MZEE MWENYEKITI ALIVYOWATOA JASHO WATUMISHI MBELE ya MAKONDA - WAPISHANA na KURUSHIANA MIPIRA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
  • MZEE MWENYEKITI ALIVYOWATOA JASHO WATUMISHI MBELE ya MAKONDA - WAPISHANA na KURUSHIANA MIPIRA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 128

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +12

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @romanshirima5883
    @romanshirima5883 หลายเดือนก่อน +34

    Kwani huyu makonda hana ndugu zake wanaofanana kiutendaji tuwape mikoa yote ya tanzania bwanaa❤ huyu ni mtu wa maana kabisa❤

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o หลายเดือนก่อน +3

      Tena wa maana haswa tunamuombea hata mama yake mzaa chema bila yeye tusinge mjua makonda au mwasemaj wangu wa faida

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisaa

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo watupe hata wilaya tu

    • @khadija5761
      @khadija5761 หลายเดือนก่อน

      Kabsaa ni mtu wa maana kabsa

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 หลายเดือนก่อน

      Kabisa Yan rasta

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io หลายเดือนก่อน +11

    MH MAKONDA UTAPATA TABU SANA WENGINE WANAPATA KAZI KWA WAGANGA SIO AKILI ZA DARASANI ,

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s หลายเดือนก่อน +8

    Watanzania tunaibiwa sana nchi hii,makonda be blessed 🙏🙏🙏

  • @BimamuosmanOsman
    @BimamuosmanOsman 25 วันที่ผ่านมา +1

    Rais Doctor mama Samia.mchungeni huyo mwenye kiting asije akauwawa ..mzee mwenye kiting ni nzee mwenye busara Sana hongera Sana Sana baba mwenye kiti ..makonda bro keep it up. Congratulations bro makonda &all. your team God will bless you 🙏.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g หลายเดือนก่อน +10

    Nakuombea kwa Mungu Shari zao ziwarudie mafisadi

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io หลายเดือนก่อน +9

    YANI MWENYEKITI WA KIJIJI ANA AKILI KULIKO MKURUGENZI SI MAAJABU HAYA !

  • @AronJoseph-h8b
    @AronJoseph-h8b 6 วันที่ผ่านมา +1

    Baba kegan mungu akulinde tunakuombea maana umesababisha nmependa na mm niwe kiongozi na nkiwa kiongozi ntakua nafwata nyayo zako

  • @jacklineminja2022
    @jacklineminja2022 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana Makonda , asante Mungu pia mama Samia kwa kumleta mheshimiwa Arusha

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 หลายเดือนก่อน +10

    Makonda nakuombea sana,yaani una maadui wengi sana

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o หลายเดือนก่อน +1

      Umewaona wapi hao maadui zake

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be หลายเดือนก่อน +2

      Maadui zake watakuwa watendaji wabovu tu ila wananchi wote wapendwa haki ni rafiki yetu

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 หลายเดือนก่อน +3

    Tunakuombea mema mkuu Mungu akufunike kwa damu yake akihifadhi kwenye mbawa zake aukuepushe na mafisadi wotee

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akupe hekima zaid mheshimiwa makonda yaan unajua uongozi na ww ni mpakwa mafuta wa Bwana

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyekiti , mzee yupo vizuri sana

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mwenyekiti wa Kijiji hana cha kupoteza. Ametendea haki kijiji chake

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 หลายเดือนก่อน

    Salamu nyingi Kwa Rais Samia pia namshukuru sana mungu pia nawashukuru wazazi wa Mh Makonda mungu awalinde sana mama Rais Asante Sana kwakutuletea mh makonda hana baya ana tusafishia nchi yetu Asante sana sana sana ❤

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga หลายเดือนก่อน +2

    Keep it Makonda.

