ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

ASKOFU MWANAMAPINDUZI "WALITAKA KUNITEKA Wakashindwa POLISI WAKANIKAMATA/LISSU KUWA WAKILI WANGU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • ASKOFU MWANAMAPINDUZI "WALITAKA KUNITEKA Wakashindwa POLISI WAKANIKAMATA/LISSU KUWA WAKILI WANGU"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 39

  • @kusemmanuel2211
    @kusemmanuel2211 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mumeumiya saana, neno ni neno,

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kwel maisha magum alafu mama enu kajigeuza chura na nyie mnaomtetea na nyie ni WAtoto wa chura hakubalik mchungaj nakukubali

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 26 วันที่ผ่านมา +1

    Eze usifanye kaz zaMungu nyamaza ww si mambo ako yaenda cool man inchi hii wewe kula kuku kimpango wako watu wanteseka te.na watu like wewe ndigu zako wanteseka machaka yenu nyamza shida nn sininyi mko poa acha kuwaudhi gnz babu tz kunashida kunamhra vongz wamelewa naww pia kausha

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 26 วันที่ผ่านมา

    Kamawewe unakataa basi mungu anajuwa

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 24 วันที่ผ่านมา

    Hata nyani watasema wanataka kutekwa hakuna kiongozi wadini uankaa na wavuruga amani unajiita wewe niwa mungu msikifanye chama cha chadema watu wakakiona ni cha udini kila mchungaji chadema mitume wenu woote huko baadhi ya maaskofu huko duh

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 26 วันที่ผ่านมา

    Desider unàendesha baskeli au unandeswa 😂😂😂😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 26 วันที่ผ่านมา

    Hapo mchungaji ulikua unajitafutia balaa poleee

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 25 วันที่ผ่านมา

    Askofu achana na huyo mwandishi uchwara. Nadhani angependelea avuliwe nguo ili jinsia yake ijulikane.

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 25 วันที่ผ่านมา

    Wewe mtangazaji HUJITAMBUI.. UNAULIZA MASWALI YA KIJINGA.. KWAIO WEWE MRU AKISEMA WEWE NI MWANAMMKE UTAKATAA ULIZE UMEJUAJE KAMA WEWE NI MWANAMME.. EBU RUDI DARASANI....

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 26 วันที่ผ่านมา

    UNAPIGANIA NCHI YETU WAKATI CHAMA CHAKO KINACHAFUA AMANI ILIOPO SASA

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 26 วันที่ผ่านมา

    Wengine humu msichangie mkizidi kuchonga aya kitawakuta kitu ayaa

    • @magrethpaul5959
      @magrethpaul5959 25 วันที่ผ่านมา

      Na uwakumbushe wakikutwa na hatia hukumu yake haichelewi ni siku hiyo hiyo yani hali chwi😂

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 10 วันที่ผ่านมา

    Watotot wa chura mambo

  • @LucianaMosha-wu4vv
    @LucianaMosha-wu4vv 26 วันที่ผ่านมา

    Kwanini uongelee kwenye mkutano wa chama pinzani??? Wakati mtumishi wangu hupaswi kufungama na upande wowote.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 25 วันที่ผ่านมา

      Akaongelee WaPo ili talkie?

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 26 วันที่ผ่านมา

    Uongo huezikua kama Nabii Musa acha uchochezi baba

  • @EzekiaYamawasa
    @EzekiaYamawasa 26 วันที่ผ่านมา

    Hapo hakuna mchungaji bali ni siasa tu maana unaongea ukiwa chadema acha siasa

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 25 วันที่ผ่านมา

      Shida yako nini? Acha uchawa.

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 26 วันที่ผ่านมา

    Namm nataka udiwani nipite bila kupingwa cdm oyeeee😮😮😮😮

  • @maspro6294
    @maspro6294 26 วันที่ผ่านมา

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo

    • @JoshuaStanley-qu3im
      @JoshuaStanley-qu3im 26 วันที่ผ่านมา +1

      Huna adabu wewe

    • @annaezra2344
      @annaezra2344 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@JoshuaStanley-qu3imkabisa

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 25 วันที่ผ่านมา

      Mbwa koko2 ni wewe usiyejitambua

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 25 วันที่ผ่านมา

      @@monicamwita7865na nyinyi vibaraka wa warabu mpaka mumewauzia bandari kwa mikataba mibovu

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 25 วันที่ผ่านมา

      Acha watu waendelee kubweka maana panauma. Na ikiwa mtu hajakataliwa na Mungu mchezo uwe huru , katiba mpya, tume huru ns jeshi lilinde amani tu siyo kuwakandamiza wengine ili tushuhudie ni nini mapenzi ya Mungu.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 26 วันที่ผ่านมา

    wewe Nimchungaji ambae huna adabu

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi nyie Gwajima ni nani si Askofu na yuko Bungeni? Hata marehemu mama Luakatare si alikuwa Mchungaji?

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 26 วันที่ผ่านมา

      Umesha wamaliza big up

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 25 วันที่ผ่านมา

      Waambie2 hawajui. Gwajima yapo bungeni. Mungu Baba ni wa haki,Anayaona yote haya. Mwambieni Gwajima naye stoke bungeni kama unajeuri. 😊

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 26 วันที่ผ่านมา

    mbona gwajima ni.mbunge au ndo kwa sababu .....

  • @EzekiaYamawasa
    @EzekiaYamawasa 26 วันที่ผ่านมา

    Hapo hakuna mchungaji bali ni siasa tu maana unaongea ukiwa chadema acha siasa 8:40

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 25 วันที่ผ่านมา

      Kanisa na kamili huwezi kutekwa. Ni vitu vinaenda pamojà.

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni🌈

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 25 วันที่ผ่านมา

    Alaf ww mtangazaj ni nyoko

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 25 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaj ni chiz

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 25 วันที่ผ่านมา

    Askofu huyu ni shoga