MWIGULU AKUTANA NA KICHWA KIBOVU, SIKUOGOPI, LEO NAKUCHANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 220

  • @danielmollel8225
    @danielmollel8225 ปีที่แล้ว +8

    Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ปีที่แล้ว +14

    Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema

    • @gorgonusshayo920
      @gorgonusshayo920 ปีที่แล้ว +1

      Majaliwa hana shida . mdomo unaruhusu saut kutoka baada ya ulimi kutamka maneno. 🙏😎

    • @gorgonusshayo920
      @gorgonusshayo920 ปีที่แล้ว +1

      Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘

  • @tegoswadakta8996
    @tegoswadakta8996 ปีที่แล้ว +4

    Hongera bro umeongea kaka, mashuka Uganda nafuu kuliko kwenye bahari

  • @elibarikimacha5534
    @elibarikimacha5534 ปีที่แล้ว +16

    Nilikosaga imani na mama alipomchagua Mwigulu waziri.

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 ปีที่แล้ว

      Mimi niliwaza mambo mengi sana alipomchagua mwigulu. Hafai kuwa waziri angeenda kuwa balozi huko Zimbabwe Kama kubebana ndo sababu

    • @JustineMathias-wj7bd
      @JustineMathias-wj7bd ปีที่แล้ว +1

      ​@@Mobmob2013 au akawe balozi afghanistan ingependeza😅

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 ปีที่แล้ว

      @@JustineMathias-wj7bd 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 ปีที่แล้ว +4

    Napenda waziri mkuu aje kua Raisi.namuombea kwa Mungu.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว +17

    Yaani wananchi wanamawazo mazuri sana

  • @michaelmtale-fi9ze
    @michaelmtale-fi9ze ปีที่แล้ว

    Wafanya biashara wapo vzr sana waziri kuu wasaidie hawa wafanyabiashara

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 ปีที่แล้ว +13

    Basi huyo kajidhihirisha moja kwa moja hafai akiendelea kuwepo wakati raia hawamtaki itakuwa kuna sehemu inampa jeuri

  • @HeriethJoram-rb7ce
    @HeriethJoram-rb7ce ปีที่แล้ว +13

    Kuna watu sio viongoz ila ni vichwaaa

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 ปีที่แล้ว +1

      Sana kuna watu mwenyezi Mungu kawapa tu kipawa.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 ปีที่แล้ว +2

    WAZIRI MKUU SAFI SANA VIONGOZI WAKIAMBIWA UKWELI WANACHUKIA.

  • @emmanuelmkamba1964
    @emmanuelmkamba1964 ปีที่แล้ว +9

    Mwiguru hafai kabisa hata majibu yake bungeni machafu sana

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 ปีที่แล้ว +9

    mandevu umeongea kama Mjomba WA taifa ....

  • @BunjuBase
    @BunjuBase ปีที่แล้ว +7

    Anabembelezwa na mamaake ngoja akutakane na vichwa vibovu..Magufuli angekuepo uyo mwingulu angekua keshakosa kaz

    • @mumukinga8327
      @mumukinga8327 ปีที่แล้ว

      si aliondolewa mama kamrudisha hafai hata kuweka bondi

    • @NicolausBundala-kb8hx
      @NicolausBundala-kb8hx ปีที่แล้ว

      Kwanza alishamtemaga kitambo kwenye uongiz wake

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 ปีที่แล้ว +9

    Mwigulu kutunza Heshima yake ajiudhuru. Hata Raia hawamtaki Wabunge wanamsema Sasa ni Heshima kweli?

  • @w4058
    @w4058 ปีที่แล้ว +9

    Mwigulu kama muuangwana ajiuzulu

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 ปีที่แล้ว +12

    Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo

  • @EdinaRaphael
    @EdinaRaphael ปีที่แล้ว +6

    Daaaah huyu Kaka kibokooo🙏✋

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 ปีที่แล้ว +3

    🙌🙌🙌🙌nimekupenda bure kaka umeongea point ❤️❤️

  • @danielmollel8225
    @danielmollel8225 ปีที่แล้ว +9

    Ila Mungu akupe maisha marefu na ikiwezekana uje kuwa raisi wa nchi hii, kwa hekima yako naamini mambo mengi yatakwenda vizuri

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +1

      We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.

    • @nunikayuni3945
      @nunikayuni3945 ปีที่แล้ว

      Watu wajinga kweli wazili mkuu nikiongozi mnashinda munampongeza kwalipi achukuwemamzi ndiyo mpongeze mnapongeza sauti siyo vitendo

    • @juliussilvestar8988
      @juliussilvestar8988 ปีที่แล้ว

      Mal ka voice majaliwa yupo serious hasaaaa na mambo ya msingi

  • @jeremiahmakoye6340
    @jeremiahmakoye6340 ปีที่แล้ว

    Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka.
    Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani.
    Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.

