Asante Mtumishi mahubiri yako yamenifanya leo nisiende kanisani,umenifungua na kujiona wafhamani,maana nikuwa nikiambia naimbia babiti yaliyopitwa na wakati
Amina. Uimbaji wa leo ni wa muda tu. Wanaenda na nyakati. Waimbaji hawaimbi kutoka rohoni ili kumsongeza mtu asiye mwokovu karibu na Mungu wake. Bora utunzi wa maneno uingiane, baas, wanaona wamemtukuza Mungu.
Amjambo mtumishi wa mungu aliye dju saana, mafundisho Yako ni mazuri saana, mungu akulinde, mimi ni mtchungadi apa Congo, nime penda saana mafundisho Yako asante saana.
Mahubiri yako yalinifanya nitoke kwenye kanisa la mwamposa, usinyamaze uwakomboe na wengine! Mm nimeokolewa, asante YESU kwajili ya kutuletea huyu mtumishi ili tuokoke.
HALLELUJAH HALLELUJAH; very powerful and pure truth mtumishi. Mungu azidi kukuinua zaidi kwa kazi unayofanya. Muziki umekusudiwa na Mungu kusukuma roho na akili. Na si mwili kama wengine wanavyouchukulia au kuuelewa. 1wakorintho14:15 nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini nitaomba kwa akili pia: nitaimba kwa roho yangu, lakini nitaimba kwa akili yangu pia. Unapoimba kwa roho unatembea katika njia iliyopangwa na Mungu kwa furaha. Mungu atandaze ulinzi wake juu yako Mtumishi. 🙏🙏
Watu wa Mungu tunafeliwapi tunamezwa na dunia wakati sisi tunatakiwa tuwe nuru ya ulimwengu tuliondowe giza Mungu akubariki kwaujumbe mzuri Bwana wa majeshi azid kukutia nguvu kuufikisha ukweli wa Mungu.
Bwana ni wimbo wangu# Ikiwa Wewe ni mali ya Bwana hivyo wimbo wako ni mali ya Bwana. Tafakari kama huo wimbo Mungu asiyechangamana na giza anaweza kuupokea?
Barikiwa sana namshukuru sana Yesu kristo kwa kukutumia ili kututoa gizani na wengi hawataki kuacha mambo yakidunia hususani hizo nyimbo za kidunia Yesu azid kutuponya na kutuokoa
Uimbaji.wa.nyimbo za.injili.na.nyimbo za.dunia ni.tofauti.kabisa tofauti mitatu waliochora mipete waliyovaa wasanii Mungu.atufungue macho tupate kuona uimbaji.mbona unaonekana mtu anaimba kushea mabwana siku hizi.sio shida nyimbo za Mungu hizo
Mambo ambayo tumeambiwa tu kuwa kuna mbingu, mnaanza kuthibitisha eti nyimbo za mbinguni, hivi hamjui kwamba mnaongea uongo jambo msilolijua mnalithibitisha duniani Dah shetani 😈 anakazi sana yaani unadanganya hivi hivi.
Unadhani Mungu alikubaliana nae? Na unaweza kusema alikuwa ibadani? Wewe wasomaje hayo maandiko akili yako imeshindwa na akili ya mke wa Daudi aliye dharau tukio hilo.
Asante Mtumishi mahubiri yako yamenifanya leo nisiende kanisani,umenifungua na kujiona wafhamani,maana nikuwa nikiambia naimbia babiti yaliyopitwa na wakati
Wallai waimbaji au wakristo wa leo wamearibika na neno digital wamesahau kua kwa Mungu akuna udigitali
Amina. Uimbaji wa leo ni wa muda tu. Wanaenda na nyakati. Waimbaji hawaimbi kutoka rohoni ili kumsongeza mtu asiye mwokovu karibu na Mungu wake. Bora utunzi wa maneno uingiane, baas, wanaona wamemtukuza Mungu.
Amjambo mtumishi wa mungu aliye dju saana, mafundisho Yako ni mazuri saana, mungu akulinde, mimi ni mtchungadi apa Congo, nime penda saana mafundisho Yako asante saana.
Mungu tusaidie !
Hakika mtumishi huyu anafunuliwa na Roho mtakatifu!
Usikiapo sauti ya Mungu usiufanye mgumu moyo wako
Mahubiri yako yalinifanya nitoke kwenye kanisa la mwamposa, usinyamaze uwakomboe na wengine! Mm nimeokolewa, asante YESU kwajili ya kutuletea huyu mtumishi ili tuokoke.
