Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • #ijuesheria

ความคิดเห็น • 87

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 หลายเดือนก่อน +12

    Nimekuelewa vizuri sana..
    Ubarikiwe sana mheshimiwa.

  • @user-gy4vk1hh3x
    @user-gy4vk1hh3x หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akulinde Wakili umenifanya nisiwe mwoga Kwa kweri. Viongozi machawa ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuelewa sana Peter your the best one,taifa la Tanzanian linahitaji watu kama hawa.

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai หลายเดือนก่อน +4

    Nakukubali sanasana afande mwanasheria wakili masomi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +4

    Notisi of apili zinatutesa sana unaka myaka makalane jamani watafute kazi nyingine ndio wanachafua mahakama jamani wajaji wamesoma sana makonda jeli silaa Wana amuka siku moja majaji wanaoshindwa nini

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kaka Madeleka.Watanzania wanahitajisana vipindi kama hivi angalau kila wiki,

  • @robertmapinda1866
    @robertmapinda1866 หลายเดือนก่อน +2

    Wakili madeleka nakukubali sana katika utendaji wako Mungu akuongezee hekima na busara,usimamie haki

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna watu wazuri sana kama Madereka Mungu akulinde wakili Madereka

  • @moyokajange1699
    @moyokajange1699 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe mtumishi wa mungu kazi unayo ifanya ni ya kitume Bwana yesu akulinde akuingezee siku zakuishi ubarikiwe sana.

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl หลายเดือนก่อน +3

    MADELEKE is big advocaten her from AMSTERDAM NEDERLAND she want to kuongea na WEWE

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k หลายเดือนก่อน +1

    Tafadhali sana wakili MADELEKA usikubali kununuliwa na wale wasiotaka mabadiliko ya nchi yetu ,,kwasababu ccm hawataki kuyasikia hayo unayoyasema

  • @asibwenemwaipopo4863
    @asibwenemwaipopo4863 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa kuwaelimisha Watanganyika. Mungu akubariki, akulinde na kukupa maisha marefu.

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 หลายเดือนก่อน +1

    Peter Madeleka huwa unanikosha sana , mwanangu mmojawapo nitahakikisha anasoma sheria.

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤ mm nikwelewa sana ila nakuomba ungane na lisu

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna cha amani na usalama
    wakati tunaishi kama wanyama pori

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili dunia zote zinazo sitahiki zikufikie amina rabilaalah mina

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa hawana mungu hawa ni sehemu ya wauaji maana huwa wanawatetea mpaka wauaji hawana lolote

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 หลายเดือนก่อน +1

    Madeleka ni azina ya nchi tuwaombee sana kwa Mungu mtu kama UYU mtu wa kutaka haki ni wa kumwombea sana

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r หลายเดือนก่อน +3

    Peter MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA TU!

  • @augustinomsuya9310
    @augustinomsuya9310 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aendelee kukulinda

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 หลายเดือนก่อน

    Kaka kunywasoda safi nalipa mimi nakukubali sana

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 หลายเดือนก่อน +2

    Wee Madeleka ni kiboko. Pokea 🎉🎉 yako.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +1

    Amen mungu akubaliki sana

  • @ClementLushino
    @ClementLushino หลายเดือนก่อน

    Biblia inasema tunapata wapi watu kama awa wenye kusimamia kweli, MUNGU akubariki sana na akuongeze ujasili.

  • @kasumalnews4580
    @kasumalnews4580 หลายเดือนก่อน +1

    Awesome

  • @peterkitima4383
    @peterkitima4383 หลายเดือนก่อน +1

    Madeleka ubarikiwe saana nduguuu

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 หลายเดือนก่อน

    🎉libarikiwe tumbo lililokuzaa, ziwa ulilonyonya na kiuno ulimotoka

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo kazi baba mama waliyofanya nizawadi za watoto wao

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi หลายเดือนก่อน +2

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp หลายเดือนก่อน

    Mendez madereka ,nakutaman kaka.moja kati ya watanzania walio soma wakaelewa ❤

  • @NdebileMathias
    @NdebileMathias หลายเดือนก่อน

    Good message for our country

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali wewe ni mpigania haki. Mungu akuinue zaidi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 25 วันที่ผ่านมา

    Polisi bado wale wale hajui kama kuna maungo maungo ya KATIBA. CCM ndiyo kabisa hawana habari wanaona Hatamu yao bado kabisa.

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki wewe nimtetezi wa wanyonge

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน

    Jamani Madereka,akupe ulinzi mungu baba.ni huruma na upendo.utu.mungu atakulipa.

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im หลายเดือนก่อน

    Uko vizur mwamba

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sanaa kaka

  • @user-mh2fw4ze8m
    @user-mh2fw4ze8m หลายเดือนก่อน

    Da sina hamu kabisa na ujumbe huo wakili madeleka

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania hamuna mawakili ni waganga njaa wapo ishalla lugemeleza mwabukusi madeleka lisu antipasi lisu

    • @user-uh3eg5cj2r
      @user-uh3eg5cj2r หลายเดือนก่อน +1

      Bado Kuna vichwa kama kibatara, Bob wangwe, nk!

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 หลายเดือนก่อน

    Duuuu kazi kweli kweli.asante

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli lakini watu wamewekwa chini ya CCM. Watanganyika wanafanyiwa vibaya sana lakini hata nadhani serikali, mahakama, na CCM ndiyo wamekuja kuharibu Time kwa sababu Rostam kwani aliposema kuwa kuwa mahakama ya kungonjea ku maagizo kutoka juu. Kwa nini mahakimu walijifanya kulalamika kwani siyo kweli? Mahakimu waliolalamika waliokuwa wanalalamika walikuwa uchawa au kweli? Jamani sisi tulikwisha kaa inje ya Tanganyika huwa tunaona kama serikali ya kujifanya ya kitoto. Yaani watoto wanapo jifanya kupika kupika unaweza kuona wazi kuwa ni watoto. Serikali ya CCM inafanya kuwa kila kitu kana kwamba wanajifanya. Ni kwa sababu ni CCM hata watu professional wanakuwa wachawa tu. Sasa hii ni serikali gani?

