VIDEO: SPIKA TULIA NA HALIMA MDEE WAVUTANA VIFUNGU VYA SHERIA ISHU 'MKATABA WA BANDARI'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มิ.ย. 2023
- Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee amechangia maelezo ya Serikali kuhusu mapendekezo ya kuridhia mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji kazi wa Bandari Tanzania ambapo amesema manufaa ambayo yanatarajiwa kupatikana iwapo Bunge litaridhia azimio hilo ni pamoja na kuongezeka kwa Mapato ya Serikali.
Mungu akuzidishie maarifa Halima mdee uko vizuri sana
Barikiwa sana dada Mungu akuzidishie umeonesha Mwanga ila huwezi kubadili chochote acha tuliwe tulimkosea sana Mungu 😭😭😭
Barikiwa chama gani chadema hamtabi
@@hussenaaghe2760 ß
Natamani upinzani wangekuwepo hata 10 tu hapo bungeni.😢😢hili swala
Lingeisha chap
Sana!! Halima mdee🔥🔥🔥!! Unajitahidi mama
Prophetess halima mdee🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏Mungu akulinde
Mheshimiwa Halima Mdee ishi miaka mingii…unaongea points sana👏👏👏👏
Tumia akili
Ishi sana Mheshimiwa Mdee you're a true Hero of Tanzania..your legacy will remain always 💪💪💪🙏
Mh Halima Mungu akutangulie kwa kila kitu unachofanya na kubariki kazi zako pamoja na tumbo lilolokuzaa
Hakika ww ni mfano wa kuigwa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Nakupenda sana dadaangu Halima, Hawa wengine bana!! Mungu tusaidie.
Halifax unaumia sana kwasababu unajaribu kuelewesha hayo mazuzu malarushwa hayaelewi
Mdee mmoja ni sawasawa na wabunge wote wanaume wa CCM........
Nakupenda Halima Mdeee
❤️❤️❤️💪💪💪
Bravo bravo bravo bravo, Halima Mdee
Halima ana hoja kali sana ila wamemkatisha katisha ile asiseme ukweli daah bongo nyoso wallah 🙌
Tunaangamia kwa ujinga wetu peke yetu,wanaoongea ukweli wanazibwa midomo kisa ulafi wa wachache wenye Dola😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu ingilia kati
Inaumiza kuona speaker wetu anakuwa namna hii ! Hili ni jambo kubwa ambalo wanainchi tulitakiwa tuelemishwe kwa muda wa kutosha .Mungu ibariki Tanzania
Spika wakati mwingine hafai kabisa.analinda ufisadi unaotaka kufanywa bandalini.
We umesoma wapi mpaka unamuona mwanasheria anakosea au ni fikira zako tu
Uyu spika ni boya kuwai kutokea na ana wadharilisha watu wa mbeya linafiki sana
Spika ajampinga ila anahakikisha kilamtu anasema vitu vilivyo kwenye mkataba
@@birianination7097 spika gani msenge huyo anamsaidia Samia kuuza nchi
@@kefajoseph158 ni wapi nchi imeuzwa,
Usikute unafikiri kua huu mkataba unao zungumzwa ndio mkataba wa makubaliano ya kazi.
Huku kwetu tunanufaika na tamasha lake la utamaduni na diamond alimleta tulia wewe
Maoni yangu ni kwamba. Mjadala huu umegeuzwa kubwa malumbano ya uchama na siyo uhalisia. Chama tawala ninaona kinajitahidi kuhakikisha kinawavuruga wapinzani ili wananchi wasiwaelewe na kuwa brand kama WAPOTOSHAJI ili kulinda makubaliano yaliyosainiwa chini ya usimamizi wa Mwenyekiti wa chama. Kinachoangaliwa hapo ni maslahi ya chama na siyo nchi. Sisi wananchi tulio makini kufuatilia tunaona majadiliano yamekuwa malumbano na vipengele tata halitashughulikiwa. Mungu ainusuru nchi yetu
Kweli umeongea
Kwani siye twasoma ili iweje km kila kitu twategemea kusaidiwa
Kwenye point za maana zinakuja TAARIFA
Mwaitara anaongea utumbo wanampa muda aseme tu UJINGA
Wana tabia mbaya utadhani Chadema siyo wa Tanzania sijui wabunge gani hawa kwenye majimbo next time tuwapige chini hawafai
Naungana na wewe... Bungeni saizi ni vyama tu... CCM wanajinadi kabisa kuwa hoja inayoamzishwa na mwenyekiti wao haipaswi kupingwa...
