ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'The Chanzo
มุมมอง 49K
โกงการแข่งชิงแชมป์โลก #shorts #freefireZz Man
มุมมอง 562K
ลูกชิ้นทอดเจ๊ซิมจักรวรรดิ เหลาปลาร้ากุ้งสด ใครจะอดใจไหว!! | BB MemoryBB Memory
มุมมอง 235K
HIGHLIGHTS | Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup 2024Real Madrid
มุมมอง 6M
มติศาล รธน. ฟัน "เศรษฐา" พ้นเก้าอี้นายกฯ | ข่าวเย็นช่องวัน | สำนักข่าววันนิวส์ข่าวช่องวัน
มุมมอง 526K
Wakili Mwabukusi Akata Mizizi Mkataba wa Bandari, 'Hatuwaogopi' Ataka Tulia AjiuzuluThe Chanzo
มุมมอง 347K
A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLSWAKILI TV
มุมมอง 20K
#MEDANIZASIASA:RAIS WA TLS WAKILI BONIFACE MWABUKUSI-03/08/2024Star TV Habari
มุมมอง 12K
MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDOMwanaHALISI TV
มุมมอง 50K
KUHUSU MAKAMBA KIJANA MZALENDO ACHARUKA "BITEKO AMCHUNGUZE MAKAMBA ALIYOYAFANYA KWENYE NISHATI"MwanaHALISI TV
มุมมอง 104K
Historia Ya Nape NauyeUSIKU TV
มุมมอง 974
Running With Bigger And Bigger FeastablesMrBeast
มุมมอง 16M
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts好人小丑
มุมมอง 8M
@ Zhindong Da Fei Xin (O2546321517)# Old Iron Alopecia Rescue PlanWang's Funny Videos
มุมมอง 617K
Tunakupenda na kukupongeza sana..ndg..Naweza kukuchangia chochote ndg yangu..Wewe ni MZALENDO...wa kweli..
Hongera Kwa tumbo lilokuzaa na maziwa ulonyonya. Mwanasheria Sawa na serikali nzima. Ubarikiwe baba. Akili unayo
Ashukuruwe mungu kwanza piliAshukuriwe wazazi wake kwakumpa malezi bora nasalama
Kwa historia ya maisha yake, anafaa kuwa kiongozi. Tatizo la nchi zetu za Kiafrica, viongozi huchaguliwa kisiasa bila kujali uwezo wa mtu. Ikitokea baba alikuwa kiongozi wa juu serikalini au kwenye siasa, basi uzao wake ndo unafaa kuongoza wengine. Sina tabia ya kushabikia mambo ya kisiasa, lakini ukimwangalia Mwabukusi kwenye hoja za bandari , unamkubali kabisa kwa kuwa anabishana kwa hoja za msingi. Wanaombeza wana uhuru wao kufanya hivyo lakini wenye ufahamu wanamwelewa. Hongera Mwabukusi💪👍
Kabisa umeliona ilo
Ulichosema ni kweli na hakika. Historia yako no km imefanana maeneo fulani ya maisha yangu.
Kusoma kwa kuhamahama, kuacha taaluma na kuchagua kusomea kile unaona kinafaa, kujitoa kumsaidia majukumu ya wazazi kutokana na ukubwa wa familia, kukataliwa na watu uliotarajia wakusaidie kuvuka kimaisha, kuanza kazi private halafu kwenda serikalini. Mimi nami nilishindwa wizi na uzembe. UNAKUTA katika saa nane mtu anafanya kazi chini ya saa tatu siku imeisha au jambo la saa moja linafanyika zaidi ya wiki hadi mwezi mmoja !!!!!!!! .
Private unajisikia kufanya kazi kulingana na unachokitoa Ili upate. Serikalini ni unajikuta unasaidia wakubwa kuiba ili nawe utambulike kwenye mfumo wa uongozi na kupewa fursa.
Niliondoka baada ya kugombana na mkurugenzi aliyekataa kunirejesha kwenye nafasi yangu niliyoajiriwa nayo ya Supplies Asist. Officer kuniweka accounts akinipa kazi ya ku retire imperesst akiwa pale pale ofisini, kumchukulia lunch boksi akidai ni vikao hali ni maongezi binafsi na rafiki zake, mbaya zaidi mamesenja wanasubiri kufagia na kufunga ofisi saa wanayotoka bila kulipwa overtime wala kupewa lunch, Mimi "mhasibu" nikienda nanunua na mimi na pamoja na mamesenja ananigombeza, kesho nafanya vilevile ili anitoe nirudi kwenye nafasi yangu hataki.
