ASKOFU MWANAMAPINDUZI "NILISEMA MAKONDA NI JINI LIMESHAANZA KUWATAFUNA CHONGOLO KANG'OKA WANAFUATA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- ASKOFU MWANAMAPINDUZI "NILISEMA MAKONDA NI JINI LIMESHAANZA KUWATAFUNA CHONGOLO KANG'OKA WANAFUATA..
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Makonda anawasumbua watu wengi kweli ni chaguo sahihi kwa wakati sahii tunakupenda makonda wetu tupo pamoja mpaka kieleweke
Sema unapenda sio tunampenda
@@Ernestlaizaon
Mwanamapinduzi oyeeeee,,well said
Makonda yupo sawa wanainchi tunahitaji viongozi kama makonda acha kumupaka uchafu usimgombanishe na mama yetu
Acha kupotosha watanzania mtumish watu.wakifanya kaz mnawafanyia fitna ameteuliwa na mama samia ko anamuwakilisha mama samia mama asante kwa kutupa makonda na huyu tushamshtukia watanzania hatudanganyki ko hawez kutuvuluga mtu mmoja mngu riza serikal yetu amen
■■Unaonge makubwa ni wenye akili watakuelewa only 😂😂
Wanamuelewa wacioitakia mema nch
Umeongea kweli kabisa
Wewe mwenyewe ni jini umejuaje mwenezi ni ji kama wewe si jini acha hasadi ww nadhani ww sio kiongozi wa dininba li mwanachama wa chama Fulani mwache komredi afanye KAZI tuachie Ccm yetu
J.K. Nyerere, J.P. Magufuli, P.C. Makonda big up sana.
Yes. Ukweli ndio utakaowaweka huru.
wewe kama muandishi wa Habari umewashawahi kumuuliza Makonda anatoa wapi pesa za kuwapa watu??
Na Makonda siyo aliyemtoa Chongolo sisitulikuwa naye Redio Uhuru na gazeti lake tinamjua vizuri sana kaondoka kwa tabia yake mbaya na bado wataondoka wengi huyo mama humohumo kuna baadhi wanampiga vita ukubali usikubali hawamtaki kwa vile ni mwanamke huyo ni kikulacho kinguoni mwako
Askofu uko sahihi!, hizo hela anazowapa watu anazitoa wapi?, waache watakutana nalo huko mbeleni!.
Kwani pesa itokaga wapi
Sisi tupo tunaangalia mchezo unavyokwenda.Acha mvua kubwa inyeshe ili tujua panapovuja.
Unapo subiri kuona panapovuja Kwa mvua kunyesha, nawe utakwenda na mafuriko ya mvua hiyo.
Asante askofu unasema hata kwetu barabara mbovu vijijini vijijini shida makodi kwa wanyonge
bashite kaonyesha kua ccm imekwisha kuwapa kazi watuhumiwa wa aina hii hata kesi ya gekulu itakua mada ya uchaguzi 2025
wachungaji wa namna hii wamechangia kuharibu nchi sasa kama unajua anausubutu ndio amuita jini?
Huyu mchungaji anachokiongea kinakaribiana na Roho wa Mungu alichonionyesha,anachokisema kina ukweli.
Askofu mwanamapinduzi upo sahihi, lakini kwa anachokifanya makonda ndio wengi tunapenda, tulimis aina hii ya uongozi, Makonda anavyo fanya ni kuwaamsha viongozi wengine wafanye kazi
MTU hawezi kupendwa na watu wote wanamchuki buree
ccm na serikali yake imeharibu nchi sana kwa uongo ufisadi na uozo mwingi hakuna jema toka ccm milele
Nasubiri kuliona Jini , Uyu mchungaji mtakuja kumwelewa uko mbele.
Wewe xi nimtu wamngu mbna unafik Bada umupongenze kazi nzuri
Ili chungaji Lina wivu pumbavu sana
Mchungaji wa mchongo. Jini ni wewe unaepotosha watu
Kaka umenifurahisha sana Kwa kauri ya Rais atoke kijijini.
