MAMA ZUCHU AIBUKA MBELE YA MAKONDA KUTOA KERO, AMJIBU "WE KHADIJA KOPA SUBIRI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 274

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 8 หลายเดือนก่อน +212

    walokuja hapa kwa ajili ya mama zuchu tafadhar naomba tujuane 😊😊😊

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 8 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @SurUser-d7s
      @SurUser-d7s 8 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @Ashleyqueen001
      @Ashleyqueen001 8 หลายเดือนก่อน +2

      Niko hapa😂

    • @luhajufilmstanzania
      @luhajufilmstanzania 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂tumeuzwa

    • @aishaabdullah837
      @aishaabdullah837 8 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅 Atari sana

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 8 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond usije ukasema hujaona,umeona Zuchu akiwa mzee atakuaje?,chezea mitandao wewe?????.😅

  • @raheematanzania2816
    @raheematanzania2816 8 หลายเดือนก่อน +15

    Kelo nyingine nahisi hata Makonda hajazaliwa😂😂

    • @mohdmakame4552
      @mohdmakame4552 8 หลายเดือนก่อน

      Nmecheka San kuona hii comment 😂

  • @feelNice-vi3lo
    @feelNice-vi3lo 8 หลายเดือนก่อน +7

    Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 8 หลายเดือนก่อน +14

    Hiiii inchi bwana Mungu atusaidie hivi tangu tumepata huru wameshindwa kuwapatia wana nchi wanacho hitaji

    • @sevelinsilinu5621
      @sevelinsilinu5621 8 หลายเดือนก่อน

      kwahiyo wewe tangu umezaliwa unachohitaji ni hicho hicho hujui kama mahitaji yanabadilika hizo ni akili mgando

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 8 หลายเดือนก่อน +2

      Na sijui watashughulika na waTZ wangapi kwa style hii
      Futuhi

    • @andreauisso3225
      @andreauisso3225 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂​@@sevelinsilinu5621

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mzee ana akili sana maana angetaja hela angepewa 20,000 yake hapo hapo.

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 7 หลายเดือนก่อน

      Ni mjanja ana mahesabu

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hili biki kama sura yake kama kima hee halitubii tu hee bibi jiheshimu umri ushaenda jua linazama tena

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mama yangu bi Hadija ananyosha kidole kama tuliokuwa shule ya msingi swali huelew teacher mkali unanyoosha unashusha

    • @MwajumaHassan-d5l
      @MwajumaHassan-d5l 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂uyo kama nilikuwa mimi yani nimejua kucheka jamani 😂😂😂😂😂😂 ndo mana napenda kupitia comment za watu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu makonda mmemchelewesha kumpa cheo kingine Cha utendaji ni zaidi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 8 หลายเดือนก่อน +19

    Millard naww umeanza uhuni sasa mama zuchu kaongea wap????mzee umeniumiza moyo sanaaa😭😭😭😭😭

    • @hafsahmassemoh3598
      @hafsahmassemoh3598 8 หลายเดือนก่อน +6

      Tena mm nilivyo poteza mda kuangalia yte 😢😢😢😢😢amenikera ujue 😂😂😂😂😂😂

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@hafsahmassemoh3598 kasha anza kupoteza mvuto wa habali kisa kashiba

    • @neemawilliam8415
      @neemawilliam8415 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@hafsahmassemoh3598ngoja niachie njian

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 6 หลายเดือนก่อน

      @@hafsahmassemoh3598 habali zake zimekua zakiboya

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 8 หลายเดือนก่อน +4

    Chadema wakisema muandamane ooh hatuna shida poleni.

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 8 หลายเดือนก่อน

      Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mnawakusanya watu kwa magari kutoka maeneo mbalimbali

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nenda naww ukakusanywe...kama vip

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kama umefurahi hadija kopa kushushuliwa gonga like hapa ili kumuaminisha sura ya ushari ndio amekataliwa kuongea 😅😅😅😅

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 8 หลายเดือนก่อน +8

    Masikini mzeee😢😢 polesana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yan Makonda hata wakupe ujumbe wa nyum ba kumi yan tunakupenda tena tunakuombea chukua maua🎉🎉

  • @topfootballtrends6517
    @topfootballtrends6517 8 หลายเดือนก่อน

    Hii Hali Inadhihirisha Upuuzi wa Viongozi wa Ccm Kushindwa Kuwajibika Sehemu zao

  • @benardbwakitare-wj1hr
    @benardbwakitare-wj1hr 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona wenye matatizo ni ccm hivi nchi ina watu kweli

  • @hansynasery6399
    @hansynasery6399 8 หลายเดือนก่อน +5

    mzee kichwa smart sana😂😂😂

  • @eligiusedmund3187
    @eligiusedmund3187 8 หลายเดือนก่อน +3

    4:20 umeskiaje ayo najibu kwa Mzee wetu CCM mna drama sana

  • @frankmasuke7750
    @frankmasuke7750 6 หลายเดือนก่อน

    Hawataki kujifunza bado.., mbna wanasheria walielekeza kama nikero wapeleke sehemu gani??

