Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • #ijuesheria

ความคิดเห็น • 92

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 7 หลายเดือนก่อน +13

    Nimekuelewa vizuri sana..
    Ubarikiwe sana mheshimiwa.

  • @VascoMlimakifi
    @VascoMlimakifi 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akulinde Wakili umenifanya nisiwe mwoga Kwa kweri. Viongozi machawa ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii

  • @asibwenemwaipopo4863
    @asibwenemwaipopo4863 6 หลายเดือนก่อน +2

    Asante kwa kuwaelimisha Watanganyika. Mungu akubariki, akulinde na kukupa maisha marefu.

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakuelewa sana Peter your the best one,taifa la Tanzanian linahitaji watu kama hawa.

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika ww mungu akubariki sana

  • @NdebileMathias
    @NdebileMathias 6 หลายเดือนก่อน +2

    Good message for our country

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 6 หลายเดือนก่อน +2

    Duuuu kazi kweli kweli.asante

  • @moyokajange1699
    @moyokajange1699 7 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe mtumishi wa mungu kazi unayo ifanya ni ya kitume Bwana yesu akulinde akuingezee siku zakuishi ubarikiwe sana.

  • @robertmapinda1866
    @robertmapinda1866 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wakili madeleka nakukubali sana katika utendaji wako Mungu akuongezee hekima na busara,usimamie haki

  • @LensonMwaigombe
    @LensonMwaigombe 4 หลายเดือนก่อน

    Madeleka madeleka madeleka ,kiboko ni mwamba hasaaa na Mungu akulinde kwa dhati ya moyo wangu ,nakuombea

  • @roseritakingamkono9988
    @roseritakingamkono9988 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tumpe maua yake. Mungu akulinde

  • @augustinomsuya9310
    @augustinomsuya9310 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu aendelee kukulinda

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna watu wazuri sana kama Madereka Mungu akulinde wakili Madereka

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 6 หลายเดือนก่อน +5

    Nakukubali sanasana afande mwanasheria wakili masomi

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki wewe nimtetezi wa wanyonge

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 6 หลายเดือนก่อน +3

    Peter Madeleka huwa unanikosha sana , mwanangu mmojawapo nitahakikisha anasoma sheria.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka kunywasoda safi nalipa mimi nakukubali sana

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 6 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤ mm nikwelewa sana ila nakuomba ungane na lisu

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mendez madereka ,nakutaman kaka.moja kati ya watanzania walio soma wakaelewa ❤

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kaka Madeleka.Watanzania wanahitajisana vipindi kama hivi angalau kila wiki,

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili dunia zote zinazo sitahiki zikufikie amina rabilaalah mina

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 7 หลายเดือนก่อน +4

    Notisi of apili zinatutesa sana unaka myaka makalane jamani watafute kazi nyingine ndio wanachafua mahakama jamani wajaji wamesoma sana makonda jeli silaa Wana amuka siku moja majaji wanaoshindwa nini

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 7 หลายเดือนก่อน +2

    Madeleka ni azina ya nchi tuwaombee sana kwa Mungu mtu kama UYU mtu wa kutaka haki ni wa kumwombea sana

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tafadhali sana wakili MADELEKA usikubali kununuliwa na wale wasiotaka mabadiliko ya nchi yetu ,,kwasababu ccm hawataki kuyasikia hayo unayoyasema

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mungu akubaliki sana

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 6 หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali wewe ni mpigania haki. Mungu akuinue zaidi

  • @ClementLushino
    @ClementLushino 6 หลายเดือนก่อน

    Biblia inasema tunapata wapi watu kama awa wenye kusimamia kweli, MUNGU akubariki sana na akuongeze ujasili.

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu Wa Mbinguni akujaalie na TLS nzima mtendee wananchi haki

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 6 หลายเดือนก่อน +1

    Namba Yako tunazipataje kaka

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hata sisi tulikuwa wadogo. Hapa hakuna amani hata kidogo sasa hivi kuna uchawa tu wala hakunaAmani.

