OSTAZ AOMBA ULINZI KWA WAZIRI MKUU BAADA YA KUWANYEA TRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 117

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 ปีที่แล้ว +9

    Waziri mkuu umefanya vizuri sana kuchukuwa machungu kwa kila mmoja na watu wamefunguka kero zao zote kwa uhuru nashukuru Asante sana

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko ปีที่แล้ว +9

    Hongra mh waziri mkuu mola akuongonze kwa kuwatetea wa Tanzania

  • @leonardnelson5307
    @leonardnelson5307 ปีที่แล้ว +6

    Wachane ostadh 😢😢😢#biashara zetu ndio maisha yetu👏👏👏👏

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +9

    Kikubwa utekelezaji mkuu na SI kusikiliza tu.

  • @renatusmahombwe3093
    @renatusmahombwe3093 ปีที่แล้ว +8

    Ni kweli China inalinda wananchi wake katika suala la biashara duniani kote

  • @KabijSaib
    @KabijSaib ปีที่แล้ว +5

    Waziri mkuu anaupendo na huruma sana

    • @rojatv167
      @rojatv167 ปีที่แล้ว

      Niwajibu wake

  • @fadhilinzano5840
    @fadhilinzano5840 ปีที่แล้ว +5

    Spirit ya Magufuli naiyona ndani ya waziri mkuu Ana uchungu na nchi na huu ndio mwenendo wa magufuli alikuwa anaongea na mtu wa chini na waziri mkuu ndio anachofanya mungu ibariki Tanzania waziri wetu kasimu majaliwa awe raising wetu

    • @yesuanikumbukejanuary8363
      @yesuanikumbukejanuary8363 ปีที่แล้ว

      Nikweli kabisa wazili mkuu alifaa awe RAISI wetu sema basi nampenda buree ana ijua shida ya wa tu wahali ya chini jamaani watu wana ungua na maisha nyie acheni tuu.

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz ปีที่แล้ว +4

    Maajabu mdada ashangilia mpaka kuvua nguo zote kisa yanga wamefunga magori 2

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it ปีที่แล้ว +10

    Huyu ndio waziri mkuu

  • @ezekiasanga9320
    @ezekiasanga9320 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana mkuu waziri

  • @ahmedmukolwe43
    @ahmedmukolwe43 ปีที่แล้ว +5

    Uncle Magu we miss you for sure

  • @rabiahamadi5866
    @rabiahamadi5866 ปีที่แล้ว +9

    Mzee usingetaja sehemu unayokaa lakini big up baba angu

  • @ismailysaidy884
    @ismailysaidy884 ปีที่แล้ว +4

    dah wee jamaa gombea urais mimi ntakupigia kampen buree

  • @maisarahnassoro814
    @maisarahnassoro814 ปีที่แล้ว +3

    Tena mheshimiwa huyu ana upendo na huruma na akisimamia jambo analisimamia kweli inn shaa Allaah ipo siku utakua Rais inn shaa Allaah Allaah akupe afya njema umri mrefu wenye furaha na Allaah akupe mwisho mwema husnulkhaatima hii coment inn shaa Allaah nitakuja kuisoma tena kipindi hicho ushakua rais

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g ปีที่แล้ว +3

    Muheshimiwa sisi watu wachini tumenunua hisa kwenye makampuni simu kwa ushawishi wa serekali mimi nimenunu his 5500 kwa kampuni ya vodacom kwathamani ya karibu milioni tano toka mwaka 2017 ila kila mwaka wanatangaza asara wanafanya biashara kwa fedha zetu sisi hatupati kitu hiyo nisawa?, muheshimiwa waziri mkuu au mnamkono wenu hapo?, maana tumenunua hisa kwenye mabenki ya serekali.

  • @hashimgovea4070
    @hashimgovea4070 ปีที่แล้ว +2

    Ewe mwenyezi mungu mjalie afraid njema kipenzi cha watanzania mh,Waziri mkuu wetu huyu ndio kimbilio wa wanyonge

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu ni mtu sahihi sana kwenye hili Taifa ila mabosi wake wanamwangusha.

