Haya yote unayosema Ni kweli Mtumishi, Mipango yote ipo tayari, tunamshukuru Mungu kukupa nafas ya kuyasema, nataman upate kibali uzungukie makanisa yote ,ukiamsha wakristo,haya Mambo sio kila mtu ana ujasiri wa kusema,tumebaki kuhubiriwa mafanikio tu,nakusaulishwa majira ya mavuno yapo mlangoni...Yesu Kristo tusaidie.
Ubarikiwe kwa ujumbe huu! Hii ni kweli dini ishkwisha pitishwa inaitwa 'CHRISTISLAM' Ambapo ni dini tu hakuna kuomba ni kutembea kama wafu maana bila Roho Mtakatifu tu wafu... Bali kwa uweza wa Mungu walio wake aliowatia muhuri wake tokea kuubwa kwa ulimwengu hawatapotea Mungu atawasaidia... Aliye na masikio asikie ujumbe huu maana ni kweli
@adkajisi4536 Inaitwa CHRISLAM nilikosea... mambo haya pope alianzia 2016... na wachungaji wengi wamesign bila kujua wanachokifanya.... Abraham accord signed walikuwa na mjengo na sasa wachamaliza kujenga in Abu Dhabi . Kama unataka kujua zaidi ingia utube search CHRISLAM utaona maajabu.
@@adkajisi4536 Abu Dhabi in (UAE) UNITED ARAB EMIRATES... ukweli unajulikana wana wa Mungu wa kweli wapo macho maana hakuna jambo linalotendeka bila Yesu kuwafunulia watoto wake. Wakati ni huu wakutegeneza na Bwana.. muda umeisha
Vizur pr Mungu azidi kukufunulia zaidi . Ufunuo wa Yohana 14:12 [12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu. Ufunuo wa Yohana 12:17 [17]Joka akamkasirikia yule mwanamke, akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu; naye akasimama juu ya mchanga wa bahari. MAmbo hayo mawili ndio joka anavita nayo Kama huna hayo ujue hauna xhida na shetani. Tusome biblia. Daniel 7:25 Danieli 7:25 [25]Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Joka/ mnyama alibadili Sheria/AMRI za Mungu
Amina hii ndyo injili ya agano la kale na jipya injili ya umilele bwana ameinua mawe na milima inaongea malanathaaaaa yesu anakuja hata waliopewa ujumbe wanaogopa
Changamoto za mke wako zisiruhishe wewe kama mume badala ya kusuruhisha na kuongelea mke wa jirani unaonekana kapumbavu fulani ivii huna elimu ya Theology ni utoporo tupu, ulikua freemason ni wapi umeomba msamaha au kutubu?????
Sasa wewe unatafuta washirika ukiaribia kanisa lingine uuuuuuuiiiii kanisa halipeleki mtu mbinguni bali imani kumbuka wakatoliki hatuna time ya kuongelea dini zingine .wewe kwanza angalia kwa mkono wako utaiona nyundo
MUNGU Tunusuru ,"bas Kwa Mti tujifunze Tawi lake likichipua kutambua majan yake wakt wa mavuno u karb. Alisema myaonapo hayo yote changamken inueni hayo macho yenu wokovu wenu I karbuuuuuu
Mahubiri Gani hayo huyo papa unamtafuta nini shauri yako sijawahi haya siku Moja Padre anahubiri dini za wengine fuata yako isije ukamudhi muumba Kila neno unalosema siku ya mwisho utatolea hesabu😂😂😂😂😂
Ukichunguza kwa kina! Hata uislamu ulianzishwa na wakatoriki, kwa mujibu wa kina ndani ya bibilia, mpinga kristo ni papa, na nabii wake wa uongo ni muhamadi, japo waislamu ni wabishi kupindukia, na hawaamini hilo kabisa. UKRISTO wa kweli ni pentecost ile ya roho mtakatifu hadi sasa.