@@margarethsaramaki3966 Nakuunga mkono... Mtu akiwa anaunga hoja yao... Wanampa muda wa kutosha... Lkn mtu akiwa anapinga wanaishia kumkosoa...
Ishi saaaaana halima❤️tunakupenda mungu akupe maisha marefu tunakuombea pia 🙏
Inauma na kusikitisha sana kwa viongozi walopewa dhamana wanakosa uzalendo na nchi yao 😢😢
SAFI SANAA BI HALIMA MDEE.
Tulimezeshwa ujinga kuhusu bandari nilimsikiliza anaongea pumba mdee sijui km halewi
Halima ni kichwa sana!Inapendeza mno.Spika wa bunge ni kichwa sana yuko makini na ni smart sana.Nimeamini wadada wembamba ni vichwa sana.
Hapo kama mvivu kusoma na kufikiri unabaki unatoa macho.
Sanaaaa yani
😂😂😂😂 kwahiyo wanene 🤪
Tena spika ni kichwa kweli kweli wala sio masihara Tanzania 🇹🇿 tume barikiwa kuwa na wanawake vichwa sana na ndio maana wame aminiwa na wana wajibika
Spika kapangwa hajadili anatetea mkataba, hajadili chochote but ukwel mkataba n mchongo persee
Daaah ukitumia akili ktk hii speech ya mdee na tulia utagundua kuna mmoja yupo kwa ajili ya maslahi ya chama na mwingine yupo kwa maslahi ya nchi. Ni huruma sanaa😢😢😢😢One day ukweli utasimama
Exactly
Hayo matumaini ya One day ndiyo yanatumaliza,
Halima mdogo wetu, dada yetu Umeeeleza kwa mapana yake ipo siku utakumbukwa
Nakupenda sana halima mdee
Nakubali mdee
Naona kama Halima amevurugwa vurugwa asieleze alichotaka tujue, hadi muda wake umeisha kwa taarifa za "hovyo" tu. Sijaelewa, na nadhani waTZ wengi wanachanganywa ili tu kuitetea Serikali. Naona umuhimu wa kuahirisha jambo hilo tupate nafasi ya kukubaliana kama wananchi. Bandari si mali ya kukodishwa ovyo hivyo ninavyoona! Kama tulishakosea, bora tujenge uwezo wa kumiliki wenyewe hata kama tutaendelea polepole.
nikweri kaka
Alima Hana kitu ni muzuka tu anao😅
Bandari sio mali ya Tulia,na akina ..... mnaowashabikia mhimu ujumbe ukiacha inaendelea mtu ana uwezo kuchangia chochote tulia acha ubabe
Uko sahihi,bandari ibaki kusimamia na watanzania wenyewe.
Tuiboreshe vizuri bandari yetu na tuisimamie vyema.
Mtuakiongea vitu vizuri utasikia taarifa ilikumpotezea tu mtu point zake HALIMA chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
You're strong my sister that's y,, hukutaka kustaafu bunge!! Live long great woman (lawyer)of Tanzania 😊
R. I. P JPM. Hakika ulikuwa shujaa kweli kweli. Majizi wamerudi tena, hawana huruma wala uzalendo kwa nchi maana sio watanganyika hivyo huuza kila kitu. Tumepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe. Ee Mola tuepushe na haya majizi.
