ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
JINSI RPC NA RCO WALIVYOKUWA WAKIBISHA NDANI YA OFISI YA CHADEMA MENGI YAFICHUKAChadema Media TV
มุมมอง 159K
HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA KIFICHO AMPA ZA USO RAIS SAMIA SAKATA LA BANDARI, AWATAKA WATUBUMwanzo TV Plus
มุมมอง 339K
The Real Process of Harvesting Honey 🐝🍯 #funnycats #funnyvideo #reaction #honeyMeowtropolis
มุมมอง 3.6M
โกงการแข่งชิงแชมป์โลก #shorts #freefireZz Man
มุมมอง 562K
“จตุพร” คาดการณ์ ใครคือ “นายกรัฐมนตรี” คนต่อไป ? | ข่าวเย็นประเด็นร้อนCh7HDNews
มุมมอง 662K
Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea MbeyaThe Chanzo
มุมมอง 33K
🔴#Live:LIVE: TUNDU LISSU,JOHN HECHE NA PETER MSIGWA WALIAMSHA CHATO KWA MAGUFULIKUSAGA TV
มุมมอง 2.5K
CHADEMA Kuwaburuza Mahakamani Sisty Nyahoza na Kamishna Awadhi Juma HajiThe Chanzo
มุมมอง 7K
Gov. Tim Walz makes debut as Kamala Harris' running mate [FULL SPEECH]FOX 9 Minneapolis-St. Paul
มุมมอง 741K
JOHN MREMA APANGUA MASWALI YA SALIM KIKEKE AFAFANUA HOJA YA TUNDU LISSU KUSEMA CHADEMA SIO MAMA YAKEChadema Media TV
มุมมอง 39K
Gov. Tim Walz’s first speech as Kamala Harris’ running mateMSNBC
มุมมอง 1.6M
มายคราฟ, แต่ คุณ..ควบคุมหัวใจ!จิน
มุมมอง 1.7M
หนังตะลุงน้องเดียวลูกทุ่งวัฒนธรรม ตอน หนุกหนัดคนกับสัตว์ผลัดกันฮาเบื้องหลังหนังตะลุงน้องเดียว
มุมมอง 74K
รู้ทัน 14 สิ งหาคม 67 ปลดนายกจนได้รู้ทัน แชนแนล
มุมมอง 55K
สรุปดราม่า (PT.2) MrBeast ทีมงานแฉเพิ่ม กดดันทีมงานจนต้องบำบัด รับทีมงานที่มีประวัติอาญา?Bangkok Esports
มุมมอง 461K
The Real Process of Harvesting Honey 🐝🍯 #funnycats #funnyvideo #reaction #honeyMeowtropolis
มุมมอง 3.6M
Act of kindness from a stranger #shortsFabiosa Animated
มุมมอง 2M
Ila kweli ni lini sisi wenyewe tutasimamia mambo yetu?? Hatuwezi kuishi kutegemea kila kitu kiendeshwe na wageni.
Asante professional Lisu kwa kuwaelimisha watanzania
Sio rahisi kumwelewa huyu bwana kwani inahitajika akili kubwa sana kuliko kawaida
Kabisa
Huyu jamaa ni madini tupu, ndio maana hakufa kwa marisasi meengi, kwakga mungh hamgachi mtu wa haki,
Nikweli kabisa risu yupo sawa sana ila kwa wajinga hawezi kumuelewa kabisa
@@zawadimbwambo1091kweli kabisa
Asante Lisu nina uchungu zaidi yako, nitasemea wapi?
Kweli tutasemea wapi-!!
MTANIKUMBUKA KWA MAZURI NA SII KWA MABAYA😅😅😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃🏃
Na yeye mbnaa aliponda sana utawala wa magufuli na mama amejitaidi kufanya tofauti yale ya awamu tano huyu huyu teena amekuwa kipaumbele kumpnga mama zuri kwake nilipi mwenyezi mungu ampe nguvu mama asimame imara lengo la huyu jamaa kumharibia mama kisiasa watanzania tusimame imara kuelimishana huyu jamaa mubinafsi afu mnafki yy haoni mema anaona mabaya2
Wewe ni pimbi uwezi muelewa uyu lisu kwakuwa akili yako ni ndogo sana inatosha kula na kunyaaa
@@frankmushi8892tutamuelewa vipi na haeleweki?
