KIJANA MZALENDO Afunguka Mazito "TUMEJIPANGA KUMCHANGIA MPINA VIKAO 15 ALIVYOONDOLEWA BUNGENI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • KIJANA MZALENDO Afunguka Mazito "TUMEJIPANGA KUMCHANGIA MPINA VIKAO 15 ALIVYOONDOLEWA BUNGENI"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 195

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 22 วันที่ผ่านมา +26

    Mpina anafaa sana Tanzania ni Roho wa Mungu aliyezaliwa aheshimiwe Kwa Ujasiri wake.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 22 วันที่ผ่านมา +23

    Mpina ni mzalendo sana yuko tayari kwa lo lote. Na wewe mwandishi ni mchaw tu. Huko duniani si ajabu walitoa cho chote kwa sababu kweli watanganyika wanateseka sana. Hatuna wabunge zaidi ya Mpina

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 22 วันที่ผ่านมา +19

    Mpina ndiye tunamkubari sisi kwani ameonyesha uzalendo wa hali ya juu.

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 22 วันที่ผ่านมา +18

    Weka utaratibu tufanye contribution hata kidogo,ili mpina aendelee kuishi bila stress

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 22 วันที่ผ่านมา +17

    Tunamzungumzia Mpina ndiye tunayemjua.Hawo wengine ni wabunge wa Samia wala hawana shida na matatizo ya wanainchi au lasilimali ya Tanganyika.

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 22 วันที่ผ่านมา +29

    Speaker anaweza kuwa Rais wa Mabunge si kwasababu ya umahili wake, ni kwasababu wazungu wanataka kutuibia mali zetu zaidi.

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o 22 วันที่ผ่านมา +2

      MPINA NI MZALENDO HALISI BUNGE LA SASA SI CHOCHOTE LIPO KWA AJILI YA KULINDA WEZI TU ANAYE WAKOSOA KAMA MPINA WANAMWONA WA HOVYO KUMBE WA HOVYO NI NI WAO TU MSEMA KWELI SIKU ZOTE HAPENDWI.

    • @user-us4tk2tk3c
      @user-us4tk2tk3c 21 วันที่ผ่านมา

      Mmmmh 😊😊😊😊😮😮😮

    • @josephgermanosanga9265
      @josephgermanosanga9265 21 วันที่ผ่านมา

      Josephkadeghe unaweza kuwa 100% correct in a sense that hawahitaji mtu ambaye anaweza challenge wizi. Wazungu kimsingi africa ndio shamba lao la bibi . Tunatakiwa kizazi cha sasa tufikiri nje ya box , loans and grants are key weapons to africa from western nations, wanatupa ili kusoften power na wao ndio njia kuu kuweka mambo yao kilaini

    • @NixonJohnson-r4m
      @NixonJohnson-r4m 21 วันที่ผ่านมา

      22:24 hapo ni point kabisa

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 21 วันที่ผ่านมา

      Point kabisa
      MaKiti moto ni mabaya sana.

  • @user-wz9fu4hd7i
    @user-wz9fu4hd7i 21 วันที่ผ่านมา +5

    Mimi nafikiri hapa ni Tulia kukosa uzalendo, ukitaka kuona mambo ni ovyo angalia bajeti ya muungano na ya Zanzibar hapo utagundua kitu,kama uelewi nitafute nikueleweshe,,,

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 19 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi wa ovyo kabisa, issue za kanda ya ziwa, kanda ya mashariki, kanda ya magharibi nk yanatoka wapi?

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 22 วันที่ผ่านมา +7

    Naungana kumchangia mpina, ufanyike kampeni umma wote ujue kwamba ambao hawaungan na bunge na spika wachange

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli kabisa mpina ndiyo Mwamba wengine vichuguu 😅😅😅😅Safi sana kijana 💪💪💪💪 vichuguu mpooo 😅😅😅 🤸🤸🤸🤸 mpina km magufuli mpina km Makonda wengine vichuguu

  • @MashakaKalamba
    @MashakaKalamba 22 วันที่ผ่านมา +11

    Sijasomea uandishi wa habari, lakini ninaona kasoro KUBWA kwako mwandishi.