Mungu akubariki sana na akuinue kimataifa, Mungu atusaidie siku moja ufike kanisani ninakohudumu. Haki napenda injili kama hii
Mwinjilisti wa kweli mungu aendekeye kukulinda❤❤❤❤❤❤
AMEN AMEN 🙏 🙌 Mungu ni nguvu yangu na wimbo wangu...nahisi nguvu kuu za Mungu.... Hallelujah... thanks for being a blessing to many.
Ni kweli mtumishi wa mungu mungu akubariki sana huyu jamaa anajiita nabii mkuu amejanganyikiwa Yuko gizani
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kusema ukweli MUNGU akutunze
HALLELUJAH HALLELUJAH; very powerful and pure truth mtumishi. Mungu azidi kukuinua zaidi kwa kazi unayofanya.
Muziki umekusudiwa na Mungu kusukuma roho na akili. Na si mwili kama wengine wanavyouchukulia au kuuelewa.
1wakorintho14:15 nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini nitaomba kwa akili pia: nitaimba kwa roho yangu, lakini nitaimba kwa akili yangu pia.
Unapoimba kwa roho unatembea katika njia iliyopangwa na Mungu kwa furaha.
Mungu atandaze ulinzi wake juu yako Mtumishi. 🙏🙏
Nakupata nikiwa kenya..kenya twaitaji mahubiri kama haya na pia nyakati za mwisho
Hata nyimbo zake zinaelewek huyu paschal, God be with you 🙏🙏🙏
Ameen be blessed more kkaangu m nimapo kutazama video zako nahisi kuhukumika na kutubu maana nikweli tumeona makosa yako wapi 🙏😢
Hakika
Hakika wewe nimwalimu. Barikia sana sana Mtumishi wa Mungu
mungu akubaliki sana mimi ninapona ditram mlelwa songa mbele
Watu wa Mungu tunafeliwapi tunamezwa na dunia wakati sisi tunatakiwa tuwe nuru ya ulimwengu tuliondowe giza Mungu akubariki kwaujumbe mzuri Bwana wa majeshi azid kukutia nguvu kuufikisha ukweli wa Mungu.
Hiyo ni kweli barikiwa sana
Dar😭😭😭 mungu atusamee
kabisa waimbaji waleo wanataka kusifiwa too Ila awataki kuona mbele
Let God to give you strength ufikishe ujumbe kila Pembe zote za dunia
Jbariki mutumishi mungu akurinde nakukuinuwa
Kaka mungu akulinde Kwa kuwa unasema yaliyo ya kweli
🎉Mungu akubariki unapo zidi kutukumbusha kuyafanya mapenzi ya Mungu
Ndio BWANA Akubarikiii mtumishi
Baba tafazali ikiwezekana usikuwe natiya muziki Ndani ya mahubiri naomba ikiwezekana mungu atusaidiye baba yetu
Ubarikiwee sana hakika unasema ukweli
Aaaa nimekupenda kwa injili yako MUNGU akulinde
Nakukubari yani mungu akuongoze sarama
Amen,
Mtu wa MUNGU,
Barikiwa sana, kwa Roho Mtakatifu, kukutumia kufikisha ujumbe wake kwetu.
Mungu akubariki Sana mtumishi ni maombi yangu Mungu aendelee kukulinda akufunike kwa damu ya Yesu uendelee kunena ile kweli ya Mungu
Mungu akubaliki sana kwahuduma yako hoi
Barikiwa sana mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.hata ukitusiwa usijaribu mungu yupo pamoja nawe nimetoka kenya
Nooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo nakataaaa kwa JINA LA YESU uimbaji wa kidunia IN JESUS NAM
Mungu akuinue zaidi Kaka
Amen ninaamuru nyimbo za kipepo zote zisipate kibali mbele za Bwana.
Kweli ubarikiwe sana
Waimbaji baazi hawaimbi kwa kumtuza mungu baazi wanalenga pesa tu wanaoimba kwa kumtuza mungu niwachache sana mungu❤ atusaidie sana
Embarambamba kujimwagilia matope tuu na kurukaruka hku na kule
Mungu akulinde sana katka jina la yesu amen
Mwenyezi Mungu akutunze.. Akubariki.. Akulinde ukazidi kutufundisha neno la mungu
Nakupenda sana mtumishi ubarikiwe unatakiwa sana mmebakia wawili tu mnaosemaukweli Magembe na wewe.
Kwani huyu Mtumishi anapatikana wapi barikiwa sana
Mungu kukutia nguvu na ukarimu
Unaeleweka sana mtumishi wa kweli. Watumishi wengine na manabii wapo kifedha na watakatiliwa mbali na anasa zao siku ya mwisho.
