Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi
Mwanasheria unataka watu wakamate bila ushshd,Kesi ya jinai hata wewe unaweza fungus kama unao ushahd Serikari haiwezi fungus kesi bila ushshd then baadae ishindwe ilipe pesa za fidia,Shida watu hawapo tayali kutoa ushahd
Hakuna Zanzibar Nje ya Muungano , kwanza Wa Unguja na Wapemba hawapendani, mshukuru CCM kwa kuwaunganisha, ingekuwa rahisi kuishi Bara hata Wakenya wangejazana kujenga nyumba, Nje ya Muungano mnatakiwa muishi Bara kwa vibali na nyumba mlizojenga mzinyanyue, wenye akili wako huku wanafanya biashara, nyie mbaki huko na majungu yenu msubirieni rial kutoka oman mnunue mkate wa boflo
@@abbynimel-kindy5107 Wote nyie Watanganyika tu ulizeni babu zenu, ni wasukuma, wanyamwezi ,wazaramo wa huku wakazaa na waarabu na wangazija mkapatikana, alafu mnajifanya kama vile mmeshushwa Mbinguni, nina Mashangazi huko alafu Wasukuma wamezaa na warabu watoto nao wanatuita machogo, au mnajihisi nyie ni wa oman hahahaha makombo ya utumwa yanawasumbua saana eti Watanganyika, tutawarudisha baadhi yenu Comoro
Hakuna aliye salama maana hulka ya watanzania ni kufa na vitanzi na yeyote anayejitokeza huishia kupigwa tanzi na Kwa kitisho hicho wote hunywea. Huu ni mtihani mgumu inatakiwa statergy kubwa ya kutoa mfumo uliopo kuweka mfumo wa haki na usawa. Poleni wenzetu mnaopitia matokeo ya mfumo.
HAPO KWANZA IWEKWE WAZI IJULIKANE SERIKALI NI CHOMBO CHA WANAINCHI AU WANAINCHI NI CHOMBO CHA SERIKALI. SERIKALI INA WANAINCHI AU WANAINCHI WANA SERIKALI. WANAINCHI NDIO WAMEWEKA SERIKALI AU SERIKALI IMEWEKA WANAINCHI
Acha kupoteza muda kesi iko kwenye uchunguzi na uchunguzi unaendelea, kunyamaza ni hekma, wabishi alafu yakiwafika mnaanza kushirikisha umma uwaonee huruma, alafu hata Chadema hawakukubali hata kidogo unajipendekeza tu
Nani anachunguza,ifike wakati ujue Mungu yupo na kila baya unalolifanya utatoa hesabu, madaraka ni kitu cha kupita tu,wao wapi wakina Idd Amin,bokasa, pamoja na ujanja wao wote wamefukiwa udongoni
WATANZANIA tumelala TENA USINGIZI fofo ndio MAANA tunafanyiwa vile watakavyo tuamke tuamke hakuna atakaye tutetea , tutoke KWENYE huu USINGIZI tutaisha
IGP INAFAA KUJIUZURI KWA SABABU WATU WANATEKWA NA KUUAWA HOVYO IGP YUPO TU WAPOLISI WEZI TIZAMA WALE ASKALI MTWARA WALIUA MFANYABIASHARA WA MADINI KESI ILIISHIJE ? HAMZA WALIMWUA WALISEMA ALIKUWA JAMBAZI .IGP SIRO NA WAMBURA NI WAUAJI WAMETEKA WATU NAKUUA .
Kwahiyo unasemsemaje usitoe vitisho toa. Maoni wananchi wafanyeje ? Wafanyeje hayo mambo ya kishetani yafanyweje ?au na wewe ni mmoja wao wa watesi wetu @@exaverysimon1064
Wewe mwabukusi Kama wewe niwakili kweli wakutetea haki wakati wa mauaji ya kibiti ilikuwa wapi wanainchi waliwa kuteswa nakubakwa ulikuwa wapi hukuyona ulikuwa kimya acha kuchanganisha serikali nawana inchi
Uyu jamaa anakuwaga real kabisa hana makandokando
Huu ni unyama na matumizi mabaya ya Kodi zetu
Yaani hao waliofanya huo unyama Kwa Sativa Mungu awalaani na vizazivyao .waangamie hata kumbukumbu lao lisiwepo
Yaaani acha mungu awe mungu
Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi
Inauma sana na sio ostarbay tu,kuna kituo kingine Arusha amekisema.Uchafu wa hii nchi unafanywa na polisi.
