MAPYA; DUDU BAYA AMLIPUA TENA DIAMOND, NAJUA SIRI ZAKE ZOTE NA P DIDY, TAMAA MBAYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 227

  • @richardJanson-h7c
    @richardJanson-h7c 4 หลายเดือนก่อน +9

    Ubarikiwe sana dudu baya

  • @FatmaOmary-e1l
    @FatmaOmary-e1l 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ubalikiwe sana dudu baya mungu azidi kukupa himani iyoiyo uliyo nayo nakupenda sana🥰🥰🙏🙏🙏🙏

  • @PeterMJanga
    @PeterMJanga 2 หลายเดือนก่อน +3

    Unamfaa sana Mungu akupe neema ya wokovu ili umtumikie sana katika zama hizi

  • @emilyrissling9703
    @emilyrissling9703 16 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa ujasiri wako wa kuweka dhambi hadharani mungu akulinde

  • @patrickekal268
    @patrickekal268 4 หลายเดือนก่อน +6

    Dudu Baya uko Sawa kabisa ...nakuskiza from Lodwar.Kenya.

  • @AminaMkunda-o1z
    @AminaMkunda-o1z หลายเดือนก่อน

    Naitwa Amina dudu.baya umenifungua macho mungu akubarki sana uwe na maisha mema

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 หลายเดือนก่อน +3

    DUDU BAYA, uko vizuri, mute Yesu akutumie Roho mtakatifu afundishaye, akuachanishe na AINA YA WATU WABAYA, NA KAMA UNAFUNDISHA FUNDISHA KWA LUGHA NZURI ISIYO NA MATUSI SABABU ULIMI WAWEZA KUTELEZA UKAJIKUTA WATU WANASHTUKIA WAKIHOFU MAJIBU SOYO SAHIHI 😊TUNAKUPENDA AKILI YAKO NA MAARIFA PEVU

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 4 หลายเดือนก่อน +30

    Uko sawa kabisa Dudu baya wanawake wengi wanacomment matusi juu yako lakini kiukweli uko sahihi kabisa na Mimi nakuelewa saana

  • @yusuphmajaliwa-ik9qb
    @yusuphmajaliwa-ik9qb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nice kaka

  • @FadhiliLimba-y4j
    @FadhiliLimba-y4j 4 หลายเดือนก่อน +2

    Bigger upp Sana Mr Dudu kichwa chako ni kitabu Cha uchambuzi lakini hakiuzwi

  • @IbrahimShelimo
    @IbrahimShelimo หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu san

  • @KadabizoKadabla-hv4nc
    @KadabizoKadabla-hv4nc 3 หลายเดือนก่อน

    oyaaa blaza dud uko poa kak
    🎉🎉😊 8:42

  • @donlee9992
    @donlee9992 4 หลายเดือนก่อน +4

    Upo vzr mkuu mkwel sana🙌🙌

  • @AhmedHImran
    @AhmedHImran 4 หลายเดือนก่อน +10

    Dudu Allah akuongoze Muslim madam unaamin Muhammad na issa bin Maryam yaani yesu umebakisha shahada tu ndugu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @HamisiMlanda
    @HamisiMlanda 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nimefurai sana yesu na Muhammad anawapenda jambo Zuri sana endelea kuwafunza niko 🇰🇪

  • @MsamyJunior
    @MsamyJunior 4 หลายเดือนก่อน +14

    Aliemzaa Dudubaya (mamba) mungu anamuona kwakweli 🤣🤣

  • @SarahMayunga
    @SarahMayunga 3 หลายเดือนก่อน +2

    Unaona??...alivyopata shida tu alikimbia kwa mama yake ....sio kwa baba yake !......a mother has the ability to solve problems .....yeye mwenyewe amejicontradict hapo ... kama kulelewa na mama tu ni utaila kwann alimtegemea mama yake wakati wa shida ????