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 22 วันที่ผ่านมา +6

    Waacheni tu sheria wanatunga wenyewe halafu wakiukaji ni wao pia, halafu hii tanzania viongoz hawatak kuambiwa ukwel, tukutane 2025

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 22 วันที่ผ่านมา +7

    Hatuna spika, kwakweli

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 22 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu spika sio! Mtakuja kuona huko baadae.

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 21 วันที่ผ่านมา +2

    Bahati mbaya mtangazaji umeegemea upande fulani tofauti na hitaji la kutoegemea upande wowote hivyo unafanya mahojiano hayo yapungue ladha.

  • @josephkidima-nc3di
    @josephkidima-nc3di 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera Sana kijana Nkindikwa unatelimisha vizuri Sisi watanzania kudai haki zetu❤

  • @user-qj2tq4wm9x
    @user-qj2tq4wm9x 22 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo muandishi Hana ueledi kwenye kuuliza Maswali ya kisiasa au ni muoga anaogopa kuuliza maswali kwa faida ya watazamaji

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 21 วันที่ผ่านมา +2

    Nahisi tukiendelea hivi GEN - Q itaanza Tanzania

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mwanadamu anaweza kumchagua mtu HATA kama hafai ila Mungu huchagua anayefaa maana anijua Hadi mioyo ya waovu sijawahi msikia spika wa bungu aongee lolote kuhusiana na vitu mbalimbali kupanda Bei bati ciment nk lakini kuchaguliwa mbunge wa bunge la.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wana Kisesa simameni imara Kuona Mpina anakuwa Mbunge wenu 2025, hawa Wana hila watalikata jina lake juu Kwa juu lisifike katika hatua ya kuchaguliwa. Ee MwenyeziMungu mpe Mpina uzima afike ktk kipindi hicho.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 22 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani rais Samia ameifikisha Tanganyika pabaya

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q 20 วันที่ผ่านมา +1

    Nami ntamchangia mpinaaaaaaaaa

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 22 วันที่ผ่านมา +1

    Amesema mambo mawili, kujitambua na kujithamini. Na si ukabila kujipigania. Ni uzalendo. Mwondoeni Samia hana uchungu nanyi sababu anafaidi Zanzibar kwao na sasa anauza Tanganyika. Wanaccm Watanganyika, machawa wa CCM , wabinafsi wafaidi wachache waunga mkono wa Samia wote wasiokuelewa ni mazuzu kama ulivyowaita bila kumung’unya.

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 22 วันที่ผ่านมา +1

    Uko sawa kaka

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 21 วันที่ผ่านมา +2

    Alishinda u spika wa wabunge duniani kwa sababu wabunge wa mataifa makubwa hawajagombea kwa sababu wameona ni upuuzi aliowashinda ni spika wa Ethiopia na malawi

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv 22 วันที่ผ่านมา +2

    kifupi tulia sijawahi kumuelewa!! tangu alipoingia kwenye siasa!!

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi sina mda na bunge letu linaonekana kuujumu lataifa wazwaz na linattea matumbo yao na chama chao mm wanawafukuza wabunge imara ili mambo yao yaende sawa lakin ipo siku

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 19 วันที่ผ่านมา

    Uko sahihi sana, mbunge pekee wa watanzania ni Mpina pekee wengine wapo Kwa ajili ya matumbo Yao.

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi ni chadema lakini naungana na Mpina . Ni mtu anayewakilisha wananchi.

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o 21 วันที่ผ่านมา +1

    MWANDISHI NI MBOBEVU WA MAJADILIANO.
    MAANA KUTOKANA NA MASWALI ALIYOULIZA NDIYO MSEMAJI AMEPATA KUELEZA MAENEO MBALIMBALI.

  • @raykas9976
    @raykas9976 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kuwa spika wa mabunge Duniani ata msukuma anaweza kuwa. Huko kuna utaratibu miongozo ilishawekwa , lkn kwetu utaratibu uliopo ni wa kukilinda chama Tamara.