  • @AtuganyiraKabigumila-rz7ou
    @AtuganyiraKabigumila-rz7ou 6 หลายเดือนก่อน

    Uje utukomboe madereka jaman naomba hata uwe kaka yangu wa mfano nakupenda Bure baba

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sanaa kaka

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wee Madeleka ni kiboko. Pokea 🎉🎉 yako.

  • @KelvinBamuhiga
    @KelvinBamuhiga 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulonde madeleka🎉

  • @farajansekela5763
    @farajansekela5763 6 หลายเดือนก่อน

    Mmmh!!!!! Akili kubwa Sana Kakangu

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani Madereka,akupe ulinzi mungu baba.ni huruma na upendo.utu.mungu atakulipa.

  • @kasumalnews4580
    @kasumalnews4580 7 หลายเดือนก่อน +1

    Awesome

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo kazi baba mama waliyofanya nizawadi za watoto wao

  • @peterkitima4383
    @peterkitima4383 6 หลายเดือนก่อน +1

    Madeleka ubarikiwe saana nduguuu

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 6 หลายเดือนก่อน

    🎉libarikiwe tumbo lililokuzaa, ziwa ulilonyonya na kiuno ulimotoka

  • @Goldsteinmichael
    @Goldsteinmichael 6 หลายเดือนก่อน

    This guy he so genius

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl 7 หลายเดือนก่อน +3

    MADELEKE is big advocaten her from AMSTERDAM NEDERLAND she want to kuongea na WEWE

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yani saizi ukiwa na kesi usiombe polic awe na ukaribu na hakimu au wakili wamahakama ya karibu na kituo yani uwe nahaki usiwe na haki ndani utaenda

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Madereka

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa hawana mungu hawa ni sehemu ya wauaji maana huwa wanawatetea mpaka wauaji hawana lolote

    • @NixonJohnson-r4m
      @NixonJohnson-r4m 4 หลายเดือนก่อน

      😂siku utapata akili ndio uje hapa kukomet....

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna cha amani na usalama
    wakati tunaishi kama wanyama pori

  • @EmmanuelSimion-d3e
    @EmmanuelSimion-d3e 6 หลายเดือนก่อน +3

    Peter MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA TU!

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakkubali kaka

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anasitahili awe mubunge wa chadema

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 6 หลายเดือนก่อน +1

    Peter Madeleka naPeter Kibatala ni miongoni mwa mawakili bora na watetezi wa haki za binadamu.

  • @ALDONKILI
    @ALDONKILI 6 หลายเดือนก่อน

    Da sina hamu kabisa na ujumbe huo wakili madeleka

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 6 หลายเดือนก่อน

    Uko vizur mwamba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 หลายเดือนก่อน +1

    👍👊✌️.

  • @pastorypetro6861
    @pastorypetro6861 6 หลายเดือนก่อน

    Bro kweli unajielewa

  • @Kwarasi
    @Kwarasi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hekooooo

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl 7 หลายเดือนก่อน +2

    UAGOPENINI KAKA TUTAKUFAWOTE WAZALENDO

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 6 หลายเดือนก่อน

    Polisi bado wale wale hajui kama kuna maungo maungo ya KATIBA. CCM ndiyo kabisa hawana habari wanaona Hatamu yao bado kabisa.

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania hamuna mawakili ni waganga njaa wapo ishalla lugemeleza mwabukusi madeleka lisu antipasi lisu

    • @EmmanuelSimion-d3e
      @EmmanuelSimion-d3e 6 หลายเดือนก่อน +1

      Bado Kuna vichwa kama kibatara, Bob wangwe, nk!

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 6 หลายเดือนก่อน

    Umemtaja Biswalo bado Anna Makaka.

  • @YourMoor-px1rd
    @YourMoor-px1rd 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU AKUBARIKI (AVVOCATO) MADEREKA BONGO HAPO HAKUNA SHERIA SASA HIVI BALI KUNA UONEVU TU NA HASWA HILO JESHI LA POLISI NDILO HALIFAI KABISA HUWABAMBIKIA WATU KESI ZA UONGO WATU KWA AJIRI WANATAKA RUSWA😊

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 6 หลายเดือนก่อน +2

    Baba unasitahili mauwa yako

  • @charlesmapunda2002
    @charlesmapunda2002 6 หลายเดือนก่อน +3

    Unajua mpaka basi

  • @NSAMBELAGEORGE
    @NSAMBELAGEORGE 6 หลายเดือนก่อน

    Madeleka,libarikiwe ziwa ulilonyonya,darasa lako limenibariki!