Kweli hili jini afadhali. Bashite TU
Ukiacha chuki unaweza ukawa msaada kwa taifa
Wewe sio mtumishi wa Mungu ila wewe ni mojawapo wa majini pia wewe ni fisadi.unatakiwa upigwe kwa jina la yesu.wewe ndiyojinii kabili
Huyu mchungaji sio mchungaji mchungaji wa mungu huwezi kuhukum mtu ni wivu tu
Ajabu
Wewe mchungaji endelea na kazi ya uchungaji kazi ya siasa waachie wenyewe .Hata kazi yako inakushinda.Comrade Makonda piga kazi achana na waliopitwa na wakati.
Wachungaji ni miongoni mwa wananchi wa taifa hili wenye uhuru wa kutoa maoni. SIASA ndio maisha sasa una maana Mchungaji hatakiwi kuishi!
Askofu unakosea makonda anafanya kazi ya Mungu watu wanashida nyingi sana ambazo makonda anagusa mioyo watu.
Kwaani Mch, amekataa kua Makonda hafanyi kazi.? Ebu jibu hoja yake amesema anapogawa Pesa na kupiga Simu, Mama hajawahi kufanya ila Magufuri. Kwasababu hiyo anamkosoa Mama au anamfundisha kwa vitendo kwamba apigage Simu, au agawage Hera katka Ziara zake kwa Wananchi.
Kumbe hataww unamkubali magu, xx kwanini usimkubali makondaww
😂😂😂
Makonda yupo vizur sana jmn binadamu hatuna anawafuatilia viongozi kuwakumbusha wajibu wao kwa kuwatumikia wananchi ili wanufaike na nchi yao Tunamchukia.Makonda tupo tunaokuombea kaza zaidi Watu wataongezeka kuipenda CCM.
Unafurahia hayo maigizo?Nchi haiendeshwi kwa maigizo
Jamani nyinyi viongozi kumbukeni kibwetele acheni siasa vinngozi acheni kashifa kama mtu kapewa uongozi na mungu hata iweje kiongozi wa dini unakashifu kumwita jini nimeshanga sana
Hakuna asikofu niuchafu wake mahasikofu. Huna aibu Kama mchungaji unakashifu watu iv wanao sali kwako nimbumbu Kama ww
Acha makonda afanye kazi yupo sahihi
Hata huko kuanza kuvaa kwake baraghashia sio bure kuna lengo , na ni habari ya election tu --- anakusudia kuiwin jamii Fulani kwenye election " anawaza election tu na sio Generation "
Kiongozi. Yeyote aliye towa damu za watu hawezi kupewa urais tulipata uhuru hata kuku hata mbwa moja hakufa leo tunadai katiba. Mnatuuwa mungu huyo huyo tunaye mwomba usiku na mchana atowe urais haitawezekana kamwe.
Huyu mchungaji anashida gani, makonda amemkosea nini, na acha makonda wetu anatufaa sisi wana ccm, na nchi yetu anatufaa cc inch yetu
Makonda hatumchukii ila chama alichomo ndiyo jini lenyewe linaloangamiza na kutesa wananchi katika Taifa hili! Ukisema anakufaa ni wewe na ukoo wenu! Makonda ukimuweka kwenye ccm hafai! Ndiyo sababu alipoenda kanda ya ziwa alikuwa anatumia jina la Magufuli kuisafisha ccm na Rais kwa kivuli cha Magufuli! ili tuone kwamba wanamuenzi Magufuli kumbe ni uongo! Makonda yupo kwa mkakati maalum kutafuta kura za ccm uchaguzi ujao na wananchi wakilogwa kurudisha hili jini shetani ccm watajutia baada ya uchaguzi! Hivi wenye akili timamu hawawezi kuichagua ccm! na wenye akili timamu pia wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Hivyo msitudanganye na Makonda hutu yupo kimkakati baada ya uchagu tu hutaamini kumuona Makonda hayupo tena kwenye nafasi hiyo! atateuliwa kauzu mmoja atapewa nafasi hiyo na ahadi zote za Makonda zitaishia mifukoni! Subiria siku moja utakumbuka maneno haya!