Jamaa nakubali sanaaa mungu tulindie iki chumaaa kije kitawale hii nnchi
Mi sijui kweli kwanini nchi inaviongozi wa vivu wa kufikiria sisi sio watu wakusaidiwa Kila kitu adi kutengeneza kibiriti
Tutamkumbuka sana hayati magufuli mungu amlaze mahali pema peponi amina amka magufuli uone nchi inauzwa ulikataa mikataba mibovu sasa nchi imeuzwa kwa waraabu bandari zote na maziwa sijui vizazi vya sasa na vijavyo vitaishi vipi mungu tenda miujiza mkataba ufe
Asante baba kuelewa shida
Tundu lisu shoga huaminiki ni mpotoshaji mkubwa
Kuma mayo
Ata wewe ni shoga
mbwa koko wewe
We choko ushazoea vya kunyonga acha dawa iingie
Mkundu ww
Sijui watanzania mnataka nini tena huyu mwamba hakufa kwa yale marisasi kuna sababu muhim amewekwa kuja kuikomboa Tanzania Mungu amlinde sana Lissu
Samia wee, ni Lini utapata akili ya kujitambua kuwa maovu unayotenda yatakurudia?
Wakit wa magu alikuwa mnasema muwaji saiv kafa mnamsifu siasa bwana kitu hatari
simamia suala la bandari,acha nyonyoko
Na atambue hkna binadamu yyte anayeweza kufanya mazuri bila mabaya na binadamu hata ungefanya mazuri yte cku ukikosea kidogo2 yte yanafutwa amesahau ypo hapa Tanzania kwa msaada wa mama leo teena mama mubaya watanzania tusimame imara na viongozi kma tindu lisu ambao ni wapotoshaji
Arud alipokimbilia hatumtak
Investment iko popote duniani zama hizi. Kitu muhimu ni kuwa makini. CHADEMA si viongozi. Wao wana matatizo na waarabu tu. Hawana matatizo na WACHINA wala wazungu waliojaa fukweni.
Wadanganye wavivu wa kufikiri. We muongo tu.We ulimwita hayati Jpm dikteta uchwara. Tunakumbuka vema kashfa zako. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Unatafuta majority. "You've failed alot. "
Jenga angalau point,
Mbona hueleweki!!!
Hospitali ukienda kumuona dactari wa ccm ni sh 15000
Ww lissu mnafiq Leo unamkumbukakumbuka magufuli!!!! Je unataka nchi uipeleke Ubelgiji nchi ina miko ww udaiwi najua hiyo ni tamaaa uongozi tunajua unadaiwa ubeligiji
Akili kubwaaaa
Hauna mada kila siku mada hiyo hiyotu. Kwani kampeni zimeanzanini subirimi uchaguzi keleletu
HUYU jamaa alishafilisika kisiasa Ila hajajitambua.imebaki commedy
Hawajagawa ila wamepitia kwenye campuni ya Dp world, uo mkataba ni wa mabaaria tulio andaa kama wananchi, mm ni shahidi tuliandaa sisi mabaaria ila mbarawa hakutaka kabisa mabaaria tuingie bandarini.
Alfu anaendelea kuwa kaidi ana kiburi sana hii ndiyo hatari ya kutawaliwa na wageni. Samia ni mgeni kwani ni mzanzibar na Zanzibar ina serikali yake kamili, ina raisi wake ina Katiba yake .kwahiyo Samia siyo mtanganyika hata kidogo si mama yake wala baba yake ila ni mgeni kwahiyo hajali lo lote kuhusu Tanganyika yenu mtajijua wenyewe hata kama mtatawaliwa na warabu ka vile ni mbia mtatawalia na Samia na warabu watawala nini watanganyika.