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange 8 หลายเดือนก่อน +3

    Hao ndio ccm wanatengeneza tukio alafu wao wenyewe ndio watatuzi wa ilo tukio

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 8 หลายเดือนก่อน

      Si ndio mijinga mingine inadanganywa kucheza movie za kijinga very stupid hawa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo mama zuu kapngwa hapo.hhahaa ccm bwana

    • @HajiHaji-u4h
      @HajiHaji-u4h 7 หลายเดือนก่อน

      Ni mzaramo wa bagamoyo huyo itakuwa na yeye wamemdhulumu

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 8 หลายเดือนก่อน +6

    Usaniii huu wa ajabu

  • @omarkhamys9818
    @omarkhamys9818 8 หลายเดือนก่อน +1

    Samahanini waungwana!!! Huyu khadja kopa iyo minywele kama mgonjwa!!!!

  • @ONJAHWorldwide
    @ONJAHWorldwide 5 หลายเดือนก่อน

    SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...

  • @mariamrema6112
    @mariamrema6112 7 หลายเดือนก่อน +2

    Pambana baba na mungu akutie nguvu tetra wanyonge na wasio na haki baba

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 8 หลายเดือนก่อน +3

    Vkomled mziki wa huyo mzee ndiyo tatizo la kushughurikia, achana na akina Mbowe, mama mwenye nywele ananichanganya mzima kweli.

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ 8 หลายเดือนก่อน

      Mama mwenye Nywele ni Adija Kopa msanii mkongwe 😂😂😂

  • @allykayanda6930
    @allykayanda6930 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nilichogundua huyu Hadija kopa hapa niwamchongo tuu,hanachakuongea,mzugaji tuu hapo 😂😂😂,lakin hongera sana kwakusikiliza kero za watu mwenezi wetu

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 8 หลายเดือนก่อน +1

    nimeona kopa linajidekeza kama mtoto likijua litatumia uwenyeji kupewa maiki 😂😂 linarembuza haa

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mama Khajida kama misukule yaaani yuko bwajabwaja sijui kalewa😢

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 8 หลายเดือนก่อน

      Anatudhalilishia imani yetu ya Uislam. Haitegemewi Muislam tena Hajjat halafu awe tim tim hivi ingawa yupo kibaruani lakini vibarua vyenye staha vipo.

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 8 หลายเดือนก่อน

      Kumbe na wewe umeliona😂😂😂

    • @nancychesang9567
      @nancychesang9567 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @samwelimahushi7418
    @samwelimahushi7418 8 หลายเดือนก่อน

    Mweshiwa anasikiliza tu hoja za wanianch lakin? Kuzitatua hawezi"wananch wanajibiwa kibabe na mkuu wa wilaya nahawamuogopi !!

  • @larryking623
    @larryking623 8 หลายเดือนก่อน

    Caption na content hazishabihani... Views sio unyama....

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 8 หลายเดือนก่อน

    WATENDAJI WA SERIKALI WANACHANGIA SANA KUDUMU KWA MIGOGOLO.. CCM WAMULIKENI HAO JAMAA WANAKIUJUMU CHAMA KINAMNA ILI KUKIPA NGUVU CHAMA CHAO WANACHOKIJUA.... MAKONDA NENDA NAO SAWA

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mkome na mporwe ardhi kbs.Bado mnavaa manguo ya kijani ya hicho chama cha dhuluma.Pigweni sana tu

  • @chifbrown1568
    @chifbrown1568 8 หลายเดือนก่อน +1

    Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 7 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅khadija kopa waachie masikin ambao hata harufu ya rais hawaijui wewe kila mara unakutana na rais na mnaonana unaweza omba msaada mbele yake akakupa kinachokufanya ukabanane na wasio muona rais live ni nini we mama 😅