Magufuli ndo chanzo cha haya matatizo… kuweka wabunge wote wa ccm
Kabisa jamaa yule ni SHETANI watanzania
@@anthonyleonard7273 umeona eee
@@kefajoseph158 wakubali wakatae Mbuge wa Chadema akisimama Bungeni ni TAARIFA wana uweledi wa kutosha sana mimi siko chama chochote ila ukweli ni huo Halima ni juu juu zaidi🥰🥰
Alichokosea ni kuua upinzani na madhara yake ndiyo haya sasa
Watanzania tuamke miaka60 yauhulu bado hatuwezi kujenga bandali yetu bado tunangangania ccm kwanini tusibadili chama maana hawa watu wameshashindwa kuendesha hii inchi
Halima ni jembe tangu sana.Tumekuelewa mwanangu,Tulia amekubana sana,wale wa ndiyo wakikazana kuomba mitaarifa wakumbuke yupo hasiyedanganywa.Halima mungu akulinde saana akuinue umeweka alama ya kuigwa.
Halima Mdee keep it up kuna siku watakukumbuka huyo sijui naibu waziri Mama hata haoogopi wanatetea kitu kitakachotafina mpk vitukuu bahasha za Kaki zinachanika ila haki ya watanzania itawatafuna Halima siku moja utakuwa kinara just keep it up Si
Ubarikiwe sana harima mungu akubariki
Sio harima ni halima.
Asante.
Nakuapia huyu spika anacho kitenda kwa wapinzani sio Sawa ila tunamuachia mungu atasimama na ww
Kwanini Zanzibar aiuzwi anajuwa akishatuuza anarudi kwao mungu tusaidie
Bando langu Nalitumia Vyema kuwasikiliza Watu kama hawa Yani Mbunge Mmoja Wa Upinzani kama Wabunge Elfu M1 Wamafisiemu🤣🤣Big Up Halima mdee A.k.A Sauti Ya Zege
Halima mdee nakupenda sana wngu saut yako tu mdee Halima nakupenda sana saut yako
Hongera sana Halima. Umetuwakilisha vyema waTanzania. Speaker ingependeza zaidi kuwa neutral bila kuegemea upande mmoja.
Umeona eee
Kuna Baadhi Ya Wabunge huwa wanapotosha jamii kwa kias kikubwa sana Hongera sana Mh Spika Madam Tulia Akson.
Spika:
-mwalimu anavyosimamia wanafunzi
_mchungaji/padre Kanisani
_waziri wa katiba na sheria
_chuef whip
Kwa ufupi haonekani kama kiongozi wa bunge..maana anavuruga michango ya wabunge..
Bi kidude kavuruga bunge...ovyo
Uyo Halima mdee kweli yako na Akili nyingi sana kabisa
Ila huyu mama anajua kutengeneza hoja sanaa basiii tuu yaan
tumshauli tu aunt yetu aweanaenda kwenye points mojakwa moja itamsaidia na kupunguza maswali ili kuokoa muda
Spika Wetu Tulia Akson Upo Vizuri Sana,Sana,Tena Sana. Hawa Wapotoshaji Ukiwabananisha Namna Hii Wote Watafunga Midomo Yao.
