#LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 54

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 หลายเดือนก่อน +6

    ❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w 26 วันที่ผ่านมา +4

    Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl หลายเดือนก่อน +5

    MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 หลายเดือนก่อน +6

    Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 18 วันที่ผ่านมา

    Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 19 วันที่ผ่านมา

    Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 หลายเดือนก่อน +1

    we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 หลายเดือนก่อน +3

    Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 22 วันที่ผ่านมา

    Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.

  • @yonnasamwel2145
    @yonnasamwel2145 หลายเดือนก่อน +2

    Mrithi wa Tundu lisu

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff หลายเดือนก่อน

    I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..

    • @jacobmakono4399
      @jacobmakono4399 19 วันที่ผ่านมา

      I'm sorry Sir,ni worse than na siyo bad than

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s หลายเดือนก่อน +2

    Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน +2

    Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,

    • @1961nungwi
      @1961nungwi หลายเดือนก่อน

      Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

      @@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 หลายเดือนก่อน

    Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s หลายเดือนก่อน +3

    Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k หลายเดือนก่อน

      Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil

  • @user-el7ni7xb8k
    @user-el7ni7xb8k 28 วันที่ผ่านมา

    Nakujubali sana piter madereka wakili msomi

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 22 วันที่ผ่านมา

    Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b หลายเดือนก่อน +1

    Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.

  • @nyandonashon7429
    @nyandonashon7429 หลายเดือนก่อน +1

    WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl หลายเดือนก่อน +1

    MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 19 วันที่ผ่านมา

    Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน +1

    Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 หลายเดือนก่อน +1

    Duhh! Hii nchi imeoza

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน

    Well said

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t 21 วันที่ผ่านมา

    P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.

  • @knight6757
    @knight6757 หลายเดือนก่อน +1

    Madeleka 💪

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili

  • @Master-ww7ur
    @Master-ww7ur 17 วันที่ผ่านมา

    Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน +1

    Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn หลายเดือนก่อน

    Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 หลายเดือนก่อน

    Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx 17 วันที่ผ่านมา

    Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 หลายเดือนก่อน

    NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t 20 วันที่ผ่านมา

    Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl หลายเดือนก่อน

    👍🏿👏🏿👍🏿

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน +2

    Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq หลายเดือนก่อน

    Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward หลายเดือนก่อน

    Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.

  • @PaskalGwandu-q2v
    @PaskalGwandu-q2v 22 วันที่ผ่านมา

    Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 19 วันที่ผ่านมา

    Wanakiwasha nn makenge tu hao?

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 หลายเดือนก่อน

    Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 หลายเดือนก่อน

    Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 21 วันที่ผ่านมา

    Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe

  • @calabash4221
    @calabash4221 หลายเดือนก่อน

    Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....