  • @salahsalahallympika679
    @salahsalahallympika679 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana mwambie uyo 😂😂😂😂😂

    • @kabulukimati
      @kabulukimati ปีที่แล้ว

      T.r.a.ifunje.yote.na.isukwe.upya

  • @jacobmaganga3354
    @jacobmaganga3354 ปีที่แล้ว

    waziri anayesikiliza wanyonge...❤️

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 ปีที่แล้ว +6

    Mwiguru avue hio scafu ya Tanzania anajidai ni mzalendo kumbe Hana uzalendo wowote

  • @radiusrutta7804
    @radiusrutta7804 ปีที่แล้ว +3

    Mmetuwakilisha vyema mungu awasaide

  • @DalilaLillah
    @DalilaLillah ปีที่แล้ว +2

    Brother Bernard kamaliza kila kitu😅😅

  • @salinjabalele-er8vr
    @salinjabalele-er8vr ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂kiukwel Banda halina hadhi ya kukaa waziri kabisa jamaa hajakosea

  • @habibumussa7712
    @habibumussa7712 ปีที่แล้ว

    Wambie brother nikweli

  • @isaacphilemon5599
    @isaacphilemon5599 ปีที่แล้ว +2

    Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭

    • @hellenprosper4738
      @hellenprosper4738 ปีที่แล้ว

      Kabisa yaani hadi amebadilika usoni alivyokasirika

    • @TifaWinne
      @TifaWinne ปีที่แล้ว

      Hakika

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 ปีที่แล้ว

    People got knowledge but they are despised...God help this country

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 ปีที่แล้ว +1

    @Kweli kiongozi ni jalala Mwingulu aspo elewa bc tena

  • @LekokoLaisa
    @LekokoLaisa ปีที่แล้ว

    Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana

  • @frankmwafifi6712
    @frankmwafifi6712 ปีที่แล้ว

    Fact tupu

  • @maneuverseniorkgbbrothers1217
    @maneuverseniorkgbbrothers1217 ปีที่แล้ว +4

    madevu akili kubwa sana yani anawachana huku anawaita ndugu mh!na ukweli mtupu wao wakipewa biashara haichukui round!

  • @vwctvtanzania
    @vwctvtanzania ปีที่แล้ว +2

    Mwigulu tumia hekima ondokatu baki na ubunge watu hatuna Imani nawewe hata kidogo,

  • @januarymbunda8472
    @januarymbunda8472 ปีที่แล้ว

    Wasemaji wote nimewapata vzry hongereni sanaa

  • @salcle9702
    @salcle9702 ปีที่แล้ว

    Eric shigongo awe waziri wa fedha.mwigulu hafai kazi kucheka cheka

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว +5

    ASANTEEE, KAKA KWA KUSEMA UKWELI. MSEMA KWELI NI MENZI WA MINGUU.

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 ปีที่แล้ว

      Msema kweli ni mpenzi wa mungu kweli kabisa!

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 ปีที่แล้ว

    Huyi ndo mume Sasa 🤣🤣🤣

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว +5

    Ila mwiguli ni shida

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว +1

    Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 ปีที่แล้ว +1

    TRA HUWA WANAKUWA NA WIVU akiangaria mafanikio yako HUWA hawapendi sababu yeye Hana,

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato ปีที่แล้ว +1

    Aisee Yaani Itafika Muda Hii Nchi Viongozi Watakuja Kupigwa Kama Mbuzi We Subiri tu

  • @BarakaJoseph-by9di
    @BarakaJoseph-by9di ปีที่แล้ว +1

    Hii nchi kwa sasa ivi hatuna wabunge matatizo yote hayo ilitakiwa wabunge wafikishe coz kwa sababu hatuna wabunge tufikishe wenyewe

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo ปีที่แล้ว +1

    Mwambie mwiguru bila kumumunya maneno arisha zoea wizi

  • @vwctvtanzania
    @vwctvtanzania ปีที่แล้ว +1

    Hapo wakurugenzi wafanyiwe marekebisho haraka,

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh ปีที่แล้ว

    Point kubwa

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 ปีที่แล้ว +4

    Mwiguru ni waziri mwenye mikosi hapendwi na watu kabisa

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 ปีที่แล้ว

      Hahahahahaha.