  • @niahpike8593
    @niahpike8593 ปีที่แล้ว

    Ccm wakija leta ujinga wakazika alichopanga Mungu juu ya Uyu mh Waziri mkuu haki watapata laana mbaya sana

  • @rahamamohd3075
    @rahamamohd3075 ปีที่แล้ว +9

    Baba Mungu akulinde

  • @goodluckmlaki5595
    @goodluckmlaki5595 ปีที่แล้ว

    Yaan inasikitisha Sana kuona jinsi watu wananyanyasika na utakuta nikakijana kamepata kazi TRA KANAWANYANYASA WATZ WENZAKE

  • @nuryally7015
    @nuryally7015 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana waziri mkuu hakuna kama wewe

  • @rashvokotz1205
    @rashvokotz1205 11 หลายเดือนก่อน

    🙏🤝kwel sana anacho sema mzee

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 ปีที่แล้ว +1

    Wafanyakazi wa Serikali hawaliziki namishahara wanashindana kujenga majumba yakifahari kwa dhuruma kuibia serikali nawanchi kiujumla

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 ปีที่แล้ว +2

    Safii Sana Waziri mkuu

  • @FRESHSLEEMAHMED
    @FRESHSLEEMAHMED ปีที่แล้ว +5

    Kweli kabisa shehee wangu

  • @habibarashdi2250
    @habibarashdi2250 ปีที่แล้ว +2

    Watu wamefunguka Sana maskini km jpm alivyokua anafanya

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 ปีที่แล้ว +3

    Daa inasikitisha

  • @leonardnelson5307
    @leonardnelson5307 ปีที่แล้ว +3

    MUNGU atakulinda

  • @KabijSaib
    @KabijSaib ปีที่แล้ว +3

    Umefunguka kwa uchungu mnooo

  • @mihambomahona8129
    @mihambomahona8129 ปีที่แล้ว +2

    Aje awe Rais wetu badae huyu mwamba

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sn

  • @erickmahona5357
    @erickmahona5357 ปีที่แล้ว +3

    Rip magufuli

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 ปีที่แล้ว +1

    Kaka ❤❤❤

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 ปีที่แล้ว +2

    Hii inchi wakabiziwe wafanya biashara tyu

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 ปีที่แล้ว

    VIONGOZI WOTE WANGEKUA WANASIKILIZA MATATIZO YA WANACHI TUNGEKUA MBALI LKN MPK WAZIRI MKUU.SHIDA TUPU.

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp ปีที่แล้ว

    Bora waziri mkuu mupite kwa wananchi kwani wale tulio wachagua wanalala na kuchati tu kwenye bunge

  • @ELPHAZJAVANAMONAMON
    @ELPHAZJAVANAMONAMON 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa mashekh ndo walikuwa wapingaji wakuuu wa magufuli walimchukukia Sanaa, ila amekubli hakuna wakati mgumu kwao kamavawamu hiii ya samia ,ama kwel magufuli ni alale pema pepon

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 ปีที่แล้ว +3

    Mzee katema cheche😂

  • @athumannyiddy1886
    @athumannyiddy1886 2 หลายเดือนก่อน

    Waziri angefaa kua raisi wangalau tungeinjoi

  • @JustineMwarabu
    @JustineMwarabu ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa ulicho kisema shee umeongea poity tupu

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 ปีที่แล้ว +2

    Daaaa watu kama hawa wajengewe masanamu😂

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 ปีที่แล้ว

    Achani kuwabeba waharifu mtu akikosa mfukuze muweke mwingine kuliko kumhamisha ni kosa la jinai

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 ปีที่แล้ว +1

    Najuwa wazarendo watakuunga mkonooo mkuu ila

  • @saalaf8325
    @saalaf8325 ปีที่แล้ว +2

    Naam mze watufikilie

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 ปีที่แล้ว +2

    nihasira mpaka nimekosea kuandika ni mawaziri wakuvaa nemboo yataifa wanajiita wazalendo

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 ปีที่แล้ว +1

    Hmnakitu hpo alikuwA jpm tu Hakuw namzaha kbs

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. ปีที่แล้ว

    TRA ,kumamae zenu

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 ปีที่แล้ว +2

    Huyu anaemsifia waziri wafedha huyu nikibaraka waserekari

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kawanyea 😄😄😄😄😄

    • @rehema971
      @rehema971 ปีที่แล้ว

      Hali ni mbaya sana Kwa ajili majiji ni waizi huwa wanapewa rushwA watu wasikate leseni mapato yanapotea sana na waokata leseni. Wanashidwa kuliba mapato Kwa sababu wanauza beii ya chini

  • @annadaudi3114
    @annadaudi3114 ปีที่แล้ว

    Hii nchi tunaishi Kama watumwa ndani ya nchi yetu loooh Hawa mbinguni hawaendi

  • @rahamamohd3075
    @rahamamohd3075 ปีที่แล้ว +2

    Wa kwanza leo like zangu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm ปีที่แล้ว

    Mchina analipa kodi laki mbili tu? Kwa pato lipi? Kodi I naenda a na pato. Huyu mchina na huyu kaka ni Sawa na mchina msambazaji kweli?