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 8 หลายเดือนก่อน +13

    Namsuburi mama zuchu aongee ata sijamuona😂😂

  • @Haarun-h4q
    @Haarun-h4q 6 หลายเดือนก่อน

    Serikali ya Samia imefeli.Wakuu wa mikoa na wilaya wanalipwa lakini hawafanyi kazi.Kazi yao ni kumsifu tu Samia

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 8 หลายเดือนก่อน +7

    Bi Hadija mbona uko kishari hujapendeza si vizuri ata kidogo

  • @KipajiMgalula1
    @KipajiMgalula1 8 หลายเดือนก่อน

    Utalatibu haufuatwi hivi shida nyingi zitabaki bila kupatiwa ufumbuzi

  • @rahmaissa
    @rahmaissa 6 หลายเดือนก่อน

    Muwe mnacha usenge 😢 unatuandikia mama zuchu alaafu hamnaa kitu mbwa kabisa 😏😏

  • @nuruhabasimainya
    @nuruhabasimainya 8 หลายเดือนก่อน +3

    Paul makonda mungu akutunze

  • @leilaathumani3611
    @leilaathumani3611 7 หลายเดือนก่อน

    Bro views hawatafutwe hivi uki andika kitu hakikisha kiwepo 😏😏😏

  • @AngelChino-v8f
    @AngelChino-v8f 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda tunaomba huwende kisiju jamani watu wanateseka

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 8 หลายเดือนก่อน

    Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "

  • @mahersaid258
    @mahersaid258 6 หลายเดือนก่อน

    Km umemuon uy Dada wa nyuma ulivy taj ukimwi aka shangaa wek comment yak ap

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 8 หลายเดือนก่อน

    Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 8 หลายเดือนก่อน +2

    Matatizo Kila kona

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wawekezaji wengi wanakuja Africa kuja kutapeli kwao wala hauwezi pewa ardhi hata ufe sisi ewallah hii sio sawa ndio maana kuna kesi kila siku blabla kibao

  • @soamShs-cp4dl
    @soamShs-cp4dl 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda huna heshima bikhadija kopa anakuzaa wamuita khadija

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 8 หลายเดือนก่อน

    Makonda nimkusanya maoni nasiyo mtatuzi waizo kero

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt 8 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi hana dini wala kabila wala makazi rasimi

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mbamtaja mama zuchu ili watu waangalie na hata hajaongea maumbwa nyiye

    • @rehmakondo
      @rehmakondo 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwahii comment yko simalizi kuangalia😂

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@rehmakondo😂😂😂😂

    • @selemanikilupy1468
      @selemanikilupy1468 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@rehmakondodaah na mm nimetoka

    • @rehmakondo
      @rehmakondo 8 หลายเดือนก่อน

      @@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi hii inaonea hadi wazee duuu

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 8 หลายเดือนก่อน

    Kesi ya ngedere kuiba mahindi ya mtu unampelekea nyani awe hakimu? Je haki itapatikanaa?

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 8 หลายเดือนก่อน +2

    sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 8 หลายเดือนก่อน

      Hoja yako nzuri sana lakini unachafua lugha ya Kiswahili unapoandika kamilisha maneno siyo mkatomkato

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 8 หลายเดือนก่อน

      @@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 8 หลายเดือนก่อน

    Sasa Mimi nashangaa !! Raisi akienda sehemuyoyote huwa haulizi kero nawatu wanaziwiliwa kuonesha mabango Sasa makonda anawezaje kutatua kerozawana inchigeye?siyasatu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 8 หลายเดือนก่อน +5

    Wallah mtihan makonda kashakuw msilim maashaallah am ni kibarakashia tuy

    • @AhmadaHassan-gy5uj
      @AhmadaHassan-gy5uj 8 หลายเดือนก่อน +2

      Sio kama kazugia hiyo balagashia kwa kuwa yupo kwa waislam wengi

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@AhmadaHassan-gy5uj ndo kuzugia kwenyew huko kwa sababu ni kwa waisilam

    • @fbensony
      @fbensony 8 หลายเดือนก่อน

      Barakashia ndiyo usilam😅

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 8 หลายเดือนก่อน

      @@fbensony som vizur hiyo meseji wa TZ MNAPENDA KUKURUPUKA TUY KUJIBU

    • @ouldaidallah4670
      @ouldaidallah4670 7 หลายเดือนก่อน

      ni vazi la asili kumbuka hayati Mrema

  • @thomasmsuya-ui5kh
    @thomasmsuya-ui5kh 8 หลายเดือนก่อน +2

    Matukio arusha

  • @freduallughano2301
    @freduallughano2301 8 หลายเดือนก่อน +1

    We mama zuchu,eti ndio uongozi du tanzania kwisha kabisa unamuitaje mtu mzima hivyo ambaye kakuzidi miaka 30?mnaharibu sana maadili katika jamii.