Wewe lisu unafaa sana kukosoa inchi na viongozi wanaokosea na kuasili kuitii katiba ya nchi lkn usiongoze kipaji cha kiongoza Inchi si cha kwako
Mungu akulinde lisu upewe maua yako🌷🌷🌷🌷♥️
Ndio maana Nyerere hajawahi kuvaa sare za CCM inaoneka zile sare ukivaa na akili inahama
Mzee niko nje ya bongo nikitua bongo nakupa maua yako
Lisu ubarikiwe sana kamanda wewe ndiyo sauti ya wangonge tuona kuombea afya njema kwako
Magufuri alisema walituachia mashimo na wanainch tukiendelea kuwa masikini
Mama ameshindwa kazi kama ni hivi hatutakubali tupo bega kwa bega na wewe
Anzeni kuanda vijana wadogo ambao watakuwa na moyo wachama undani timu ya mpira wa miguu netiboli nk
Lisu ww ni mnafiki wa kiwango cha juu sana umekuwa bungeni umelisaidiaje taifa wakat wa magufuli ulisema ujinga ujinga sasa hv unalalamika nn sasa
Samia amepewa jumba la kifalme huko Dubei hana shida ni zetu watanganyika.
Unarudia aliyokataza Magufuli wakati mlimtukana
Aliyemfanya mipango kupiga Lisu risasi na nani ??
Inaumiza sana kama juzi mawakili wa Tanzania walipigwa fain na kampuni ya wHindi bilion240 inauma
Iposiku watayakumbuka haya maneno nikopale nimekaa
Watanzania tujitathimini tunaendawapi hayaaaa
Wewe ulikuwa unamsema magufuli eti leo hii unamsifia kwa kweli huyu mtu ni mnafik sana anatapika kisha anaramba matapishi yake mbowe kila mda yuko mbwii na lisu ni mtoto wa watu leo hii tuwe na rais choko au mlevi tutafika kweli jamani na wengi wanao waunga mkono ni wavuta bangi walevi mashoga wenzao
Big up point sana
Mikataba ipi mibovu? Hebu tuorodheshe mikataba mibovu mingapi mama ameingia? Muulizeni?
uko timamu kweli, mkataba wa bandari zetu zote
Ni mpumbavu tu aweza afiki kuhusu hii mkataba ya bandari zetu zote
akili huna
Huna akili zero brain wew
Hakuna hata moja. Hao warabu hawachukui kodi lolote. Hapo wanataka kuhakikisha kuwa vyote vizuri ni vya warabu. Ati widhini Tanganyika kuna potion ya Tanganyika ati ni ya warabu. Je ninyi mnayo sehemu huko uwarabuni? Labda Samia anabadirishana na warabu na sehemu aliyo pewa huko maana ZANZIBAR huwezi kuwachezea kama anavyo chezea Tanganyika.
Samia ni kichaa kabisa
Tatizo ni kwamba hawa viongozi wetu wanapita bila kuchagiwa na ndio maana hawana uchungu wao wana Wanachojali ni familia zao tu mungu anwaona
Wabaya sana hawa CHADEMA. Hawa bado hawana uwezo wa kuendesha serikali. Wabaguzi. Wazanzibari wazanzibari wameuza bandari. Wana fitna sana hawa
We ni mjinga to the maximum
Magufuli hakuwa na upumbavu wa kuwaruhusu hawa wajinga kujadili mambo ya faida mama cheka na hawa mbwa mwisho wake utauona wewe jambo lenye faida ukiona lina faida fanyia kazi hata magufuli nani alijadili mikataba yake?
Acha uchawa ww zwazwa kwani magu akupingwa au ilikua kiziwi na kipofu ushazoea vya kunyonga acha dawa iingie au umetoroka mirembe
Ulisikia wapi Magufuli anafagilia mikataba ya kijinga kama hii? Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kwenye kitu kinaitwa kulinda rasilimali za nchi hakuruhusu upumbavu hata kidogo!
Na Tundulisu tumewakabidhi WAGENI.
😆😆😆
Upo vizuri
Waambiehao
Huyu ndie aliesema hayati magufuli ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea
Ni vigumu kuamini kile ambacho kinaendelea katika CCM yaani viongozi hawana uzalendo wala aibu hata kidogo. Tanganyika kuna msiba wa Bandari zetu kupewa Waarabu wao wanasema ni harusi!