  • @macleanuronu2899
    @macleanuronu2899 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera kijana mzalendo japo umekutana na mwandishi chawa lakini umeeleweka sana

  • @josephinepancrasy3194
    @josephinepancrasy3194 16 วันที่ผ่านมา

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 22 วันที่ผ่านมา +2

    Dunia ipi imemchagua?wazungu wanafiki mno,humpa cheo mtu hata fala,ilimradi alinde maslahi yao tu,huyo watampa kila aina ya sifa na tuzo"huyu wazungu wanajua yeye na serikali nzima wanalinda maslahi yao,ko lazima wampe hivyo vyeo,ila kiuhalisia pale hayupo mtu,

    • @JosephKembe-ee6bd
      @JosephKembe-ee6bd 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kwakweli mpina ni mbunge anatakiwa kuwa mpinzani ili wananchi fufatirie binge kama awali

    • @mosesmaduhutv7985
      @mosesmaduhutv7985 22 วันที่ผ่านมา +1

      Tukipata wasukuma kama huyu 8 tu mbona banachimbika

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mwandishi hujitambui. Mimi hungeendelea kunihoji.

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 21 วันที่ผ่านมา

    Mwanangu hongera hakika wapo tz mmesoma kwelikweli ww ni hazina tz

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in 21 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo siyo spika wa bunge, ni spika ya redio

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x 21 วันที่ผ่านมา +1

    Wabunge tunawajua wanaotutetea wengi wapo Kwa ajiri ya maslahi Yao.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 22 วันที่ผ่านมา +2

    Watanzania tunajua fika kwamba serikali ya ccm awamu ya 5 ilimuweka huyu Spika kwa maslahi mapana ya Waheshimiwa sana wa nchi na sio kwa faida yetu wananchi. Mambo aliyokwisha pitisha kwa nguvu kinyume kabisa na maana ya chombo hiki ni mengi akishirikiana na wingi wa wabunge wa ccm tunaowapa ridhaa,ama kupora uchaguzi nk

    • @gracemairusya2950
      @gracemairusya2950 22 วันที่ผ่านมา

      awamu ya tano alikuwa ndugai huyu gender ndo ilimbeba.akawa naibu
      Uliona Ndugai alikataa kupitisha tozo wakamuengua

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g 22 วันที่ผ่านมา

      @elibarikimolle awamu ya 5 alikuwa Ndugai. Huyo tulia kawekwa na Samia

    • @Jumacharlesmadale2958
      @Jumacharlesmadale2958 21 วันที่ผ่านมา

      Awamu ya tano alikuwa Job ndugai

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in 21 วันที่ผ่านมา +1

    Na wewe mtangazaji uliza vitu vya pointi, tusije hasira zote tutazihamishia kwako, angalia sana hayo maswali yako, usiyaegemeza saaana kwenye uchawa, watu tumevurugwa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina juuuuuuu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 22 วันที่ผ่านมา +1

    Munguatampigania mpina ccm hawana jipya

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 17 วันที่ผ่านมา

    Mwaka 2017 ilipopitishwa sheria kwamba mikataba inayohusu raslimali ya nchi ipitishwe na Bunge ulikuwa wakati wa Mwaminfu Magufuri ambaye hakutaka kujitajirisha
    Wabunge wetu mwaka 2017 walipiga makofi kupitisha sheria ya ulinzi wa raslimali za Nchi leo tena wanageuka wanasariti kile walichokipitisha 2017 huu Ni udhaifu mkubwa Sana wa Bunge linaloitwa la awamu ya sita japo tunajua Ni Bunge lililochaguliwa awamu ya tano

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 19 วันที่ผ่านมา

    Mmmhhh ngoma ni nzito. Tanzania tumwogope Mungu. Tuombe huruma ya Mungu pekee.

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 20 วันที่ผ่านมา +1

    Tunataka mpina awe raisi wa nchi hii ya Tanganyika.

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina na mtetezi wa wa Tanzania, wengine wanajijua wenyewe wanacho kifanya

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 18 วันที่ผ่านมา

    Unajuaje kama hao mabeberu wamemzadia kwa sababu anakuulizia bunge kuhoji serikali na wao wanapata faida ya kuiba rasilimali zetu.

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n 22 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    𝙈𝙥𝙞𝙣𝙖 𝙣𝙙𝙞𝙮𝙤 𝘼𝙎𝙄𝙇𝙄 𝙔𝘼 𝙐𝙎𝙐𝙆𝙐𝙈𝘼, 𝙖𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙖𝙠𝙞𝙣𝙖 𝙅𝙊𝙎𝙀𝙋𝙃 𝙈𝙎𝙐𝙆𝙐𝙈𝘼 𝙝𝙖𝙤 𝙣𝙞 𝙈𝘼𝘾𝙃𝘼𝙒𝘼 𝙬𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙏𝙐

  • @ZephaniaNdaki-vq1ti
    @ZephaniaNdaki-vq1ti 20 วันที่ผ่านมา

    Ikitokea Mpina kuchangiwa, hata mimi nijulishwe nitachangia kwa change kidogo!