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 หลายเดือนก่อน

    Big up braza Manyigu umetisha wavimbishe manundu hao

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 หลายเดือนก่อน +4

    Hivi hii nchi inamkuu wamko mmoja tu au mbona wengine siwasikii 😭😭😭

    • @JohnP-gl1ie
      @JohnP-gl1ie หลายเดือนก่อน +1

      Wengine wanafanya kazi usiku wa ma8 tukiwa tumelala

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 หลายเดือนก่อน

      ​@@JohnP-gl1ie😂😂😂wachawi

    • @mashakabundala9955
      @mashakabundala9955 หลายเดือนก่อน

      Watakua safarini naona

    • @user-dn3sn2fk9v
      @user-dn3sn2fk9v 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@JohnP-gl1iembona kuna mda makonda anafanya kazi adi usiku na anaonekana vipi wao wanafanyia sehemu ambazo hazina network Wala waandishi wa habari 😂😂😂😂😂

  • @emmanueljackxon9759
    @emmanueljackxon9759 หลายเดือนก่อน +1

    Ifke sehemu tuseme ukwel makonda unapga kazi hakuna kitu huwa naumia Kama hawa mafisadi hawajui wananchi wanaptia shida gani watu wanakufa,wanapoteza matumain katika maisha kisa hawa viongozi wanaojari masirahi Yao binafsi makonda huwa napenda kukufuatilia sana yan mm viongozi nao wakubari hapa Tanzania ni wawili tu kwa Sasa makonda na msukuma wa geita

  • @sylvesterdonald7441
    @sylvesterdonald7441 หลายเดือนก่อน +1

    Afisa biashara siyo competent,full stop.hii inatokana na kuwekana wekana kwenye nafasi,connection.

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde siku zote za maisha Yako

  • @HamdanKiangio-mw5mc
    @HamdanKiangio-mw5mc หลายเดือนก่อน

    Pole mkuu wa mkoa majukumu ni mazito pole mdogo wangu funga mshipi au funga kibwebwe funga zikaze maana hao ni maadui kwa wanachi na kwako pia mungu akubariki

  • @mahijayusuph8186
    @mahijayusuph8186 หลายเดือนก่อน +2

    Walipe bei ya sasa hivi sio ile ya zamani tena

  • @BOYKAJONATHAN243
    @BOYKAJONATHAN243 29 วันที่ผ่านมา

    Future president of Tanzania ❤❤love you makonda I'm from congo DRC
    My country needed someone like you makonda

  • @FanuelSira-pt7rv
    @FanuelSira-pt7rv หลายเดือนก่อน

    Kwa mwendo huu arusha itanyooka vzr mungu akulinde makonda

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe ndio maana watu wanaviburi kumbe wezi wa kod zetu madako yenu

  • @obadiakimaro6375
    @obadiakimaro6375 หลายเดือนก่อน +1

    Mkonda viva, tunaomba Mama mh. Samian tupatie Makonda wengine 20 nchi iwe na nidhamu

    • @user-gt5yd4no7c
      @user-gt5yd4no7c หลายเดือนก่อน +1

      Mwamba apewe uwaziri mkuu tu makonda

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 หลายเดือนก่อน

    Keep going in the name of Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 หลายเดือนก่อน +1

    Dah aibu sana watendaji hawaelewi wanaongozaje sasa mbona kazi tunayo wananchi dah na Tanzania yote tupo Arusha😂😂😂😂

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s หลายเดือนก่อน +2

    Makonda ungeteuliwa mkoa wa geita, ndiyo ufisadi kinoma,

  • @denismalembeka1871
    @denismalembeka1871 28 วันที่ผ่านมา

    Mama Samia wewe ni mungu tu ndie amekupa uwezo wakumchagua mtu muhimu Sasa ktk ufuatiliaji wa wezi na wadhumaji wa haki za raia wako wema

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 หลายเดือนก่อน

    Hakuna maadui Kwa jina la yesu mungu huko upande wako

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z หลายเดือนก่อน +1

    Hii arusha baadhi ya watumshi wazurumati ndo maana kila kukicha mabalaa hayaishi

  • @DenisMafie-lc7io
    @DenisMafie-lc7io หลายเดือนก่อน

    Kweli mama Samia ajakosea kukuteta arusha mungu akutumze

  • @NaomiAlute
    @NaomiAlute หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akuweke

