Wana heri hao wazishikao amri za Mungu... Sikieni mafundisho, mpate hekima, wala msiikatae. Wachungaji wote wa kenya ujumbe ndio huo, Mungu ametumana kwenu... na msikatae. Kanisa za Town kenya karibia zote watumishi wanatumiwa na ibilisi.... Amen Amen 🙏 mtumishi Umepata kibali kwa Bwana....Ni hekima ya Mungu inayokuongoza ni wewe tu mwenye ufahamu wa kweli. Zidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote. Ukijua kazi yako si ya bure, haijalishi jinsi kazi yako inyoonekana kuwa ngumu au isiyo na maana kwa wasioamini Mungu, ina maana kwa Mungu. Kwa sababu inamletea utukufu, na kwa sababu hiyo si bure. Mungu azidi kukuinua from glory to another... Mungu ako pamoja
🇰🇪God I in Jesus name I ask for forgiveness for all defilement in the church and believers, we have sinned as a Nation we humbly ask for your mercy. we are sorry Lord Jesus 😭😭😭
Hii ni huzuni kweli wakenya turudi kwa magoti tuombe rehema kwa Mungu.Tuliombee taifa letu nimekuwa chukizo kwa Mungu.Matengenezo !matengenezo!matengenezooooooo!!!!!
😭😭😢🙏 Mungu naomba utusamehe mana kweli tumemuacha Mungu wakenya kama kunae mtu anampenda Mungu akiona clip za huyu mtumishi aezi pita au kumaliza siku bila kutazama huyu mtumishi 😭
This is very true evangelist Cassian, may God continue blessing you. Let him hear this voice to have his own decision later. Either to change for God or remain threr & known to be a false pastor. Very abusive false pastor ng'ang'a. Supporting from Kenya.😢
Mtumishi wa Mungu Pascal ongeza volume coz uko hundred pasent nimeishi apa u ni mwak 13 sijaipata watumishi wanosema ukweli an that's why niliacha kwenda church nikikuja home ndio mi huendal kanisa naishi uku tu sababu ya watoto other wise 😢
Nyanyua sim upate hela itoke wp fanya kazi tuacheni mafundiso yasiofaa mafundisho mema haya hapa mtazame huyu mtumishi upone kiroho kimwili hata kiafia barikiwa sana mtumishi wa mungu
Shetani amewateka wengi,muone vile alivyo na bado anawashiriki kwa hili kanisa jamani, watu wamepotea 😢 mungu atuhurumie na atuletee watumishi wake wa ukweli mungu atuhurumie ,mtumishi wa mungu mimi hapa nimeshindwa hata kenda kanisani
Mimi pia ni mkenya lakini nakubaliana na wewe, Kenya churchs ni kama maduka ya kulevya,ata heri mlevi kuliko kanisa lililoko Kenya,haswa sana kwenye mji mkuu Nairobi
Ni kweli tunapaswa kujiweka tayari kusoma Neno la Mungu nakuzijaribu hizi roho ziko wazi kabisa sijui ni nini kinacho wafanya kwenda kwa huyu mtu Eee BWANA YESU tupd kushinda Kila jaribu
Obaba wa mbingun mlinde mchugaji pascal,damu yake ilio mwagika pale msalaban ikakufunike wewe na familia yako,na mapigo Yao wanayo kupiga nayo yakashindwe nayakawarudie wenyewe
Siyo wachungaji tu hata waimbaji wa nyimbo za injili wa kenya mimi huwa siwaelewi mfano ringtone,bahati,willy paul na huyu aliyeimba unipanye uzima anasuka rasta au diledi wanawake wanavaa suruali za kubana sasa najifukilia hivi hawa kweli wameokoka?
Barikiwa sana nakubaliana nawe kabsa ju hta akisikia hii habari hile matusi ataachilia utashagaa na anajiita pastor. I surpot you, from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very true dunia imeisha shetani ametawala ,nikumuweka Mungu mbele hili atuonyeshe njia kamilifu,be blessed 🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wacha nihubiri nawe kwa njia hii ya kidole kwa wakenya wenzangu. Huu ni ukweli. Wakenya tuamke,😢😢😢 tumelala sana.
