ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 258

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili 5 หลายเดือนก่อน +18

    hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 5 หลายเดือนก่อน +11

    Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja

    • @robbymzee3423
      @robbymzee3423 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli

  • @justice607
    @justice607 5 หลายเดือนก่อน +26

    Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 5 หลายเดือนก่อน

      ivi unajua znz hauwezi kununua kiwanja

    • @SilivanusMahinja
      @SilivanusMahinja 3 หลายเดือนก่อน

      😅 no.😂😢😮😅😊​@@kaaakwakutuliaa5179?

  • @seifmohd5357
    @seifmohd5357 5 หลายเดือนก่อน +8

    Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 5 หลายเดือนก่อน +13

    Asate mkuu
    Nakuelewa sana pamoja sana

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako

  • @dominiclyamchai9561
    @dominiclyamchai9561 5 หลายเดือนก่อน +13

    Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko759 5 หลายเดือนก่อน +5

    Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 5 หลายเดือนก่อน +13

    Uyo ndo mwambukusi msomi makini

  • @user-rr1ds9jm1q
    @user-rr1ds9jm1q 5 หลายเดือนก่อน +11

    Safi sana ongea ukweli

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 5 หลายเดือนก่อน +9

    MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 5 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Sana mwabukusi mungu akubariki

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 5 หลายเดือนก่อน +8

    Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤

  • @StelaKeya
    @StelaKeya 13 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana baba wanainchi wote tukiwa ivi kwakujitambua ivi itakuwa kama Kenya na Haki itapatikan

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 5 หลายเดือนก่อน +4

    Amen and this is true. We need seriously Reform

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asante MUNGU akubariki mwabukusi

  • @amanicarloschissanga4811
    @amanicarloschissanga4811 5 หลายเดือนก่อน +3

    Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akupe maisha marefu

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus

  • @giztony2009
    @giztony2009 5 หลายเดือนก่อน +3

    Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 5 หลายเดือนก่อน +3

    Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 23 วันที่ผ่านมา

    Hakika kila magumu yana mlango wa kutokea, Kaka mwabukusi tunakuombea Afya njema utuongoze ktk kulikomboa Taifa hili. UKWELI ni kwamba tusipotambua Siasa ni maisha tukaachia watu wachache viongoz mithili ya NAPE watatuchezea sana na nchi hii haitakaa iweke mifumo Bora ya utawala wa sheria sambamba na kuinua uchumi wetu kama nchi.

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 5 หลายเดือนก่อน +7

    Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂

  • @athuman7480
    @athuman7480 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu

  • @StephenLetta
    @StephenLetta 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 2 หลายเดือนก่อน +1

    CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa
    Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph7241 5 หลายเดือนก่อน +5

    Akili kubwa sana

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 2 หลายเดือนก่อน

    Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 5 หลายเดือนก่อน +8

    UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 5 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉

  • @samhadas788
    @samhadas788 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Kaka ❤❤

  • @user-ky3eu3zt8o
    @user-ky3eu3zt8o 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 6 วันที่ผ่านมา

    Nyerere alikuwa na nia nzuri sanaa kuhusu Muungano.Lakini kwa ss Tunaitaka Tanganyika.

  • @festokastory5282
    @festokastory5282 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu

  • @danielaudax6755
    @danielaudax6755 5 หลายเดือนก่อน +1

    uko sawa bro yaani sawaa kabisa

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 6 วันที่ผ่านมา

    Siyo Chadema tu.Hata AcT wapo vizuri

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 5 หลายเดือนก่อน +3

    Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki

    • @denismnubi7001
      @denismnubi7001 5 หลายเดือนก่อน

      Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 5 หลายเดือนก่อน +5

    Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui

    • @user-cl5yq6ne3q
      @user-cl5yq6ne3q 5 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ndio mipumbavu wa taifa hili

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 หลายเดือนก่อน

    Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 5 หลายเดือนก่อน +4

    Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee

    • @user-dp1ch6vv6z
      @user-dp1ch6vv6z 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.

    • @joycejoel1633
      @joycejoel1633 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .

  • @user-fh1wg4jv9i
    @user-fh1wg4jv9i 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde bila mungu huwezi

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula8424 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.

  • @peterkasanga-fw7th
    @peterkasanga-fw7th 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.

  • @fikirially7875
    @fikirially7875 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.