Mbaya zaidi( nilikuwa kitengo cha michezo) wanamichezo, wanasota hadi wanalala kwenye korido makocha (toka nje ya nchi) wanatishiwa kufukuzwa hotelini. Mafaili ya malipo yao yamerundikana kila siku nakwenda benki kuchukua pesa nikidhani anakuja kuwalipa hakuna, nagombana nae kuwasainia hataki.
Siku ananiambia niandike barua nikamwambia wala siandiki nikabamiza lango nikatoka kama nakwenda lunch ndivyo nilivyoondoka sikurudi.
Siku moja baadae niliajiriwa kwenye kampuni ya kimataifa, nikaendelea na maisha huku nikijiendeleza kimasomo. Nimemkumbuka mkurugenzi aliitwa Mzee Alpha Abdalah.
Nilibahatika kukutana nae muda mfupi baada ya kustaafu yuko hoi bin taabani.
Ubaya huzaa ubaya bali wema huzaa wema kama si sasa, baadae na kama si baadae ni baadae sana lakini lazima kanuni itimie.
Wewe ni mkweli na mpenda haki. Ni gharama sana kubaki kwenye msimamo huo. Lakini ni raha sana kwani Mungu huwa mbele na nyuma yako daima kuliko inavyodhaniwa.
Huko kwenye vyama nako wanafiki wametangulia wanafanya yaleyale yasiyofaa.
Shida ya nchi yetu wachezaji wazuri wako nje ya uwanja wanaingia walionyoshewa "vidole vya mungu".
Tusichoke kuomba haki na kweli huwa haufi. Ukiizika leo itafufuka, ukiifungia nje itaingia kwa njia yake yenyewe!!
Haki na pacha wake ukweli ni nguvu ya Mungu tosha
Huyu sio muelewa hajui kutafsiri sheria anawapotosha wajinga kuhusu bandari anajua watanzania ni rahisi kupotoswa
Hana lolote huyu ni mwanaharakati mmbaguzi mdini ndio maana anamchukia mama samia
@@saidbakar-qo6rikweli kabisa huyu ni mwongo hajui Sheria
Ebu tutafsrie Sheria ww unayejua na usituhamishe kutoka kwenye kile ambacho ata sisi tunakifahamu sawa
Mungu akutunze kaka yangu, wewe ni Jembe, unastahili sana kuwa ulivyo, Liko kusudi la Mungu ndani yako kwa Watanzania, nakuombea Mungu asimame na wewe na wote walio nyuma yqko, Mungu atatensa maana ahadi zake ni za kweli. Barikiwa sana
Mtu mwema anae kubalika na watu ana kubalika na Mungu pia, barikiwa sana
Historia yako imenigusa nakuombea baraka za Mungu haswa katika kutetea bandari Mungu akupe afya njema uishi miaka mingi Tanzania bara tunakuhitaji mno
Correction: NI Tanganyika. Wahuni hawaelewi maana ya waafrika kuungana. Mawazo ya baba wa taifa yamedharauliwa.. imebakia uuzaji nchi. Muungano huu ni dhalimu na hauna maana tena. Uvunjike.
Wewe unayesema yuko kwenye mwamvuli wa kanisa huo ni ushamba na kukosa elimu. Mtafute sana elimu wewe,usimwache. MWABUKUSI MUNGU AKUTUNZE SANA. AMEN.
Mwabukusi mmoja ni sawa na wanasheria wote wa serikali
😂😂😅😅😅😂
Hahaha
Truee
MUNGU akutie nguvu kazi yako ni njema sana
Mungu akutetee kaka umepambana na unayetea haki wanataka kukudhulumu. Yesu akulinde.
Mungu akubariki sana! kwa JINA LA YESUKRISTO.
Barikiwa, kila silaha itakayofanyika juu Yako haitafanikiwa tunailaani ktk jina la Yesu lipitalo majina yote. Amina.