Makonda hatumchukii ila chama alichomo ndiyo jini lenyewe linaloangamiza na kutesa wananchi katika Taifa hili! Ukisema anakufaa ni wewe na ukoo wenu! Makonda ukimuweka kwenye ccm hafai! Ndiyo sababu alipoenda kanda ya ziwa alikuwa anatumia jina la Magufuli kuisafisha ccm na Rais kwa kivuli cha Magufuli! ili tuone kwamba wanamuenzi Magufuli kumbe ni uongo! Makonda yupo kwa mkakati maalum kutafuta kura za ccm uchaguzi ujao na wananchi wakilogwa kurudisha hili jini shetani ccm watajutia baada ya uchaguzi! Hivi wenye akili timamu hawawezi kuichagua ccm! na wenye akili timamu pia wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Hivyo msitudanganye na Makonda huyu yupo kimkakati baada ya uchaguzi tu hutaamini kumuona Makonda hayupo tena kwenye nafasi hiyo! atateuliwa kauzu mmoja atapewa nafasi hiyo na ahadi zote za Makonda zitaishia mifukoni! Subiria siku moja utakumbuka maneno haya! Hivyo ccm inaatuhadaa kwa sababu ya uchaguzi! Mkataba wa Bandari IGA ni haramu UFUTWE! Wasitudanganye Nchi imekuwa ya majizi kuuza rasilimali za Watanganyika.
Kwani mchungaji mtu akiunga mkono utawala wa magufuli ni kosa mbona utawala ule ulikua mzuri sana mchungaji mbona sikuelewi na kama anaukosoa utawala huu shida nini
Acha uchochezi katangaze neno la mungu
Wewe msenge sisi makonda tunamkubali/100/
Sema wewe sio sis
Mtumishi .hapo kuhusu dini. Ccm hawajahi kuwa na swala dini ndo awe Rais. Acha kupotosha watu. Hakuna mtu mjini. Watu wote wanatoka vijijini. Acha ubaguzi.
Kwan anafanya hayo yote kama nn? Nalitawazuru kweli kweli hakna mtu hapo
Kwani kupiga cm sii ametumwa na mama, kwani hiyo pesa anayetoa sii anapewa na mama? wacha afanye kaz aliyotumwa na mama.
Mi nimekuelewa kwamba unatamani Makonda kuwa Rais baada ya mama Samia 🙄🙄
Mpakwa mafuta hawezi kuwa na Lugha kama hiyo. Unaudhalilisha Uaskofu. Looh !
NI KOSA KUMFANANISHA MAKONDA NA JINI LA AINA YOYOTE ILE.
Makonda kaka naipenda kazi yako ninjema na MUNGU atakulipa mema kama kazi yako ilivyo njema nakuombea usiku na mchana MUNGU akulinde sana kaka
Mungu simama
Katibu muenezi kumlipa mtu ng'ombe maradufu,na kulipa gari jipya liloharibiwa na polisi, ni kutii maagizo kueneza propaganda kwa kutumia fedha zetu ili kujinadi kwa wema bandia kwa wengi wanaposikia habari hii. Magufuli alikua anagawa hela ktk ziara zake huku anaua upinzani
Kwanza hizo hela kazitoa wapi?
Hivi, wewe ni mtumishi wa kweli!? Unawezaje kumwita mwanadamu mwenzako kua jini!? Hata kama ni chuki umevuka mipaka! Halafu eti unawaongoza watu waende mbinguni, wakati mwenyewe Yesu akikuchukua kabla ya kufutabhiyo kauli utaishia shimoni! Tafakari kauli zako. Na unawachafua mioyo hao unaowaongoza.
Huyu mchungaji ni chizi kumbe anamwelewa sasa alikuwa anabwabwaja nn kumwota jini?