Huyu anayehubiri nae ni wivu tuu umemjaa. Asche upimbi tafuta wajinga wenzio. Wafuadi hawatafutwi kwa kuchafua wengine kumbuka hata mababu na mababu walikuwa kama wewre lakini kanisa katoliki daima lipo nalitendelea kuwepo kwani lina umoja.
Duuuu Injili za mihemko Kama hizi hazifikagi mbali.wasii watu waache dhambi wasiyumbishwe Na kitu chochote haijarishi utatishwa kuuawa.sasa wewee ni kutisha watu hoo mtakufa kwani kunamtu hatakufa.kikubwa ni kujiandaa.ili kifo kikawe faida kwetu bila kujarisha utakufaje
@@HAYABOYTV1 ata kuwa Mungu mwenyewe maana nilikuwa na msumbua katekista aliye tufundisha mafundisho ya kipaimala ,kwann hapa hamuubiri Kama makanisa ya kilokole na kwaya nilikuwa naimba ,mda ulifika need litoka,mpaka Sasa natamani nichungwe na muhubiri atakaye nisaidia nifike mbinguni ,nauwa na zingatia Sana Kama naabudu sehemu sahihi
@@HAYABOYTV1 ata kuwa Mungu mwenyewe maana nilikuwa na msumbua katekista aliye tufundisha mafundisho ya kipaimala ,kwann hapa hamuubiri Kama makanisa ya kilokole na kwaya nilikuwa naimba ,mda ulifika need litoka,mpaka Sasa natamani nichungwe na muhubiri atakaye nisaidia nifike mbinguni ,nauwa na zingatia Sana Kama naabudu sehemu sahihi
MUNGU Akulinde na akubark Kwa ujumbe safi endelea kupaza saut watu wapate kuisikia kweli na hababar njema zienee duniani kote
INjili ya kweli haipendwi😢ehee Mungu tusaidie wengi wetu nivipofu wa kiroho 😭😭😭😭ongeza volume cassian mtumishi wa yesu Christo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Haya yote unayosema Ni kweli Mtumishi, Mipango yote ipo tayari, tunamshukuru Mungu kukupa nafas ya kuyasema, nataman upate kibali uzungukie makanisa yote ,ukiamsha wakristo,haya Mambo sio kila mtu ana ujasiri wa kusema,tumebaki kuhubiriwa mafanikio tu,nakusaulishwa majira ya mavuno yapo mlangoni...Yesu Kristo tusaidie.
Ni kweli usipingika tumwamini Yesu
Tuombe sana nguvu za Mungu Roho Mtakatifu atujaze nyakati za hatari tunaziishi sasa, ubarikiwe sana muhubiri Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO.
Ubarikiwe kwa ujumbe huu! Hii ni kweli dini ishkwisha pitishwa inaitwa 'CHRISTISLAM' Ambapo ni dini tu hakuna kuomba ni kutembea kama wafu maana bila Roho Mtakatifu tu wafu...
Bali kwa uweza wa Mungu walio wake aliowatia muhuri wake tokea kuubwa kwa ulimwengu hawatapotea Mungu atawasaidia... Aliye na masikio asikie ujumbe huu maana ni kweli
Thibitisha kauli yako
@adkajisi4536 Inaitwa CHRISLAM nilikosea... mambo haya pope alianzia 2016... na wachungaji wengi wamesign bila kujua wanachokifanya.... Abraham accord signed walikuwa na mjengo na sasa wachamaliza kujenga in Abu Dhabi . Kama unataka kujua zaidi ingia utube search CHRISLAM utaona maajabu.
@@adkajisi4536 Abu Dhabi in (UAE) UNITED ARAB EMIRATES... ukweli unajulikana wana wa Mungu wa kweli wapo macho maana hakuna jambo linalotendeka bila Yesu kuwafunulia watoto wake. Wakati ni huu wakutegeneza na Bwana.. muda umeisha
Mungu turehemu kwa hizi nyakati.