Hongera sana kionngozi your super genious
Brother mwabukusi wewe ni mzalendo nakukubali sana sana
Nakupa hongera. Umepambana sana kiongozi. Keep it up
Kweli we we fighters, atajiju anaeoma ukikosa uwakili utakuwa umefeli maisha,ni upungufu Wa mawazo yake,unacheza miguu yote malafyale,Sasa gombea ubunge Mbeya tutakuchagua ukawafundishe sheria Kule dodoma
Pande za Ukerewe, nakukubali Sana brow
Kyala gwamaka Akutule Ubarikwe Ahsante kutupa historia tunakuombea Sana
Kudos from Detroit Michigan. You are a ROLE Model.
Mungu Mungu wa Rehma, umepambana sana. Mungu akulinde na akupe afya njema . Gombea urais kwa tiket ya Chadema uongoze nch na akina Mbowe ,Risu na wengine . Usite tamaa Mungu yupo na nawe na wananch tunakukubali pia.
Comrade your real genius!! Sasa hawa mbumbu wanasumbua watu.
Kumbe hapatu kambi ya fisi babu umetisha sana sana Ndy maana unaakili sanaaaas
Mungu akupe maisha marefu akulinde na maadui shetani na maraika zake washindwe ktk jina la YESU zaidi ya yote mtangulize Mungu Sana Mungu akiwa upande wako hakuna aliyejuu yako usiogope simamia kile unachokiamini usiyumbe Wala kuyumbishwa, huu ndoo wakati wa ukombozi kwa mtanzania God bless you Amina.
jina la yesu haliwezi kumuokoa kua wewee
@@milley7185la muddy ndilo haliokoi na ndio maana mnamswalia.
@@milley7185 hiyo mikucha uliyo iweka kwenye picha. Wewe giza
Wakili Mwabukusi unatakiwa kuwa Mbunge ,wengi Kule bungeni wengi ni Viraza ,utazuia mikataba inayopitishwa hovyo
Siyo mbunge tuu rais awe nani
@@TPW_FLUXY kabisa hiki kichwa kinatakiwa kiwe pale on top
Ndiyo maana unauchungu na maisha na uzalendo wa nchi yetu Tanganyika.
Mungu akubariki Mwabukusi..nakumbuka tulisoma wote Endarofta pale o .level na tulikaa wote dawati moja..kweli ulikua una msimamo sana...umenikumbusha mbali sana class mate wangu..
kaka barikiwa sana mungu akupambanie na kukupiganie sikum moja uje uwe kiongozi mkubwa
Nakukubali poti, mungu akubaliki sana umeonyesha, uchungu kwa chi yako marafyale, mungu akulinde sana, naomba ugombee urais tia niaya usiwaze chanagana, atukuonyesha usiende ccm ukienda ccm utabadili sabisa, utakuwa kama wao walivyo
Surely you shall deliver 100%
Stay blessed and stay healthy
Endarofta secondary - Karatu DC. Schoolmate Big up Mwabukusi🙏🙏🙏
Hongera mheshimiwa mungu akusimamie katika kusimamia haki daima mungu atakuinua
Hongera sana na mungu akulinde kwa Kila jambo lako in Sha Allah💯🤲🙏💪
Mwabukusi I really respect you AS a Perfect Man of the Entire Tanzania! Please let me know if I can do anything for you and and your goals let me know.!
Amen!!!
weka Email yako
UBARIKIWE
Mungu ni mwema. Yajayo ni mema stand strong
duh we nomaaa kk
Gombea nafasi ya juu kama amna ziggdhdits unatoboa vzr mnoo
Chadema mpe nasafi huyu ni jembe
Umebarikiwa sana
Mungu akulinde Sana 14:12
Mungu akubaliki sana una akili sana
Mimi wa mwamba mwenzako nakuombea sana ,na huyo mwanasheria wa serikali hakutendei haki tunaomba mungu apate ajali mbaya atatubu tutakuombea sana ila tuliza akili usihofu
Bwana muleta malaki ainuliwe milele tunakuombea kwani njia ya mungu aifungwi milele
Mwenyenzi Mungu akulinde.Wewe ni zaidi ya kiongozi
Wanyakyusa hawa. Wagumu sana akishaamua jambo fulani. Kikawaida a geitwa Mwafulani lakini si lazima, linaweza kuwa fupi tu. Huyualitakiwa abaki udereva. Hafai uwakili.
