Mshauri kama huyo Aishi manual atapona kweli. Hasira za mteja wako kutotajwa isikuonyeshe Simba haijafanya kitu. Wewe na mteja wako mliuza mechi na ametuhatibia jina Kwa kukubali magoli Tano ya kizembe. Nyie mna hatia mbele za Mungu. Jitafakarini na mteja wako. Daniel Kadena alieleza vema maana Manual alikuwa na haki ya kukata ku daka kutokana na kwamba alikuwa majeruhi.
Hako kamdomo kanafanana na uongeaji wako wa hovyo hata ueleweki mkiwa na chuki zenu msizilete hapa Manula ndio mwenyewe hakutaka nani kamkataa sema tuu alipata shida na bado hakuachwa
Anazingua uyo😊
Huyu shoga sio bure
Mshauri kama huyo Aishi manual atapona kweli. Hasira za mteja wako kutotajwa isikuonyeshe Simba haijafanya kitu. Wewe na mteja wako mliuza mechi na ametuhatibia jina Kwa kukubali magoli Tano ya kizembe. Nyie mna hatia mbele za Mungu. Jitafakarini na mteja wako. Daniel Kadena alieleza vema maana Manual alikuwa na haki ya kukata ku daka kutokana na kwamba alikuwa majeruhi.
Mutale Fernando balua kijiri fantastic parfomarce
Au xio 😂😂msije kuwakana hao !!!
We unatak nn
@@MabenaKishapu Ninachotaka musije kuwakana tarehe 8 mkasema Kanjibai kakuzingueni na usajili
@@R10_Rajab timu hii ni kwa ajili ya ligi nzima siyo ya tarehe nane tu
@@MabenaKishapu sawa ni vizuri sana ila jitayarishe kisaikolojia usije sema hukuonywa
mutale bado?😊;;;ngojeni nyie na ndo mchezaj aliyeonekana kuliko mchezaj yoyote simba day match.
Uy mnafikiiiiii mkubwa hata kwenye uchambuzi Ana iponda Simba tunamsikia😂😂😂😂
Simba kweli shukurani hawanaa
Hajasahaulika.Si aje anunue mkataba wake?Hatutawasikiliza kamwe.
Dunia fanya mama kumi laminitis kosa moja linafuta yote ,
Vikubwa MPAKA vya kufungwaa 5
Hawa wengine sijui mnawahoji nini mwanamichezo mzuri hakatishi tamaa wengine sasa huyu anafaa kuwa coach wa timu hata ya viwete si atawadharau
Kweli
Kkkkkk watu wote wamemsifia mavambo wewe😅😅😅😅na Mdomo wako huo😊😅😅😅
Hako kamdomo kanafanana na uongeaji wako wa hovyo hata ueleweki mkiwa na chuki zenu msizilete hapa
Manula ndio mwenyewe hakutaka nani kamkataa sema tuu alipata shida na bado hakuachwa
Bruno Fernandez 😅😅
We naw snich mtu ametoka majeruh yy mwenyew ilibid aikatae mech mpka amekubal kudaka ni kwamba alikuw na faida nayo mechi nje ya uwanja
We yanga tunakujua kesh utaskia ooo simba hii ya moto ttz wachambuz wetu ndumilakwili
AISHI NDIO NAN VILEEEE
Ubaya ubwela mtu kaleta usenge adekezwe lazma wamnyooshe kidogo 5 sio goli chache
We mama kaa kmy
Amefanya dhambi na amehukumiwa kwa dhambi zake kwa tamaa zake
Aishi hamekosa washauri wazuri, yuko kama amesusa na ameshindwa kujishusha kama mtumishi wa taasisi kubwa kama simba. Cha msingi avunje mkataba.
Kwani ujui meneja wake ni jemedari said. Angekua mchezaji mwingine na hs km ingekua yanga bs tungekoma,
@@maryamtan682 Hongera kwa kulikumbuka hili .
Challenge
Aisha ametuhujumu msimu ulioisha, wote walioshiliki kutuhujumu tumewaacha. Manura asubili mshahala wake tu
Wanachoongea Simba na Manula ww hukijui
Kwani Aishi alikuwa wapi? Hata uwanjani hakuwepo.
Soon munakuja kuwakataa wote hao hahahaha
Katufungisha goli 5 aondoke tu
Hapana ule ni mpiraa lolote linatokea
Msitupe mbachao kwa msala upitao mtamkumbuka akija yanga msijemkaanza majunguu
@@HusnaOmarryhamuwez kabisa maan mnaamin nimsaliti hamuwez kabisa
Kwenye zile goli Tano alihusika kabisa maana hakupangwa kwenye mechi akang'ang'ana
hauna hakili wewe tena ww ni mwehu kabisa an
ndio maana upo kama kafurushi
simba nguvu moja tu