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 22 วันที่ผ่านมา

    Mzee Magu alisema ukiona.wapinzani wanakusifia jichunguze hauko sawa na ukiona mzugu anakupa cheo jichunguze hauko sawa pia

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 วันที่ผ่านมา

    Speaker wa kucheka na kufurahisha wageni na kuumiza wanainchi ili wasipate nafasi. Angekuwa ni mtanganyika angekiona cha moto.Kwa kweli hapa hatuna Speaker bali ni Speaker wa wageni wanaotoka Inchi za Inje ndiyo sababu aliongwa tu.

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 21 วันที่ผ่านมา

    MPINA NI MBUNGE IMARA💪

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga 4 วันที่ผ่านมา

    Mwandishi usihoji sana huyo msemaji Yuko vizuri,Huyo msemaji ndio wanaotakiwa kuongoza nchi.yuko vizuri..mwandishi wewe mwenyewe ni waoga.hamko huru kutangaza maovu ya viongozi.Angalia madereva wa tanzania wanalia na mikataba lakini makampuni ni yao

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wao wakikchagua wanaona anawafs mbona hawachagui viongozi WA Bukinafaso akili ndogo utaeelewa hao ni wezi

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail6606 20 วันที่ผ่านมา

    Kwanini mumeongeza tozo kwenye bili za Tanesco maisha kwa sasa.magumu na munaongezea tena ugumu. Wabunge hamutendi haki kutotetea hali za watu munaowawakilisha

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im 22 วันที่ผ่านมา

    Umeeleweka Sana Baba

  • @Niika870
    @Niika870 21 วันที่ผ่านมา

    Yaani Basi tu, tunaumia sana raia wa kawaida, Dawa zilizo expered zinauzwa kweny maduka ya madawa, unanua mseto hupon maralia kumbe zilisha expere , zimejaaa, Hospital za uma hazina madawa kabisa, Ajira hakuna vijana wanazagaaa tu

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    𝙇𝙐𝙃𝘼𝙂𝘼 𝙉𝙄𝙆𝙊 𝙋𝘼𝙈𝙊𝙅𝘼 𝙉𝘼 𝙒𝙀𝙒𝙀. 𝘼𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙩𝙪 𝙬𝙖 𝙈𝙗𝙚𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙞 𝙬𝙖𝙢𝙗𝙚𝙮𝙖

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 20 วันที่ผ่านมา

    Dunia kumuona sio shida wala sisi sio wa Dunia sisi watanzania,na Duniani wanapendwa wanawauzia vipande vya nchi yetu

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 วันที่ผ่านมา

    HUYO MWANAHALISI TV WA MIDIA MWAMBIENI ARUDI AU AENDE TENA AKAJIFUZE KUHUSU UWANAHABARI ANAULIZA MASWALI YA UPUZI

  • @2003hintay
    @2003hintay 20 วันที่ผ่านมา

    Hapo ni kujitangaza lakini hakuna kitu hapo wachangie wajiorodheshe mawakili lakini utashuhudia watakapoachwa utashangaa, waliungana akina mwambukusi walivochemka. Hakuna kitu hapo ni kutafuta umaarufu tu

  • @musamhaya5319
    @musamhaya5319 20 วันที่ผ่านมา

    Boss kwa mbuge msukuma ni mnafiki kabisa,anahongwa hela kwenda kuuza bandari zetu----huyo msukuma ni fisadi,jizi na anahongeka sana kuihujumu nchi na wananchi.

  • @evelina9621
    @evelina9621 22 วันที่ผ่านมา

    Huyu.msemaji.anaongea.vizuri.wazungu.wanaleta.vitu.vivyo.haribika.kweli.kabisa.wazungu.wabinafsi.waulizeni.wanakaa.ulaya.waongozi.wote.wakija.kuchekac..

