MWABUKUSI AMUWAKIA VIKALI MAKONDA, AIBUA UPYA SAKATA LA BANDARI"..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 123

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo9945 4 หลายเดือนก่อน +19

    ❤ mwabukusi ni hadhina yenye thamani kubwa Sana katika nchi hii,..👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 4 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu kichaa tu anatafuta ugali wake

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 4 หลายเดือนก่อน +11

    Tungepata watu 100, kama Mwapukusi nchi ingenyoka,, big up bro,, tupo nyuma yko,

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 4 หลายเดือนก่อน +1

      KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!

    • @JaneJennifer-zk7bk
      @JaneJennifer-zk7bk 3 หลายเดือนก่อน +1

      Bila katiba mpya tutakuwa tunapiga kelele tu ndugu yangu ,na ndiyo maana hawajali

  • @hanscmakerdm9943
    @hanscmakerdm9943 4 หลายเดือนก่อน +15

    Muandishi hana anachokijua😅

  • @jamesmassamakeri2418
    @jamesmassamakeri2418 4 หลายเดือนก่อน +12

    Mwanahabari soma kwanza ndo upate content za kuwahoji watu wenye uwezo Kama hao , hongera advocate

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 4 หลายเดือนก่อน +9

    Mwabukusi, ukigombea uraisi kupitia Chama chochote kura yangu nakupatia asubuhi na mapema

  • @user-zr1jf1gb4m
    @user-zr1jf1gb4m 4 หลายเดือนก่อน +15

    Mh Mwambukusi kweli ni mwalimu mvumilivu. Anavumilia kuwafundisha mazuzu

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 4 หลายเดือนก่อน +1

      Anatafuta Kiki

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@hamisijuma8124ndivyo Machawa ndivyo mnavyo sema

  • @user-zk9fz2xi9z
    @user-zk9fz2xi9z 4 หลายเดือนก่อน +6

    Ubarikiwe Sana sana mungu akulinde kwa kukosoa nakuelimisha ccm yenye uelewa wa f darasan

  • @EbenezerMagari
    @EbenezerMagari 4 หลายเดือนก่อน +6

    Asante Mungu kwakutupa vichwa kama hawa

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 4 หลายเดือนก่อน +5

    Kweli kiongoz ongea ukweli Mungu akulinde

  • @chedijohn2270
    @chedijohn2270 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mwabukusi safiii Mungu akuongezee hekima na,busara Amen.

  • @user-gu1fu2ud9j
    @user-gu1fu2ud9j 4 หลายเดือนก่อน +3

    Honger sana mwambukusi kutaja ngorongor

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 หลายเดือนก่อน +4

    Bandari haiuzwiiii
    Asante sana Mh. Mwabukusi

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 4 หลายเดือนก่อน +6

    Tanganyika inawatu wa maana sana

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi nakukubali Sana mzalendo wa kweli

  • @fabianmnyenyelwa8752
    @fabianmnyenyelwa8752 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwabukusi umesheheni madini, uko vizuri hakuna mwana-ccm anayeweza kupinga nondo zako. bigup bro nakukubali sana

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 4 หลายเดือนก่อน +6

    Bro uko poa sana chadema mnawatoa wapi hawa watu wasomi hivi sio vilaza akili zao hazijalala

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 4 หลายเดือนก่อน +3

    Waziri ajae mwambukusi huyu ni azina ya nchi

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mwabukusi Hongera kuitetea Tanganyika,

  • @CollinceFrances
    @CollinceFrances 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakuombea kaka Mwambukusi Mungu hakubari Ila Kua makini na hawa watu sio wazuri

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mr. Mwambukusi huyo naye achana naye hana jipya kama hajui ata tamko la maaskofu ni wapi uyo

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 4 หลายเดือนก่อน +2

    Amkeni watanganyika msidanganywe na wajanja CCM iwe mwisho wake kutawala Tanganyika asante sana mdogo wa mwabukusi

  • @tegoswadakta8996
    @tegoswadakta8996 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa shule Mwabukusi, asante baba

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 4 หลายเดือนก่อน +1

    HAKUNA kipande cha Ardhi na Rasilimali za Watanganyika zitakazouzwa kwa watu weupe, milele Amina

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 4 หลายเดือนก่อน +7

    Ccm mbona wana jinufaisha wao tyu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mwabukusi nakuheshimu kwa kut upatia elimu

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 3 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii ni inataka watu kama hawa Vivaaa Mwabukusi

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb หลายเดือนก่อน

    Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 4 หลายเดือนก่อน +3

    NDIO MAANA TUNAJIUNGA KTK MAANDAMANO KUIKOMBOA TANGANYIKA

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 4 หลายเดือนก่อน +2

    JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm 3 หลายเดือนก่อน

    Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 4 หลายเดือนก่อน +2

    YAANI HATA SIS TUTAKUFA KAMA WIMBO USEMAO TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI NA MWISHO UNASEMA TANZANIA UNILINDE HATA KUFA😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br 4 หลายเดือนก่อน +3

    Shetani hawezi kufukuza pepo

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa waandishi wa habari wa siku hizi kaazi kweli kweli!!