  • @JemsiMbilinyi-if5ho
    @JemsiMbilinyi-if5ho ปีที่แล้ว

    Zambia Raha sn sukar buku jelo bongo buuku jelo

  • @KabijSaib
    @KabijSaib ปีที่แล้ว +1

    Mubunge alievalia suti blue da,kapendeza❤

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 ปีที่แล้ว +1

    RIP JPM🙏😢🇹🇿

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 ปีที่แล้ว

    Waziri wa fedha atimuliwe hivi huyu mama anasikia watanzania wanavyoumia lkn? Waziri mkuu nakukubali lkn km waziri wa fedha ataendelea kuwepo madarakani basi ata wrwe ni walewale tuu, mtikisiko woote huu bado mumukumbatie tuu, atatuibia mpk tukome labda km na nyie mna asilimia zenu huko kweny hiyo dhuruma wanayofanya wazir wa fedha na vijana wake

  • @semenimpanda-lr7om
    @semenimpanda-lr7om ปีที่แล้ว +1

    Ongea baba

  • @musagodfrey5729
    @musagodfrey5729 ปีที่แล้ว

    Nikimkumbuka yule kijana aliyenikadiria mapato TRA nikashindwa kulipa mpka nikafunga biashara nikaja kutana nae kanisani da! Roho iliniuma na mpka sasa nikimkumbuka Roho inauma.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 ปีที่แล้ว

    Walikuwa wanasema wakati wa JPM ndo ulikuwa mgumu ,ila huu hapana wakati huu ni zaidi ya jehanamu ,maisha magumu uuuu dhuruma zimezidi wanadharau kama hawatakufa lakini wanajidanganya MUNGU hatowaacha salama ,atashughulika nao

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 ปีที่แล้ว

    TRA wanahitaji usimamizi angalau hata MWKT wa ccm mkoa ahakikishe wanatumia sheria za biashara kwa manufaa ya wafanyabiashara, na walaji ili waache kuzipindisha ama kuzigeuza fimbo kwa wananchi kisa hakuna mtu wa kuwafuatilia,wanakua wannyama waroho wasio na utu wala uaminifu katika nafasi zao!

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 ปีที่แล้ว

    Dah TRA wezi kabisa badala ya kuifaidishs serikali ela wanaweka mifukoni mwao

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 ปีที่แล้ว

    Kweli ,foreigners sioni haja yao kufanya biashara za wazawa wakawekeze kwenye miradi mikubwa huko na walipe kodi zote maana hata sisi hatupewi nafasi ya kumiliki hizo kampuni

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 ปีที่แล้ว

    Mtasema lkn hao ccm n wafanyakazi wao

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    inaonekama wafanya biashara kariakoo wengi usalama na ccm ndomana hamna mamuzi mkifunga maduka wiki 2 watatuliza wenyewe hao mnalalamika mnaleta siasa jampen za ccm hizi ni njama tu miaka 50 mnalalamika

  • @FrancisKibona-n6o
    @FrancisKibona-n6o ปีที่แล้ว

    Watu lazima wafunguke

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 ปีที่แล้ว +1

    Tunashukuru sn mze wangu

  • @SilasiInnocent
    @SilasiInnocent ปีที่แล้ว

    Namkubar waziri wetu 2:24

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv ปีที่แล้ว

    Wamekua wiziii sanaa hao jamaaa wananunua magari tuuu herazetuuu niwezi ndioo 😢😢😢

  • @wisealiy
    @wisealiy ปีที่แล้ว

    @Mbengo Tv Kajifunze lugha ya Kiswahili ili uweze kuzungumza na kuwasilisha taarifa vizuri. "kengere"

  • @etoyi2664
    @etoyi2664 ปีที่แล้ว

    Tanzania tumeshama tumehenda Kenya hatulipi Kodi Kama machinga

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 ปีที่แล้ว

    Waziri Mkuu MUNGU akuingize IKULU baba

  • @hidayapaulo6752
    @hidayapaulo6752 ปีที่แล้ว

    Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja🤐

  • @chinganasoMungo-vv9cz
    @chinganasoMungo-vv9cz ปีที่แล้ว

    Beka favour =

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 ปีที่แล้ว

    Katba mpya ndo suruu ya hao hao kwn wameanza leo ??