Harima mdee nguvu Yako tumeiona umepambana mama ila waache wapitishe mikataba. Kama neema Itakuwepo tukapata magufuli mwingine huenda atavunja hiyo mikataba tena. Lakini nimeumia sipika Ktk majibizano ya halima na yeye Ameahidi kuulinda Mdaa Kwanini kampa sekunde 30 Amemlindia wapi mda hapo Watanzania Tujifunze sana haya Mambo. Ushauli Mkataba wa miaka 100 kama ni kweli selekali iangalie Kwa umakini kwani Waliopitisha Mkataba hawatakuwa wapo madalakani Kwa miaka yote hiyo apana Bali Watakuwa wamewaachia changamoto Vizazi vijavyo wajuku na vituku zungumzeni Kwa masrahi ya Vizazi vijavyo pia Litazameni Kwa umakini Asanteni
Wabunge wa CCM waovyoo kabisa
So planned, and decided before hearing. It breaks my heart
Hatari sana😥😥😥
th-cam.com/video/5xHGNKfvfFE/w-d-xo.html😢😢😢
🤝
Love you so much halima mdee😍😍
QOUTE... KUTOKA KWA WAKILI MSOMI ...MR.. BONIFACE MWABUKUSI KAMA SISI HATUNA AKILI ZA KUONGOZA HI BANDARI WATAKUJA WATOTO WETU WENYE AKILI ZAIDI YETU KUONGOZA ... HONGERA SANA DADA YANGU HALIMA MDEE ELIMU INAKUSAIDIA SANA 💯💯 HUJASOMA BURE .... SISI KAMA WANANCHI TUNAOMBA BARAZA LA MAWAKILI NA MWANASHERIA MKUU WAKAE WALICHABUE KISHERIA ... BILA KUKIUKA KATIBA ...NB.. KATIBA IFUATWE YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YAAN TANGANYIKA NA ZANZIBAR
Hamuwezi kutumia siku Moja kufanya mjadala wa Jambo lililotumia siku nyingi za mchaakato huu. Mind you kwamba muangalie maamzi yaliyoyanyika siyo sahihi. Sanjali na Hilo Madam Sipika najua wewe hujakaa hicho kiti hujakaa hovyo umekaa kiutaratibu, Mdee anachoongea Ni kitu kuntu. Na na cha msingi once more nitalishuhudia as long as Mungu atatupatia uhai.
Spika upo vizuri. Wallahi tungekupata zamani basi Tanzania ingekuwa na mikataba ya uhakika. Mama Tulia chukua fomu ya urais
Kwendraaaaa
Uzur wake n upi kutetea ujinga
anapotosha unasema ni mzur anachokiteta ni nn asa apo
TULIA ANATAKA KILA KITU KIWEKWE WAZI KWA MASLAHI YA NCHI SIO KUROPOKA ROPOKA TU.
@@zainabuselemani6709 UTAJUWAJE WAKATI HUNA ELIMU???
Wamemchanganya halima wamemto katika reli mungu akulinde
Karibu chadema kwetu tena my sister 2025 tena bungeni salute kwako dada
Hongera sana Halima, Leo ulikuwa unawekana sawa na mwalimu wako .
Kwa pamoja mmefanya mjadala kuwa mzuri sana....
Kumenoga
Da inasikitisha sana Yani taarifa taarifa taarifa inaonekana kama sio haki kuchambua
Kwahiyo mbunge miaka yote haikuwa series sio ,,mjadala wa Leo ndio muhimu sana dahh ,,,kwann tunafunywa watoto wadogo kwani watanzania kuwa wapole na nchi yetu ndio mtupeleke mnavyotaka kweli ama tunaonekana hatuna haki ama hatuwezi kupiga na kuandamana ila ee MWENYEZI mungu tusaidie sana ,,wabunge wamekuwa kama watoto wa chekechea ,,ee mwendazake tutakukumbuka daima😢
Hata mimi ndg zangu watanzania nani aliyeturoga
Mungu ametupatia akili na utajiri mwingi wa kuweza kunufaika sis watanzania ktk Taifa letu
Leo mnatanga kujichanganya kudanganywa na hizi zawafi hamsomi neno la Mungu kukosa Upendo nyumbani kwetu na kwa kushirikiana kujenga Taifa kuliko kujiuza utumwani tunaona hivi hivi
Tena miaka mingi hivyo kwa hiyo kizazi kijacho kitafsidi ni uTanzania wao Jamani mwogopeni Mungu msijinufaisha wenyewe Mungu hadhihakiwi Nchi hii ni yetu Mataifa mengi wanaitamani
Mara ushoga ili watoto wasiendelee kuzaliwa ili Taifa life tuje kutawaliwa na mali zetu zitahifishwe
Mungu anaona sirini
Tuombee Taifa letu jamani watumishi tupaze sauti zetu kwa Mungu wetu yeye anaweza kubadilisha hata kama pesa imetolewa hatutaki kuuziwa Bandari zetu
Sina Imani na tulia akson Sina Imani Nae kabisa
In every law there is a loophole. Halima mdee anaiona hiyo loophole lkn spika haioni au anajifanya haioni.
