MZEE MWENYEKITI ALIVYOWATOA JASHO WATUMISHI MBELE ya MAKONDA - WAPISHANA na KURUSHIANA MIPIRA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
- MZEE MWENYEKITI ALIVYOWATOA JASHO WATUMISHI MBELE ya MAKONDA - WAPISHANA na KURUSHIANA MIPIRA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kwani huyu makonda hana ndugu zake wanaofanana kiutendaji tuwape mikoa yote ya tanzania bwanaa❤ huyu ni mtu wa maana kabisa❤
Tena wa maana haswa tunamuombea hata mama yake mzaa chema bila yeye tusinge mjua makonda au mwasemaj wangu wa faida
Kweli kabisaa
Tupo watupe hata wilaya tu
Kabsaa ni mtu wa maana kabsa
Kabisa Yan rasta
MH MAKONDA UTAPATA TABU SANA WENGINE WANAPATA KAZI KWA WAGANGA SIO AKILI ZA DARASANI ,
Watanzania tunaibiwa sana nchi hii,makonda be blessed 🙏🙏🙏
Rais Doctor mama Samia.mchungeni huyo mwenye kiting asije akauwawa ..mzee mwenye kiting ni nzee mwenye busara Sana hongera Sana Sana baba mwenye kiti ..makonda bro keep it up. Congratulations bro makonda &all. your team God will bless you 🙏.
Nakuombea kwa Mungu Shari zao ziwarudie mafisadi
YANI MWENYEKITI WA KIJIJI ANA AKILI KULIKO MKURUGENZI SI MAAJABU HAYA !
Baba kegan mungu akulinde tunakuombea maana umesababisha nmependa na mm niwe kiongozi na nkiwa kiongozi ntakua nafwata nyayo zako
Asante sana Makonda , asante Mungu pia mama Samia kwa kumleta mheshimiwa Arusha
Makonda nakuombea sana,yaani una maadui wengi sana
Umewaona wapi hao maadui zake
Maadui zake watakuwa watendaji wabovu tu ila wananchi wote wapendwa haki ni rafiki yetu
Tunakuombea mema mkuu Mungu akufunike kwa damu yake akihifadhi kwenye mbawa zake aukuepushe na mafisadi wotee
Mungu akupe hekima zaid mheshimiwa makonda yaan unajua uongozi na ww ni mpakwa mafuta wa Bwana
Mwenyekiti , mzee yupo vizuri sana
Huyu Mwenyekiti wa Kijiji hana cha kupoteza. Ametendea haki kijiji chake
Salamu nyingi Kwa Rais Samia pia namshukuru sana mungu pia nawashukuru wazazi wa Mh Makonda mungu awalinde sana mama Rais Asante Sana kwakutuletea mh makonda hana baya ana tusafishia nchi yetu Asante sana sana sana ❤
Keep it Makonda.
Big up braza Manyigu umetisha wavimbishe manundu hao
Hivi hii nchi inamkuu wamko mmoja tu au mbona wengine siwasikii 😭😭😭
Wengine wanafanya kazi usiku wa ma8 tukiwa tumelala
@@JohnP-gl1ie😂😂😂wachawi
Watakua safarini naona
@@JohnP-gl1iembona kuna mda makonda anafanya kazi adi usiku na anaonekana vipi wao wanafanyia sehemu ambazo hazina network Wala waandishi wa habari 😂😂😂😂😂
Ifke sehemu tuseme ukwel makonda unapga kazi hakuna kitu huwa naumia Kama hawa mafisadi hawajui wananchi wanaptia shida gani watu wanakufa,wanapoteza matumain katika maisha kisa hawa viongozi wanaojari masirahi Yao binafsi makonda huwa napenda kukufuatilia sana yan mm viongozi nao wakubari hapa Tanzania ni wawili tu kwa Sasa makonda na msukuma wa geita
Afisa biashara siyo competent,full stop.hii inatokana na kuwekana wekana kwenye nafasi,connection.