Huyo mtumishi wa shetani c mtumishi wa mungu
Unakuja vizuri lakin unaharibu Tena! Maovu gan Sasa? Masifa gan Tena? Hapo huwezi kunidanganya Makonda yupo vizur sana
Nadhani ninyi woote ruho zenu mbaya TU kijana anafanya KAZI ya chama vizuri TU mwacheni kileele nyingi madhabaho yamekushinda si nenda kawe mchawi tu
Kama we ni mtumish wa Mungu wa kweli achana na siasa mtumikie Mungu alie hai siasa waachie wenyewe sikiliza Mungu ndio aliekuinua kupitia din sasautapotea kisiasa/kidin utaelea hapo ktkt huwez
Mwanamapinduzi oyeeee
Mchungaji mwaka huu utasema na bado hujasema😂😂
Kila mti wenye matunda lazima upigwe mawe ulishawahi ona mwarobaini kuna mawe ?? Mawe. Yapo kwenye mwembe na kwenye matunda Makonda ni mti wenye matunda ndo Mana inapimwa mawe
Kama ungekuwa ww ndio nimakoda ungekuwa unafanyeje ww. Acha habari za wanasiasa ww tuhubilie neno la mungu
Wewe ni mchonganishi wala wewe sio mtumishi wa mungu wewe ni mwanasiasa ulie jificha kwenye dini. Chuki hazito kuacha salama
Huyu naye hana la kusema la maana kuhusu ni mabadiliko gani nci inahitaji na yeye kama mtu wa dini mchango wake ni upi, ama ni unyonyaji tu wa kutumia religious regressive tax? Watu kumtolea sadaka na yeye anajenga hekaru la kuishi? Lini watanzania tutaamka. Dini ni biashara siku hizi.
Mtumishi naona una lako jambo na Makonda pia nimegundua jambo nimekusikiliza kwa makini sana. Sasa kulala Makonda Butiama na Raisi kuto kulala Butiama tatizo like wapi? Huo ni utashi wa mtu, kaendelee kueneza injili siasa haikufai vinginevyo unatafuta umaarufu.
Jamani mbona hivi!!!
Makonda Kazabuti Songa Mbele Utpeleke Kwenye Nchi Ya Maziwa Na Asali
Watu kama Hawa wanaowatukana watu wakijiita watumishi nasema walaanniwe kwani wanaharibu maadili ya Nchi yetu.
Bora mara mia makonda awe raisi kuliko yoyote yule wa ccm
Makonda bado ana akili ndogo.Apewe urais kwa lipi
Watanzania acheni upumbavu hivi hamuoni kuwa makonda ni tapeli ni mtu anayejifanya mwema ila ni mtu hatari sana
Huyu askofu dishi huyu 😅
Biteko Makonda na wabunge wengine ndiyo watakao leta kura kanda ya ziwa usicheze na wasukuma hilo Taifa kubwa kuanzia Tabora Shinyanga mpaka Mwanza wana msimamo wa ajabu chunga sanaaaa
MAKONDA NO HURUKA YAKE, KUMBUKA ALIPO ANZA KUWA D.C. KINONDONI, MTINDO WAKE NI HUO HUO,WALA HAJI PENDEKEZI KWA MUG..KAWAIDA YA NYIE WATU NO KUCHAGUA WATU WASIO FAA,NDIO MMEISHIA HAPO,HAKUNA KUENDELEA,ILA NIMAJUNGU TH KWENDA MBELE , KILA KITU KINAPORWA, HAMUUNGANI KUHAMI. HOVYOOO
Makonda hamtengenezei mama ila makonda anajitengenezea mwenyewe
Unaonaje wakupe ww huo ukatibu mwenezi naona unalopoka 2 unashidw kujibu maswali kwann?
Tunakuelewaa ukweli unaongea kuhusu magufuli lkn tunakuponda unavomponda makonda
Yupo sahihi.
Kichaaa kinaaza kimchezo mchezo... Acha mazoea makonda tunamfahamu uongozi wake hautofautiani na jinsi tunavyo mjua acha uongo Makonda anauthubutu.
UMETUMWA WEWE!