Wana heri hao wazishikao amri za Mungu...
Sikieni mafundisho, mpate hekima, wala msiikatae. Wachungaji wote wa kenya ujumbe ndio huo, Mungu ametumana kwenu... na msikatae.
Kanisa za Town kenya karibia zote watumishi wanatumiwa na ibilisi....
Amen Amen 🙏 mtumishi Umepata kibali kwa Bwana....Ni hekima ya Mungu inayokuongoza ni wewe tu mwenye ufahamu wa kweli.
Zidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote. Ukijua kazi yako si ya bure, haijalishi jinsi kazi yako inyoonekana kuwa ngumu au isiyo na maana kwa wasioamini Mungu, ina maana kwa Mungu. Kwa sababu inamletea utukufu, na kwa sababu hiyo si bure. Mungu azidi kukuinua from glory to another... Mungu ako pamoja
🇰🇪 Asante kwa ujumbe huu wa kweli.Wakenya wawe waangalifu.Hapa kina Ng'ang'a ni wengi
🇰🇪God I in Jesus name I ask for forgiveness for all defilement in the church and believers, we have sinned as a Nation we humbly ask for your mercy. we are sorry Lord Jesus 😭😭😭
Napenda unavyo ongea ukwel,,naomba mungu akutie nguvu na akupiganie kw kila njia na alinde familia yako
Wakenya tumefamiwa jameni
Mungu tulehemu nikubaya sasa
Ukweli mtupu
Be blessed pastor.
Very good man of God this is true story kabisa wambie wawache upuzi warudie bwana YESU 🇰🇪😭😭😭
Anamtusi fala na ng'ombe, Asante sana Pastor Mungu akutie nguvu 🙏🙏🙏
Hongera.. Mtumishi..passical cassian huku Kenya matapeli dio wengi.
Barikiwa sana mtumishi... Mafunzo yako yananiwezesha kuepuka mengi sana. Mungu akulinde kila wkt.🇰🇪🇰🇪
Amen, amen Mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana tena saaaaaaana kwa mafunuo hayo, Mungu azidi kukulinda kwa kazi yako ya Injili kwa kuwaokoa watu
Paster wajungaji wengi Kenya ni mapepo tupu wambie ukweri usiwabebeleze 🇰🇪🇰🇪
Saana n wengi, ad tym niliona et Rose mhando amekuja kuombewa nae, hapo ndo nilijua ukweli kumbe Rose na ng'ang'a wanacheza kimoja
Ww ukona utafiti ngani,??? Fanya utafiti ujue Kenya iko mbele sana
Mungu akutie nguvu Akulinde , akutunze , Mahubiri yako yanatuponya wengi sana Ubarikiwe Aminaa #@passical cassian
Hii ni huzuni kweli wakenya turudi kwa magoti tuombe rehema kwa Mungu.Tuliombee taifa letu nimekuwa chukizo kwa Mungu.Matengenezo !matengenezo!matengenezooooooo!!!!!
Mungu tusamehe sisi watumishi wako kutoka Taifa la Kenya
😭😭😢🙏 Mungu naomba utusamehe mana kweli tumemuacha Mungu wakenya kama kunae mtu anampenda Mungu akiona clip za huyu mtumishi aezi pita au kumaliza siku bila kutazama huyu mtumishi 😭
Asante kwaajili ya tahadhali. Mungu akuinue kabsa
Asante poster hapo umeongea,,,,but umemsaau Ezekiel odero
Asante kwa kwa haya yote. Ni kweli huyu pastor anaukali usioeleweka. Mungu ampadirishe. Pia, Mungu akubariki sana!
This is very true evangelist Cassian, may God continue blessing you. Let him hear this voice to have his own decision later. Either to change for God or remain threr & known to be a false pastor.