Mwanasheria unataka watu wakamate bila ushshd,Kesi ya jinai hata wewe unaweza fungus kama unao ushahd Serikari haiwezi fungus kesi bila ushshd then baadae ishindwe ilipe pesa za fidia,Shida watu hawapo tayali kutoa ushahd
Walio fanya ivo naawalaani katika jina la yesu mungu laani na vizazi vyao amina na laana itawafata tu
Mkitaka Ccm Watueshimu Tuingie Barabarani Kama Kenya Bila Ivyo Tujiandae Kutekwa WOTE
TOFAUTISHA TZ NA KENYA MAN WE JICHANGANYE UONE
@@exaverysimon1064 Kama Huyu Anaweza Kuwa Na Tabia Za Juma Lokolo or Mauzinde😂😂😂😂😂😂
Jamani tumuongope mwenyenzi mungu kesho kuna hukumu pia tulicho kichuma.duniani.ndoutakacho.kivuna.kama.hajalipwa.dunian ahera paxito
kazi yao ni kufunga wanao mkosoa rais si vingine
Good job brother. Keep it up
Asikari mtanganyika unatetea unatesa unauwa kwakumtetea mzanzibari huku wewe ni mtanganyika unauwa mtanganyika anatetea tanganyika
Na Mtanganyagwa Sana Tu Watanganyia Mtabigwa Mpk Kifo Cha Mendee😂😂😂😂
Hakuna Zanzibar Nje ya Muungano , kwanza Wa Unguja na Wapemba hawapendani, mshukuru CCM kwa kuwaunganisha, ingekuwa rahisi kuishi Bara hata Wakenya wangejazana kujenga nyumba, Nje ya Muungano mnatakiwa muishi Bara kwa vibali na nyumba mlizojenga mzinyanyue, wenye akili wako huku wanafanya biashara, nyie mbaki huko na majungu yenu msubirieni rial kutoka oman mnunue mkate wa boflo
@@abbynimel-kindy5107 Wote nyie Watanganyika tu ulizeni babu zenu, ni wasukuma, wanyamwezi ,wazaramo wa huku wakazaa na waarabu na wangazija mkapatikana, alafu mnajifanya kama vile mmeshushwa Mbinguni, nina Mashangazi huko alafu Wasukuma wamezaa na warabu watoto nao wanatuita machogo, au mnajihisi nyie ni wa oman hahahaha makombo ya utumwa yanawasumbua saana eti Watanganyika, tutawarudisha baadhi yenu Comoro
Jambo hili linasikitisha sana Yan kama igewezekana mwabukis ukawa mtawala mm nipatie nafas ya uwazili mkuu hakka nchi itakaa shwr.
Ndo umeishasema sasa.
Hakuna aliye salama maana hulka ya watanzania ni kufa na vitanzi na yeyote anayejitokeza huishia kupigwa tanzi na Kwa kitisho hicho wote hunywea. Huu ni mtihani mgumu inatakiwa statergy kubwa ya kutoa mfumo uliopo kuweka mfumo wa haki na usawa. Poleni wenzetu mnaopitia matokeo ya mfumo.