Ubarikiwe sana wewe ni mzalendo wa kweli
Tatizo la nchi yetu viongozi huteuliwa aidha kwa rushwa , au kwa kufuata maelekezo ya kimagharibi , Cha kushangaza Ccm Ina Tawi Marekani na viongozi wengine hutokea huko bila hasta sisi kujua , et ni watanzania waishio nje ya nchi , This is terrible. poor nationality, sitizen, and uzalendo ,,, 😂
Serikalini wanafanya kazi kwa mazoea sana,private wanataka matokeo na faida.
Lulu ya wana Busokelo aliyotupa Mungu! Usajighweghe fijo
Mungu twakuomba mlinde kwa lolote baya,lisimpate huyu mteule wako
Made in Chuga kabisa. Ndio maana sio ree😅
😂😂😂😂
Kabisa mshua ..kaskazini hatokagi ree
Made in 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha chuga mojaa
@@judicalosika7642 chugaaa
❤damu ya YESU ikutunze
He is an asset
Maranyingi kitu kizuli kina vipingamizi, shetani alijua kilicho ndani yako, unaona ndoichi kilicho tokea sas dunia imeona
Yes majina ya kwetu hakika
Hakika njia ya MUNGU haichunguziki
Umeonekana hauna tamaa ya pesa, unaonekana nkamgwangu
Msalimie nipo.
Tulia anasema ni msomi kumbe akuna kitu, agekuwa amesoma kama anavyo jinadi asigepitisha mkataba uyo mbovu, cyo ukolofi wanyakyusa atutaki kuonewa tunpenda haki ukueli atutaki uonevu tuapenda haki asante
Tunahitaji wananchi kama Hawa ,wawe viongozi katika sekta muhimu za kiuchumi Ili Tanzania ipate maendeleo
Hafai kuigwa na jamii kabisa.
Nakuomba kagembe masuku mbelile 20:19 20:20
Kandete ndo kwetu ikubo ndo nimezaliwa huko itebe nakwelewa kaka na nakukubar ijapo kwa Sasa napambana dar
Kandete leo nilikuwa huko gombea Jimbo liko wazi kabisa tukuone bungeni baba kajujumele
Nakupenda sanaaaaaaaaàaa baba yangu
Haha nimepakumbuka Sana tangu 2020 nikiskia panatajwa hivyo mnafanya nipamisi sana
Napenda kujitemea kwake ni jasiri
Inavutia sana kusikiliza ulipotoka kitaaluma.
Jipe moto mkuu Mimi nikopamola na watanganyika wa kutunza Mali zetu ni urithi wetu.hao waliopewa dhamana halafu wanatusaliti wasome Yuda Iskarioti kumsaliti Yesu .Nini matokeo ya usaliti wake?Yuda alikufa vibaya sana na familia yake tote mpaka wazazi.tusirudi nyuma wametuchezea sana
Gombea urais brother hiyo nafasi itskuwaxnzuri kwako tunaongizwa na vilaza siyo ubunge gombea urais kabisa
MANDELA WA TZ AU MARTIN LUTHER KING WA KARNE HII.TUNAKUOMBEA DAMU YA YESU IKUFUNIKE.VITA YAKO NA MWARABU SI NDOGO KAMA TUNAVYOFIKILI.
Noted thanks
Ntakuja kwenye kampeni kwanili yako
Hongereni kwasafa nyingi mnazompa lakini kuongea kwa wanasheria nitofauti sana na kutenda kazi ,ninavyo wajua wanasheria ndio haohao waliotufikisha hapa kwenye mzozo huu na stkikuami kwamba watu waaina ya huyu mtu wanaweza tusaidia kama nnchi tukapata maendeleo ,na kwutafiti wangu maokoto ndio shida nainawezekana sisi tunapongeza kumbe wenzetu washalamba lamba asali
Mtu wa Rchuga
Tuendelee na mapambano ya kufikia uhuru kamili
Mimi nipo Dar nikija ntakutafuta Mimi nyumbani tukuyu masukulu naomba namb namba yako
Salute
SEMA mbunge wetu wa Mbeya
Hii nchi ina mawakili wachache wazuri na wazalendo kwa Taifa lao, mmoja ni nwabukusi.