  • @user-vt1dx7gr2j
    @user-vt1dx7gr2j วันที่ผ่านมา

    Anasita kwasababu anajua zinapatkana zaidi

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli nchi hii inawezi wengi sana

  • @irenembise541
    @irenembise541 หลายเดือนก่อน +2

    Nacheka Kama mazuri 😃😃😃

  • @Amageneousmedia
    @Amageneousmedia หลายเดือนก่อน +2

    Dah Arusha wananyoooka bwana

  • @SeifMboton-gi3vz
    @SeifMboton-gi3vz หลายเดือนก่อน

    ww brathar unatakiwa kua mkuu wanch kikwel upo vema mungu akulinde San akuipushe nawatu wabaya dunian linguine kama kunauwezekano kwann nawangune watumishi wasiwe kama uyo mungu anakuona San ww atakulinda na wasiokukibal

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 หลายเดือนก่อน

      Wakti unakuja uhai ukiwepo,, hata hayati Magufuli alipitia sehemu mbalimbli mpaka akaitwa mbwa mwisho wa yote alikuwa Mkuu wa nchi,, hata Yusufu alikaa sana mpaka siku ya kuinuliwa ilipofika,, kama tunaona kwa macho ya nyama anatufaa basi tumuombe Mungu wakati ukifika amfanye kuwa mkuu wa nchi

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn หลายเดือนก่อน

    Makonda makonda ❤❤❤❤

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga หลายเดือนก่อน

    Yani hapo ni Arusha tuu. Vipi huko mikoa mingine? Kweli nchi hii haina watumishi ila wezi tuuu, Makonda wengine tuwapate wapi jamani??

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824 หลายเดือนก่อน

    Uyu mwenyekiti namjuwa ni nomaa

  • @JanethMollel-wk5th
    @JanethMollel-wk5th หลายเดือนก่อน +1

    Mbona imefananafanana na ya kwangu.

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 หลายเดือนก่อน +1

    Haya semeni tena unyanyasaji wa jisia

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 หลายเดือนก่อน

    Makondo fanya kazi baba!

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q หลายเดือนก่อน

    Ht wakuwinde je lkn mungu alie juu ndo mlinzi wako sibidam

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n หลายเดือนก่อน +1

    Udhaifu wa CCM rushwa tupu

  • @kareem1182
    @kareem1182 21 วันที่ผ่านมา

    Makonda makonda makonda
    Nimekuita mara 3

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 19 วันที่ผ่านมา

    Natamani makonda Aje morogoro

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 หลายเดือนก่อน +1

    Hao chori kweli

  • @irenembise541
    @irenembise541 หลายเดือนก่อน +1

    Ofisa biashara 😃😃ameyatimba

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 20 วันที่ผ่านมา

    Makonda mtuletee huku kenya😅😅😅mtu wa maana kabisa

  • @princhiuskalogosho1804
    @princhiuskalogosho1804 หลายเดือนก่อน

    Huyu Makonda ndo anatakiwa kuwa Rais wa Nchi ya Tanzania

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile687 14 วันที่ผ่านมา

    Kwani Makonda hawezi amishwa kila baada ya miezi sita? Sita tu inatosha kila mkoa...kwa mikoa tulio nayo mbona baada ya miaka 10 hatuta angaika kumpa uraisi? Yani kwa mara ya kwanza rais atatoka kwenye cheo cha mkuu wa mkoa.....

  • @user-vg9bu6zv8v
    @user-vg9bu6zv8v หลายเดือนก่อน +1

    Mpaka mseme na mtasema

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda nimtu nanusu

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 หลายเดือนก่อน

    Tatizo vyeo vya waganga wakienyeji ndio waga vinawasumbua viongozi nakumferisha rais.