    • @MussaSelemani-wz5np
      @MussaSelemani-wz5np 5 หลายเดือนก่อน

      ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uko sawa kaka

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya6790 5 หลายเดือนก่อน

    Iam from kenya i like on how u express ur self

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 6 วันที่ผ่านมา

    Tunaomba utoe sauti.kuhusu makaa ya mawe Songea.Makaa ya mawe yanamilikiwa na chama cha Mapinduzi.viongozi wakubwa wastaafu na wa ss wanamiliki ardhi.Huko.wanakochukua makaa mawe hakuna barabara,maji,na Umeme.Ruvuma tunatia huruma.Inatisha.mtusaidie.

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 10 วันที่ผ่านมา

    This is the cry for justice, ukweli hupanda mlima

  • @augustinojob939
    @augustinojob939 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watanzania tumpe huyu jamaa kwenye aweee,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 🤔au basi maanake niishi kijijini

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 5 หลายเดือนก่อน +5

    WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 หลายเดือนก่อน

    President

  • @herielimushi
    @herielimushi 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kaka yangu

  • @SimonLimuruti
    @SimonLimuruti 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba nakukubali sana

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro9081 5 หลายเดือนก่อน

    Uko sawa mkuu.❤

  • @user-no6sg5vc5z
    @user-no6sg5vc5z 4 หลายเดือนก่อน

    Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie

  • @SaidOmary-s7t
    @SaidOmary-s7t 11 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni mbadala wa risu ila Fanya yote pitia magumu yote ila ifike mwaka ugombee uraisi kaka Mimi nakufatilia sana na natumain nitafata nyanja zako

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 หลายเดือนก่อน

    Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 หลายเดือนก่อน +2

    👊✌️✊

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli mwambukusi musomi unaitendea haki elimu Yako wakati wasomi wengi wamegeuka machawa wewe umekataa Kwa kupigania kizazi kijacho

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n 2 หลายเดือนก่อน

    😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi

  • @PaullKapagala
    @PaullKapagala 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu

  • @MkudeSimba-fg1sf
    @MkudeSimba-fg1sf 9 วันที่ผ่านมา

    CHUMA TUNACHO TUFANYIE KAZI MTU HUYU ATATUFIKISHA MBARI SANA

  • @user-kp4zp1lr4u
    @user-kp4zp1lr4u 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji

  • @user-yj9un6iz9c
    @user-yj9un6iz9c 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sema hii nchi inaliwa na watu wachache

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 หลายเดือนก่อน

    Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini

  • @majutoomari7445
    @majutoomari7445 12 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ifike hatua agombee hata urais wa nchi

  • @theflyingpot-ur1bf
    @theflyingpot-ur1bf 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee ni mtu na robo tatu,,hakika tanzania tunahitaji watu wa aina hii ili taifa letu lipone

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 5 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hivyo Dubai sio Nchi ila Tanzania ni nchi? Sometime nyinyi wasomi mnatufanya mazuzu, watu waliotuacha mbali sio nchi ila Tanzania ndio nchi😂, sectors karibu zote hakuna nchi haina wageni

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 5 หลายเดือนก่อน +2

    Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 5 หลายเดือนก่อน +2

    Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 5 หลายเดือนก่อน

      hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 23 วันที่ผ่านมา

    Unaongea ukweli sana ila hawapo watu wasikivu kwa sasa wanebaki mabepari tu wakiafrika

  • @KINASAITALABASH-pc8ld
    @KINASAITALABASH-pc8ld 12 วันที่ผ่านมา

    Mimi nakuombea ikiwezekana hata mzim wa Tanzania ukulinde ili uivushe Tanzania.

  • @user-jf7rg1ux9l
    @user-jf7rg1ux9l 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safar ya matumain inaonekana.

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 5 หลายเดือนก่อน +2

    Machozi yananitoka meneno mazito!!

  • @user-ow3km3xy8k
    @user-ow3km3xy8k 5 หลายเดือนก่อน

    unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 4 หลายเดือนก่อน

    mwambukusi anatakiwa sana CDM

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli wamasai wanaonewa

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini

  • @denismnubi7001
    @denismnubi7001 5 หลายเดือนก่อน

    Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa

  • @user-ux8ms6ky9i
    @user-ux8ms6ky9i 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe jasiri endelea kuwa jasiri SIMBA