Mungu akulinde siku zote za maisha Yako
Pole mkuu wa mkoa majukumu ni mazito pole mdogo wangu funga mshipi au funga kibwebwe funga zikaze maana hao ni maadui kwa wanachi na kwako pia mungu akubariki
Walipe bei ya sasa hivi sio ile ya zamani tena
Future president of Tanzania ❤❤love you makonda I'm from congo DRC
My country needed someone like you makonda
Kwa mwendo huu arusha itanyooka vzr mungu akulinde makonda
Kumbe ndio maana watu wanaviburi kumbe wezi wa kod zetu madako yenu
Mkonda viva, tunaomba Mama mh. Samian tupatie Makonda wengine 20 nchi iwe na nidhamu
Mwamba apewe uwaziri mkuu tu makonda
Keep going in the name of Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏
Dah aibu sana watendaji hawaelewi wanaongozaje sasa mbona kazi tunayo wananchi dah na Tanzania yote tupo Arusha😂😂😂😂
Makonda ungeteuliwa mkoa wa geita, ndiyo ufisadi kinoma,
Mama Samia wewe ni mungu tu ndie amekupa uwezo wakumchagua mtu muhimu Sasa ktk ufuatiliaji wa wezi na wadhumaji wa haki za raia wako wema
Hakuna maadui Kwa jina la yesu mungu huko upande wako
Hii arusha baadhi ya watumshi wazurumati ndo maana kila kukicha mabalaa hayaishi
Kweli mama Samia ajakosea kukuteta arusha mungu akutumze
Makonda mungu akuweke
Anasita kwasababu anajua zinapatkana zaidi
Kiukweli nchi hii inawezi wengi sana
Nacheka Kama mazuri 😃😃😃
Dah Arusha wananyoooka bwana
ww brathar unatakiwa kua mkuu wanch kikwel upo vema mungu akulinde San akuipushe nawatu wabaya dunian linguine kama kunauwezekano kwann nawangune watumishi wasiwe kama uyo mungu anakuona San ww atakulinda na wasiokukibal
Wakti unakuja uhai ukiwepo,, hata hayati Magufuli alipitia sehemu mbalimbli mpaka akaitwa mbwa mwisho wa yote alikuwa Mkuu wa nchi,, hata Yusufu alikaa sana mpaka siku ya kuinuliwa ilipofika,, kama tunaona kwa macho ya nyama anatufaa basi tumuombe Mungu wakati ukifika amfanye kuwa mkuu wa nchi
Makonda makonda ❤❤❤❤
Yani hapo ni Arusha tuu. Vipi huko mikoa mingine? Kweli nchi hii haina watumishi ila wezi tuuu, Makonda wengine tuwapate wapi jamani??
Uyu mwenyekiti namjuwa ni nomaa
Mbona imefananafanana na ya kwangu.
Haya semeni tena unyanyasaji wa jisia
Makondo fanya kazi baba!
Ht wakuwinde je lkn mungu alie juu ndo mlinzi wako sibidam
Udhaifu wa CCM rushwa tupu
Makonda makonda makonda
Nimekuita mara 3
Natamani makonda Aje morogoro
Hao chori kweli
Ofisa biashara 😃😃ameyatimba
Makonda mtuletee huku kenya😅😅😅mtu wa maana kabisa
Huyu Makonda ndo anatakiwa kuwa Rais wa Nchi ya Tanzania
Kwani Makonda hawezi amishwa kila baada ya miezi sita? Sita tu inatosha kila mkoa...kwa mikoa tulio nayo mbona baada ya miaka 10 hatuta angaika kumpa uraisi? Yani kwa mara ya kwanza rais atatoka kwenye cheo cha mkuu wa mkoa.....
Mpaka mseme na mtasema
Makonda nimtu nanusu
Tatizo vyeo vya waganga wakienyeji ndio waga vinawasumbua viongozi nakumferisha rais.
