''KIBURI, ANASEMA HAWEZI KUONGEA na WAGANGA'' - WAZIRI MWIGULU AWEKWA KIKAANGONI na MFANYABIASHARA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- ''KIBURI, ANASEMA HAWEZI KUONGEA na WAGANGA'' - WAZIRI MWIGULU AWEKWA KIKAANGONI na MFANYABIASHARA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tayari amefika katika viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es salaam kwenye mkutano wake na Wafanyabiashara wa Kariakoo leo Mei 17, 2023.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Mwingulu hafai kua wa waziri wa fedha kwa dakika mmoja kwa nzia sasa
Wizara.ya.viwanda.na.biashara.hiyo.wizara.ivutwe.haina.avya.kwa.taifa
Mimi.ningekuwa.huyo.waziri.wa.shekeli.ningerizain
Apo stima waziri iyo ni mpigaji anamuda basi
Muheshiwa Rais wetu mbona kuna kauzito cha kufanya mabadiliko kwa huyu Mwigulu?
Mwigulu ni tatizo kubwa, siku akiondoka Tanzania itatulia
Safi sana Tanzania tuamke tuisemee nchi yetu love you tunawacheki tuuuuuu
Watanzania Mungu anatupenda sana. Hili Jamaal lingepata URAIS Tungekoma. Au anatukomesha WATANZANIA KWA SABABU ALIKOSA URAIS???. NDIYO MAANA MWENDA ZAKE ALIMPIGA CHINI.
Amesahau kusema alituambia tuhamie Burundi 😂
Wote waliochwa na Magufuri alikuwepo huyu ambaye sasa ni waziri wa viwanda na biashara wakati wa Magufuri alikuwa Naibu waziri wa fedha,akarikoroga magufuri kipindi cha pili akamwacha,Mwiguru alikuwa waziri Magufuri akamtumbua. Awamu ya sita ikawarudisha matokeo yao sasa wamechafua kabisa hali ya hewa ya nchi kiuchumi,kimaisha,hata kisiasa,kwa kuwa siasa ni uchumi,uchumi ni ulinzi pia.Huruma za Rais zitamponza awaondoe kabisa mawaziri hawa.Tunakaribia uchaguzi wao wanachafua hali ya hewa?
Mwigulu Unatuumiza Watanzania.Jitafakari Ndugu Yangu Hicho Cheo Ni Dhamana Kitapita.Mama SAMIA SULUHU HASAN Ondoa Huyo Kichefuchefu.
Sio kichefu chefu ni uchafu.
N matapishi. . Hawezikuongea n waganga w kienyeji. Astahil kuwa wazir huyo. Sangakariakoo kumefungwa. Jibul wazir kam kumefungwa n kwahiyar yaooo. Mungu anakuon. Kumbuk wanafamilia zinawategemea
Mwigulu atajulia wap biashara huyo..wanyiramba na biashara wap na wap?
Hapo mchagga angefiti
Mwigulu lawama zote kwako tu wewe ndo tatizo,, ni Bora ujiudhuru tu, Kodi zimekuwa nyingi hadi kero
Mbona hamwambii wanatutesa na kodi halafu hela zinaubiwa na watumishi walioteuliwa na mama halafu bado wako madarakani magereza hawapo?
Alitumbuliwa na magu kwanini karudishwa...
Safi Sana Mawaziri Wa Aina Hii Waondolewe Hawatufai iiii Waziri Amekaa Anaongea Anavyotaka Kiburi Cha Mamlaka Hicho.
Asipotumbuliwa leo basi itakuwa mzigo kwa CCM
Ameshakuwa mzigo kwenye chama
Katika watu ambao wana iumiza nnchi hiii kwenyewizi wapesa mwigulu ni namba moja
Nibora alivyo kuwa waziri wa fedha makamu wa rais hali haikuwa ngumu hivi
Kiukwl ukipewa dhamana ya kuwa kiongoz hupaswi kuw na dharau Waziri Mwigulu anadharau na kiburi Cha cheo chake kwakuwa ana elimu kuliko wengine hii sio sawa kabisa
Tunaibiwa mabilioni alafu wana zidi kuongeza kodi ba
Hakika serekali ya ccm haijali watu wake
Watu wa ccm hawataki watanzania wasiwe na hela ili tuwe ombaomba kwao.
Mwigulu Kazi ipo
Nchi kama ya mama yake iii nchi ngumu sana
Mwigulu anasema hawezi kuongea na waganga wa kienyeji muhamie Burundi ana dharau sana .
Oyo nimpigaji hana muda na nyie
Mwigulu ni tatizo Sana tunaushi maisha magumu Sana sababu yake
Mwiguru ni jizi tu la selikali
Mheshimiwa mama Samia suluhu Hassan tunakuomba ututolee hiyo mwigulu nchemba maana hafai kuwa waziri wa fedha ,mpeleke hata sekta ya mifugo akaongoze ng'ombe na mbuzi
Daktari wa uchumi 0-
Katika nchi zenye utawala bora, baada ya sakata hili Mawaziri wa Fedha na Viwanda walipaswa kujiuzuru, na kama wakisita, Rais kuwafukuza. Kwa lugha ya Kikemia ya Form I, hii ndo "litmus test"ya uwajibikaji!
Waziri ajitambui atambui majukumu yake ni kwawana nchi yeye anajua uwaziriwake unafanya KAZI ikulu mwigulu amna anachojua
Kwa kweli hali ni mbay sana ni jukumu la bunge kuona tattoo ni lipi na nani muhusika. Wayu wengi wanajuwa kazi zsido yako weweta
Tanzania incestuous million 61
Mwigulu atufai
Hii ni shida wapangaji wanawalipia WENYE nyumba kla mwezi ukiweka umeme unakatwa kla mwezi mambo haya ni ya hovyo sana
kwan mama aon mamb wana ich wanayo sem duu pak anatufany tusimpend pak lais duu
Tatizo teuzi ni zaupendeleo mfano huyo Mwigulu wakati kuna Madaktari wenye akili timamu kama Kimei au mpaka uwe mzungumzaji matendo zero
Kusema niswala jengine na kutekerezwa niswala jengine
Huyu Mwigulu si ajiuzulu tu, anasubiri nini?
Ana kiburi sana huyu baba,,watu wanashida wala haoni anasema wanae wanasoma feza mungu fundi wqondoe wote hao
Sii apigwe chini wapigwe chini
Lazima mwigulu apigwe nyundo
Mwigulu hatufai,kiburi dharau si binadamu!!
Hapa ndooo tunamkumbuka jp
Omba ulinzi kabisaa😂😂😂
Asante sana
Mwigulu kibri sana....
Yaani mwigulu kama atakuja kuwa rais wananchi watapata taabu saana
nani wa kumpa
Aondoleww
Magufuli alishampiga Left mwenye alimrudisha kwenye uwaziri ana lake jambo
Daah!
👍
😁😁😁😁duh mwigulu amepigwa vibaya mno