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl หลายเดือนก่อน +2

    UAGOPENINI KAKA TUTAKUFAWOTE WAZALENDO

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 25 วันที่ผ่านมา

    Hata sisi tulikuwa wadogo. Hapa hakuna amani hata kidogo sasa hivi kuna uchawa tu wala hakunaAmani.

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 หลายเดือนก่อน +1

    Msomi Madeleka wewe ni AKILI KUBWA hata wasioelewa wanakuelewa vizuri sana. Japo wachache hawataki kukuelewa Kwa sababu za wivu tu Kwa uwezo Mkubwa ulionao.

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 หลายเดือนก่อน

    Yani saizi ukiwa na kesi usiombe polic awe na ukaribu na hakimu au wakili wamahakama ya karibu na kituo yani uwe nahaki usiwe na haki ndani utaenda

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 หลายเดือนก่อน

    Hakika ww mungu akubariki sana

  • @AtuganyiraKabigumila-rz7ou
    @AtuganyiraKabigumila-rz7ou หลายเดือนก่อน

    Uje utukomboe madereka jaman naomba hata uwe kaka yangu wa mfano nakupenda Bure baba

  • @farajansekela5763
    @farajansekela5763 หลายเดือนก่อน

    Mmmh!!!!! Akili kubwa Sana Kakangu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +1

    Shetani anafanya mabaya zaidi hata kuliko shetani. Kesi hata direct tunahangaika nazo miaka na miaka mingi kila siku kwa sababu ya utawala wa CCM ambayo hauna hata uelewa wa kutawala bali wanacho jua ni kupigiwa makofi, kupokea uchawa na sifa za uongo mtupu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +1

    👍👊✌️.

  • @user-vg4ph5zx8h
    @user-vg4ph5zx8h หลายเดือนก่อน

    This guy he so genius

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +1

    Tuache uoga tufanye maandamano tuwaondowe vibaya kwenye wamefanikiwa

  • @Kwarasi
    @Kwarasi หลายเดือนก่อน +1

    Hekooooo

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 หลายเดือนก่อน

    tupo tayari kuiandika katiba mpya

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 หลายเดือนก่อน +1

    Nakkubali kaka

  • @KelvinBamuhiga
    @KelvinBamuhiga หลายเดือนก่อน

    Mungu akulonde madeleka🎉

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai หลายเดือนก่อน +2

    Baba unasitahili mauwa yako

  • @BernadethaCharles-sv3oy
    @BernadethaCharles-sv3oy หลายเดือนก่อน

    Kumbe una uelewa mdogo wa kisheria? Mbona hatari sana sasa. Kumbe unatupotosha!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 16 วันที่ผ่านมา

      Baba yako ametuibia sana ndiyo maana unahofu ugali wako utachukuliwa,

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 หลายเดือนก่อน

    Mungu Wa Mbinguni akujaalie na TLS nzima mtendee wananchi haki

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Madereka

  • @johnmathew9854
    @johnmathew9854 หลายเดือนก่อน

    Bado tunawatu wanaakili mmno!!!!!!!

  • @charlesmapunda2002
    @charlesmapunda2002 หลายเดือนก่อน +3

    Unajua mpaka basi

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 หลายเดือนก่อน

    Peter Madeleka naPeter Kibatala ni miongoni mwa mawakili bora na watetezi wa haki za binadamu.

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 หลายเดือนก่อน

    chuma hicho

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน

    Umemtaja Biswalo bado Anna Makaka.

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl หลายเดือนก่อน +1

    Aya mauupuuzi kamalile CHALAMILA ajafikaatalasaba yani stupide sijawai kuuona MATAKUYAKE

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 16 วันที่ผ่านมา

      Ngumbalo mbona umeandika utumbo

  • @pastorypetro6861
    @pastorypetro6861 หลายเดือนก่อน

    Bro kweli unajielewa

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d หลายเดือนก่อน

    Madeleka,libarikiwe ziwa ulilonyonya,darasa lako limenibariki!

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 หลายเดือนก่อน +1

    Tunataka katiba mpyaa"

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน

      Muda wa kupata KATIBA mpya ni sasa

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 หลายเดือนก่อน

    Namba Yako tunazipataje kaka

  • @jeremiahmwasanu8157
    @jeremiahmwasanu8157 หลายเดือนก่อน

    Ihubiriwe haki popote ulipo pasi kuangalia nani anafanyiwa uonevu.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +1

    Tufanye anzisheni

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 หลายเดือนก่อน

      Tuanzishe wao wafanye ya kitaaluma.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ya kuwavua watu nguo na
    kuwaingiza vidole sehemu za siri hata mimi siikubali.
    Kuna haja ya maandamano kupinga hilo ili serikali inunue vifaa vya uchunguzi kuliko kuwatia watu vidole sehemu za siri

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 หลายเดือนก่อน

    Madeleka, we ni kiboko.

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h หลายเดือนก่อน

    Dah, hii nchi, kuvuanguo!!?

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 หลายเดือนก่อน

    CCM imesha penyeza watu wao humo ndani ya T L S

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndiye wakili Bora Sana kwa sasa

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน

    Wengi wanakataa vyeo.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 หลายเดือนก่อน

    Tumpate wapi mtu kama huyu