  • @richardjmadebe727
    @richardjmadebe727 ปีที่แล้ว +1

    Police kweli wezi unajua sababu hawalipwi sitahiki zao Askari anahamishwa zaidi ya vituo vitano halipwi pango halipwi sare maji umeme anapeleka mhalifu mkoa Hadi mkoa zote ni garama zake anatumia mshahara wake unategemea Nini? Ataishi vp? Lazima tafute kipato Cha ziada

    • @fredrickkagusa3915
      @fredrickkagusa3915 ปีที่แล้ว +1

      sawa bora uache kazi kuliko kuwa kazini kazi ambayo haina manufaa kwa mhusika ni dhambi kuchukuwa pesa ambayo ipo kinyume na utaratibu yesu aliulizwa na askari na sisi je tufanye nini akawaambia rizikeni na mishahara yenu hivyo kama kazi ni kikwazo ni bora uache pia yesu alisema yuaheri mtu akaingia Mbinguni akiwa anachongo kuliko kuingia kamili ilihari jicho limekukosesha

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 ปีที่แล้ว +1

      @@fredrickkagusa3915 umetish sana kwanukuuu hzo

    • @masaimollel2525
      @masaimollel2525 ปีที่แล้ว +1

      @@fredrickkagusa3915 ongera sana ujumbe mzuri

    • @masaimollel2525
      @masaimollel2525 ปีที่แล้ว +1

      Hacha kazi kwaiyo nawewe si ugome ili serikali ifanye Kuja kuongea nanyi km hivyo kuliko kuwaumiza watu ambao hawana hatia

  • @AmedeKaishe
    @AmedeKaishe 3 หลายเดือนก่อน

    Ozaa

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 ปีที่แล้ว

    Weka kauli mzuri mbona walio pita hukusema ma pasta wamepita kavaa kanzu

  • @KabijSaib
    @KabijSaib ปีที่แล้ว +1

    Safi sanaaaa sheheeeeee❤❤❤❤

  • @emmanuelbaldwin4822
    @emmanuelbaldwin4822 ปีที่แล้ว

    Vichee

  • @AndersonMakala-vm6im
    @AndersonMakala-vm6im ปีที่แล้ว

    Ostazi

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 ปีที่แล้ว +2

    Hao unaowashukuru ndio wezi wenyewe

  • @HajiSilima-r6m
    @HajiSilima-r6m ปีที่แล้ว

    Hakuna mtu anaekwenda mbinguni

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 ปีที่แล้ว

    Ustaz aneamua kuunguza utambi

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh

  • @JapharSaid-yj3sh
    @JapharSaid-yj3sh ปีที่แล้ว +1

    Xxxxxxxxxx

  • @mwakondoyakub2444
    @mwakondoyakub2444 ปีที่แล้ว

    Kweli tupu

  • @EmanuelHabimana-i4m
    @EmanuelHabimana-i4m 8 หลายเดือนก่อน

    Muzzekachiwajembe semaamekakosawongoziwakumirikihekaa iriajuweanavoyirimavizuri&😂

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 ปีที่แล้ว

    Mmmhhhhh

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw ปีที่แล้ว

    Vizuli

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 ปีที่แล้ว

    Ndio maana watu wanaugua magonjwa mengi wakishastahafu kwa sababu ya dhuruma
    Wanatenda dhuruma nyingi wakati wakiwa kazini na kutumia vibaya madaraka yao😢

    • @maisarahnassoro814
      @maisarahnassoro814 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli watu wanadhulumiwa hawana cha kufanya wanamhukumia kwa Mungu ndio maana yanawakuta madhila

    • @mariamjuma4136
      @mariamjuma4136 ปีที่แล้ว

      @@maisarahnassoro814 yaani baadhi wajui kama dhuruma mbaya dhuruma ina felisi
      Dhuruma inaleta maradhi dhuruma ina felisi
      Dhuruma inaondoa kheri
      Ukidhurumu unajidhurumu mwinyiwe MUNGU apabariki penye dhuruma
      Wengijua ubaya wa dhuruma wengiiogopa Ata shilingi moja

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 ปีที่แล้ว

    Wewe ndio kidume

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 ปีที่แล้ว

    sure

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 ปีที่แล้ว

    Sawa sawa sheikh wangu

  • @Eliaskihagatv
    @Eliaskihagatv ปีที่แล้ว

    Hongera sana ostaz

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 ปีที่แล้ว

    Rais

  • @TitusBett-rl6gu
    @TitusBett-rl6gu ปีที่แล้ว

    Wow 🎉

  • @Issaissa-dg7yn
    @Issaissa-dg7yn ปีที่แล้ว

    Issa

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤

  • @BabuJuma-ze6to
    @BabuJuma-ze6to ปีที่แล้ว +1

    Shukrani nawe