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 7 หลายเดือนก่อน

      Inaonekana wanajuana kwenye harakati zao ndio maana amejiamini kumuita hivyo,mbona wengine hajawaita hivyo

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mama ulevi ndio chai yake sishangai msulule WA Khadija Kopa unatoka wapi

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 6 หลายเดือนก่อน

    Channel za hivi ni kublock tu

  • @jabirchilumba5913
    @jabirchilumba5913 5 หลายเดือนก่อน

    Mtumzima ovyo bado anajiona mtoto

  • @MasaboDjuma
    @MasaboDjuma 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kopa kichwa wazi nakuzubaha sana kama kafika dare Salam leo 😂😂

    • @gideonchipepo8405
      @gideonchipepo8405 8 หลายเดือนก่อน

      I C😅😅❤❤❤😅❤❤❤❤C❤❤😮❤❤😮😮❤😅❤❤❤❤😮❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊❤❤❤❤😊❤❤❤😊❤❤😮❤😅😅❤❤😮❤❤❤❤

    • @gideonchipepo8405
      @gideonchipepo8405 8 หลายเดือนก่อน

      😊😅❤❤😊❤

    • @gideonchipepo8405
      @gideonchipepo8405 8 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤

    • @gideonchipepo8405
      @gideonchipepo8405 8 หลายเดือนก่อน

      ❤😮❤ 4:33 ❤❤❤❤ 4:37 ❤😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @gideonchipepo8405
      @gideonchipepo8405 8 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 4:51 ❤❤❤❤❤❤😊❤❤❤ 4:58 ❤ 5:00 ❤

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda alivo pendeza na kofia

  • @magdalenachuwa2884
    @magdalenachuwa2884 8 หลายเดือนก่อน

    Watu wanaya moyoni wanataka kuyatoa

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 7 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.

  • @raajquoteswords7805
    @raajquoteswords7805 8 หลายเดือนก่อน

    Milad na wee ushaanza ujinga kma mbengo Tv... Unatazamwa na taifa sio Wana udaku kaa na media yako wanaokiwa Wana upload video zako content..iwe sawa na kilichopo

  • @HusseinMustapha-n2n
    @HusseinMustapha-n2n 8 หลายเดือนก่อน +3

    Aya maingizo 😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 8 หลายเดือนก่อน

      Wameona watokeje nchi ya maigizo watanzania tunajua kuchezewa kwa thumni😅

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 8 หลายเดือนก่อน

      Wapige kambi hata ya mwezi mmoja kwenye hayo maeneo yenye migogoro. La sivyo huu ni usanii tu

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 8 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wanahisi wanamshtakia Magufuri 😭😢

    • @Nalitumpaboy-dm4tk
      @Nalitumpaboy-dm4tk 8 หลายเดือนก่อน

      Makonda anajaribu kuwa kma anko magu lakin wap

    • @bulunjamalimikulwa4876
      @bulunjamalimikulwa4876 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Nalitumpaboy-dm4tknikulingana na position yake alokuepo, lakin angekua mkuu zaidi pasingetosha

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi hii inamamluki wanafki mahasidi Mungu anawaona

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani huyo ni Hadija Kopa mbona waongo ninyi??

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio yeye

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 8 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ccm mnajifanya tu kumbe matatizo mna mengi ovyo kabisa ukipiga wimbo wa mbele Kwa mbele mnaenda Nao kumbe ovyo 2

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo hadija mbona kama kituko mtumzima, hovyo umri umekwenda akili kamakisoda 😂😂😂

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mnajitekenya wenyewe harafu mcheke wenyewe

  • @hamisiabubakari5650
    @hamisiabubakari5650 7 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wetu waserikali mnayasikia nakuyaona haya migogoro ndyo imekuwa sehem ya maisha yawatu tubadilike ili tuishi kwa usawa

  • @VuaiMuhidini
    @VuaiMuhidini 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda nakibarakashia

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 8 หลายเดือนก่อน

    Kwan wewe millard Ayo ungesema Khadija kopa unadhan husingeeleweka mpka uandike mama zuchu??