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂si ndio maaana magu alimtoaga

    • @monicambuya-sq9ms
      @monicambuya-sq9ms ปีที่แล้ว

      Kabisa kwanza ana dharau

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว

      Sio mikosi tabia yake mdomo wake dharau zake ndizo zimefika watu kutompenda niwaziri wa ovyo kabisa MTU anakwambia km hulipi kodi hamia Burundi au mm nimesoma sibishani na waganga wa kienyeji huyo nikiongoz wa serikali kweli hafai

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว

      Nilitarajia leo wazir mwigulu awe kapigwa chini lkn mama kamkumbatia duuuh

  • @JuliusMathew-df7ct
    @JuliusMathew-df7ct ปีที่แล้ว

    Hiyo wizara haiwezi bora atafutwe mtu mwenye vision kubwa kuweza kuondoa sheria zinazokandamiza wafanyabiashara.

  • @mohamedngotwike7969
    @mohamedngotwike7969 ปีที่แล้ว

    Iv mh rais alitumia kigezo gn kumpa uwazir uyu mwigulu au vibendera vya inch anavyo vaa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +9

    Hakuna kitu Kibaya Kama kiongozi kucheka ktk mazungumzo muhimu Kama hivi . Waziri mkuu kucheka wakati watu hawatanii anatengeneza mazingira ya kupuuza mambo ya msingi

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 ปีที่แล้ว

      Wengine usione anacheka ukadhani anafurahia jambo. Ni sawa na mchawi atakuonesha kujali kila tatizo unapopata kumbe ndiye anayekumaliza

    • @fwc5552
      @fwc5552 ปีที่แล้ว +1

      Hawa wafanyabiashara kwa nn hawataki kutumia mashine za stakabadhi

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 ปีที่แล้ว

      @@fwc5552 mashine wanatumia lkn wateja walio wengi hawataki risiti na kama huamini nenda ukashudie vituo vya mafuta ( petrol station) 😂😂😂😂

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 ปีที่แล้ว

      @@fwc5552 Mataifa yanao wazunguka hawatumii kwahyo inakuwa ngumu ku compit nao matokeo yake wanajikuta wanaforce biashara na pesa zao wanazojaribu kuzivuta wananyang'anywa basi hata wakipokonywa waone cha maana kinafanyika,unakuta wanasikia kabisa pesa nyingi zimepotea na deni la taifa linaongezeka. Unajua sisi binadamu wote ni sawa ktk utashi,elimu ni extra issue tu,hivyo basi hakuna mtu akajua hesabu alafu ukamuibia pesa asijue kama unamuibia wakati wewe unayeiba kakuajiri. Fikiria zaidi acha maswali mama kama hayo...

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 ปีที่แล้ว

      Njia pekee kwa mwanamme kudhibiti HASIRA ni kucheka!

  • @Khmismramadhan
    @Khmismramadhan ปีที่แล้ว

    Wajichunguze

  • @martinmsigwa9066
    @martinmsigwa9066 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusaidie sana 🥹

  • @TumainiMaseta-t4u
    @TumainiMaseta-t4u ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu wabane hao majizi wanakula jasho la wanyonge

  • @gorgonusshayo920
    @gorgonusshayo920 ปีที่แล้ว

    Kwa wao ni nan wasiambiwe?

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว

    Wazili mkuu anamoyo sana naatawasadia tu wafanyabiashala

  • @naomisanga6980
    @naomisanga6980 ปีที่แล้ว +1

    Kuna watu niwafanya biashara na wana akili balaa yani kweli kabisa kaka kila mtu anasema mimi nasomesha mtoto ili awe Tra maana wana kula hela za bule

  • @NyandaYohana
    @NyandaYohana ปีที่แล้ว

    Angalia Banda walilo kaliaaa

  • @melkizedeckmushi5433
    @melkizedeckmushi5433 ปีที่แล้ว +2

    Watu wana akili sana wanaamua tu kukaa kimya

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr ปีที่แล้ว

    Dahhh. Hapo. Umesema. Ukwelii. Sannaaa. Maaana. Serekali. Hii. Instunana. Sanna

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 ปีที่แล้ว

    Dua la kuku halimpati Mwewe

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว +4

    KWENDA SHULE MBALI, NA AKILI YA UNUNIFU MBALI.

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Wakoloni walikuwa na sheria nzuri kuliko zetu

    • @chezariboy
      @chezariboy ปีที่แล้ว

      Kwelii. Bora ya sheria za wakoloni kuliko za akina mwguruu

  • @masturasudi7394
    @masturasudi7394 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 ปีที่แล้ว +2

    Mbona wakati wa mzee baba hawa TRA, NIDA, MUNICIPAL walikuwa wamenyooka. Waziri mkuu ongeza ukali