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kabisa. Yeyote anayeamini kuwa statement ya Bashite ni ndogo, lazima tuwe na wasiwasi na IQ yake

  • @ukululegeorge9309
    @ukululegeorge9309 3 หลายเดือนก่อน

    mwabukus yuko sahihi,na Mungu amzidishie uhai kwa faida ya watanzaia.

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwabukusi❤❤❤

  • @JumaMbaga-sd5yi
    @JumaMbaga-sd5yi 21 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa anaakili nyingi sanaaaasas na anakuja kwelikweli sio mxaha

  • @Sehewa_Edward_Mohamed
    @Sehewa_Edward_Mohamed 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuelewa ni ngumu Sana. Watu wanataka kanga na chakula tu. Ila huyu mtu ni mwamba

  • @AmosNabiiAmos
    @AmosNabiiAmos 3 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi hatoshi kumhoji huyoo Baba

  • @success-only
    @success-only 4 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂
    IQ ya makonda ni ndogo
    Uko sawa wakili mwabukusi

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shida ni kwamba nchi hii inamazuzu

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wa kwanza wewe 🥳🥳🥳🥳

  • @user-fz3bk6vw2b
    @user-fz3bk6vw2b 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukunal asant

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 หลายเดือนก่อน +2

    UKITAFUTA UMARUFU MTAJE KIONGOZI MKUBWA, NDIO ANALOLIFANYA (MWAMBUKUSI)

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 7 วันที่ผ่านมา

    Jitahidi baba juu ya bandari zetu na vawanja vya ndege

  • @PatrickKalinga-yw6kl
    @PatrickKalinga-yw6kl 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka mwambukusi ila makonda ndo umechemka sana tena pakubwa Kuna mahakama ya haki Tanzania hio nisiasa sasa mahakama ya Tanzania niyakihuni sana

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania kumbe imejaa mapumba kweli ! Hamna nchi yeyote ulimwenguni eti mkuu wa mkoa ndie hakimu na wakili kwa masuala ya kisheria ! Upuzi mtupu.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 4 หลายเดือนก่อน +2

    Bungeni yupo msukuma na lusinde msiba mkubwa

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuweke

  • @mbungemilanzi8149
    @mbungemilanzi8149 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wambieni ukweli hao makafili waache wizi watende haki dunia niya munngu hii wala siyao

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi huyo kiazi kabisa,
    Ajibu kwanza kwa sauti Dubai ni nchi!😊

  • @JaneJennifer-zk7bk
    @JaneJennifer-zk7bk 3 หลายเดือนก่อน

    Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba

  • @Ally-ts5gk
    @Ally-ts5gk 3 หลายเดือนก่อน

    Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 4 หลายเดือนก่อน +1

    Duh safari bado kumbe mbichi hii

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 4 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tufunguke vichwa ccm majambazi mafisadi😅mwaandishi wa ovyo

  • @Rich_lodrickLodrick_mollel
    @Rich_lodrickLodrick_mollel 4 หลายเดือนก่อน +1

    U

  • @AsteriaMasika-st5pk
    @AsteriaMasika-st5pk 3 หลายเดือนก่อน

    Jamaa naakili za ajabu, duuh

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 4 หลายเดือนก่อน

    Mwamba nakukubali kujitoa muhanga......lazima tu wakunyamazize...hatujui njia ipi itatumika ...😢

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 4 หลายเดือนก่อน +1

    TUAITETETEA NCHI YETU KWA GHARAMA YOYOTE HATA KUFA KATIBA INATUTAKA

  • @alexmbeyanje4022
    @alexmbeyanje4022 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baba edeleya nakupiga

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 หลายเดือนก่อน

    Mitandaoni Kuna raha Kweli

  • @CaftyLema
    @CaftyLema 3 หลายเดือนก่อน

    Hàpo umesema kamanda

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 4 หลายเดือนก่อน

    Wenye Hekima na Busara kama hawa wanaishi mtaani, ILA wenye kichwa cha mwendawazimu ndo wamekalia VITI, very SAD

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwambukus apewe maua yake

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 4 หลายเดือนก่อน +1

    UNILINDE NAMI NIKULINDE HATA KUFA

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi weeeeeee😂😂😂

  • @imanimakiyu5146
    @imanimakiyu5146 3 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi hana data ana maswali alosoma chuoni kwao haelewi yanayoendelea