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tuache uoga tufanye maandamano tuwaondowe vibaya kwenye wamefanikiwa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 7 หลายเดือนก่อน +2

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @BernadethaCharles-sv3oy
    @BernadethaCharles-sv3oy 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe una uelewa mdogo wa kisheria? Mbona hatari sana sasa. Kumbe unatupotosha!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 หลายเดือนก่อน

      Baba yako ametuibia sana ndiyo maana unahofu ugali wako utachukuliwa,

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndiye wakili Bora Sana kwa sasa

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 6 หลายเดือนก่อน

    Madeleka, we ni kiboko.

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 7 หลายเดือนก่อน +1

    Msomi Madeleka wewe ni AKILI KUBWA hata wasioelewa wanakuelewa vizuri sana. Japo wachache hawataki kukuelewa Kwa sababu za wivu tu Kwa uwezo Mkubwa ulionao.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 6 หลายเดือนก่อน

    Wengi wanakataa vyeo.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shetani anafanya mabaya zaidi hata kuliko shetani. Kesi hata direct tunahangaika nazo miaka na miaka mingi kila siku kwa sababu ya utawala wa CCM ambayo hauna hata uelewa wa kutawala bali wanacho jua ni kupigiwa makofi, kupokea uchawa na sifa za uongo mtupu.

  • @GerardMdui
    @GerardMdui 6 หลายเดือนก่อน

    Dah, hii nchi, kuvuanguo!!?

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 6 หลายเดือนก่อน

    CCM imesha penyeza watu wao humo ndani ya T L S

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli lakini watu wamewekwa chini ya CCM. Watanganyika wanafanyiwa vibaya sana lakini hata nadhani serikali, mahakama, na CCM ndiyo wamekuja kuharibu Time kwa sababu Rostam kwani aliposema kuwa kuwa mahakama ya kungonjea ku maagizo kutoka juu. Kwa nini mahakimu walijifanya kulalamika kwani siyo kweli? Mahakimu waliolalamika waliokuwa wanalalamika walikuwa uchawa au kweli? Jamani sisi tulikwisha kaa inje ya Tanganyika huwa tunaona kama serikali ya kujifanya ya kitoto. Yaani watoto wanapo jifanya kupika kupika unaweza kuona wazi kuwa ni watoto. Serikali ya CCM inafanya kuwa kila kitu kana kwamba wanajifanya. Ni kwa sababu ni CCM hata watu professional wanakuwa wachawa tu. Sasa hii ni serikali gani?

  • @johnmathew9854
    @johnmathew9854 6 หลายเดือนก่อน

    Bado tunawatu wanaakili mmno!!!!!!!

  • @jeremiahmwasanu8157
    @jeremiahmwasanu8157 7 หลายเดือนก่อน

    Ihubiriwe haki popote ulipo pasi kuangalia nani anafanyiwa uonevu.

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 6 หลายเดือนก่อน

    chuma hicho

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tunataka katiba mpyaa"

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 6 หลายเดือนก่อน

      Muda wa kupata KATIBA mpya ni sasa

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tufanye anzisheni

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 6 หลายเดือนก่อน

      Tuanzishe wao wafanye ya kitaaluma.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 6 หลายเดือนก่อน

    Tumpate wapi mtu kama huyu

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aya mauupuuzi kamalile CHALAMILA ajafikaatalasaba yani stupide sijawai kuuona MATAKUYAKE

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 หลายเดือนก่อน

      Ngumbalo mbona umeandika utumbo

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 7 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ya kuwavua watu nguo na
    kuwaingiza vidole sehemu za siri hata mimi siikubali.
    Kuna haja ya maandamano kupinga hilo ili serikali inunue vifaa vya uchunguzi kuliko kuwatia watu vidole sehemu za siri

  • @sammyspecialneeds_autism_tz
    @sammyspecialneeds_autism_tz 6 หลายเดือนก่อน

    tupo tayari kuiandika katiba mpya