  • @jumakitadu8674
    @jumakitadu8674 4 หลายเดือนก่อน +6

    Umeongea ukweli sana, ila mbona umedhoofu sana kiafya

  • @CashKassim
    @CashKassim 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dudu Kati ya siku nimekupa salute Leo uko sahihi

  • @FrenkUrassa
    @FrenkUrassa 4 หลายเดือนก่อน +6

    Aise we jamaa uko sawa kabisa

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 หลายเดือนก่อน

    DUDU BAYA basi Asante 😊😊😊😊

  • @vincentmbaire2666
    @vincentmbaire2666 4 หลายเดือนก่อน +6

    Dudu baya anasema kweli

  • @paullameck-r5j
    @paullameck-r5j 4 หลายเดือนก่อน +18

    Yan shida ya wabongo ukwel hawautaki wanataka uongooo

  • @AbdulrahmanHanga-m9z
    @AbdulrahmanHanga-m9z 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baba atabaki kuwa baba,Miezi 9 ya mtoto tumboni kwa mama kabeba mtoto wa Baba na haipingwi Kaka Dudu Baya A.K.A Mamba,Konki Master 👊👊👊 🤟🤟🤟.

  • @AbubakarMwiny
    @AbubakarMwiny 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe mwisho mwema

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael 4 หลายเดือนก่อน

    Haleluya tuna Yesu haleluya

  • @samueliha3159
    @samueliha3159 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dudu Baya huo ni ukweli kabisaa mimi nko Kenya na habari hizo ni za ukweli

  • @shafiisound4115
    @shafiisound4115 3 หลายเดือนก่อน

    Upo sawa mkuu

  • @paullameck-r5j
    @paullameck-r5j 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nyie hata mtukane dudu baya nd kashapigilia msumali😅

    • @AhmedHImran
      @AhmedHImran 4 หลายเดือนก่อน

      Ndiii haogopi wala nini yuko more fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 yaani huyu na magufuli wako njia moja

  • @eddyedduu6912
    @eddyedduu6912 4 หลายเดือนก่อน +6

    Malaya inawauma lakini ndio ukweli. Baba ni kiungo muhimu sana.

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 4 หลายเดือนก่อน +3

    10:30 # ku..m hahahah 😂😂😂😂

  • @imanikapinga242
    @imanikapinga242 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu Mambaz mnyamwezi uko vizuri kaka hakika unatia moto NAMI nimgeukie Mungu

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa bado unasibiri nini? Angalia usichelewe

  • @Barcher4868
    @Barcher4868 2 หลายเดือนก่อน

    Sio kweli...😂😂...

  • @SayariBrand-i2i
    @SayariBrand-i2i 4 หลายเดือนก่อน +10

    Mwenyezi mungu akujaalie uslimu

    • @DaudiMakaza
      @DaudiMakaza 4 หลายเดือนก่อน

      Mjinga aslimu aje kw mapepo

    • @hamimhamis-dx5cv
      @hamimhamis-dx5cv 4 หลายเดือนก่อน

      Mpepo yako kanisani na yanaamoni Yesu ni mtoto wa Mungu.​@@DaudiMakaza MARKO 3:11

    • @AngelMazola
      @AngelMazola 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@DaudiMakazaNamimi ndio nashangaa cjui anataka akamfunze kufuga majini mmhh!! Ashindwe kwakweli

  • @EdwardMutuura-j6w
    @EdwardMutuura-j6w 2 หลายเดือนก่อน

    Waaa!dunia imeisha

  • @Zainab-k3l6b
    @Zainab-k3l6b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sio kila anaelelewa namama anakuwa chizi siokweli haomachizi nihakilizao sababu mwingine unaolewa mume akafaliki akamuachiamke watoto wadogo je aamini analeamachi

  • @cosmasmkemwa4932
    @cosmasmkemwa4932 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka Mungu akupe Maisha maref San

  • @giftgeza3662
    @giftgeza3662 4 หลายเดือนก่อน +7

    Dudubaya oil chafu😂

    • @AhmedHImran
      @AhmedHImran 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu hajuiagi kunyamaza yaani na mpenda kwa ukweli wake wallahi yeye na ney wa mitego more fire 😂😂😂😂😂😂

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน

    Sio kweli kuna kina mama bora kwa malezi kuliko baba. Na tafauti na hiyo.