GOD be with u' pastor
mungu azidi kukutia ngufu ili wengi wapate kuokolewa.nashughuru mungu kwa silahaa yake kama wewe
Amen
Ubarikiwe kaka katika kristo..Ila ñashauri upunguze kidogo background music unapofundisha
Nabarikiwa sana Mungu akubariki a sana
Ni Moto wa INJILI ya YESU KRISTO!!. Barkiwaa Sana kamanda wa BWANA.
Amen God bless you
Bwana ni wimbo wangu#
Ikiwa Wewe ni mali ya Bwana hivyo wimbo wako ni mali ya Bwana.
Tafakari kama huo wimbo Mungu asiyechangamana na giza anaweza kuupokea?
Kweli natamani sana. Nimeona nguvu ya yesu, kwa kuwa wimbo unatupeleka katika kiti cha enzi kuu mbinguni 44:16
Ameni
AMEN,MUNGU AKULINDE KATIKA UTUMISHI ALIO KUPA UENDELEE KUHUBILI UKWELI WA KRISTO.
Shalom Kuna matari ya kidunia ambayo ni desturi ya kishrtani GOD bless you 6:14
Nena bro upagani ni mwingi sana , hata kubadili sheria ya Mungu ni ipagani yapo mengi.
Mungu akubariki mtumishi
God bless you
Ubarikiwe sana
Amen nakupenda papa
Ee mungu tusaidie tusienende na ulimwengu unavyoenenda. Na mifumo ya kisasa
Barikiwa sana namshukuru sana Yesu kristo kwa kukutumia ili kututoa gizani na wengi hawataki kuacha mambo yakidunia hususani hizo nyimbo za kidunia Yesu azid kutuponya na kutuokoa
ibarikiwe huduma yako mtumishi
🎉
❤
❤
Mungu azidi kukutia nguvu,,,mm nakubaliana na mafundisho yako poster
Ukweli mtupu na ndomana kwenye cm yangu nimejaza nyimbo zako mana nabarikiwa sana
SSafi sana kaka kaka kaka thanks you
Mungu atukuzwe nw skulinde
AMEN AMEN
Kwakweli MUNGU aliokoe kanisa lake...ubarikiwe mtumishi.
Ubarikiwe
Uimbaji.wa.nyimbo za.injili.na.nyimbo za.dunia ni.tofauti.kabisa tofauti mitatu waliochora mipete waliyovaa wasanii Mungu.atufungue macho tupate kuona uimbaji.mbona unaonekana mtu anaimba kushea mabwana siku hizi.sio shida nyimbo za Mungu hizo
Ndio maana naendelea kujifunza namna ya kuimba ktk Roho. Bwana nisaidie
asante
Mungu azidi kukurinda na kukuinuwa kwa kazi yake unatubariki sana🎉🎉
Ni kweli kabisa Baba yangu
Mambo ambayo tumeambiwa tu kuwa kuna mbingu, mnaanza kuthibitisha eti nyimbo za mbinguni, hivi hamjui kwamba mnaongea uongo jambo msilolijua mnalithibitisha duniani Dah shetani 😈 anakazi sana yaani unadanganya hivi hivi.
Simwoni kama anajielewa, labda kwa wasioelewa kama yeye, wavivu wa kazi za mikono yao, watafutao Riziki kwa njia danganyifu kama Yuda Eskarioti
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Amen🎉🎉🎉🎉🎉
BABA UNAFANYA KAZI KUBWA SANA DAH............... KILIO CHA KANISA DUNIANI
Nyimbo za kimataifa wanatumiya jinara mungu
Ukweli mtupuuuu.
Ev. MUNGU akuongeze siku
🔥🔥🔥🔥
Watuwangu wanaangamia kwakukosa maalifa
❤
Ameeeeeeen baba
Amina
Ameni 🙏 🙏 🙏
AMINA tunakushukuru Mtumishi
Waimbaji baazi wanaiba wakilenga pesa
Ameen
Ameee
🔥🔥
Amen Amen Amen
Yesu akutunze sema kweli ndio Hy songa mbele mtsh
🎉🎉🎉❤
Mweee MUNGU akutie nguvu jamani
Kumuona Mungu ulikomaanisha wewe na vile Geodavi alimaanisha kuwa alimwona Mungu kunatofauti?
Mbona mfalme Daud aliceza hadi nguo zikaanguka!
Unadhani Mungu alikubaliana nae? Na unaweza kusema alikuwa ibadani? Wewe wasomaje hayo maandiko akili yako imeshindwa na akili ya mke wa Daudi aliye dharau tukio hilo.
Wambieñi mchungaji
na wewe ni mungu?