  • @sainatv2688
    @sainatv2688 19 วันที่ผ่านมา

    Mimi waga nawaza hawa viongozi tunawapa sisi kazi kwa kutuomba kura lakini wakishapewa uongozi wanakuwa juu yutu wakisikia unahoji kitu hata mwenyekiti wakitongoji anaweza kukupiga makofi badala sisi ndo ikibidi akizingua kiongozi tumchape hata viboko maana sisi ndo mabosi wake

  • @IsayaKivambilo
    @IsayaKivambilo 19 วันที่ผ่านมา

    Kwa anae ijua siasa hapa waheshimiwa wawili spika Kwa nafas yake yupo sahihi na mpina yupo sahihi Ila Hana sapota

  • @sifunimelkizedeck882
    @sifunimelkizedeck882 22 วันที่ผ่านมา

    Kwa yeyote mwenye mapenzi mema na hili taifa tuko tayari kumchangia mweshimiwa Mpina

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 22 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wa Tanzania wanawaonea wananchi kwa upole wawo. Wanafanya wanavyotaka bila wasi wasi kwa kujuwa kuwa hatuelewi na wala hatujuwi haki zetu.

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 17 วันที่ผ่านมา

    Hili suala la Sukari toka nje ni uhujumu uchumi. Ingekuwa nchi zenye watu wanaojielewa hawa mafisadi wa CCM wangewajibishwa tena haraka tu. Inashangaza wanafanya mambo ya kuua viwanda na Raisi anazunguka duniani kukopa 😂😂😂

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 22 วันที่ผ่านมา

    Yaani, watanzania tuna ushabiki Sana na Mambo ambayo hatuyajui,, wengi tunafuata mikumbo tu, inakuwaje mwenzio anatoa mawazo yake,then unatukana au unamtukana mtu huyo

  • @mvunge7108
    @mvunge7108 22 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa Tulia hovyo mno, walitizama vigezo gani?

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 22 วันที่ผ่านมา

    Hivi huyu Jerome amepitia angalau "basic training course" ya taaluma ya habari au ni kanjanja!

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 22 วันที่ผ่านมา

    Watanzania sijui tuna Nini jamani.hivi mzungu kabiss na akiri take atupe uspika wa mabunge duniani sisi! na sisi tukubali tu.eee.hawa wazungu wanatupiga upofu ili wazoe Mali ZETU kila kitu wanakijua sio WAJINGA hao mpaka tuwazidi akiri usomi na watupe uspika wa mabunge duniani.siamini HATA kido hicho kitu na kinanifanya nicheke TU.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 21 วันที่ผ่านมา

    Mimi kufaa kwa Spika Tulia nakupima kwa kulalamiwa kwake. Binaadam kaumbwa mlalamishi! Bunge ni sehemu 2, Wabunge na Rais, Rais ni 51% ya Bunge anachokitaka ndio kitakuwa unamlaumu vipi Mhe. Spika. Bunge kwa ujumla ni dhaifu ni kundi tu la Mafisadi waliorasimishwa Kikatiba sio udhaifu wa Spika. Yupo makini na nusu Dr. Tulia.

  • @evelina9621
    @evelina9621 22 วันที่ผ่านมา

    Sipka.asijihusishe.na.mambo.madogo.yy.ana.cheo.kikubwa.awe.makini.namuomba.awe.makini.anakili.lakini.sikuliwe.mihemuko.yaccm.yake.alinde.hadhi.cheo.chake.amshukru.mungu.mengine.ayaache

  • @benardtitus266
    @benardtitus266 21 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 19 วันที่ผ่านมา

    Mmmmhhh huruma ya Mungu tu yatosha. Baba wa mbinguni wewe wajua yote. utuhurumie.

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 20 วันที่ผ่านมา

    sawa

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala 19 วันที่ผ่านมา

    Izalendo siyo kutetea makosa kila.mtu ni mzalendo mpina alikosea pale kuzungumza nje ya bunge kama alivyoagizwa.

  • @SebastianNgimba
    @SebastianNgimba 20 วันที่ผ่านมา

    mtoe namba haraka ya kuchangia tumchangie mwamba wa magufuli wako wawili2 mpina na makonda japo makonda ni muoga kidogo

  • @charlessheks7166
    @charlessheks7166 9 วันที่ผ่านมา

    Hata mimi nikotayar kumchangia mpina..