Very abusive false pastor ng'ang'a.
Supporting from Kenya.😢
Waaaa MUNGU atusaidie ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
Amen Amen mutumishi Ni kweli anamatusi Sana Uyo pastor
Barikiwa sana kwa injiri nzito Mungu akufiche viganjani mwake.😊
Ongeza volume kbs,mm sijawai kumpenda Wala kusikia maubiri na nyimbo zake.. Asante kwa kusema ukweli..barikiwa!
Mtumishi wa Mungu Pascal ongeza volume coz uko hundred pasent nimeishi apa u ni mwak 13 sijaipata watumishi wanosema ukweli an that's why niliacha kwenda church nikikuja home ndio mi huendal kanisa naishi uku tu sababu ya watoto other wise 😢
BWANA YESUS ASIFIWA SANA, ASANTI SANA MTUMISHI, MUNGU AKUBARIKI SANA, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇵🇨🇵
Watumishi wengi wa Mungu walianza vizuri, tatizo baraka za kifedha na Mali ziongezekapo ndipo viroja huanza
Amen barikiwa mtumishi🇰🇪🇰🇪
Amen mchungaji ni ujumbe kutoka kwa Christo Yesu, wakenya tuitambue sauti ya Yesu
Amen mtu wa Mungu ubarkiwe sana nakwelewa sana Asante 🙏🙏🙏
Hatamtumishi wa Mungu Moses Kulola alisema mtumishi wa Mungu akae mbali na vitu hivi:
1- uzinzi
2- kupenda fedha
Ubarikiwe sana na mungu kaka mungu azidi kukupaka mafuta yake matakatifu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu have a blessed day
Nyanyua sim upate hela itoke wp fanya kazi tuacheni mafundiso yasiofaa mafundisho mema haya hapa mtazame huyu mtumishi upone kiroho kimwili hata kiafia barikiwa sana mtumishi wa mungu
Ata Anesema Kanisa ni yake .. sio ya mungu.. na ni viosk amefungua sio kanisa
Mungu akubariki siku zote
Amen amen tuwezi kuogopa kwa maana ule eko ndani yetu nimukuu
Amen Amen Amen pastor
Amen ukweli huo, wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuwe macho
Barikiwa pascal.......waambie wasikie
Amen barikiwa sana mtumishi 🙏
Amen mutumishi wa mungu akubariki na akuinu na akulinde akubariki Niko Kenya
Mungu tusaidia sisi wanawako
Amen Amen na mungu awe nawe 🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe Mungu akupe ulinzi na ngome unasema yaliyopo ameni
Barikiwa kwa kunena ukweli.Malaika wa mungu wazidi kukulinda.
Kofia yake iko na chapa ya illuminate
Shetani amewateka wengi,muone vile alivyo na bado anawashiriki kwa hili kanisa jamani, watu wamepotea 😢 mungu atuhurumie na atuletee watumishi wake wa ukweli mungu atuhurumie ,mtumishi wa mungu mimi hapa nimeshindwa hata kenda kanisani
Na watu wanamiminika kule kama maji Ezekiel Sasa ndo next wataje wote wakristo wafunguke macho
Mungu akubariki sana mchungaji cassian
Mungu.akubariki..nikweli..yesu.kristo..wakati..alikuwa....duniyani..awakumukubali..mungu.akusayidiye.baba
Amen 🙏🙏 Mtumishi 🙏🙏
Mimi pia ni mkenya lakini nakubaliana na wewe, Kenya churchs ni kama maduka ya kulevya,ata heri mlevi kuliko kanisa lililoko Kenya,haswa sana kwenye mji mkuu Nairobi
Ameeen 🙏😢
Shallom hapo nakubariana na ww mtumishi wa mungu hapa Kenya tunahitaji mungu sana ushikome kuwabia baka yesu alundi amen🙏🙏🙏🙏🙏
Kutoka kanisa lipi???
Next time tutajie wachungaji wa Mungu ndio twende kuswali huko.