Vitu viko planned kuwa ipite tu hakukuwa na majadiano yeyote ndo maana halimaanapingwa
Huyo malaya tulia anataka tuuzwe
Anajifanya haoni
Hyu spika anajifanya haelew
Hyu spika anajifanya haelew
HALIMA kichwa sana yaani ukitaka kujuwa kwamba CCM hamnazo eti mwana fa ni waziri
Hatutaki mkataba huu! Ulazima unatokea kwenye Bunge Kupitisha! Bunge likipitisha inakuwa Sheria...
Spika umepangwa cha kusema ndiyo maana unajibu hoja Za halima bila kujali zina mantic gani kwa baadaye
Nilichogundua hawa wabunge wanatetea vitamb tu mana wanaacha kujadili vit tuelewe wanang’ang’ana tu kukubali huo mkataba😢Mungu tukumbuke.
Mungu kamwe hatajiingiza kwenye mambo kama haya
Kuna vitu vinafanywa hovyo mno na wafanyakazi wa serikali na njia nzuri ni kubinafsisha:
-Uhamiaji
-Bandari
-Reli,police,TRA n.k kwa manufaa ya watanzania kwani hata nabii gani aje hawa watu wataendelea kula rushwa tu na kutusumbua sisi Raia
Halima km halima anajitahid sana huyu mama lkn anabanwa banwa kwa sbb anaongea point
Uko.vizuri harima mdee kuna watu wako nje Wana akili ila nyie Mungu kawachagua muwe mbele
Nashauri mikoa yote yenye bandari ifanya maandamano kupinga huu upuuzi
Maswali anayoulizwa mdee ni ya mtego mdee yuko sahii
Nakupongesa halima mdee umeonge point safi sana
Safi sana halima mdei maana ujanja ujanja umezidi inchi hii
Yani vitu vinaandikwa kwa Kingereza yanakua kama mambo ya Fei na Yanga tusizunguke mbuyu Ili jambo kama nchi hatutaki sababu atuna tunachopoteza , ipo cku kama nchi tunakuja kuzuiliwa mlangoni kwenye Ardhi yetu wenyewe
Spika unalazimisha
Dada halima wanakupoteza Ili ushindwe kuongea na lengo tusijuee wananchii huko hao wabunge wa CCM kazi nikusaport kilakituu mungu tusaidiee
Mungu atatupa wate na wao, Amen.
Safi cna Halima,hao wengine ni makofi tu
Ukweli unapanda kwa miguu Uwongo unapanda kwa lift Mungu atakulipa khalima wajina wa Mamaa yangu
Hongera sana halima mdee kwa kutetea maslahi mapana ya nchi yetu
Nalia Sana na elimu hurahisisha Sana utendaji kazi Tulia mama Asante
Halima MUNGU WAMBINGIN AKULINDE
Nashauri Serikali ifanye due diligence kujua hizo kesi alizonazo DP World huko nje ni za kweli na je, hakuna njia nyingine ya kuongeza ufanisi?? Dhana ya PPP si mbaya lakini maslahi ya nchi yazingatiwe na si hofu ya kuona kuwa chama kitaonekana cha hovyo. Bandari ni yetu sote kwa sasa tunaweza kuonekana hatuwezi kufanya lolote kwa vile tuko nje ya Bunge naona wameishapitisha. Hiyo mikataba itakayofanywa tuione, tuione, na Bunge liwe live. Pia Wabunge waheshimiane wanatusikitisha hizo taarifa, zimekuwa nyingine ni uvurugaji. Tunajua Caucasus za vyama zimekaa na kuweka mikakati ya kulindana. Hebu kila mbunge achangie maoni yake na siyo kabla hajaanza kutoa hoja yake ya msingi ananyanyuka mtu " Taarifa" majaribu flow wananchi tunakosa ukweli
Hongera Halima nimekuelewa Sana.
Halima anaongea point Spika anaongea porojo kwa kuruhusu taarifa nyingi ili zimkwamishe Mdee,kwa maana hiyo Spika na Rais ni kitu kimoja wanaolenga kuupitisha kwa haraka
Harima mdee ww nichuma kweli hunanidhamu yauoga.
