Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu
😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂@@sevelinsilinu5621
Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini
SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...
WATENDAJI WA SERIKALI WANACHANGIA SANA KUDUMU KWA MIGOGOLO.. CCM WAMULIKENI HAO JAMAA WANAKIUJUMU CHAMA KINAMNA ILI KUKIPA NGUVU CHAMA CHAO WANACHOKIJUA.... MAKONDA NENDA NAO SAWA
Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁
😅😅😅😅😅khadija kopa waachie masikin ambao hata harufu ya rais hawaijui wewe kila mara unakutana na rais na mnaonana unaweza omba msaada mbele yake akakupa kinachokufanya ukabanane na wasio muona rais live ni nini we mama 😅
Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "
Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano
Wawekezaji wengi wanakuja Africa kuja kutapeli kwao wala hauwezi pewa ardhi hata ufe sisi ewallah hii sio sawa ndio maana kuna kesi kila siku blabla kibao
@@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣
sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja
@@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha
Sasa Mimi nashangaa !! Raisi akienda sehemuyoyote huwa haulizi kero nawatu wanaziwiliwa kuonesha mabango Sasa makonda anawezaje kutatua kerozawana inchigeye?siyasatu
Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.
Milad na wee ushaanza ujinga kma mbengo Tv... Unatazamwa na taifa sio Wana udaku kaa na media yako wanaokiwa Wana upload video zako content..iwe sawa na kilichopo
Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano
Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae. MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.
walokuja hapa kwa ajili ya mama zuchu tafadhar naomba tujuane 😊😊😊
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Niko hapa😂
😂😂😂tumeuzwa
😅😅😅😅😅 Atari sana
Diamond usije ukasema hujaona,umeona Zuchu akiwa mzee atakuaje?,chezea mitandao wewe?????.😅
Umenifurahisha san
Kelo nyingine nahisi hata Makonda hajazaliwa😂😂
Nmecheka San kuona hii comment 😂
Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu
Hiiii inchi bwana Mungu atusaidie hivi tangu tumepata huru wameshindwa kuwapatia wana nchi wanacho hitaji
kwahiyo wewe tangu umezaliwa unachohitaji ni hicho hicho hujui kama mahitaji yanabadilika hizo ni akili mgando
Na sijui watashughulika na waTZ wangapi kwa style hii
Futuhi
😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂@@sevelinsilinu5621
Mzee ana akili sana maana angetaja hela angepewa 20,000 yake hapo hapo.
Ni mjanja ana mahesabu
Hili biki kama sura yake kama kima hee halitubii tu hee bibi jiheshimu umri ushaenda jua linazama tena
Mama yangu bi Hadija ananyosha kidole kama tuliokuwa shule ya msingi swali huelew teacher mkali unanyoosha unashusha
😂😂😂😂😂😂😂uyo kama nilikuwa mimi yani nimejua kucheka jamani 😂😂😂😂😂😂 ndo mana napenda kupitia comment za watu
Huyu makonda mmemchelewesha kumpa cheo kingine Cha utendaji ni zaidi
Millard naww umeanza uhuni sasa mama zuchu kaongea wap????mzee umeniumiza moyo sanaaa😭😭😭😭😭
Tena mm nilivyo poteza mda kuangalia yte 😢😢😢😢😢amenikera ujue 😂😂😂😂😂😂
@@hafsahmassemoh3598 kasha anza kupoteza mvuto wa habali kisa kashiba
@@hafsahmassemoh3598ngoja niachie njian
@@hafsahmassemoh3598 habali zake zimekua zakiboya
Chadema wakisema muandamane ooh hatuna shida poleni.
Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini
Mnawakusanya watu kwa magari kutoka maeneo mbalimbali
Nenda naww ukakusanywe...kama vip
Kama umefurahi hadija kopa kushushuliwa gonga like hapa ili kumuaminisha sura ya ushari ndio amekataliwa kuongea 😅😅😅😅
Masikini mzeee😢😢 polesana
Yan Makonda hata wakupe ujumbe wa nyum ba kumi yan tunakupenda tena tunakuombea chukua maua🎉🎉
Hii Hali Inadhihirisha Upuuzi wa Viongozi wa Ccm Kushindwa Kuwajibika Sehemu zao
Mbona wenye matatizo ni ccm hivi nchi ina watu kweli
mzee kichwa smart sana😂😂😂
4:20 umeskiaje ayo najibu kwa Mzee wetu CCM mna drama sana
Hawataki kujifunza bado.., mbna wanasheria walielekeza kama nikero wapeleke sehemu gani??
Hao ndio ccm wanatengeneza tukio alafu wao wenyewe ndio watatuzi wa ilo tukio
Si ndio mijinga mingine inadanganywa kucheza movie za kijinga very stupid hawa
Uyo mama zuu kapngwa hapo.hhahaa ccm bwana
Ni mzaramo wa bagamoyo huyo itakuwa na yeye wamemdhulumu
Usaniii huu wa ajabu
Samahanini waungwana!!! Huyu khadja kopa iyo minywele kama mgonjwa!!!!
SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...
Pambana baba na mungu akutie nguvu tetra wanyonge na wasio na haki baba
Vkomled mziki wa huyo mzee ndiyo tatizo la kushughurikia, achana na akina Mbowe, mama mwenye nywele ananichanganya mzima kweli.
Mama mwenye Nywele ni Adija Kopa msanii mkongwe 😂😂😂
Nilichogundua huyu Hadija kopa hapa niwamchongo tuu,hanachakuongea,mzugaji tuu hapo 😂😂😂,lakin hongera sana kwakusikiliza kero za watu mwenezi wetu
nimeona kopa linajidekeza kama mtoto likijua litatumia uwenyeji kupewa maiki 😂😂 linarembuza haa
Mama Khajida kama misukule yaaani yuko bwajabwaja sijui kalewa😢
Anatudhalilishia imani yetu ya Uislam. Haitegemewi Muislam tena Hajjat halafu awe tim tim hivi ingawa yupo kibaruani lakini vibarua vyenye staha vipo.
Kumbe na wewe umeliona😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mweshiwa anasikiliza tu hoja za wanianch lakin? Kuzitatua hawezi"wananch wanajibiwa kibabe na mkuu wa wilaya nahawamuogopi !!
Caption na content hazishabihani... Views sio unyama....
WATENDAJI WA SERIKALI WANACHANGIA SANA KUDUMU KWA MIGOGOLO.. CCM WAMULIKENI HAO JAMAA WANAKIUJUMU CHAMA KINAMNA ILI KUKIPA NGUVU CHAMA CHAO WANACHOKIJUA.... MAKONDA NENDA NAO SAWA
Mkome na mporwe ardhi kbs.Bado mnavaa manguo ya kijani ya hicho chama cha dhuluma.Pigweni sana tu
Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁
😅😅😅😅😅khadija kopa waachie masikin ambao hata harufu ya rais hawaijui wewe kila mara unakutana na rais na mnaonana unaweza omba msaada mbele yake akakupa kinachokufanya ukabanane na wasio muona rais live ni nini we mama 😅
Namsuburi mama zuchu aongee ata sijamuona😂😂
Serikali ya Samia imefeli.Wakuu wa mikoa na wilaya wanalipwa lakini hawafanyi kazi.Kazi yao ni kumsifu tu Samia
Bi Hadija mbona uko kishari hujapendeza si vizuri ata kidogo
Utalatibu haufuatwi hivi shida nyingi zitabaki bila kupatiwa ufumbuzi
Muwe mnacha usenge 😢 unatuandikia mama zuchu alaafu hamnaa kitu mbwa kabisa 😏😏
Paul makonda mungu akutunze
Bro views hawatafutwe hivi uki andika kitu hakikisha kiwepo 😏😏😏
Makonda tunaomba huwende kisiju jamani watu wanateseka
Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "
Km umemuon uy Dada wa nyuma ulivy taj ukimwi aka shangaa wek comment yak ap
Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano
Matatizo Kila kona
Wawekezaji wengi wanakuja Africa kuja kutapeli kwao wala hauwezi pewa ardhi hata ufe sisi ewallah hii sio sawa ndio maana kuna kesi kila siku blabla kibao
Makonda huna heshima bikhadija kopa anakuzaa wamuita khadija
Makonda nimkusanya maoni nasiyo mtatuzi waizo kero
Kiongozi hana dini wala kabila wala makazi rasimi
Mbamtaja mama zuchu ili watu waangalie na hata hajaongea maumbwa nyiye
Kwahii comment yko simalizi kuangalia😂
@@rehmakondo😂😂😂😂
@@rehmakondodaah na mm nimetoka
@@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣
Nchi hii inaonea hadi wazee duuu
Kesi ya ngedere kuiba mahindi ya mtu unampelekea nyani awe hakimu? Je haki itapatikanaa?
sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja
Hoja yako nzuri sana lakini unachafua lugha ya Kiswahili unapoandika kamilisha maneno siyo mkatomkato
@@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha
Sasa Mimi nashangaa !! Raisi akienda sehemuyoyote huwa haulizi kero nawatu wanaziwiliwa kuonesha mabango Sasa makonda anawezaje kutatua kerozawana inchigeye?siyasatu
Wallah mtihan makonda kashakuw msilim maashaallah am ni kibarakashia tuy
Sio kama kazugia hiyo balagashia kwa kuwa yupo kwa waislam wengi
@@AhmadaHassan-gy5uj ndo kuzugia kwenyew huko kwa sababu ni kwa waisilam
Barakashia ndiyo usilam😅
@@fbensony som vizur hiyo meseji wa TZ MNAPENDA KUKURUPUKA TUY KUJIBU
ni vazi la asili kumbuka hayati Mrema
Matukio arusha
We mama zuchu,eti ndio uongozi du tanzania kwisha kabisa unamuitaje mtu mzima hivyo ambaye kakuzidi miaka 30?mnaharibu sana maadili katika jamii.
Inaonekana wanajuana kwenye harakati zao ndio maana amejiamini kumuita hivyo,mbona wengine hajawaita hivyo
Huyu Mama ulevi ndio chai yake sishangai msulule WA Khadija Kopa unatoka wapi
Channel za hivi ni kublock tu
Mtumzima ovyo bado anajiona mtoto
Kopa kichwa wazi nakuzubaha sana kama kafika dare Salam leo 😂😂
I C😅😅❤❤❤😅❤❤❤❤C❤❤😮❤❤😮😮❤😅❤❤❤❤😮❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊❤❤❤❤😊❤❤❤😊❤❤😮❤😅😅❤❤😮❤❤❤❤
😊😅❤❤😊❤
❤❤❤
❤😮❤ 4:33 ❤❤❤❤ 4:37 ❤😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 4:51 ❤❤❤❤❤❤😊❤❤❤ 4:58 ❤ 5:00 ❤
Makonda alivo pendeza na kofia
Watu wanaya moyoni wanataka kuyatoa
Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.
Milad na wee ushaanza ujinga kma mbengo Tv... Unatazamwa na taifa sio Wana udaku kaa na media yako wanaokiwa Wana upload video zako content..iwe sawa na kilichopo
Aya maingizo 😂😂
Wameona watokeje nchi ya maigizo watanzania tunajua kuchezewa kwa thumni😅
Wapige kambi hata ya mwezi mmoja kwenye hayo maeneo yenye migogoro. La sivyo huu ni usanii tu
Watu wanahisi wanamshtakia Magufuri 😭😢
Makonda anajaribu kuwa kma anko magu lakin wap
@@Nalitumpaboy-dm4tknikulingana na position yake alokuepo, lakin angekua mkuu zaidi pasingetosha
Nchi hii inamamluki wanafki mahasidi Mungu anawaona
Kwani huyo ni Hadija Kopa mbona waongo ninyi??