Mungu awe nawe daima , SEMA na huo ndo ukweli watu waache kuhubiri mafanikio tu Bali ukweli kuhusu union Wa Yesu
Mungu akulinde malipote Wendapo mtumishi wa bwana
kweli kabisa ubarikiwe mtumishi walimtesa Yesu na mpk leo wanawatia watu wao mioyo migumu ya kutokumuelewa Yesu wanaaminishwa uongo wa kuabudu sanamu
Mungu atujaze roho mtakatifu siku za mateso zimewadia
Ubarikiww mtu wa mungu sema ukweli watu tupone
Tunakuombea mtumishi wa Mungu songo mbele
Thank you so much for preaching good news pastor be protected by the blood of Jesus Christ
Hii ndio injili tumechoka kusikia mazingaumbwe. Na sarakasi makanisani.
Vizur pr
Mungu azidi kukufunulia zaidi .
Ufunuo wa Yohana 14:12
[12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.
Ufunuo wa Yohana 12:17
[17]Joka akamkasirikia yule mwanamke, akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu; naye akasimama juu ya mchanga wa bahari.
MAmbo hayo mawili ndio joka anavita nayo
Kama huna hayo ujue hauna xhida na shetani.
Tusome biblia.
Daniel 7:25
Danieli 7:25
[25]Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
Joka/ mnyama alibadili Sheria/AMRI za Mungu
haya mahubiri ni adimu sana ila Mungu yumwema anazidi kuwatumia watu wake Ili tujue nyakati tulizonazo
Amina hii ndyo injili ya agano la kale na jipya injili ya umilele bwana ameinua mawe na milima inaongea malanathaaaaa yesu anakuja hata waliopewa ujumbe wanaogopa
Aiseeee mungu atusaidie
Eee Mungu tupe mwisho mwema
Mungu akutie nguvu mtumishi wa bwna
Mwenye sikio na asikie...ambayo mtumishi wa Mungu aliambia kanisa
Cassian mungu akubariki mtumishi
Uko sahihi kabisa pastor
Hii dunia kilicho baki nikila mtu aamin anavyojua yeye kwa maana ukigeuka uku wanasema ivi kule ivi sasa tufate nini au nani mh kilamtu afate yake
MUNGU TUSAIDIE Hizi ninyakati za mwisho hakika
❤❤❤❤ amen
Pascal ni ukweli unaohubiri pia nyimbo zangu nazitumia sana kusambaza ujumbe....
Mungu akutie nguvu
Asante yesu
Mungu tupe mwisho mwema
Eee mungu tuhurumie
Weeeeehhhh!!! Mungu tusaidie
Dada ubarikiwe pia mungu akutunze
Tumwombe MUNGU rehema ili siku ukifika tuwe Safi yasitupate mabaya MUNGU atusaidie
Mungu atusaidie
Mtumishi mawasiliano yako ni muhim sana
Unaweza kumshabikia huyu. Lakini anachoongea Kina upotoshaji mwingi. Hata Maandiko yanatafasiriwa kwa namna ya maoni binafsi.
Changamoto za mke wako zisiruhishe wewe kama mume badala ya kusuruhisha na kuongelea mke wa jirani unaonekana kapumbavu fulani ivii huna elimu ya Theology ni utoporo tupu, ulikua freemason ni wapi umeomba msamaha au kutubu?????
Barikiwa saana
Yemweee Ee MUNGU tusaidie hali ni mbaya
Amen
Ameeeen
Sasa wewe unatafuta washirika ukiaribia kanisa lingine uuuuuuuiiiii kanisa halipeleki mtu mbinguni bali imani kumbuka wakatoliki hatuna time ya kuongelea dini zingine .wewe kwanza angalia kwa mkono wako utaiona nyundo
Mungu tusaidie kwa kweli pekeetu hatuezi
Ni kweli
Unasema ukweli mateso yaja lakini Yesu atatujaza nguvu za kukili
Ubarikiwe
Mahubiri mazuri yamenibariki bwana na azidi kukutumia
Si ya kweli bibiliasiyo hivyo
Sasa tufanyeje mkuu
Katoliki hakuna siku watahubiri kwa church ingine
Hatuna wakati wa kuhubiri juu ya kanisa lingine bali tuhubiri habari ya wokovu mimi ni mkatoliki original
uhongo
We nawe ni Kapavu tu!!! unaelewa nini????