Napenda Sana Mafundisho yako
Asante kwaajili ya ukweli
Dangerous postor
Aca wakutukane ata YESU kristo alitukanwa, wew Songa Mbele tu
Ndio MTUMISHI wa Mungu waambie washirika wafunguke Kwa hekima ya Mungu
We PASCHAL WE NI MTU WA HOVYO SIO KILA MCHUNGAJI AKIKOSEA ANATUMIWA NA SHETANI
Nilikua nalia bt apa tunaanza usiku usiku wa manane 😂😂😂😂nimejikuta nacheka
😂😂😂hii ndio comment nilikuwa naangalia ety usiku WA manane
Kwelii kabisaaaaa
Mungu aendelee kukutumia vilivyo
Mungu akubariki sana
Amen Toka 🇿🇲 amen
Barikiwa mtumishi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Unasema ukweli mtumishi wa mungu,mm ni mkenya but yale ninaona ni mungu atuhurumie sana
Amina mtu wa Mungu
Ni kweli tunapaswa kujiweka tayari kusoma Neno la Mungu nakuzijaribu hizi roho ziko wazi kabisa sijui ni nini kinacho wafanya kwenda kwa huyu mtu Eee BWANA YESU tupd kushinda Kila jaribu
Atakaye hukumu ni Mungu pekeee... tuache kuhukumiana ...mbona commander peke yake ndiye mbaya?
Jamaa anawaita watu ng'ombe na wanacheka....tatizo kubwa naona ni hao wanaomsikiliza.
Wemezoea
Wambie.ukweli. mtumishi
Mungu akutie nguvu
Mahubiri yadharau nakufedhehesha eti nimahubiri kutokakwaMungu nawafuasi wske wasigunduekitu hatahapatunao .wenyekutishia raiawema naserikalizinawaangaliatu kanakwambawao sheria zasrikali haziwahusu.
Amina
Mat 12: 36- 37 kila Neno mtu anenalo 1 nzuri 2 baya litalipwa
Nikweli mtumishi matusi kwake nikama chakula,,,na anatukana wa2 wazima na bado wanaendelea kwenda hapo
Mungu amenipa maono yake Kila mara aki
Aeeeeeeeeeeen
Obaba wa mbingun mlinde mchugaji pascal,damu yake ilio mwagika pale msalaban ikakufunike wewe na familia yako,na mapigo Yao wanayo kupiga nayo yakashindwe nayakawarudie wenyewe
Why calling people ng’ombe heti kisa kavaa mtumba mungu azidi kuheremu watu kweli na watu wana cheka 😢
Imagine people are laughing 😮 wote wamepotea na wametekwa na wala hapana asemae rudisha.
wamefungwa ufahamu wao hawawezi kutafakari amecheza na akili zao
Harriet nasema hasante kwa kunifungua macho
Iyo kweli ni shetani kabisa
Amen Amen 🙏
Ukweli mtumishi wa Mungu.Mathayo 7:21-22
Mimi sina shida na huyo mzee hapo umenena kweli ng'ang'a posrt ni comedian
Ameen
Amen
Amen amen
AMEN
Hosea 4:6
JE PASTORS WAGANI NI WA MUNGU APA KENYA PLIZ TUAMBIE TUENDE KWAO
Zaburi 37:8 Iyo ukali wake na kutukana wakristu ni tunda la Shetani...!
Mungu atusaidie jamani Yani wakenya jamani ata naogopa kwenda kanisani nasema Bora niombe nikiwa home Mungu liangalie taifa la Kenya 🙏😭
Usiamini uyu nambii kwanza shiriki kanisa lake tuone nae okoje
Siyo wachungaji tu hata waimbaji wa nyimbo za injili wa kenya mimi huwa siwaelewi mfano ringtone,bahati,willy paul na huyu aliyeimba unipanye uzima anasuka rasta au diledi wanawake wanavaa suruali za kubana sasa najifukilia hivi hawa kweli wameokoka?
Uko sawa hapo