Sawa
Muongo mkubwa huyo mlevi mkubwa huyo hana issue mpuuzi mtupu mkimbizi fatani muongo mkubwa laana tu kwa uongo mtupu
Muache kumtaja hayati Bwana unaharibu
Ndio alietuongezea matatizo
@@williammbuzimai5744 bundi wew
Na bandar ya kwenu usisema wahalabu arafu wageni ndiooo ni we apo kama mzim gu
Chuyu mzee hatawahi ridhika
Hatuna viongozi tanzania jamani
Akili yako ni kama Tundu tu. Tundu hufanyaje? jibu mwenyewe. KIBOKO chako kimeondoka unatamba kijinga jinga tu.
Ohoo kumbe unawapigia debe wazungu waje kuwekeza badara ya waharabu😮😮😮😮 hii ni njia tu kutafuta kura wewe ndiye utauza kabisa nchi uamie Ubelgiji
Ccm wez wote wako km bendela fataupepo kuwanzia viongoz mbaka wanachamawao wanajifanya vinyonga
Wewe tulikukabidhi kwa wageni wa ubeligiji, ukagonga supu ya ngurue huko , ukanenepa sasa unatapika sumu uliyolishwa na wabeligiji, ama kweli shukrani ya mapunda ni mateke
Nyoko wew.. naona unamtamani Sana huyo nguruwe wakupikie
He waarabu siyo wekeni? Àcha uchawa wa kijinga
Mungu isaidie tanzania
Daah
haoni mazuri ya mama kwke anaona mabaya2 huyu sio mwanasiasa ni mchochezi na pia anachochea udini ushauri wangu mama afanye lile analoliona linafaa kila mtawala anakarama yke na hkna mwanadamu atakayeweza kufanya mazuri2
Hawa...wangeondka tu madarakani Kila kitu hawawezi Sasa wakaa madarakani kutafta nn
Pongezi kiongoz
Nina uchungu na huu umaskini kwa sababu za kijinga kabisa.kuna haja gani kuendelea kutawaliwa na huyu mama?
SAME STORY HAKUNA HOJA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿BLAMING CULTURE YA CHADEMA NOTHING NEW 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿WE NEED NEW CHALLENGE FOR CHADEMA NEWLEDERSHIP 😢😢😢😢😢HAWA VIONGOZI HAWAWEZI KUANGUSHA CCM WAKO KWA MATUMBO YAO NA KULA RUZUKU MIAKA YOTE 😢HECHE AFADHALI ANAONGEA POINT LAKINI HAWA WENGINE NI COMEDY NA WADINI NA WAKABILA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥵🥵
Wew ni lijinga tu Kama majinga mengine sis wenye hakir tunawaelewa sana taira ww
@@makobamasawemangu4122 MASAWE NO MORE KUUZA VITU YA WIZI AMBAYO HAIJALIPIWA USHURU 🥵🥵🥵🥵MASAWE ANZA KURUDI MACHAME UKANYWE MBEGE NA KUCHEZA KAMARI 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@makobamasawemangu4122 LISU ATAPIGIWA KURA NA MASHOGA WA TUKUYU NA KYELA TU 🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵
Wantanzania wamekatiri hoja hoja hajui maana ake huyu msenge.lisu ametoa hoja nyingi afu jitu linasema hoja
Sioni udin ktk mambo ya bandari,ila wapo watu wanaulazim😅sha tuone udin na kn katik mambo y bahar
Haka kalisu ni kashenzi eeh?! Hakawezi kujieleza bila kuwatamka wafu? Man yoko!
Ccm ni wakala wa kuzimi Moto unawasubiria wasipotubu
Mh uko vzr ukweli uko palepale
Shida mawakala wamo humuhumu tanzania shamba la bibi
Tundu lissu HAZINA YETU
Sema baba
Kama hatuna uwezo wa kuendesha wacha tuwaite wakoloni watutawale tena
Nyinyi si ndio mnaeategemea wazungu. Unasema nini wee
Haya mambo siyo yakuwachekea ccm.
Siulikua ukimtukana mwenyewe fatani mkubwa huna ya kuongea mlevi mkubwa wee nenda kwenu Ubeligiji fatani mkubwa muongo mkubwa
Acha uongo wewe zwazwa na mazwazwa wenzio
Wewe ni chawa
mbwa wewe
Sijawahi ona Charles mpumbavu kama wewe
wewe Charles ni fisimaji mla mafisi wenzie paka shume
Huyu lissu ni mchochezi
wameshindwa waondoke
Kwahiyo tufanyeje kuhusu mikataba mibovu, kama tukiivunja tunalipa faini?