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli huwa na kukubali ila kuhusu kusema et mtoto asie lelewa na baba et nitahira siyo wote mamba naje nawale wakataliwa na babazao napia nawale waliyo poteza wazazi wao wakiwa wadogo na mpakaleo wako na mamazao je wafanyeje wajiuwe?.

  • @Extraordinarynation
    @Extraordinarynation 4 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂ukweli unauma

    • @lamekkauka9056
      @lamekkauka9056 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli ukweli unauma

  • @halimaabdullah3196
    @halimaabdullah3196 4 หลายเดือนก่อน +5

    Kaka unau baguzi umemtaja yesu ume mtaja mtume hongela mungu akuta ngulie

  • @eliashindanoalexis
    @eliashindanoalexis 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nacho kupendeya ni pale unavyo samanisha dini zote kumpenda yesu kristo nakumupa utukufu bila ku zarauilisha naku muacha mtume muhamadi
    Pastor elie from Bujumbura

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน

    Dia alikuwa anampenda sana Konde hajawahi kumPDD ?

  • @skadyyustaph-s5d
    @skadyyustaph-s5d 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenyez Mungu atakuja yesu atakapokuja

  • @SevelineMussa
    @SevelineMussa 4 หลายเดือนก่อน +3

    Usihukumu usije ukahukumiwa Mungu TU anajua!

    • @SevelineMussa
      @SevelineMussa 4 หลายเดือนก่อน

      Jaman! Sielewi mala Yesu mala Mohamed mhuu!

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii fani ya burudani imeingiliwa na shetani wasanii wote kama Akina dudu baya wamemezwa na upepo mbaya na kwa sababu ya kukosa mitaji kumiliki studio zao basi wamezimwa..
    Shetani ameharibu Sana Dunia ndiyo maana mimi binafsi siipendi Marekani...
    Marekani amechafua Sana dunia ya mwenyezi mungu

  • @KhamisFeysal
    @KhamisFeysal 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu je kalelewa na baba

    • @andrewmallya1704
      @andrewmallya1704 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio ....yosefu

    • @Kidotii
      @Kidotii 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio Yusufu

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 4 หลายเดือนก่อน +9

    Dudu baya ujengewe sanam

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bola mfazili mbuzi sio dudubaya😅

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 4 หลายเดือนก่อน +2

    Watu bhana wanamponda wakati anasema kweli? Mashoga ni wengi wcb

  • @SAMUELNDUNGU-bw6nr
    @SAMUELNDUNGU-bw6nr 4 หลายเดือนก่อน +3

    Niko Kenya na hayo mambo Ni ukweli kabisa

    • @MohBillo-t1f
      @MohBillo-t1f 4 หลายเดือนก่อน

      Kuwa kenya c sababu uliona?

    • @MohBillo-t1f
      @MohBillo-t1f 4 หลายเดือนก่อน +1

      Baba c Mwenyezi Mungu umekosea

  • @SarahMayunga
    @SarahMayunga 3 หลายเดือนก่อน

    Some people are just used to putting all the blame on women without taking any responsibility for their contribution to the problem .....

  • @BobErick-er6qm
    @BobErick-er6qm 4 หลายเดือนก่อน +1

    True dudubaya we love u +254

  • @donlee9992
    @donlee9992 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yupo true uyu jamaa..

  • @yakoboPhinias-gx5ob
    @yakoboPhinias-gx5ob 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwann usingeenda Kwa baba Yako ulivyougua koz walio lelewa na mama umesema niwajinga

    • @LusekeloSikaponda
      @LusekeloSikaponda 4 หลายเดือนก่อน

      Kwan nyie mbuz hamuoni mazuli yake ad mnachambua yanayowagusa.

  • @MagnosFernandoJoão-t2g
    @MagnosFernandoJoão-t2g 4 หลายเดือนก่อน

    Eu concordo contigo isso é verdade

  • @CorneliaKisinda
    @CorneliaKisinda 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MWETEAHMDI-q4r
    @MWETEAHMDI-q4r 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona ss utaki p d

  • @omarymganga4647
    @omarymganga4647 4 หลายเดือนก่อน

    Watapigwa miti mpaka wakome,😂😂😂 futa litawahusu😂😂😂😂

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @Mulei-Nasibu
    @Mulei-Nasibu 4 หลายเดือนก่อน

    Ungeandamana na Ricado Momo nawe Dudu baya 😂😂😂

  • @Slim553
    @Slim553 2 หลายเดือนก่อน

    Weeee alaaar kumbe niukweli diamond anawafira vijana vywa watu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 หลายเดือนก่อน +4

    SIYO WOTE BWANAA. KUNA WATOTO WAMELELEWA NA MAMA ZAO NA WAMEFANYA VIZURI KULIKO HAO WENYE MABABA. LABDA WALE WENYE MAMA WA HOVYO.

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 4 หลายเดือนก่อน

    Nyie ndio mmetumika sana kuiharibu Dunia wasanii

  • @mudasumbwabahati1496
    @mudasumbwabahati1496 4 หลายเดือนก่อน

    Uko matter kweli dudu baya tena unaongeyaka ukweli bro hata kama watu hawapendaki ukweli 💪💪💪💪💪

  • @binaoci.8
    @binaoci.8 4 หลายเดือนก่อน +1

    Every fact

  • @aminajumashakombo1549
    @aminajumashakombo1549 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mm namuelewa sana uyu dudu baya...kusema za ukwel mnaona ni kama anasema vibaya lakn ni kweli baba ata akutelekeze akukane sie sisi watt hatuna haki ya kumlipa ubaya sisi tutende wema kwa wazazi wetu wawiili haijalishi nini wametufanyia tuwaachie MUNGU watapata hukumu yao wanaostahili

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 4 หลายเดือนก่อน

    Wàkati unataja aibu za watu usisahau nazakwako 😮

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 หลายเดือนก่อน

    Manabii hawakutaka wao watende waende zao , bali mungu ndio alitaka hivyo . Hawa manabii hawatendi mapenzi ya mioyo yao , wala hawahukumu kwa mapenzi yao , bali wanatenda mapenzi ya mungu .

  • @Jascaevaristo
    @Jascaevaristo 4 หลายเดือนก่อน

    Haleluya

  • @mteule1976
    @mteule1976 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dudu baya sio mtu wa kumuambia siri zako hana kifua

    • @AzaAzamhmod
      @AzaAzamhmod 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @AbdulHamidBakar
      @AbdulHamidBakar 4 หลายเดือนก่อน +3

      , 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @PapiiGosugosu-f7z
      @PapiiGosugosu-f7z 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @IshaHussen-l9q
    @IshaHussen-l9q 3 หลายเดือนก่อน

    Umeongea kweli kabisa ambae anauwezo wakuelewa naamini atajifunza kitu

  • @birorichantal3610
    @birorichantal3610 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @MsamyJunior
    @MsamyJunior 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jibu kama mtoto ulielelewa na bimkubwa 🤣🤣

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂ni limzigo la mamaaaangu

  • @MWETEAHMDI-q4r
    @MWETEAHMDI-q4r 3 หลายเดือนก่อน

    Vp kk damond wee choko wa p d

  • @NeemaGrace123
    @NeemaGrace123 4 หลายเดือนก่อน

    Dunia sio mbaya ila wanadamu waliomo ndo wabaya ni huzuni sana 😢

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe MWENYEWE ulivo na Tabia za ajabu unaonekana tu ni mzigo kwa mamaako

  • @IbrahimShelimo
    @IbrahimShelimo หลายเดือนก่อน

    Wanaumupinga warisha endauko

  • @PATRICKMASHAURI-fs9ib
    @PATRICKMASHAURI-fs9ib 3 หลายเดือนก่อน

    #dudubaya waambie kuwa maisha ukiruka formula au stage lazma kikukute kikubwa wawe makini maana wanaume tumebaki wachache #wolfsim@

  • @sosaseaman
    @sosaseaman 2 หลายเดือนก่อน

    Jaja jaja 😂jaja 😂 😂

  • @OlivaOnesmo
    @OlivaOnesmo 4 หลายเดือนก่อน

    Ila kweli watoto weng ambao wamelelewa na mama hawana maadili mazur....nimeshihudia wengi...

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 4 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu atakufa kwa pombe apunguze😢

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 3 หลายเดือนก่อน

    Waambie ukweli ukweli siku zote unauma na masanii mengi siyaamini ni hatali

  • @khalfanhamadi3616
    @khalfanhamadi3616 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa iambie jamii na ww uliliwa huko Arushaaa au?

  • @AdamuKisoro
    @AdamuKisoro 4 หลายเดือนก่อน

    Mpe vidonge

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน

    Kama wanabisha asemayo Dudu basi waende wakapimwe matako watuletew majibu live.

  • @Sophia-o8k6i
    @Sophia-o8k6i 4 หลายเดือนก่อน +1

    We dudu akili huna kwani uyo mtoto mwelevu alikaa tumboni kwako acha ubwege alafu sikuzote pombe sio chai. Na ndomaana ata wazazi wako walikuita dudu tuachie utaila wako🙏🏻

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 2 หลายเดือนก่อน

      Hujui kitu ndugu

  • @anthonytetema2728
    @anthonytetema2728 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 4 หลายเดือนก่อน

    Naona Mamba kashachachuka kichwani tayari K-Vant imeshahusika.

  • @the_gunners
    @the_gunners 4 หลายเดือนก่อน

    Dudubaya ndio mtanzania pekee ninayeweza keti nikamsikiliza, ndio maana uyu jamaa chuo alisomea kenya 🇰🇪

  • @SarahMayunga
    @SarahMayunga 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna wengine wanalelewa na mama vizuri ...wanakua na madili na mchapa kazi kuliko wale waliolelewa na baba tu !....

  • @juliusmwakaleja2811
    @juliusmwakaleja2811 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kalewa nini?

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 4 หลายเดือนก่อน

    Ngosha upo vzd

  • @MARIA-lw7kd
    @MARIA-lw7kd 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu Bora angekua mchungaji kuliko wachungaji wote tz

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona na wewe unamtaja mama Ulivyo umwa ulienda kwa mama mbona humtaji baba? Mara mama yangu mzazi alisema mbona Kutwaa mama humtaji babaa Litoto la mama lina wasema wenzake fyuuu

  • @Directorchusseyt1637
    @Directorchusseyt1637 4 หลายเดือนก่อน

    Umetisha sana konki masta

  • @teddymutani856
    @teddymutani856 4 หลายเดือนก่อน

    Dudu mbona hukusema kipindi hiko unayasema leo

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh8388 4 หลายเดือนก่อน

    Ndio mana DIDDY anamu kiss Mamake mzazi kwa mdomo hadharani.

  • @salimomar-n7s
    @salimomar-n7s 4 หลายเดือนก่อน +1

    Juma lokole ni

    • @donhussle948
      @donhussle948 4 หลายเดือนก่อน

      Ka left GROUP ..hilo mulize Dotto magari

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 4 หลายเดือนก่อน

    Mshirikina yeyote kazaliwa na nshiriki, ina maana hana uhakika na uwezo wa Mwenye-ezmngu, katekwa na shetani,kajisahaulisha kua yuko duniani kwa uwezo wa Mungu, kakaa tumboni miezi 9 kwa uwezo wa Mungu,Rizki yake kapewa na Mungu, pumzi, ni Mungu amuwezesha, kama mganga ni hodari kuliko Mungu, angeishi milele,mbona waganga wanakufa, wanaugua, wanashindwa kupata mahitaji yao mengine?
    LAA SHARIKALA, Na wala Usimshirikishe Mungu,,,, Ni upungufu wa.akili tuila ukitafakari hakuna binadamu awezae kukudhuru jama umesimama na Mungu, na hakuna kitu chochote kinaweza kukutokea illa kwa idhini ya muumba wako,,,,,,,
    Ushirikina ni udhaifu nauoungufu wa kufikiri,
    Mungu atuokoe,,