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว

      Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an

  • @CalvinBeatus-l2e
    @CalvinBeatus-l2e 8 หลายเดือนก่อน

    Madevu kaongea vizurii😂

  • @mako331
    @mako331 ปีที่แล้ว +1

    Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii

    • @yovithaobed9954
      @yovithaobed9954 ปีที่แล้ว

      Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina

  • @samwelimwalindu3735
    @samwelimwalindu3735 ปีที่แล้ว +1

    Uko sahihi biashala ukiimulika Sana nitatizo kitu lisiti umekuwa miladi yawatu

  • @arthalesha5825
    @arthalesha5825 ปีที่แล้ว +6

    Madevu ana akili sana

  • @gabonmaseru2686
    @gabonmaseru2686 ปีที่แล้ว

    Waziri Mkuu ni kiongozi wa wanyonye na mpenda haki ,
    Natamani awe mkuu wa nchi ili maumivu yapungue kwa raia wanyonge

  • @SilvesterRaphael-xb6it
    @SilvesterRaphael-xb6it ปีที่แล้ว +1

    Mwigulu ni kipenz cha wazur hawafi mnampigia kiziwi kengere jamaa hatoki pale mpaka awamu ya mama iishe niko pale mtaniambia

  • @Salvador-mj8rk
    @Salvador-mj8rk ปีที่แล้ว

    Indeed

  • @nyasijoseph-bt7xw
    @nyasijoseph-bt7xw ปีที่แล้ว

    Kwanini TRA tuu jmn...Duuuh wabadilike sisi wote wa TZ

  • @imelidamfikwa7954
    @imelidamfikwa7954 ปีที่แล้ว

    Jamaa kavunja 4 hana shida.

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 ปีที่แล้ว

    Mambo nimazur san yanayoongelew lakin akuna ata moja linalofanyiw kazi

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 ปีที่แล้ว +2

    Eti kengere 😂 mtangaji jitahidi kujifunza matamshi

  • @neziajoseph9726
    @neziajoseph9726 ปีที่แล้ว

    Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 ปีที่แล้ว

    Mnapomlaum wazir wa fedha mnakosea sana
    Kodi na korokoro nyenqine zote ni mfumo na matakwa ya serikali
    Ila kidaqaa tu ndio kinamshukia mchemba

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 ปีที่แล้ว +1

    Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara

  • @KabijSaib
    @KabijSaib ปีที่แล้ว +1

    Biashara ni uhuru,jaman,heeee,imezid kukandamizanatu😢😢😢😢😢😢

  • @samwelimwalindu3735
    @samwelimwalindu3735 ปีที่แล้ว

    Ongeza hapo tunduma nimradi kukamata kamata ndo dili?

  • @athumanihassani7208
    @athumanihassani7208 ปีที่แล้ว

    Saway kabissaaa❤

  • @JustineMathias-wj7bd
    @JustineMathias-wj7bd ปีที่แล้ว +1

    kama wez wanachomwa moto kumbuken na kuchoma akina mwiguru

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo3856 ปีที่แล้ว

    Hatuna waziri WA fedha hapo

  • @lukaszakaria8404
    @lukaszakaria8404 ปีที่แล้ว

    Kwann,mwiguru atutese hivyo samia tumbua huyo

  • @saidimohamedimgotomgoto979
    @saidimohamedimgotomgoto979 ปีที่แล้ว

    Mwenye sura ya herahera kazi hunayo

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz ปีที่แล้ว

    Mh Rais tuondolee mwigulu atufai

  • @nairobitv6161
    @nairobitv6161 ปีที่แล้ว

    Fukuzeni huyo mtuuu jamani nchi inazingua sana...

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 ปีที่แล้ว

    Hatakiwi kua Waziri huyu Mwigulu kwasabab anaowatumikia hawamtaki yupo hapo kwaajili ya nani?

  • @RedBelt-m2k
    @RedBelt-m2k ปีที่แล้ว +1

    Watanzania wamefunguka

  • @w4058
    @w4058 ปีที่แล้ว +1

    MMungu akusaidieni

  • @SimonBundala-ul3mb
    @SimonBundala-ul3mb ปีที่แล้ว

    Safisana kwakuwasilisha hojo hii mausus .huo niukweli mtupu

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa siku zinakuja

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 ปีที่แล้ว

    Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 ปีที่แล้ว +1

    Acheni kulia lia endeleeni kuja kenya ndio china yenu

  • @arthalesha5825
    @arthalesha5825 ปีที่แล้ว

    Mwinguru atoke

  • @meshacknyagawa3497
    @meshacknyagawa3497 ปีที่แล้ว +1

    Mama utawala wako umenyoka kama rula toa Waziri wa Fedha anakuchafulia sana

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv ปีที่แล้ว

    Tenahao watu ND niwapumbavu san yan😢😢😢

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 ปีที่แล้ว +1

    Wabunge watunge sheria na kanuni zake asiachiwe Waziri

  • @w4058
    @w4058 ปีที่แล้ว +2

    Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane

  • @yusufhahe-sg6om
    @yusufhahe-sg6om ปีที่แล้ว

    Mbona mama anamchelewesha huyo mwigulu analindwa na nani