Amesema ni Bora tukivunja mapema tutalipizwa kidogo ila tukichelewa wakasimika mitambo Yao alafu ndo tuje tuvunje fain tutakayo lipishwa itakua kubwa kuliko maelezo si unaona2 ya magufuri ni kweli alivunja kwa Nia njema kwa sababu ilifungwa iviivi na haikua na faida kwetu waliokua wananufaika walikua wao wazungu! Lakini alijikuta ameshachelewa watu wamesha Anza na kuchimba wamejaza mitambo Yao ndo maana Leo inatughalim kwa kulipiswa pesa nyingi na Bado wanachimba kama kawaid 😢😢😢😢
Binadamu bwanaaa!!!
We muuwaji damu ya magu inakutafuna
Hiyo ni kampeni za uchaguzi
Huyu ni kiongozi mnafiki yeye kila jambo kupinga amesahau wema wa mama kpndi amepata matatizo leo awamu ya tano anaona ni bora kpndi cha utawala wa awamu ya tano huyuhuyu alisema magufuli gaidi leo teena mwema watanzania wajinga watamsikiliza hotuba zake
Chukua hatua wewe kama mpinzani kuitetea nchi yako
2025 rais chadema
Kama hujardhika Nendeni mahakamani au kaonane na Mama umwambie. Si unakumbuka alikuja kukupa pole ulipopigwa risasi? Au nenda kamwone mume wake umwambie huyo ni Mwanamke tu
Chawa kazini,
CCM hapo meshika baya majuto baadae nchi imeisha
Ulikimbia Nchi wewe porojo tu tembea zako
Bandar apana mama katukosea
Sio rahisi kuelewa nini anasema huyu bwana inahitajika akili kubwa
HUYU NI hatari kwa uongo anasoma mkataba Kisha anaandaa uongo.ujinga NI mzigo
TULISHAKUCHOKA BHANA HUSOMI VZR NA KUULEWA NA KUULEZEA KWA MAZURI UNACHOJUA WEWE NI KULITUMBUKIZA TAIFA KNY MATUSI WEWE NDIO MUANZILISHI
Anawadanganya HUYU bwana siku HIO anayoshawishi mwambieni akae MSTARI wa MBELE yeye na familia yake uone km atakaa!!!
Yaani huyu jamaa ninavyomchukia siku hizi! Ni muongo ni hatari
Mikataba mibovu ndo imetufanya hadi leo tanzania inazidi kuwa masikini
Mpuuzi. Kma wapuuzi wengne
Tundu yuko sahihi kabisa. Kuwa tunashitakiwa majuu. Ila, Ni bora tulipe fidia bali wawekezaji wasio na faida kwetu waondoke.
😂😂😂😂😂
Magufuri alikuwa mwamba wala hata kuja tokea tena maneno yake ya mwisho mtanikumbuka sikumoja
Faini hizo nani alisababisha tukalipishwa? Mbona humtaji? Nani amekiuka mikataba kijingakijinga ? Mtaje
Kwani hujui ni serikali ya ccm akiwepo wakiwepo marais kumtoa Magufuli tu maana Magufuli alikuwa mpangua mikataba ya hovyo na kwa taarifa yenu Magufuli wazungu aliwaweza na wakawezeka, ila alipokufa kwa sababu maizi yapo ndo marafiki na waizi wa kizungu wamegeuka upande wa pili washirikiane kuishtaki serikali kwa ajili ya Magufuli kisha watu wapige hela, wananchi mpaka mtii bila shuruti kuhamia Burundi si mnakataaga au hamkusikia mwigulu alivyowaambia.
Uspotumia akili akili itakutumikisha
Bongo jalala unafiki ndo mwingi wanasifiana kwa mgongo wa chupa
Mpumbavu mkubwa raia wa Ubeligiji mlevi mkubwa muongo mkubwa
Mlevi mkubwa fatani mkubwa kabimwe akili mkimbizi mmja
Mnafiki wewe bandari haijauzwa nimkataba