KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!
Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe
JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂
Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!
Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba
Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu
Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,
Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU
Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊
@@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.
@@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo
❤ mwabukusi ni hadhina yenye thamani kubwa Sana katika nchi hii,..👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Huyu kichaa tu anatafuta ugali wake
Tungepata watu 100, kama Mwapukusi nchi ingenyoka,, big up bro,, tupo nyuma yko,
KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!
Bila katiba mpya tutakuwa tunapiga kelele tu ndugu yangu ,na ndiyo maana hawajali
Muandishi hana anachokijua😅
Mwanahabari soma kwanza ndo upate content za kuwahoji watu wenye uwezo Kama hao , hongera advocate
Mwabukusi, ukigombea uraisi kupitia Chama chochote kura yangu nakupatia asubuhi na mapema
Mh Mwambukusi kweli ni mwalimu mvumilivu. Anavumilia kuwafundisha mazuzu
Anatafuta Kiki
@@hamisijuma8124ndivyo Machawa ndivyo mnavyo sema
Ubarikiwe Sana sana mungu akulinde kwa kukosoa nakuelimisha ccm yenye uelewa wa f darasan
Asante Mungu kwakutupa vichwa kama hawa
Kweli kiongoz ongea ukweli Mungu akulinde
Mwabukusi safiii Mungu akuongezee hekima na,busara Amen.
Honger sana mwambukusi kutaja ngorongor
Bandari haiuzwiiii
Asante sana Mh. Mwabukusi
Tanganyika inawatu wa maana sana
Mimi nakukubali Sana mzalendo wa kweli
Mwabukusi umesheheni madini, uko vizuri hakuna mwana-ccm anayeweza kupinga nondo zako. bigup bro nakukubali sana
Bro uko poa sana chadema mnawatoa wapi hawa watu wasomi hivi sio vilaza akili zao hazijalala
Waziri ajae mwambukusi huyu ni azina ya nchi
Mwabukusi Hongera kuitetea Tanganyika,
Tunakuombea kaka Mwambukusi Mungu hakubari Ila Kua makini na hawa watu sio wazuri
Mr. Mwambukusi huyo naye achana naye hana jipya kama hajui ata tamko la maaskofu ni wapi uyo
Amkeni watanganyika msidanganywe na wajanja CCM iwe mwisho wake kutawala Tanganyika asante sana mdogo wa mwabukusi
Asante kwa shule Mwabukusi, asante baba
HAKUNA kipande cha Ardhi na Rasilimali za Watanganyika zitakazouzwa kwa watu weupe, milele Amina
Ccm mbona wana jinufaisha wao tyu
Mwabukusi nakuheshimu kwa kut upatia elimu
Nchi hii ni inataka watu kama hawa Vivaaa Mwabukusi
Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe
NDIO MAANA TUNAJIUNGA KTK MAANDAMANO KUIKOMBOA TANGANYIKA
JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂
Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika
YAANI HATA SIS TUTAKUFA KAMA WIMBO USEMAO TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI NA MWISHO UNASEMA TANZANIA UNILINDE HATA KUFA😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
Shetani hawezi kufukuza pepo
Hawa waandishi wa habari wa siku hizi kaazi kweli kweli!!
Kweli kabisa. Yeyote anayeamini kuwa statement ya Bashite ni ndogo, lazima tuwe na wasiwasi na IQ yake
mwabukus yuko sahihi,na Mungu amzidishie uhai kwa faida ya watanzaia.
Mwabukusi❤❤❤
Huyu jamaa anaakili nyingi sanaaaasas na anakuja kwelikweli sio mxaha
Kuelewa ni ngumu Sana. Watu wanataka kanga na chakula tu. Ila huyu mtu ni mwamba
Asante
Mwandishi hatoshi kumhoji huyoo Baba
😂😂😂
IQ ya makonda ni ndogo
Uko sawa wakili mwabukusi
Shida ni kwamba nchi hii inamazuzu
Wa kwanza wewe 🥳🥳🥳🥳
Nakukunal asant
UKITAFUTA UMARUFU MTAJE KIONGOZI MKUBWA, NDIO ANALOLIFANYA (MWAMBUKUSI)
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jitahidi baba juu ya bandari zetu na vawanja vya ndege
🙏🙏🙏
Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!
Kaka mwambukusi ila makonda ndo umechemka sana tena pakubwa Kuna mahakama ya haki Tanzania hio nisiasa sasa mahakama ya Tanzania niyakihuni sana
Tanzania kumbe imejaa mapumba kweli ! Hamna nchi yeyote ulimwenguni eti mkuu wa mkoa ndie hakimu na wakili kwa masuala ya kisheria ! Upuzi mtupu.
