ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 52

  • @MichaelKibona-p9m
    @MichaelKibona-p9m 3 หลายเดือนก่อน +5

    Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mpina hata iweje yupo juu

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki

  • @chezariboy
    @chezariboy 3 หลายเดือนก่อน +3

    Big up, mwanamapinduzi

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 3 หลายเดือนก่อน +5

    Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz

  • @LeonardmatiasWiliamu
    @LeonardmatiasWiliamu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana

  • @jumaluziga-u5n
    @jumaluziga-u5n 3 หลายเดือนก่อน +2

    Duh

  • @Wiittole
    @Wiittole 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.

    • @OscarKasalile-u4k
      @OscarKasalile-u4k 3 หลายเดือนก่อน

      Acha chuki wewe mpina hata yeye ni adui wa ccm.

  • @WilliamLukas-j3p
    @WilliamLukas-j3p 2 หลายเดือนก่อน

    Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa

  • @Mtuwawatu1993
    @Mtuwawatu1993 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania 😢

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzaniaaaaaaaa my mother country,kwa nini lakini yanakuwa haya.Lakini mtu mwenye haki atastawi kama mtende(Mpina).

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja mchungaji

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 2 หลายเดือนก่อน

      Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge

  • @raykas9976
    @raykas9976 2 หลายเดือนก่อน +1

    Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.

  • @kijadogan6711
    @kijadogan6711 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye mawaziri umegusa penyewe inakuaje kwa mfano ?

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 2 หลายเดือนก่อน

    Umesema kweli kiongozi

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pina karibu mpina cdm

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bunge la mchongo spka wa mchongo

  • @MukameMachel
    @MukameMachel 2 หลายเดือนก่อน +1

    Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 2 หลายเดือนก่อน

    Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 2 หลายเดือนก่อน

      Hivi, unawezaje kuandika neno gumu hivyo!!!😳😳

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 หลายเดือนก่อน

    Msukuma ikifa leo utaenda kuiona mbingu kwelii. msukuma hutendei bunge la T.z hak.huna hof. Ya MUNGU KABIDAAAA.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 2 หลายเดือนก่อน

    Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 2 หลายเดือนก่อน +1

    Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu

  • @SaidiMohamedi-n2u
    @SaidiMohamedi-n2u 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 หลายเดือนก่อน

    Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 2 หลายเดือนก่อน

    Tupeni mpina

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 3 หลายเดือนก่อน

    HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu 3 หลายเดือนก่อน

    Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 3 หลายเดือนก่อน

    Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 3 หลายเดือนก่อน

    HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns 2 หลายเดือนก่อน

      Wew ndiye tp

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 2 หลายเดือนก่อน

      Acha matusi,kwani huyo mchungaji amekutaperi nini wewe taperi?!

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 2 หลายเดือนก่อน

    Musiwape wajinga elimu

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600