Halima kafeli, anasema lazima wapewe miradi yote ya bandari, ila akiombwa aoneshe wapi kwenye mkataba hawezi, sasa kivipi
Japo Mimi sio msomi ,elim yangu ni 0 Kwa elim ya ki MUNGU Yani ekima ya ki MUNGU aliyo nipa , nikwamba amjashindwa kuiendesha bandali na kama ajira zinazo zungumzwa , zinaweza kutolewa ata Sasa akujashindikana ajila kutolewa? naomba bandali isibinafisishwe. Maana atakae chukua bandali ataweza kupangiwa jinsi ya kulipisha ushuru hivyo watanzania ni kama tuna uzwa niaka mia Moja sio mchezo , jamani haki ya watz ntadaiwa nikononi mwenu jamani waeshimiwa wabunge, msaidieni mama atutakiiiii ibinafisiswe.
1
Kweli kufundisha ni wito.halima anatumia nguvu kufundisha.hajui anachofanya.
True
Ja chcąca znależć piosenkę zespołu Tulia z dziś :)
youtub : TRZYMAJ POLITYKĘ TANZANII XD
Pozdrawiam Tanzanie z Polski :D
Me wanting to find a Tulia band song from today :)
youtube : KEEP TANZANIA'S POLICY XD
Greetings to Tanzania from Poland :D
Mbona kama tuliaa anakandamiza
KAULI ZA KAMA KAMA HAZINA MSINGI NI UJINGA.
Hongra dada alima wanawake mnaweza kweli itabaki kuwa kweli
Munawza nini munatupeleka tu akuna lolote eshimuni waume zenu
Tumeibiwa kweupeeee....! Njaa na tamaa ni kitovu cha ushetani, sasa tushajiuza for 100 years.... We can only pray, hoping miracles will save our sorry assez from ourselves!
Halima mdee wamemdistruct kinouma yani ile wamchanganye hasiulize kwa uhuru
Kiukweli Tanzania hatuna bunge lindeni hoja za watu
Huyu nikichwa jamani Mimi napenda sasa
@@lightnesssanka1928 na asa mdee au tulia
Mdee
hichi kichwa, mskilizen vzur sana mdee
Wanamchanganya tu wakitetea miugali yao sisi wananchi tuko na Halima Mdee.
Daah hii nchi hii mungu atusaidie tu
Niliposoma tweet moja inayosema "Kuna walio lipwa kuikosoa na waliolipwa kuitetea" sasa naelewa kuuzwa hakuji kwa wakati moja, kila ajae atauza kitakacho mnufaisha!
💐💐💐💐 to her
Halima well said
Halima mmy uku vizuri
Ila spika jitahidi kua Makini wewe
Hapo sawa asikilizwe
Mmmmmmhhh hapa ni kumuomba MUNGU TUUU HATUTETEEE.
Nawaombea muelewane kwaajiri ya ujenzi wa Taifa letu MUNGU Awabariki wabunge wetuu nawapenda
HUYU SPEAKER, HAFAI KABISA.
Shule za kata mlitujengea ninyi vijana tumesoma na saivi tunajitambua vzr tuu japo hatujanufaika na hzo Elimu ila zinatusaidia Kwa mapana yake vijana wa kitanzania si wajinga tena.
Tunatakiwa tuwe na plan za mda mrefu tu invest kwenye ujuzi/Elemu vijana wajifunze kwa manufaa ya baadae vya bure vina gharama
mange kawajaza ujinga humuu na wengne wanawachukia waarabu wakijua ztakuwa sheria za kiislam mange anasupport ushoga ndo maana awatak waarab
Halima mdee unaeleweka
Tulia kichwa boga safi sana halima mwakani chukua nchi chadema mwacheni halima wetu apige kazi tuwaburuze hawa ccm wa hovyo kabisa
Ni kweli kaona mbali
Alima.Mdee dadangu uko sahihi kabisa dada yani akili yako kama vile Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli. Yani Alima Mdee ubarikiwe sana kwakweli
Mtu na mwalimu wake!!
Nimeipenda hii