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 2 หลายเดือนก่อน

    Tanganyika upi.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 3 หลายเดือนก่อน

    Ww rofa mjinga bwege unamsema makonda unakili kweli ww

  • @IddiAbdi
    @IddiAbdi 4 หลายเดือนก่อน

    Usimshutumu makonda yupo saw nikichwa

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 3 หลายเดือนก่อน

    Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,

  • @ellyburton6862
    @ellyburton6862 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi na wew kiwango chako ni kidogo mno hujui nn hapo

  • @HamisiNguku
    @HamisiNguku หลายเดือนก่อน

    Rahidhani ulishasepa mashujaa fm

  • @mussamuna900
    @mussamuna900 4 หลายเดือนก่อน

    huyu mwandishi hajui amekutana na mtu wa namna gani

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwandishi wa Habari naye hajui kitu na siyo mzalendo

  • @josephandrea
    @josephandrea 3 หลายเดือนก่อน

    Mwambukusi usiache kugombea ngazi ya Rais mambo yanyooke unaitetea sana rasilimali za Tanzania

  • @user-yk2ey6xu9g
    @user-yk2ey6xu9g 3 หลายเดือนก่อน

    Mwambukusi anahekima saana anaongea hata nawatu wasio na akiri levo zake dr slaa lisu sami mbowe lema labda

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 3 หลายเดือนก่อน

    UFISADI NI MATOKEO YA UTAWALA WA CCM

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 4 หลายเดือนก่อน

    Watanganyika tumekwisha serekali imebewa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 4 หลายเดือนก่อน

    Weweee, kwani hujui kwamba vyombo vya dola vyooote viko mikononi mwa mkulima wa mboga mboga?

  • @Mwinjilisti966
    @Mwinjilisti966 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa Ana njaa ya madaraka Wala siyo uzalendo

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi anahoji ujinga! Ukizoea kulala kwenye kitanda chenye kunguni utapata usingizi ingawaje kunguni anaendelea kukutafuna!

  • @shmohd11
    @shmohd11 4 หลายเดือนก่อน +1

    Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU

    • @lazaromshamu3521
      @lazaromshamu3521 4 หลายเดือนก่อน +1

      ndugu ulifuatilia hukumu ta mahakamani lakini..? kasikilize majaji walitamka nn kuhusu hao dubai

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda atawanyoosha nyie.mnajaribu kumsema vibaya lakin wanyonge wanamuamin kupitia maelekezo ya samia.

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 4 หลายเดือนก่อน

    Muhandisi hajui chochote masking aibu😂

    • @juliusmsangi6849
      @juliusmsangi6849 4 หลายเดือนก่อน

      Huyo sio Mhandisi(Engineer) ni Mwandishi asiyejua uandishi!

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwandishi ana akili sawa,Au anatafuta kiki ya kuteuliwa?

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani mwandishi ulijua unakuja kumhoji nani, au umepewa taarifa ya kushtukiza?

  • @NorbertusNyamuga
    @NorbertusNyamuga 4 หลายเดือนก่อน

    mh mwabukusi huyo unaefanya nae mahojiano sio mwandishi ni mtu wa chukua chako. ...

  • @user-wg6px3nv1u
    @user-wg6px3nv1u 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda ni ziro katika kratasi je kichwani itakuwa 100 au 50 kichwani?

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi huyu mwandishi kasoma????

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 4 หลายเดือนก่อน

    HIVI, LIPI JEMA, KUKIRI KUWA KUNA MAKOSA YA BAADHI YA WATENDAJI . NA KUAHIDI KUANZA UPYA KUWASHUGHULIKIA ASIO WAAMINIFU.

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi kilaza

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 3 หลายเดือนก่อน

    USHAURI WANGU MWABUKUSI GOMBEA UBUNGE ILI UKASEMEE WANANCHI

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mjinga hujui na Wala husikilizi ukaelewa!

    • @bravofundikila965
      @bravofundikila965 4 หลายเดือนก่อน +1

      Rafiki yangu huna uelewa mbona mwambukusi yuko wazi sana.

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 4 หลายเดือนก่อน +1

      Zwaxwa mmoja hujielewi Bora ukae kimya

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 4 หลายเดือนก่อน

      @@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 4 หลายเดือนก่อน

      @@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo

  • @hamisijuma8124
    @hamisijuma8124 4 หลายเดือนก่อน

    We huna lolote mbona huendi mahakama ya kimataifa muongo wewe

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 4 หลายเดือนก่อน

    Rais ajae ni mwambukusi uwe raisi wetu wa tanganyika

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 หลายเดือนก่อน

    Acha porojo wewe ndiye huna akili kabisa .Huo ni uzushi .Achakupotosha watu ..Makonda ndiyo dawa yenu