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 8 หลายเดือนก่อน

    Hapa ndipo ccm ilipo tufikisha matatizo kila sehem kila mwananch analalamika

  • @fatmasaid3536
    @fatmasaid3536 7 หลายเดือนก่อน

    Mama mtu mzima hayo manywele angejitanda kama anavojitanda kawaida angependeza tu

  • @RodricTofir
    @RodricTofir 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo hajapewa mamlaka ya mwisho akipewa urais itakuwaje?????

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 8 หลายเดือนก่อน

    Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino 8 หลายเดือนก่อน

    Awanyoshe kwanza, hao maafisa ardhi ni wababaishaji sana, kila kona ni migogoro ya ardhi, afisa ardhi wamefanya nini ili kutatua migogoro hiyo?

  • @adamimis
    @adamimis 6 หลายเดือนก่อน

    Kopa wafamishe kwamba nyinyi wote kule kwenu Uku kwenye samaki wa siwa 😂😂😂❤❤❤

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 8 หลายเดือนก่อน

    Viongozi mpaka msubiri viongozi ngazi ya juu.mnafanya nini. Aibu kubwa

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 8 หลายเดือนก่อน

    Darasa lanne ilo mzee nabado upovizuli, sasa awa awtoto wasasa wanatusumbua etikisa tu wanabachela zao, kingereza awajui kusoma awjui kingereza munatusumbua watu wenye tuliojikatia tamaa naiinchi😢😢

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 8 หลายเดือนก่อน +6

    Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae.
    MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.

    • @emmanuelmatogolo5869
      @emmanuelmatogolo5869 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 8 หลายเดือนก่อน +1

      Acha makasiriko 😂😂safisha nafsi yako kwanza uache kuhukumu watu pumbavu

    • @chuggaboy9877
      @chuggaboy9877 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nenda kamfanyie daawah sio kumnanga mtu huku…!

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@rosemahenge9071 Hukumu unaijuwa.
      Apo nimemtakia mema arudi kwa Mola wake au kwakuwa wewe ni mtu wa motoni unataka muingie nae pamoja?

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 8 หลายเดือนก่อน

      @@chuggaboy9877 Iyo peke yake daaawa nimemkumbusha kwamba muda tuliyopewa na MwenyeziMungu ni mfupi.
      Na MwenyeziMungu ameuwapia wakati.

  • @Mbossokhanmatelephone98
    @Mbossokhanmatelephone98 8 หลายเดือนก่อน

    Hiv makonda ni nani

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 8 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia Suluh afanye mabailiko ya Haraka sana Ma Dc na RC na ikiwezekana Hawamu hii asiangalie Mavyeti wafanye uchambuzi kwa viongozi Wazalendo

  • @SharifaAli-l2q
    @SharifaAli-l2q 8 หลายเดือนก่อน +4

    Khadija kopa Kawa kama kahaba la madanguro mtu mzima kishet

  • @zatchardzknestor
    @zatchardzknestor 8 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda ubarikiwe

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 7 หลายเดือนก่อน

    Warogeni!!!

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ndo njia aliyoianzisha magufuri Allah amuongoze inshaallah

  • @Sultan-o7m9s
    @Sultan-o7m9s 8 หลายเดือนก่อน

    Sifa ya kiongozi ni kuwa mpole pale panapotakiwa na kuwa mkali pale panapohitajika ila Si kuwa shipa na udikteta

  • @freduallughano2301
    @freduallughano2301 8 หลายเดือนก่อน

    Wanatamani waseme hayo matatizo yameletwa na upinzani,ccm ni wanafiki sana.

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 8 หลายเดือนก่อน

    Migogoro ipo tangu huyu mwamba hajazaliwa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 8 หลายเดือนก่อน

    Vidole vya nn na hamtaki maandamano shida nyingi mpaka makonda ,atakondaaa

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama Zuchu- muda wote tu kapiga K-vant😅😅😅😅😅

  • @bernadinlesulie476
    @bernadinlesulie476 8 หลายเดือนก่อน

    Unajua kamahuna heshima hunatu wala hatupendi kuongozwa nawatu wabaguzi

  • @MaikoManeno-v9r
    @MaikoManeno-v9r 6 หลายเดือนก่อน

    Nkajua Khadija Kopa a.k.a mama Zuchu ataongea kumbe ziiii 😂😂😂😂😂😂 ila millady ayo