Asante makondo
Makonda unafaa nafasi ya uwaziri wa ardhi au PM
Katika serikali yetu viongozi ni wawili tu waziri silaa na makonda hao wengine mmmmmm
Mtihani kwakweli 😂😂😂
Kapiga kweli hela huyo, mpige chini huyo
kwa nini hao watendaji mafisadi na wababaishaji wasiachishwe kazi na wengine wapate ajira tuwaoneeee
Mdogo wake na makonda aji achukue mkoa wa kigoma
MAKONDA
asalam aleykum warahamatullah wabarakatuh kwanza tumshukuru sana mwenyezi mungu kumpa uono wa kumrudisha makonda kwenye uongozi tunaomba mungu amrinde na watu wenye mioyo ya kishetani kuua wenzao pale wanapo sismamia haki za wanyonge ombi langu kwa rais rudisha Ali Hapi kwenye ukuu wa mkoa akasimamie haki za wanyonge km makonda hawa vijana ni majembe kweli kweli Samia mama yangu wewe na marehemu magufuri muliwateua hawa vijana hamukukosea kbs
Wakurugenzi kuvaa mapete ni uchawi au maana hata wa jiji anazo za kutosha
Chadema jimbo la arusha mwakani tunalichukua
Huyo Ded kamuongopea RC
MUNGU yupo na makonda mtu wa maana kabisa
Huyu mzee alindwe
Yaani nisawa uwambiwe lete fimbo nikuchapie duh
Huwa wanataka wawape pakujifichia, hivi vyama
JPM tunaomba afufuke
Piga spana mbaka wanyooke
Maiki yamoto😂😂😂
Watanyooka tu mh
Umenipata
Kimewaka
Fukuza
Kwann wakurugenzi wengi ni wanawake kuna siri gani hapo
Apo mama ndo anapo kosea kutaka haki sawa nisawaa ni mama zetu ila Kuna sekta ahh bado mama ana taka tuwe sawa ila sio kwei
MIMI NAONA KWA UELEWA WANGU MDOGO KUNA SHIDA HAPA....NA NI BORA MASWALI LENGINE YASIJIBIWE KWANI YANAWEZA KUZAA MKANGANYIKO..HALAFU HII KITU INAJENGA UADUI MKUBWA KATI YA WANANCHI NA WATUMISHI..HII MAMBO KIUTENDAJI SIO SAWA ILA KISIASA NI SAWA...
Ndyo walewaleeeeee
Makonda yupo kwa kazi moja tu, KUDHOOFISHA NGUVU YA UPINZANI ARUSHA.. kupitia hadhira hizi na kujifanya anasikiliza kero za wananchi... anayetengeneza matatizo yooote haya ni nyumba ya mama yake iliyomuqeka yeye kwenye madaraka "SYSTEM"
CCM wanatafuta huruma ya wananchi kupiti technique hii ya kuwasikiza matatizo yao.. na kwa sababu tuna wananchi ambao wengi wetu hatuna "reasoning capacity" yaani uelewa wetu wa kutanzua mambo ni mdogo sana.. mitu ambacho serekali ya CCM inatumia kuendelea kuiba akili zetu..
MAKONDA hawezi kua sukari baharini, haka ni kamchezo tu..
Our most illiterate people with no better reasoning abilities to matters concerning individual and national developments have become the play ground for a cunning political tricks...
Wewe kujitambua, mtumishi wa umma anafanya kazi yake kwa muijibu wa katiba, habari ya usiri ni mambo ya Usalama na sera ya Usalama ni kitu kingine,kwa hiyo mkurugenzi asiulizwe kuhusu mipango ya eneo lake,miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yetu,??!wewe ukachunguzwe
Inawezekana wewe ni fisadi moja wapo
Ndio waambiwe hadharani na ss wananchi tujue nini kinaendelea na ss tufanye nini na nini haki yetu
Milioni 7 kwamwezi bado wananchi hawapew kitu wizi mtupu
Siyo miliyoni 7, ni miliyoni 28. Kwamwezi ni milioni 7, kwawiki
Iyo mil 7 n Jmos Moja Ya wiki sio Kwa Wiki 4
Huyo dada atakoma 😅😅😅😅
Aina hii ya utawela ni mpya duniani. Hivi huyu bwana hana vikao na wafanyakazi wake. Hivi mkuu wa mkoa na watumishi wake si kitu kimoja. Mnaanika udhaifu wa serikali yenu.
Ona hili nalo
Rais alishasema waje watusikilize Kama huna shida huwezi elewa sisi tuliochukuliwa maeneo kwa fidia ndogo kwa dhurma ndio tunaelewa faid ya hapo, nataman hata anguwepo njombe.
Ivi unakielewa kinachofanyika au we ndio walewale
Ndio nyie wote wala rushwaaa
We haujielewi
Pole makonda unakazi ngumu sana
MH MAKONDA UTAPATA TABU SANA WENGINE WANAPATA KAZI KWA WAGANGA SIO AKILI ZA DARASANI ,
Makona hamia chadema tukupe uwaziri mkuu 2025 mwezi wa 11