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 หลายเดือนก่อน +1

    Asante makondo

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 หลายเดือนก่อน

    Makonda unafaa nafasi ya uwaziri wa ardhi au PM

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 23 วันที่ผ่านมา

    Katika serikali yetu viongozi ni wawili tu waziri silaa na makonda hao wengine mmmmmm

  • @abubakarsaid7303
    @abubakarsaid7303 หลายเดือนก่อน

    Mtihani kwakweli 😂😂😂

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 หลายเดือนก่อน

    Kapiga kweli hela huyo, mpige chini huyo

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 หลายเดือนก่อน

    kwa nini hao watendaji mafisadi na wababaishaji wasiachishwe kazi na wengine wapate ajira tuwaoneeee

  • @BonifacseverianOfficial
    @BonifacseverianOfficial หลายเดือนก่อน

    Mdogo wake na makonda aji achukue mkoa wa kigoma

  • @peterkabeke362
    @peterkabeke362 หลายเดือนก่อน +1

    MAKONDA

  • @muhammedkaku9972
    @muhammedkaku9972 หลายเดือนก่อน

    asalam aleykum warahamatullah wabarakatuh kwanza tumshukuru sana mwenyezi mungu kumpa uono wa kumrudisha makonda kwenye uongozi tunaomba mungu amrinde na watu wenye mioyo ya kishetani kuua wenzao pale wanapo sismamia haki za wanyonge ombi langu kwa rais rudisha Ali Hapi kwenye ukuu wa mkoa akasimamie haki za wanyonge km makonda hawa vijana ni majembe kweli kweli Samia mama yangu wewe na marehemu magufuri muliwateua hawa vijana hamukukosea kbs

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv หลายเดือนก่อน

    Wakurugenzi kuvaa mapete ni uchawi au maana hata wa jiji anazo za kutosha

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 29 วันที่ผ่านมา

    Chadema jimbo la arusha mwakani tunalichukua

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 หลายเดือนก่อน

    Huyo Ded kamuongopea RC

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 27 วันที่ผ่านมา

    MUNGU yupo na makonda mtu wa maana kabisa

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee alindwe

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 หลายเดือนก่อน

    Yaani nisawa uwambiwe lete fimbo nikuchapie duh

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka หลายเดือนก่อน

    Huwa wanataka wawape pakujifichia, hivi vyama

  • @princhiuskalogosho1804
    @princhiuskalogosho1804 หลายเดือนก่อน

    JPM tunaomba afufuke

  • @RaphaeliSamweri
    @RaphaeliSamweri 29 วันที่ผ่านมา

    Piga spana mbaka wanyooke

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s หลายเดือนก่อน

    Maiki yamoto😂😂😂

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 หลายเดือนก่อน

    Watanyooka tu mh

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone8298 หลายเดือนก่อน

    Umenipata

  • @ChristopherMgoli
    @ChristopherMgoli หลายเดือนก่อน

    Kimewaka

  • @user-zn4fw9cl1g
    @user-zn4fw9cl1g หลายเดือนก่อน

    Fukuza

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q หลายเดือนก่อน +1

    Kwann wakurugenzi wengi ni wanawake kuna siri gani hapo

    • @alexrwezaula8857
      @alexrwezaula8857 หลายเดือนก่อน +1

      Apo mama ndo anapo kosea kutaka haki sawa nisawaa ni mama zetu ila Kuna sekta ahh bado mama ana taka tuwe sawa ila sio kwei

  • @mwalimulossilamsuya1944
    @mwalimulossilamsuya1944 หลายเดือนก่อน +2

    MIMI NAONA KWA UELEWA WANGU MDOGO KUNA SHIDA HAPA....NA NI BORA MASWALI LENGINE YASIJIBIWE KWANI YANAWEZA KUZAA MKANGANYIKO..HALAFU HII KITU INAJENGA UADUI MKUBWA KATI YA WANANCHI NA WATUMISHI..HII MAMBO KIUTENDAJI SIO SAWA ILA KISIASA NI SAWA...

