Wakili Mwabukusi Akata Mizizi Mkataba wa Bandari, 'Hatuwaogopi' Ataka Tulia Ajiuzulu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ค. 2023
- Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Hii nchi kumbe bado ina watu wa maana sana. Wakili Mwabukusi Mungu akutunze kwa ajili ya taifa hili na vizazi vyetu
Watu wamaana wapi hao wapo Kwa ajili ya kisiasa tu wapo Kwa ajili ya maslahi Yao,huo uwekezaji hauna shida yoyote watu wanapitoshwa sanaaa
@@mkude ndugu usiongee vibaya ukaja juta acha sisi tunao elewa tushiriki
🎉@@gifttemba4355
Safi Sana Mwabukusi YEHOVA AKUTIE NGUVU
Facts tupu,,huyu mwabukusi du! Big up commander
Mungu yupo na kaka Mwabukusi
Hongera mwamba,mkombozi wa watanzania
Wakili Mwabukusi, Mungu akutie nguvu katika mapambano haya. Sisi tupo pamoja nawe.
Mungu yupo nae kwa sababu MUNGU YUPO PMJ NA WAPENDA HAKI
Hivi wewe unaesema mungu awe pamoja na yeye kwa lipi kwa matusi anayotukana au
Mwenyeezi mungu hawezi kuwa pamoja nae kwasababu anatukana na kupotosha watu
Safi kamanda mwambugusi Mungu akupe maisha marefu
Hongereni sana Wazalendo wa nchi hii kwa kujitoa maisha yenu kwa aili ya vizazi vijavyo
Mungu ibariki nchi yetu na tutoe kwenye hili janga
Safii mkuu, mpaka kieleweke.
Walisha zoea vya kunyonga!! Mwaka huu vimewapitia puwani.
Mungu akujalie afya tele pamoja na wazalendo wenzetu
Tu namshukuru Mungu kwa kwa kutuletea Mwabukusi baada ya Magufuli moto unazidi kuwaka
Mungu akulinde sana mwabukusi,umejitoa Kwa kizazi kijacho
Wakili barikiwa sana mungu yupamoja nawe nchi iko nawewe mungu mbele pakakieleweke ili nchi tanzania ibaki kuwasalama.
Mh. Mwabukusi Mungu akubariki,watu kama ninyi ni wachache duniani kwa wenye akili zenye hekima watakuelewa sana lakini wasio na akili zenye akili watakupuuza songea Mbele Mungu akutangulie umetumia utu wako vizuri hakika wewe ni miongoni mwao wasomi vichwa.
VIVA MWABUKUSI VIVA 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 YKO 💪
Mungu akutangurie mwakubusi sisi watanganyika tuko nyuma Yako
Uyu ndiyo profesa siyo wale we wengine waliokuwa bungeni vilaza tu
Kwani wataalamu wetu na wasomi wetu wakiungana na matajiri WA nchi hii walishindwa kukaa pamoja waungane pamoja wangeshindwa kuendesha hii bandaiii adi tukodishie watu WA njeee dar
tunaomba mzunguke nchi nzima
AKI UMETUVUA NGUO.NIMEGUNDUA ELIMU MUHIMU WACHA TUPELEKE WATOTO SHULE.
Mwambugusi your truly patriotic ..allmight God protect you
Huyu ndo mwenyew😊
Wavue nguo wabaki uchi kabisa
Wametuzoea
Mungu akulinde mwamba
😂😂😂
Walahi safari hi hawatoboi vibaraka warudishe mapesa ya watu na wale wenye mkataba wawafuate wenzao dubaiiii
HUYU MWAMBA MBEYA HAKIPOTEA, SITAKAA NIWASAMEE MILELE, HAKI NASEMA,NIEPENDA MBEYA ❤❤❤
Ninapokusikiliza Naona bando langu linaisha Kwa haki.
Umeona eeh
Mungu akulinde mkataba huu ufutwe
I love my country❤❤❤❤tz tetea tanzania tetea bandari zetu
Tunawapa na onyo serikali tabia ya kuuwa watu wanaotetea nchi yetu ole wao na huyu afe tutaandamana tupokimya ila tunajua kinachoendelea huko ndomana wabunge na spika wa bunge anaogopa kusema ukweli anaogopa kufa
Mngeandamana kipindi cha awamu tano watu wasiojulikana walivyokua wanauwa watu
Mungu akulinde unayoongea yatatokea ,au ya atokea leo unasema nimeona mambo fulani hivi hadi nimeshangaa
Tunahitaji akina Mwambukusi wengi katika Taifa hili. God bless you all.
Waziri mkuu anaferi kweli hilo👍
Baada ya Magu kaja mwamba, Mungu anazid kutupenda. Sema hatadumu jamaan serikali yetu haiwapendi....😭😭
Ufafanuzi mzuri leo umepatikana 💯
Ujasiri ni uwezo wa kufanya vitu ambavyo wengine wanashidwa kufanya!! Confidence 💯
Mungu akulinde na akuongeza wakili mwabukusi
Hongera Mwamugusi kwa Karama ya sheria na ushujaa.
Ndio maana nchi inamali nyingi lakini inachechemea kimaendeleo Kwa sababu ya wanafiki wachache waswahili Asante wakili mwambukusi
Jamani nchi yetu inapigwa na inaendelea kupigwa sana mungu wape nguvu watetez wetu
Huyu hakika ni mtu aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya kuwaelimisha Watanzania juu ya sintofahamu juu ya Mkataba wa DPW.....Mungu akubariki sana Mwabukusi... ✍🙏🙏🙏
Kapewa fungusna chadema kwani uongo
Ndagha Mundu ghwa Kyala Jhesu akwimilile Kangi Amaka ghajheghe miiiñgi Ukukindila Mu ngamu jha Kyala Amen🙏🙏🙏✔️
Huyu bwana anamsimamo sana
Ameiva ypo vzr
Watu wamekupenda saana
Ila ukienda ccm utapoteza upendo wako
Mungu akubariki. Na kukulinda nakukuangazia nuru ,na uso wake Akupe aman
Pambana dogo mungu yuko pamoja nawewe nakuombea sana
Mungu akubaliki kwa kila jambo unalolifanya katika taifalako latanzania
Mungu akulinde Sana Mzalendo wa Nchi hii hawatakufanya chochote Mungu yu pamoja Nawe tko Nyuma yako kaka niko Tayar kwa lolote kwa ajili ya Tanganyika Yangu Mungu atuongoze katka Vita hii
Amen
Huyu mwamba anatoa madini tupu
Mungu awabariki wote mnaotetea mali za watanzania zisiporwe
Msomi hakika usirudi nyuma mbele kwa mbele ww ni jasili wa Leo na kwa kizazi kijacho maneno yko yataishi
Kuna wengine wa upande mwingine walidai wametolewa jalalani!
Hii document iliwaponyoka ni fursa Kwa wanyonge wa Tanganyika.
Mwamba kaiva Bandari yetu ibakie
Kaiva kinomanoma
Kwanini Serikali yangu hawataki kusikia kelele za hawa wasomi wetu? Wakiuacha huo mkataba wakawashirikisha Watanzania wasomi kutuogoza kuupitia mkataba huu itakuwa vibaya. Hebu SERIKALI TUSIKIENI JAMANI MUNGU ATAWAADHIBU
Hapo hapanpa msomi
@@jumamnemo8383kuna wanani? Huyu ni msomi wa sheria
nimekuelewa
Hekima hekima Jamani
Hadi nimelia kwauchungu maana watoto na wajukuu zetu hawatakuta kitu.
Huyu jamaa anakili kubwa sana, huyu ndo anatakiwa awe raisi wa hii nchi
Njemaa ametufungua mackio
Kaka mungu akulinde usiku na mchana !kila nikikusikiliza natokwa machozi na furaha kumbe Tanzania tuna watu wazalendo kama wewe
Asante Mwabukusi kwa kisimama imara kwaajili ya umma wa Watanzania.
Kwa nini mtanzania anasimama kutetea mkataba kwenye nafasi ya DPW? Tuwe wazi aje DPW na wanasheria wake tujadili. Kinyume na hivyo ni wazi kuwa ni samia na kundi la wachache ni washirika wa DPW.
KWA NN APINGE
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho Mungu yupo Kwa ajili ya watanzania
Nakuelewa sana wakili Msomi.
Namkubari kinoma uyu mwamba
Mungu awalinde Mwambusi dokta salaam mbowe lema dokta shivji
Recpect mwabukusi viva viva wamezoea tukishinda hili hakika tuna toka utumwani najua huu mchongo marekani yupo nyuma ila hii ngoma ngumu spika arika na wachawi si uri arika machifu wa mbeya
Mungu atakulinda na mwakani ugombee urais mweshimiwa unafaa kuongoza watanzania
oooh my god just protect this man
pamoja sana mwamba
Mungu akulinde na kukuepusha na mahangaiko kwa kutusemea watanzania wanyonge na vizazi vijavyoo
Nyie ndo wanaume mliowekwa Tanzania na Mungu kwa ajili ya kulinda nchi yetu.msiogopeeeeeee.
nchi yangu tanzania nakupenda😢😢
Wewe ndiye unaweza kuwa kiongozi mzuri sana.
Watu kamahawa ndiowalitakiwa wawe maraisi wanauchungu na nchi tanzania mungu ibariki tanzania yetu
Uko vizuri sana, watanzania tunakuunga mkono hatukubali kuuziwa bandari yetu
Mkataba huu hatutaki, uko vizuri sana Mh wakili wetu mtanzania halisi tunakuunga mkono
Mungu tu awalinde viongozi wetu wote mnaupinga nchi yetu kuuzwa ila Watanzania wote tupo nyuma yenu
Maneno mazito sana
Wakili ww ni msomi na mwenye uelewa mkubwa mno, salute kwako
Si tulisoma wasitu someshe Tupate waweke wazi Lakini Haya mambo Tunaomba wapiganaji wa pewe nafasi,pia tuwe wahifhadhi wa rugha ya kiswahili nawaombea wote na sisi tuombeane daima ni Tanzania kwa wenye nia watafanikiwa Amin
Ndioo' hii ni SAUTI ya wananchi WaTanzania, anayekataa ni mwizi natapeli wa raslimali za Tanzania'
Mzalendo yeyote wa nchi yetu Tanzania hawezi kukubaliana na mkataba wakitapeli walio tuletea hawa viongozi majizi, matapeli tena majambazi wanaopora nchi ya Tanzania
God let angel to protect Mwabukusi
Safi sana kaka atawakikutishia wajue kwamba mahalo penye Hali ukimtendea unyama Mmoja wanazuka wengine kumi
Tundulisu mamba mbili
Safi sana sana..sana!!!
Tusemeee Kaka tunadhurumiwa Sana na kuonewa ,haki hakuna,mungu akuepushe Ni nawabaya
Mungu yuko mbele yenu lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yote yanawezekana
Umesema kweli
Kumbe hii dp World sio ya wadubai ni ya mtu humuhumu Tanzania 💔
Mungu akulinde unausema ukwel kama magufuli hakika nasi tupo nyuma yako
Kijana Mwambukusi ubarikiwe sana sana. Mungu atakupa afya njema sana.
Huyo Mtungi simuelewi kabisa, 2020 hakuona yaliyotokea? Huyo anajua sheria kweli? Ati mlezi mlezi gani anayelemea mtoto mmoja na wengine anabakua kuwatafutia kesi tu?
Eee mwenyezi Mungu nakuomba tusaidie sisi watanzania na Tanzania yetu. Tunakuamini wewe tu amin
Uko mzalendo sana 🙏
Ni kweli ndiyo maana walimchukia Magufuli, Mimi nashauri tuendeshe wenyewe mbona enzi za Mwl Nyerere hayo yaliwezekana na kipindi hicho wasomi walikuwa wachache, na kama alitaka u
Toka mwanzo nakufatilia tupo pamoja
Tushindane kwa hoja jamani siyo kwa kutidhana tunashukuru hadi sasa mawakili wapo salama MUNGU AWALINDE WOTE WANAO TETEA WATANZANIA TUNASHUKURU PIA KUWA NA WATANZANIA WAZALENDO WASOMI ONYESHENI UZALENDO MSIACHE KUSEMA KWELI MUNGU AWATUZE
Mwamba huyu Hapa Shujaaaa wa kweli 💪👍💪💪🤝 chuma Cha Kazi mwabukusi
Tunakushukuru mungu akuri de kwakutembea na kusoma nyaraka ya mkataba tunapenda na tunashukuru kwa kutusomea mkataba !
Mwambukusi, Mungu mkubwa akulinde ktk ulimwengu huuuu haramu endelea kutowa elimu iliyopotea ndani ya Taifa hili, Kwa muda huuu Sheria ndiyo muda muafaka kufundushi watanzania wenzako wafahamu kinachoendelea nchini kwetu
Rais anayesubiri Udaktari wa kupewa PHD ZA KUPEWA, kahofu kuandika critical desertation, km alishindwa hapo ataiongoza nchi? There people, with intelligence, critical thinkers, analytical and philosophical entity. Being a President doesn't mean you're wise, intelligence with higher performance. Thank you Mr Advocate Mwambukusi.
Tatizo kubwa la hii akili ndogo intaka kuendesha akili kubwa
Sawa mzee tupo pamoja nashukulu Sana binafsi nakuunga mkono Sanaa,
Mwambukusa kwakweli hongeleni sana kwa kupambania watanzania Ibrahim kutokaka kigoma
Safi sana mwambusi sisi kama wanainchi watanganyika tukopamoja
Mungu akulinde unaeleweka vyema kbs
safi sana tufate nyayo za Nyerere magufuli
Hii hotuba tamu kwelikweli. Nilikuwepo kwenye mkutano huu lkn nikija kwenye simu naangalia na kusikiliza. Niki fungua tena na tena bado maneno ya bukusi yananigirahisha tuuuu. Mwabukusi oyeeee. Mungu wa Mbinguni akubariki, akulinde wewe na uzao wako
Well said and well understood.
Calling a spade a spade and not a digging spoon
Jambo hili Mungu alilionesha kwa watumishi wake ni jambo la kupinga kwenye maombi na kwa kusema fuatilia Petrida Karch unabii juu Tz na Dubai kutokea PROMOVER TV
Nadhani hawana hofu ya Mungu
Na hiyo ndo Tanzania wasomi ndo Hawa very good brother