Bungeni yupo msukuma na lusinde msiba mkubwa
Mungu akuweke
Wambieni ukweli hao makafili waache wizi watende haki dunia niya munngu hii wala siyao
Mwandishi huyo kiazi kabisa,
Ajibu kwanza kwa sauti Dubai ni nchi!😊
Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba
Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu
Duh safari bado kumbe mbichi hii
Watanzania tufunguke vichwa ccm majambazi mafisadi😅mwaandishi wa ovyo
U
Jamaa naakili za ajabu, duuh
Mwamba nakukubali kujitoa muhanga......lazima tu wakunyamazize...hatujui njia ipi itatumika ...😢
TUAITETETEA NCHI YETU KWA GHARAMA YOYOTE HATA KUFA KATIBA INATUTAKA
Baba edeleya nakupiga
Mitandaoni Kuna raha Kweli
Hàpo umesema kamanda
Wenye Hekima na Busara kama hawa wanaishi mtaani, ILA wenye kichwa cha mwendawazimu ndo wamekalia VITI, very SAD
Mwambukus apewe maua yake
UNILINDE NAMI NIKULINDE HATA KUFA
Mwandishi weeeeeee😂😂😂
Mwandishi hana data ana maswali alosoma chuoni kwao haelewi yanayoendelea
Tanganyika upi.
Ww rofa mjinga bwege unamsema makonda unakili kweli ww
Usimshutumu makonda yupo saw nikichwa
Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,
Mwandishi na wew kiwango chako ni kidogo mno hujui nn hapo
Rahidhani ulishasepa mashujaa fm
huyu mwandishi hajui amekutana na mtu wa namna gani
Huyo mwandishi wa Habari naye hajui kitu na siyo mzalendo
Mwambukusi usiache kugombea ngazi ya Rais mambo yanyooke unaitetea sana rasilimali za Tanzania
Mwambukusi anahekima saana anaongea hata nawatu wasio na akiri levo zake dr slaa lisu sami mbowe lema labda
UFISADI NI MATOKEO YA UTAWALA WA CCM
Watanganyika tumekwisha serekali imebewa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache
Weweee, kwani hujui kwamba vyombo vya dola vyooote viko mikononi mwa mkulima wa mboga mboga?
Huyu jamaa Ana njaa ya madaraka Wala siyo uzalendo
Mwandishi anahoji ujinga! Ukizoea kulala kwenye kitanda chenye kunguni utapata usingizi ingawaje kunguni anaendelea kukutafuna!
Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU
ndugu ulifuatilia hukumu ta mahakamani lakini..? kasikilize majaji walitamka nn kuhusu hao dubai
Makonda atawanyoosha nyie.mnajaribu kumsema vibaya lakin wanyonge wanamuamin kupitia maelekezo ya samia.
Muhandisi hajui chochote masking aibu😂
Huyo sio Mhandisi(Engineer) ni Mwandishi asiyejua uandishi!
Huyu mwandishi ana akili sawa,Au anatafuta kiki ya kuteuliwa?
Jamani mwandishi ulijua unakuja kumhoji nani, au umepewa taarifa ya kushtukiza?
mh mwabukusi huyo unaefanya nae mahojiano sio mwandishi ni mtu wa chukua chako. ...
Makonda ni ziro katika kratasi je kichwani itakuwa 100 au 50 kichwani?
Hivi huyu mwandishi kasoma????
HIVI, LIPI JEMA, KUKIRI KUWA KUNA MAKOSA YA BAADHI YA WATENDAJI . NA KUAHIDI KUANZA UPYA KUWASHUGHULIKIA ASIO WAAMINIFU.
Mwandishi kilaza
USHAURI WANGU MWABUKUSI GOMBEA UBUNGE ILI UKASEMEE WANANCHI
Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊
Mjinga hujui na Wala husikilizi ukaelewa!
Rafiki yangu huna uelewa mbona mwambukusi yuko wazi sana.
Zwaxwa mmoja hujielewi Bora ukae kimya
@@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.
@@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo
We huna lolote mbona huendi mahakama ya kimataifa muongo wewe
Rais ajae ni mwambukusi uwe raisi wetu wa tanganyika
Acha porojo wewe ndiye huna akili kabisa .Huo ni uzushi .Achakupotosha watu ..Makonda ndiyo dawa yenu