@user-le1mo8ru7u Correction: NI Tanganyika. Wahuni hawaelewi maana ya waafrika kuungana. Mawazo ya baba wa taifa yamedharauliwa.. imebakia uuzaji nchi. Muungano huu ni dhalimu na hauna maana tena. Uvunjike.
Kwa Nazi na ujasili ulio nao Mungu akusimamie
Jamaa yangu binafsi nimekuelewa
Gombea ubunge kamanda tena kwenye jimbo la Tulia ackson ili tulipe fadhira ya kukupa kura 2025 unapambana sana
mwabukusi ni lissu mtupu
Ingekuwa wewe ndie mwana sheria mkuu wa selikali hakika usinge ukubali mkataba huu
Huyo wakili bado yupo???
Kama Wasira bado yupo huyu na nani asiwepo
Wasila wazamani yupo yupo
Swali lako linalenga Nini? Au unahoji Nini hii ni mashine ndugu iache ichape kazi
@@George-jz3jg bila shaka kwa kuwa ckudadavua upo sawa kuuliza maaana yng huyo WAKILI aliyemjibu YUPO anashuhudia madini haya anayoyatoa Mh. Mwambukusi?
Nchi hii tunahitaj raisi mwanasheria kiukweli
Mwamba
Tena Simba tunashida ya golini tusaidir
Uwe kabunge tu ila kajeuli sijui huko majilani
Ni mtu mmoja hapendi mtu aonewe tulishaishi sehemu moja hakai kimya aikiona mtu anaonewa ndipo viongozi wengi hawampendi.
RUDI KAENDESHE DALADALA KUMBE HATA ELIMU YAKO NI YA KUUNGAUNGA NDIO MAANA UNAWAPOTOSHA WATU JUU YA BANDARI HUNA ELIMU KANJANJA WEWE ACHA KUMTUKANA MAMA WAKATI WEWE ULILELEWA NA MAMA PAKA WEWE
Elimu ya huyo mamaako unaijua alivyoipata?
Unajua elimu Ni Nini .. huyu ni genius .... Siyo mchezo Hilo unatakuwa kulijua .....
Unayo wewe na mpiga mwingi
Na ya mama yenu ya vipande vipande
Hukuwa na baba mbona humtaji
Mbona kamtaja fatilia story Toka mwanzo
WALIKUKATAA KWA SABABU HAUKUWA NA VIGEZO
NDIO MAANA HANA NIDHAMU KUMBE ALIKUWA DEREVA WA DALADALA
Hunanidham na wakwenu
Kwani kazi ya udereva wa daladala si kazi,.mbona ndo wanaotupeleka kupata riziki zetu. Toa hoja.usidharau kazi za watu
historia yake yasaidia nn mpotoshaji,na atarudi huko huko kwenye madaladala
Kufaa! Kwa jina la Yesu.
sifi hivyo kjinga mtakufa nyie mtaniacha
Kaa kwa kutulia sawa ikuingie huyu ndio yeye ajae kwa jina YESU
@@sophiaommy8343 anakuja huko kwenu unyakyusani
Na kwa ukuu wa Mungu huyu atakuwa kiongozi mkubwa sana katika hii nchii Mungu sio Mwanadamu Na hakika kama Aishivyo Mungu huyu atakuwa mfalme mithili ya sulemain
WAKILI MCHWARA AMBAYE YUKO NA MASLAHI YA KANISA LAKATOLIKI NA MAJIZI PALE BANDARINI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿NDIO MAANA KELELE NYINGI NA ANAONGEA PUMBA 🥵🥵🥵🥵🥵
Wewe hujielewi unaweza kuta wewe Kula kulala huyu wakili ni faita,watanzania wengi tumepitia maisha ya kuhaswa.
Ommy ujielewi kabisa wewe ni pumba
@@oscarkasalile3966 WAGALATIA MKO DESPERATE MUMEJULIKANA 🥵🥵🥵🥵🥵🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@@jamessiame5169 NYINYI WAGALATIA NDIO HAMJIELEWI HALELUYA
Kwani shida katoriki wewe baki na mskit
Hongera Sana mungu akubariki na alinde familia yako mpambanaji tunakuombea