AFISA UTUMISHI aingia 18 ZA MAKONDA, APEWA KIBANO KIZITO "NIKISEMA UNALINDA WEZI NITAKUWA NAKOSEA?"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 379

  • @user-wq5vf3rq7o
    @user-wq5vf3rq7o 23 วันที่ผ่านมา +67

    Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 21 วันที่ผ่านมา +2

      Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda

    • @Hmsungu-xn1xf
      @Hmsungu-xn1xf 21 วันที่ผ่านมา +2

      Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake

    • @volcaremigius6881
      @volcaremigius6881 19 วันที่ผ่านมา

      🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika

    • @riazshaikh8577
      @riazshaikh8577 12 วันที่ผ่านมา

      Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 23 วันที่ผ่านมา +28

    Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 23 วันที่ผ่านมา +16

    Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 23 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela 23 วันที่ผ่านมา +12

    wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 23 วันที่ผ่านมา +22

    Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 23 วันที่ผ่านมา +24

    Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧

  • @user-gn9rh7sw7r
    @user-gn9rh7sw7r 23 วันที่ผ่านมา +27

    Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 23 วันที่ผ่านมา +7

    Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 23 วันที่ผ่านมา +14

    Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge

  • @godwinmasoud7180
    @godwinmasoud7180 23 วันที่ผ่านมา +27

    Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae

  • @ommyntigiry9332
    @ommyntigiry9332 23 วันที่ผ่านมา +19

    🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 23 วันที่ผ่านมา +1

      Wakinani wamupe nchi

  • @MukameMachel
    @MukameMachel 23 วันที่ผ่านมา +12

    Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 23 วันที่ผ่านมา +16

    Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 18 วันที่ผ่านมา +2

    Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 23 วันที่ผ่านมา +14

    Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c 23 วันที่ผ่านมา +14

    Mungu atuhurumie Baba piga kazi

  • @costanciamkinga5040
    @costanciamkinga5040 22 วันที่ผ่านมา +4

    Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz
    Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu .
    Big up Mwanawane👏👏

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 23 วันที่ผ่านมา +10

    Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 15 วันที่ผ่านมา

      Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 23 วันที่ผ่านมา +12

    Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe 23 วันที่ผ่านมา

      Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu

    • @Abillsn
      @Abillsn 23 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 23 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?

    • @emmanuelthomas1078
      @emmanuelthomas1078 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔

  • @pascalpetro6623
    @pascalpetro6623 23 วันที่ผ่านมา +12

    Asante Mungu

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 23 วันที่ผ่านมา +14

    Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii

    • @user-kq4by2vd4q
      @user-kq4by2vd4q 23 วันที่ผ่านมา +1

      Hamna ataharibu kwingine

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 23 วันที่ผ่านมา

      we bwana tuaangalia uwezo sio umri

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 23 วันที่ผ่านมา

      Kabisa

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 22 วันที่ผ่านมา +1

      Mkoa unahitaji watu wa system

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 20 วันที่ผ่านมา

      @@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f 23 วันที่ผ่านมา +12

    Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.

  • @ShijaNzenzule
    @ShijaNzenzule 23 วันที่ผ่านมา +7

    Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 23 วันที่ผ่านมา +10

    Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?

  • @kalindimazjkkabuje2562
    @kalindimazjkkabuje2562 23 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee

  • @ThomasErro
    @ThomasErro 23 วันที่ผ่านมา +10

    mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 23 วันที่ผ่านมา

      Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂

    • @racheljephter5486
      @racheljephter5486 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @hairuismail6456
      @hairuismail6456 15 วันที่ผ่านมา

      Hahaha 😅😅​@@taurehassan7399

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 23 วันที่ผ่านมา +11

    HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao

    • @FridaUrassa-pj7yt
      @FridaUrassa-pj7yt 18 วันที่ผ่านมา

      Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 23 วันที่ผ่านมา +5

    Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 21 วันที่ผ่านมา +7

    Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 23 วันที่ผ่านมา +6

    Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 23 วันที่ผ่านมา +3

    Tunataka kiongozi wa aina Gani?
    Tunataka Nini watanzania,,
    Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka.
    Na kuna siku watajua unajua

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 23 วันที่ผ่านมา +3

    Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako

  • @Jeneffershishi-ik4jo
    @Jeneffershishi-ik4jo 23 วันที่ผ่านมา +6

    Congratulation muheshimiwa

  • @user-sp2fu3wh6q
    @user-sp2fu3wh6q 22 วันที่ผ่านมา +3

    Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 23 วันที่ผ่านมา +4

    God bless Mr Makonda ,good job

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks 23 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c 23 วันที่ผ่านมา +6

    Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu

  • @abiudmichael
    @abiudmichael 22 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉

  • @MariamMlowe
    @MariamMlowe 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 23 วันที่ผ่านมา +16

    Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 23 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa hivi 💯 😂😂😂

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 23 วันที่ผ่านมา

      Wanaume mpooooo

    • @IsraelNada
      @IsraelNada 23 วันที่ผ่านมา

      Mh

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 23 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo 7 วันที่ผ่านมา

    Makonda mungu akulinde utarudisha faraja ya Tanzania

  • @Fabianfideltz
    @Fabianfideltz 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤

  • @yusuphwaziri1189
    @yusuphwaziri1189 3 วันที่ผ่านมา

    Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k 23 วันที่ผ่านมา +5

    Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi

  • @MariamMlowe
    @MariamMlowe 2 วันที่ผ่านมา

    Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 23 วันที่ผ่านมา +3

    IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 23 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 23 วันที่ผ่านมา +6

    PIGAA SPANAA MKUU🔧🔧⛓️🛠️💉💊

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf 23 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police

  • @user-cu9sq7yk3z
    @user-cu9sq7yk3z 8 วันที่ผ่านมา

    Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki

  • @RaphaelMmbaga
    @RaphaelMmbaga 16 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli

  • @fadhiliramadhani2402
    @fadhiliramadhani2402 23 วันที่ผ่านมา +7

    Kaka unapambana sana

  • @dunstanchacha2128
    @dunstanchacha2128 23 วันที่ผ่านมา +1

    I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 9 วันที่ผ่านมา

    Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.

  • @user-yf5uq6bl2w
    @user-yf5uq6bl2w 18 วันที่ผ่านมา

    Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA

  • @iddirashidi4753
    @iddirashidi4753 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde Mh Makonda

  • @user-st6lo6if2l
    @user-st6lo6if2l 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana

  • @user-cs2ud6id9e
    @user-cs2ud6id9e 11 วันที่ผ่านมา

    Kuanzia Leo nakuombea Mungu akulinde nenda na kijinini kwetu olturumet Arusha

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 18 วันที่ผ่านมา +1

    Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 23 วันที่ผ่านมา +4

    Piga nyundo hao majizi makubwa

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f 22 วันที่ผ่านมา

    Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.

  • @emanuelawe-ur5hf
    @emanuelawe-ur5hf 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki

  • @PauloKasimu
    @PauloKasimu 12 วันที่ผ่านมา

    Mkuu mungu akubariki Sana kwakutea wananch

  • @justinmasangula2142
    @justinmasangula2142 5 วันที่ผ่านมา

    Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora

    • @justinmasangula2142
      @justinmasangula2142 5 วันที่ผ่านมา

      Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 22 วันที่ผ่านมา +1

    munguakulinde

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 22 วันที่ผ่านมา +1

    Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.

  • @paulmutailuka2417
    @paulmutailuka2417 20 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 21 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,

  • @tresphorymvulla363
    @tresphorymvulla363 3 วันที่ผ่านมา

    I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.

  • @HenryHabeli-iy5dv
    @HenryHabeli-iy5dv 22 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 23 วันที่ผ่านมา +4

    Wanapigwa spana 😂😂😂

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki1317 23 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake

  • @user-vf1gn4gu3s
    @user-vf1gn4gu3s 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 23 วันที่ผ่านมา +1

    Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena

  • @JaphasonSumar
    @JaphasonSumar 22 วันที่ผ่านมา +1

    Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi

  • @abdulibrahim8477
    @abdulibrahim8477 วันที่ผ่านมา

    muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 23 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 23 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda Mungu akulinde maana

  • @abdilillahramadhan9637
    @abdilillahramadhan9637 21 วันที่ผ่านมา

    Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu siku moja atakusaidia

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 23 วันที่ผ่านมา +2

    Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani

  • @saulocharles9306
    @saulocharles9306 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu yupamoja nawe

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 21 วันที่ผ่านมา +1

    Safi Sana

  • @augustinomlewa9662
    @augustinomlewa9662 22 วันที่ผ่านมา +1

    2namshukuru sana mama anaupiga mwingi

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 23 วันที่ผ่านมา +1

    Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi

  • @donathamallya
    @donathamallya 7 วันที่ผ่านมา

    Watu wana ajiriwaje hawa jamani??kujibu tu swala lepesi hivi ,kusema mtu anasimamishwa kwanza kazi ndio anachunguzwa.
    Mhesimiwa kipekee nakupongeza kwa ujasiri Mungu also kupa.
    Mungu akutangulie

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 23 วันที่ผ่านมา +1

    Iko siku Makonda atakuwa Rais wa nchi hii, na wezi watahama nchi

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 23 วันที่ผ่านมา +2

    Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 23 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi ina ishia kwenye mifuko na Yao na mapapa wao wanaokufa Kwa pressure.

  • @Thuhddhjggkhfgnktfdsgbyrt
    @Thuhddhjggkhfgnktfdsgbyrt 23 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa huyu dada mlaini namna hii ataweza kweli kupambana na mala rushwa , mtoto laini kabisa

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 21 วันที่ผ่านมา

      haha😂😂😂😂😂nimecheka mno

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 23 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU akubaliki sana makonda

  • @chande2k250
    @chande2k250 23 วันที่ผ่านมา +1

    Piga KAZI makonda Mpk waelewe tena Tumia spaner Ile ya baiskeli ambayo mult purpose kila kona kaza

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 23 วันที่ผ่านมา +2

    Pigakazikaka hawawanaokuchokonoa nasisitutawachokonoa wanatukerasana mungu awalaaniwote wanaokuchukia

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 23 วันที่ผ่านมา +2

    Hela hapa haziliwi na mtu mmoja no cheni refuuu hii ndo Arusha

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 23 วันที่ผ่านมา +1

    daah huyu ndio raisi wangu wa awamu ya saba huna BAYA makonda

  • @MasawilaGoa
    @MasawilaGoa 23 วันที่ผ่านมา

    Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu