MFANYABIASHARA AMLIPUA MWIGULU MBELE YA WAZIRI MKUU "HATUNA WAZIRI, HATAKI KUSIKILIZA".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 52

  • @TanganyikaChakupewa
    @TanganyikaChakupewa 5 วันที่ผ่านมา +1

    Eeeeee mungu tunaomba huyu msema kweli mungu amubariki sanaaa 🙏🙏🙏

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akulinde kaka yetu

  • @swalhawerema57
    @swalhawerema57 ปีที่แล้ว +4

    Haki ukiwa na uchungu wa utafutaji utajua kabisa ni kiasi gani watu wanavyoumizwa na serikali hii ....watu wanaumia ..wanashindaa kukakataa tamaa sababu kuna family nyuma inawaangalia ....inaumiza Wallah 😢

  • @Bravin116
    @Bravin116 ปีที่แล้ว +3

    The guy Yuko na brain nzuri.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว +3

    Taifa linahitaji viongozi dhabiti, wenye nia ya kweli ya kuwasaidia watanzania. Ee Mungu tunahitaji viongozi kama JPM.

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 7 วันที่ผ่านมา +2

    Hizi nondo so za mchezo Kuna watu na mtu kama huyu wapewe nafasi za kushauri Serekali

    • @iddyjuma8036
      @iddyjuma8036 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kabissaaa

  • @lianaelgomezulu2259
    @lianaelgomezulu2259 ปีที่แล้ว +1

    Mama yetu Rais wetu mpendwa umeona!! Fanya maamuzi mawaziri tajwa hawana nafasi kwenye mioyo ya wadau wao

  • @gabrieljohn6422
    @gabrieljohn6422 6 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli CCM mmefeli kuongoza Taifa letu hata Dodoma juzi maduka yalifungwa kugemea kodi

  • @Life10061
    @Life10061 ปีที่แล้ว

    😂😂😂safi sana kwa ushirikiano wenu MUNGU awabariki sana ... Huyu waziri chemba anazarau sana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ปีที่แล้ว +1

    Wizara yake mpaka sasa inaubadhilifu kwa mjibu wab CAG lakini hataweza kujiuzuru hata ingekuwaje maaana ndiyo aina ya viongozi wasiyotaka kuwajibika

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ปีที่แล้ว +1

    Hawa viongozi wakuteuliwa ndiyo wenyemajibu mabaya Kwa wananchi Kwa kuwa uwaziri wanapewa wa kupewa .Wengine mkilalamika kuhusu tozo wanatwambia hamieni Burundi hivi kweli hii ni kauli ya kuwajibu watanzania kweli

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 ปีที่แล้ว

    Safi sana uyo mwigulu sasa mama ana mtoa meongea wana nchi sasa mama tatmtoa sasa

  • @ljk4006
    @ljk4006 ปีที่แล้ว +1

    Nataman sana kilio chao kisikike,, hii nchi inaelekea kubaya aisee,,, I wsh JPM angekuwepo

  • @jenipherpeter9490
    @jenipherpeter9490 ปีที่แล้ว

    Huyo si ndo alisema tuhamie nchi jirani? 😂😂😂😂😂

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b 4 วันที่ผ่านมา

    Mwiguru kwa kauli zako wananchi was jumbo lako hawakurudishi

  • @merycianajuma-tj2cj
    @merycianajuma-tj2cj ปีที่แล้ว

    Waooow, just waoooow

  • @frankrowland2884
    @frankrowland2884 ปีที่แล้ว +1

    Hapo hatuna waziri unashindwaje kukaa na wanaolipa kodi unapanga yako kichwani unapeleka yawe sheria na umewaacha wanaolipa kodi

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv ปีที่แล้ว

    UKWELI MUHIMU...... THIS IS NEW TANZANIA CHINI YA MAMA.......

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 18 วันที่ผ่านมา

    Serikali yote haifai mungu aiodoe

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 ปีที่แล้ว +2

    Mama umeona we wafanyabishara wako vile hawamkubali waziri wako was fedha anakuharibia kilakitu kwako anasema Mambo mazuri unafurahi lkn ukweli umeona Leo watu walivonahasira na kuchoka kunyanyaswa na tra kwenye nchi yao wanafanya biashara Kama wakimbizi na Hilo hakwambii si mwema kwako

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 ปีที่แล้ว +1

    ni kutoa takataka aliyopo ikulu 2025. haya ndio yataisha

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 ปีที่แล้ว

    Huyu waziri itakuja kumcoast dharau na kiburi hakika yy anafurahia ila Leo mama ataona jinsi huyu mwigul anavomchonganisha mama na wafanya biashara leo mama umeoma badhi tu ya wafanya biashara maduka walivo na hasira huko majumbami mitaani watu hawana furaha kwajinsi waziri wako anavokudamganya kua Mambo mazuri kumbe wafanyabishara wanaugulia moyoni Mambo mazuri kwake na viongozi lkn jasho la damu linavuja huko mtaani kwa makodi makubwa na kuengeza kilasiku kodi mpk Sasa watu wamechoka mama nakushauri huyu jamaa anakuchonganisha nna wengi wamanchi wako hili leo utakua umeliona waziri lazima ukipanga Jambo ushirikishe na walipakodi sio kujiganyia jamaa anangoza kwakuchukia

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 ปีที่แล้ว

    Huyo waziri wetu halafu Ni mama mwoongo Sana huyo hafai kabisa kuongoza watu

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 ปีที่แล้ว

    Mwigulu anajeuli kwasababu anajua yule anayemkumbatia na wanakula wote Nchi hii

  • @sameraafreqe7964
    @sameraafreqe7964 ปีที่แล้ว

    Mama samia fanya uteuzi mwigulu hatumtaki bwana mtoe kwann unamuwacha wakati Watu wapo mpe mbunge wa Bagamoyo Uwazir wa fedha yupo vizury sana

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 ปีที่แล้ว +1

      kani yeye huyo mama ako ana faidi gani ? wakati yeye mwenyewe ni kinyesi tuu

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 ปีที่แล้ว

    Mwigulu ni Hana hekima na hawezi kupata urais

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 7 วันที่ผ่านมา

    Kiamsheni kama kenya hakuna kuanyaaa

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 ปีที่แล้ว

    hatukutaki mwigulu na huyo waziri wa viwanda,kwendeni zenu hamfai hata kuwa wakuu wa wilaya,majizi makubwa hawa

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 ปีที่แล้ว

    Mwigulu elimu haijamsaidia kuwa mnyenyekevu Bali inamfanya kuwa Kama taahira

  • @NurathDaudi-hf6zj
    @NurathDaudi-hf6zj ปีที่แล้ว

    Viongozi Wetu Wanaangalia Matumbo yao tu serikali ya Mama Watumbue

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 ปีที่แล้ว

    Kwel kabisa

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 ปีที่แล้ว

    We mzeee ni nyokoo kiukwer sasaiv kwer watu kwer nime Amin mechoka walah seeee ih ninyiko

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv ปีที่แล้ว

    Umenena kweli..........

  • @maase2023
    @maase2023 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa safi sana

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 ปีที่แล้ว

    Mwigulu is out.🏃‍♂️
    Ila anatumiwa na mama.

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 ปีที่แล้ว +1

    Mama tutolee waziri wa fedha mtoe kabisa

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 ปีที่แล้ว

      atatoka mama yako 2025 na takataka zake

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 ปีที่แล้ว

      @@whatisthetruth.8793 tunaongelea current situation arif u toking of 2025 ! Bruh

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 ปีที่แล้ว

    Yan mwigulu fala sana

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 ปีที่แล้ว

    Nchuki shabani kumbe wewe ndo Christian bella alikutaja kwenye nyimbo yake ya umeondoka huku hali yangu sio shwari

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn ปีที่แล้ว

    Mpka leo samia bado anamlinda huyunjamaaa iseeh

  • @olaismoses5186
    @olaismoses5186 ปีที่แล้ว

    Kula chuma ikoo😂

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 ปีที่แล้ว

    Mwigulu ajitafakari

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn ปีที่แล้ว

    Serikali wakipunguza makodi kwa wafanya biashara hiyo mishahara wataitolea wapi?

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 ปีที่แล้ว

      Matakoni mwako

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn ปีที่แล้ว

      @@abdallahally842 we mbuzi ww umefahamu vp kwani?

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 ปีที่แล้ว

      We paka shume soma utumbo ulioandika then ndio uniulize nimefahamu nn kwahio wafanya biashara wateseke kwa makodi ya ya manyanyaso ili walipane kodi? Wapumguze wafanyakazi au waache kuiba mabilioni serekalini ili walipane mishahara umeongoa ushuzi

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn ปีที่แล้ว

      @@abdallahally842 Tatizo hujielewi mbwa ww kwa sababu kupunguza wafanya kazi na kuacha kuiba mabilioni serikalini ilikuwa ndio jibu na sio matusi mpuuzi mkubwa we ng'ombe usiye na mchunga

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 ปีที่แล้ว

      @@IbnuAlly-cg2gn hebu acha ushoga soma ulichoandika au hujui kuandika unaamdika ushoga halafu unasema umesema serekali ipunguze wafanyakazi wp umeandika hivo ulichoandika wakipunguza kodi wafanyakazi watalipwa na nn ndicho ulicho andika nikakujibu watalipa matako yako Sasa unapanic nn wkt unaamdika kitu Cha kipuuzi