We askofu kweli au tapeli Fulani?
Kumbe makonda nikiongozi mzuri
Chapa kazi Makonda.Magufuli wa pili.
KATIBA MPYA
Watu wa usalama wa Taifa hili huyu Pastor sidhani km ni Raia mwema..ni Mtu mchonganishi.. ni mgombanishi... please take law and action to this man😮
Usalama wataifa wanakz kama gekuli watupe majibu
Wanainchi Kule ngorongoro na loliondo Wanainchi wamefirisiwa na watu wa Tanapa na maeneo pia ya watu.aende uko makonda panamfaa akasaidie uko wanahitaji msaada mkubwa
Makonda Hoyeee pga kaz kjana
Kwa hiyo unataka viongizi wasiofanya Kazi hivi na nyie waaandishi watu kama Hawa wanachafua viongozi wasihoji ni ujinga na uzalilishaji simpendi huyu mtumishi jinga kabisa
Correction wawaeLeze
Kumbe unawivu kwamakonda.hata ufanyeje makonda yuko juu
Nahisi anautamani urais baada ya awamu ya mama, atampa shida mama kupendekeza mrithi muda ukifika, kimatendo na maneno , lkn hisia tu😮
Duuuh kumbe hata kanisani viongozi wake wanamajungu kiasi hiki
Hivi mbona sikuelewi mchungaji
Acheni upuuzi mnamsifia makonda Hera anazowapa watu huko anakofanya ziara ,anazipata wapi? Ni wazi ni Kodi zetu.
Huyu Askofu ana matatizo. Anatuhumu mwanasiasa bila kujua kuwa kazi ya uasikofu ni kuwaunganisha watu wote bila kujali itikadi zao.
Kama Makonda anaweza kufanya kazi zinazopaswa kufanywa na mwenyekiti wake kuna ubaya gani?
Mama Samia atapata ushindi wa kishindo mwaka 2025 kutokana na uthubutu wa Makonda. Hapo Mama Samia atakuwa amepoteza nini.? Kama mfumo wa Maguduli ndiyo unapendwa na wananchi kuna nongwa gani mwenyekiti wa CCM kutumia Makonda ambaya ni mwenezi wake kuutumia na kukipatia chama Chao umaarufu.
Askofu achana na uaskofu na ujiunge na siasa. Acha kutumia kanisa kueneza chuki. Hujui unachoongea .Subiri October 2025 na ndipo utajua hajui
Makonda ni kiongozi bora ila huyu jamaa ukimfuatilia anavisa binafs na makonda
Ameongea maneno mazito sn Makonda anajijenga mwenyewe ana lengo lake huyu mwamba asipo angaliwa ccm itapitia wakati mgum sn hususan miaka 5 ijayo kama Samia atarudi madarakanj
Sasa mtumishi ukimpa kijana wa kanisa lako akiwa mhubili mzuri waumini wakimkubali unamfukuza mapema mbn hiyo ni wivu na roho mbaya kwani wewe makonda anakukela nini kusaidia watu au nini shida
Ww ni mchawi sio mtumishi wa mungu acheni ujinga baba mtu mzima huna akili kama mtumishi wa mungu huna hekima
Kwani hekima ikoje
Makonda chapa kazi
Nnyie wenye vituo vyarediyo kwaninI munapendakuhoji watu vichaavichaa wasio. nafaidayoyote kwenye jamii walamagundisho yoyote wamejaa hiyananaubinafisi wachuki huyo anayemuita jini nimwanasiasa yeye etini mchungaji sasa.chuki zinakujaje?
Makonda mtetezi wa wanyonge
Makonda ni jembe piga kazi kaka nafulahia sana kwa kazi unayopiga kaka
Makonda Yuko sawa
Halloo😮
Kama unamkubali mghufuli kwa Nini unamkataa makonda
Yoyote anayesema jambo jema kwa ubaya mtazame kwa jicho la tatu maana ni wazi hatoshi; kwani Makonda sio jini ila ni jambo jema kwa taifa na ni ushindi kwa CCM 2025