    • @salvatoryboniface1089
      @salvatoryboniface1089 หลายเดือนก่อน +3

      Ndyo walewaleeeeee

    • @richardmbasha1411
      @richardmbasha1411 หลายเดือนก่อน

      Makonda yupo kwa kazi moja tu, KUDHOOFISHA NGUVU YA UPINZANI ARUSHA.. kupitia hadhira hizi na kujifanya anasikiliza kero za wananchi... anayetengeneza matatizo yooote haya ni nyumba ya mama yake iliyomuqeka yeye kwenye madaraka "SYSTEM"
      CCM wanatafuta huruma ya wananchi kupiti technique hii ya kuwasikiza matatizo yao.. na kwa sababu tuna wananchi ambao wengi wetu hatuna "reasoning capacity" yaani uelewa wetu wa kutanzua mambo ni mdogo sana.. mitu ambacho serekali ya CCM inatumia kuendelea kuiba akili zetu..
      MAKONDA hawezi kua sukari baharini, haka ni kamchezo tu..
      Our most illiterate people with no better reasoning abilities to matters concerning individual and national developments have become the play ground for a cunning political tricks...

    • @iddyjohn1032
      @iddyjohn1032 หลายเดือนก่อน +5

      Wewe kujitambua, mtumishi wa umma anafanya kazi yake kwa muijibu wa katiba, habari ya usiri ni mambo ya Usalama na sera ya Usalama ni kitu kingine,kwa hiyo mkurugenzi asiulizwe kuhusu mipango ya eneo lake,miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yetu,??!wewe ukachunguzwe

    • @iddyjohn1032
      @iddyjohn1032 หลายเดือนก่อน +1

      Inawezekana wewe ni fisadi moja wapo

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio waambiwe hadharani na ss wananchi tujue nini kinaendelea na ss tufanye nini na nini haki yetu

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 หลายเดือนก่อน

    Milioni 7 kwamwezi bado wananchi hawapew kitu wizi mtupu

    • @samweli7985
      @samweli7985 หลายเดือนก่อน +3

      Siyo miliyoni 7, ni miliyoni 28. Kwamwezi ni milioni 7, kwawiki

    • @fredrickkomba7545
      @fredrickkomba7545 13 วันที่ผ่านมา

      Iyo mil 7 n Jmos Moja Ya wiki sio Kwa Wiki 4

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada atakoma 😅😅😅😅

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 หลายเดือนก่อน

    Aina hii ya utawela ni mpya duniani. Hivi huyu bwana hana vikao na wafanyakazi wake. Hivi mkuu wa mkoa na watumishi wake si kitu kimoja. Mnaanika udhaifu wa serikali yenu.

    • @sylvesterdonald7441
      @sylvesterdonald7441 หลายเดือนก่อน +5

      Ona hili nalo

    • @mwinukafundibombanjombe
      @mwinukafundibombanjombe หลายเดือนก่อน +2

      Rais alishasema waje watusikilize Kama huna shida huwezi elewa sisi tuliochukuliwa maeneo kwa fidia ndogo kwa dhurma ndio tunaelewa faid ya hapo, nataman hata anguwepo njombe.

    • @hamisimwinzagu6624
      @hamisimwinzagu6624 หลายเดือนก่อน +1

      Ivi unakielewa kinachofanyika au we ndio walewale

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio nyie wote wala rushwaaa

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi 28 วันที่ผ่านมา +1

      We haujielewi

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 18 วันที่ผ่านมา

    Pole makonda unakazi ngumu sana

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io หลายเดือนก่อน

    MH MAKONDA UTAPATA TABU SANA WENGINE WANAPATA KAZI KWA WAGANGA SIO AKILI ZA DARASANI ,

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 29 วันที่ผ่านมา

    Makona hamia chadema tukupe uwaziri mkuu 2025 mwezi wa 11