Ndio yeye
Kumbe ccm mnajifanya tu kumbe matatizo mna mengi ovyo kabisa ukipiga wimbo wa mbele Kwa mbele mnaenda Nao kumbe ovyo 2
Huyo hadija mbona kama kituko mtumzima, hovyo umri umekwenda akili kamakisoda 😂😂😂
Mnajitekenya wenyewe harafu mcheke wenyewe
Viongozi wetu waserikali mnayasikia nakuyaona haya migogoro ndyo imekuwa sehem ya maisha yawatu tubadilike ili tuishi kwa usawa
Makonda nakibarakashia
Kwan wewe millard Ayo ungesema Khadija kopa unadhan husingeeleweka mpka uandike mama zuchu??
Hapa ndipo ccm ilipo tufikisha matatizo kila sehem kila mwananch analalamika
Mama mtu mzima hayo manywele angejitanda kama anavojitanda kawaida angependeza tu
Hapo hajapewa mamlaka ya mwisho akipewa urais itakuwaje?????
Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano
Awanyoshe kwanza, hao maafisa ardhi ni wababaishaji sana, kila kona ni migogoro ya ardhi, afisa ardhi wamefanya nini ili kutatua migogoro hiyo?
Kopa wafamishe kwamba nyinyi wote kule kwenu Uku kwenye samaki wa siwa 😂😂😂❤❤❤
Viongozi mpaka msubiri viongozi ngazi ya juu.mnafanya nini. Aibu kubwa
Darasa lanne ilo mzee nabado upovizuli, sasa awa awtoto wasasa wanatusumbua etikisa tu wanabachela zao, kingereza awajui kusoma awjui kingereza munatusumbua watu wenye tuliojikatia tamaa naiinchi😢😢
Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae.
MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.
😂😂😂😂
Acha makasiriko 😂😂safisha nafsi yako kwanza uache kuhukumu watu pumbavu
Nenda kamfanyie daawah sio kumnanga mtu huku…!
@@rosemahenge9071 Hukumu unaijuwa.
Apo nimemtakia mema arudi kwa Mola wake au kwakuwa wewe ni mtu wa motoni unataka muingie nae pamoja?
@@chuggaboy9877 Iyo peke yake daaawa nimemkumbusha kwamba muda tuliyopewa na MwenyeziMungu ni mfupi.
Na MwenyeziMungu ameuwapia wakati.
Hiv makonda ni nani
Mama Samia Suluh afanye mabailiko ya Haraka sana Ma Dc na RC na ikiwezekana Hawamu hii asiangalie Mavyeti wafanye uchambuzi kwa viongozi Wazalendo
Khadija kopa Kawa kama kahaba la madanguro mtu mzima kishet
Da we Jamaa huna hata uoga😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅🙈
Makonda ubarikiwe
Warogeni!!!
Hii ndo njia aliyoianzisha magufuri Allah amuongoze inshaallah
Sifa ya kiongozi ni kuwa mpole pale panapotakiwa na kuwa mkali pale panapohitajika ila Si kuwa shipa na udikteta
Wanatamani waseme hayo matatizo yameletwa na upinzani,ccm ni wanafiki sana.
Migogoro ipo tangu huyu mwamba hajazaliwa
Vidole vya nn na hamtaki maandamano shida nyingi mpaka makonda ,atakondaaa
Huyu mama Zuchu- muda wote tu kapiga K-vant😅😅😅😅😅
Unajua kamahuna heshima hunatu wala hatupendi kuongozwa nawatu wabaguzi
Nkajua Khadija Kopa a.k.a mama Zuchu ataongea kumbe ziiii 😂😂😂😂😂😂 ila millady ayo