sana mtumishi wetu
Amina kubwa, Mtumishi Mungu akubariki
Ubarikie Sana mtumishe
Amen ubarikiwe.
Amém
Mmmh!! Tunaangamia kwa kukosa uwelewa
amen amen
Ukweli mtupu Evng Paschal
Mikumbo yashetani haiepukiki kwakizazi tunaoishi sasa hivi maanatunapenda raha namaishabora bilakujishugulisha nakazizamikonoyetu kamatulivyotakiwa naMungu.
Ubarikiw sana mtumishi hata ni kizisikiliza nyombo zako tu na barikiwa!