MUNGU Tunusuru ,"bas Kwa Mti tujifunze Tawi lake likichipua kutambua majan yake wakt wa mavuno u karb. Alisema myaonapo hayo yote changamken inueni hayo macho yenu wokovu wenu I karbuuuuuu
Mahubiri Gani hayo huyo papa unamtafuta nini shauri yako sijawahi haya siku Moja Padre anahubiri dini za wengine fuata yako isije ukamudhi muumba Kila neno unalosema siku ya mwisho utatolea hesabu😂😂😂😂😂
😭😭🙆
Wewe hubiri hiyo chekechea yako mpuuzi tu
Huyujamaa anamalengo gani?? mbona munapenda sana vurugu duniani eemungu tusaidiye utuepushe nawatu wenyeroho mbaya wabinafusi nyeewakristu msipojitazamavizuri mtajikuta waislm wametawala dunianzima ndipo mtalia nakusagameno wakristo
Ukiona mtu anahubiri juu ya dini fulani huyo hajielewi
Ukichunguza kwa kina! Hata uislamu ulianzishwa na wakatoriki, kwa mujibu wa kina ndani ya bibilia, mpinga kristo ni papa, na nabii wake wa uongo ni muhamadi, japo waislamu ni wabishi kupindukia, na hawaamini hilo kabisa. UKRISTO wa kweli ni pentecost ile ya roho mtakatifu hadi sasa.
Uposahihi lakini Akija msabato mtapingana na uchunguzi wako , apo ndipo utakapo jua yakua ulimwengu huu kila mtu nimjuaj
Usipende kuongee usilo na elimu nalo...
Kama niunabii wewe unauwezo wakusimika unabiimwingine kutokakwaMunguyupi?tusaidie.
Huyu anayehubiri nae ni wivu tuu umemjaa. Asche upimbi tafuta wajinga wenzio. Wafuadi hawatafutwi kwa kuchafua wengine kumbuka hata mababu na mababu walikuwa kama wewre lakini kanisa katoliki daima lipo nalitendelea kuwepo kwani lina umoja.
Duuuu Injili za mihemko Kama hizi hazifikagi mbali.wasii watu waache dhambi wasiyumbishwe Na kitu chochote haijarishi utatishwa kuuawa.sasa wewee ni kutisha watu hoo mtakufa kwani kunamtu hatakufa.kikubwa ni kujiandaa.ili kifo kikawe faida kwetu bila kujarisha utakufaje
Point
Pointless
Shida watu wakristo bandia hawawezi jua mambo ya ufunuo maana sio ya kidini ni ya kinabii ya Kutoka kwa Mungu
Mmmh🥹🥹🥹. Papa ameingiaje ?????.
Kamsome ufunuo alitabiriwa
Na sijawai muona anahubiri utoto wng adi ukubwa huu ,zaidi ya kufanya ziara Mimi nilikuwa Roma nimetoka
@@janethmwihumbo1289 kilichokutoa ni Nini???
@@HAYABOYTV1 ata kuwa Mungu mwenyewe maana nilikuwa na msumbua katekista aliye tufundisha mafundisho ya kipaimala ,kwann hapa hamuubiri Kama makanisa ya kilokole na kwaya nilikuwa naimba ,mda ulifika need litoka,mpaka Sasa natamani nichungwe na muhubiri atakaye nisaidia nifike mbinguni ,nauwa na zingatia Sana Kama naabudu sehemu sahihi
@@HAYABOYTV1 ata kuwa Mungu mwenyewe maana nilikuwa na msumbua katekista aliye tufundisha mafundisho ya kipaimala ,kwann hapa hamuubiri Kama makanisa ya kilokole na kwaya nilikuwa naimba ,mda ulifika need litoka,mpaka Sasa natamani nichungwe na muhubiri atakaye nisaidia nifike mbinguni ,nauwa na zingatia Sana Kama naabudu sehemu sahihi
Hujui kitu wewe.
Aiseeee mungu atusaidie