Poleni
Country gone to the dogs
UMENENA VEMA MR MWABUKUSI
Mie hiku kitu kinanikera kwanini watu wanatekwa sanaaaa kwa kweli kwa hali kama hii siyo nzuri jamani malalamiko yamezidi sanaaaa
Kesi ya nyani unampa ngedere
Ni magumu. Ila ni aibu kwa taifa
HAPO KWANZA IWEKWE WAZI IJULIKANE SERIKALI NI CHOMBO CHA WANAINCHI AU WANAINCHI NI CHOMBO CHA SERIKALI. SERIKALI INA WANAINCHI AU WANAINCHI WANA SERIKALI. WANAINCHI NDIO WAMEWEKA SERIKALI AU SERIKALI IMEWEKA WANAINCHI
Acha kupoteza muda kesi iko kwenye uchunguzi na uchunguzi unaendelea, kunyamaza ni hekma, wabishi alafu yakiwafika mnaanza kushirikisha umma uwaonee huruma, alafu hata Chadema hawakukubali hata kidogo unajipendekeza tu
Mjinga tu kama wajinga wengine
malipo ni hapa hapa acha kuwa na mentality mgandoo .alichosema si zambi
Nani anachunguza,ifike wakati ujue Mungu yupo na kila baya unalolifanya utatoa hesabu, madaraka ni kitu cha kupita tu,wao wapi wakina Idd Amin,bokasa, pamoja na ujanja wao wote wamefukiwa udongoni
Ww ni mginga mpumbavu kbs shoga wa magharibi na linato lenu
WATANZANIA tumelala TENA USINGIZI fofo ndio MAANA tunafanyiwa vile watakavyo tuamke tuamke hakuna atakaye tutetea , tutoke KWENYE huu USINGIZI tutaisha
Usizunguke mbuyu Mwabukusi, tatizo sio kikosi kazi, tatizo oder
Kikweli Bora atua ichukuliwe mm najua walijua sativa kafa ndio wakamuacha lakn naiman niweng wanatekwa na wanakufa
Siku zikifika nawao nao watafanyiwa hivi hivi na familia zao saadamu alijificha kwenye shimo ndio Kwa maana watu wanalipizaga kisasi
Polisi na viongozi hawajali mbaya zaidi wananchi tunakaa kimya kwa sababu tunaogopa.
Serikali inaupungufu wa wazee wenye hekima kila sekta mambo ni mzobemzobe
IGP INAFAA KUJIUZURI KWA SABABU WATU WANATEKWA NA KUUAWA HOVYO IGP YUPO TU WAPOLISI WEZI TIZAMA WALE ASKALI MTWARA WALIUA MFANYABIASHARA WA MADINI KESI ILIISHIJE ? HAMZA WALIMWUA WALISEMA ALIKUWA JAMBAZI .IGP SIRO NA WAMBURA NI WAUAJI WAMETEKA WATU NAKUUA .
Inatakiwa ajiuzulu sio aunde tume hizo tume inasaidiya nini?
Kwani Aya matukio rais ajayasikia.mbona asemi chochote
Mzee walyoba uko wapi?
kumbe tabiazao niku telekeza
Wa raia kwenye mbuga za wanyama
Hakimu hapa ni Wananchi. Bila hiyvo tutaendelea kuwatuza na vitukuu vyao.
Nimekuelewa vizuri
Maandamano yaanzie hapo tusikubali kwa haya jamani tujaribu kuona LA kufanya..
😂😂 we JICHANGANYE niko palee hii SIO KENYA brow
Kwahiyo unasemsemaje usitoe vitisho toa. Maoni wananchi wafanyeje ? Wafanyeje hayo mambo ya kishetani yafanyweje ?au na wewe ni mmoja wao wa watesi wetu @@exaverysimon1064
@@exaverysimon1064Kwaani Kenya inatofauti gani na Tanzania
Sisi watanganyika niwaoga wajinga hatuwezi kuandamana
Nyinyi Kazi Yenu Munajuwa Umbea Tu 😂😂😂😂😂
Kumbe munajijua kwamba ni waoga na niwajinga ? Endeleeni kusinzia hivyohivyo mpaka siku ya mwisho .
@@MirajiMbolileWewe una enjoy kodi za watanzania tu
😂😂😂😂😂
M
Wewe mwabukusi Kama wewe niwakili kweli wakutetea haki wakati wa mauaji ya kibiti ilikuwa wapi wanainchi waliwa kuteswa nakubakwa ulikuwa wapi hukuyona ulikuwa kimya acha kuchanganisha serikali nawana inchi