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 21 วันที่ผ่านมา

    Kuchaguliwa kwake ni kiini macho ili tijue tuna spika imara lakini ndio tunauzwa hongera ya kuwakingia kifua mabeberu kutupora mali wakaona wampe zawad ya cheo

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 22 วันที่ผ่านมา

    Mpina NI machine mbaya Keene serikali Kama hii inawasagasaga mpaka mifupa .wamestuka kuona inkula mpaka mawe.mhuuuuuu! Mtakoma na msubili watanzania wa leo SIYO mlowazoea hamjiongezi tu

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 16 วันที่ผ่านมา

    Katika bunge aliyekuwa MBUNGE wa kweli ni Mpina peke yake wengine ni washangiliaji tuu

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 20 วันที่ผ่านมา

    Nami pia huwa najiuliza, hao wabunge duniani wanatumia vigezo gani? Au weusi wake ulimbeba? Kumbuka sujasena, "uafrika"

  • @danielkanso
    @danielkanso 19 วันที่ผ่านมา

    Mpina ni mbunge kweli kweli kuhusu haki huyo jamaa hana lakupoteza spika ameingia chaka

  • @sifunimelkizedeck882
    @sifunimelkizedeck882 22 วันที่ผ่านมา

    Amekuwa rais si kwa kuwa ana sifa ila ni sawa najua linavyio izunguka dunia ilikuwa ni zamu ya Tanzania bunge la Tanzania halijawahi kuwa na spika wa hovyio kama huyu ukuchukulia pamoja na kwamba inaonekana ndiye spika mwenye elimu kuliko watangulizi wake lakini amekuwa kiwango cha chini kuliko wote walioshikilia huo wadhifa😢

  • @DaudiLengai-ym5fx
    @DaudiLengai-ym5fx 20 วันที่ผ่านมา

    Nipo tayari kumchangia Mpina kadri ya uwezo wangu

  • @chaleteubadi4530
    @chaleteubadi4530 19 วันที่ผ่านมา

    Dunia wamemchagua wazipendi nchi za Africa ndo maana wamechagua sipka asiye faa

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 20 วันที่ผ่านมา

    Watanzania karibia wote wanapenda uzalendo tunaona yote yanayoendelea hivyo mpina ni mzalendo sana tunaempenda mpina kuliko wabunge wote maana Yuko sawa alivyosema juu ya bashe na mwigulu kwanza mwigulu hatumtaki kabisa sijui kafanya Nini rais

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 22 วันที่ผ่านมา

    Yuko wapi polepole humfrey?

  • @ZephaniaNdaki-vq1ti
    @ZephaniaNdaki-vq1ti 20 วันที่ผ่านมา

    Wewe mwandishi unavyouliza na kukazia ndivyo unavyoamini? Au unauliza kwa uchokozi kumwandaa mfafanuzi, ikiwa unauelewa hivyo unavyotetea tutakufikiria vingine na utakuwa hutufai.

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in 21 วันที่ผ่านมา

    Alitumia nguvu za giza, vinginevyo asingechaguliwa, kifupi aliwapumbaza wajumbe, mpaka sasa wanajuta kumchagua, lakini imeshatokea hawana jinsi, maana hata wao wanashangaa walimchaguaje

  • @user-uy8cw3zc4b
    @user-uy8cw3zc4b 22 วันที่ผ่านมา

    Tupo tayari kumtetea ruhaga mpina ijapo kuwa kwa maneno nakujitolea nafsizetu

  • @user-xx6pp8co4n
    @user-xx6pp8co4n 21 วันที่ผ่านมา

    Zungumzieni tena vifaa. Vya ujenzi

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 20 วันที่ผ่านมา

    Mwizi tu huyo imetoka hiyo labda ahame chama ww fala tu mbona juzi mapato yameongezeka

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 20 วันที่ผ่านมา

    Tunamchangia mzarendo mpina

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 22 วันที่ผ่านมา

    Mwandishi inabidi urudi tena ukasomee manake unaonekana unaongea usichokijua.
    Spika tulia ni hasara kwa serikali ya tanzania 🇹🇿 na yeye ndiye amechangia sana nchi kuwa na shida kubwa inafaa ajiuzulu haraka sana

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 17 วันที่ผ่านมา

    FANYENI CHAP. TUNAELEKEA GIZA NENE MNOOO

  • @MariamMamujee
    @MariamMamujee 22 วันที่ผ่านมา

    Kweli mpina ni mwamba hao wengine ni vichuguu