ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …
Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja
Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli
Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate
ivi unajua znz hauwezi kununua kiwanja
😅 no.😂😢😮😅😊@@kaaakwakutuliaa5179?
Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc
Asate mkuu
Nakuelewa sana pamoja sana
Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako
Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.
Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.
Uyo ndo mwambukusi msomi makini
Safi sana ongea ukweli
MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI
Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI
Asante Sana mwabukusi mungu akubariki
Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao
Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi
Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤
Ubarikiwe sana baba wanainchi wote tukiwa ivi kwakujitambua ivi itakuwa kama Kenya na Haki itapatikan
Amen and this is true. We need seriously Reform
Asante MUNGU akubariki mwabukusi
Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii
Mungu akupe maisha marefu
Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus
Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢
Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako
Hakika kila magumu yana mlango wa kutokea, Kaka mwabukusi tunakuombea Afya njema utuongoze ktk kulikomboa Taifa hili. UKWELI ni kwamba tusipotambua Siasa ni maisha tukaachia watu wachache viongoz mithili ya NAPE watatuchezea sana na nchi hii haitakaa iweke mifumo Bora ya utawala wa sheria sambamba na kuinua uchumi wetu kama nchi.
Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂
Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu
Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka
CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa
Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote
Akili kubwa sana
Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa
UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.
MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉
Asante Kaka ❤❤
Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde
Nyerere alikuwa na nia nzuri sanaa kuhusu Muungano.Lakini kwa ss Tunaitaka Tanganyika.
Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu
uko sawa bro yaani sawaa kabisa
Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽
Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm
Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote
Siyo Chadema tu.Hata AcT wapo vizuri
Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki
Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa
Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui
Hiyo ndio mipumbavu wa taifa hili
Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu
Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania
Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee
Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.
Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .
Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana
Mungu akulinde bila mungu huwezi
Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.
Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.
Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.
ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa
Uko sawa kaka
Iam from kenya i like on how u express ur self
Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi
Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!
Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana
Tunaomba utoe sauti.kuhusu makaa ya mawe Songea.Makaa ya mawe yanamilikiwa na chama cha Mapinduzi.viongozi wakubwa wastaafu na wa ss wanamiliki ardhi.Huko.wanakochukua makaa mawe hakuna barabara,maji,na Umeme.Ruvuma tunatia huruma.Inatisha.mtusaidie.
This is the cry for justice, ukweli hupanda mlima
Watanzania tumpe huyu jamaa kwenye aweee,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 🤔au basi maanake niishi kijijini
Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm
WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI
President
Kweli kaka yangu
Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa
Mwamba nakukubali sana
Uko sawa mkuu.❤
Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie
Wewe ni mbadala wa risu ila Fanya yote pitia magumu yote ila ifike mwaka ugombee uraisi kaka Mimi nakufatilia sana na natumain nitafata nyanja zako
Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza
Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha
👊✌️✊
Kweli mwambukusi musomi unaitendea haki elimu Yako wakati wasomi wengi wamegeuka machawa wewe umekataa Kwa kupigania kizazi kijacho
😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa
Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi
Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA
Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu
CHUMA TUNACHO TUFANYIE KAZI MTU HUYU ATATUFIKISHA MBARI SANA
Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji
Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe
Watu tuna hasira tumechoka
Sawaaa Fanya kazi
Mako anajuwa akili zako ndogo?
Sema hii nchi inaliwa na watu wachache
Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini
Huyu jamaa ifike hatua agombee hata urais wa nchi
Huyu mzee ni mtu na robo tatu,,hakika tanzania tunahitaji watu wa aina hii ili taifa letu lipone
Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa
Kwa hivyo Dubai sio Nchi ila Tanzania ni nchi? Sometime nyinyi wasomi mnatufanya mazuzu, watu waliotuacha mbali sio nchi ila Tanzania ndio nchi😂, sectors karibu zote hakuna nchi haina wageni
Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee
Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu
Sio kweli
Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.
hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa
Unaongea ukweli sana ila hawapo watu wasikivu kwa sasa wanebaki mabepari tu wakiafrika
Mimi nakuombea ikiwezekana hata mzim wa Tanzania ukulinde ili uivushe Tanzania.
Safar ya matumain inaonekana.
Machozi yananitoka meneno mazito!!
unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba
mwambukusi anatakiwa sana CDM
Kweli wamasai wanaonewa
Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini
Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa
Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz
Wewe jasiri endelea kuwa jasiri SIMBA