ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤
Mpina hata iweje yupo juu
Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki
Big up, mwanamapinduzi
Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz
Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana
Duh
Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.
Acha chuki wewe mpina hata yeye ni adui wa ccm.
Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli
Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa
Tanzania 😢
Tanzaniaaaaaaaa my mother country,kwa nini lakini yanakuwa haya.Lakini mtu mwenye haki atastawi kama mtende(Mpina).
Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa
Pamoja mchungaji
Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.
Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir
Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.
Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge
Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.
Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie
Hapo kwenye mawaziri umegusa penyewe inakuaje kwa mfano ?
Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki
Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini
Umesema kweli kiongozi
Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600
Pina karibu mpina cdm
Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole
Bunge la mchongo spka wa mchongo
Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa
Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena
Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela
Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!
Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao
Hivi, unawezaje kuandika neno gumu hivyo!!!😳😳
Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.
Msukuma ikifa leo utaenda kuiona mbingu kwelii. msukuma hutendei bunge la T.z hak.huna hof. Ya MUNGU KABIDAAAA.
Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!
Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu
Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini
Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k
Tupeni mpina
HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI
Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu
Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako
HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE
Wew ndiye tp
Acha matusi,kwani huyo mchungaji amekutaperi nini wewe taperi?!
Musiwape wajinga elimu
Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600