Ifahamu Historia ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania: Kutoka Special Branch Hadi TISS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • Wakati Marekani wana CIA na NSA huku Urusi nao FSB na uingereza wana MI5 na MI6 kwa Tanzania, kuna Idara ya Usalama wa Taifa ama kwa kimombo inafahamika kama Tanzania Intelligence and Security Services, TISS, ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya mwaka 1996 na marekebisho yake ya mwaka 2023.
    Fuatilia makala hii mwanzo mwisho uweze kufahamu historia ya Idara hii.
    Rejea
    Peter D. M. Bwimbo (2016), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Thomas J. Maguire and Hannah Franklin (2020), International History Review, Creating a Commonwealth security culture? State-building and the international politics of security assistance in Tanzania.
    George Roberts (2021), Cambridge University Press, London, Revolutionary State-Making in Dar Es Salaam: African Liberation and the Global Cold War, 1961-1974.
    Paul Bjerk (2015), University of Rochester Press, Building a Peaceful Nation.
    Issa G. Shivji, Saida Yahya-Othman, and Ng’wanza Kamata. Mkuki na Nyota, Dar es Salaam, 2020, Development as rebellion: A biography of Julius Nyerere.
    Issa G. Shivji (1990), Institute of Southern African Studies, State Coercion and Freedom in Tanzania.
    James Robert Brennan (2021),The International History Review, The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953-1974
    Mark J. Mwandosya & Juma V. Mwapachu (2022), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, 38 Reflections on Mwalimu Nyerere
    Yoweri Kaguta Museveni (2016), Moran Publishers,Kenya, Sowing the Mustard Seed
    Stephen Isaac Mtemihonda (2023), Mkuki na Nyota Publishers, Vita vya Kagera
    Watafiti/Wahariri
    Joel Ntile
    Tony Alfred K
    Sauti
    Tony Alfred
    Mhariri Video/Sauti
    Shafii Hamisi
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 110

  • @thechanzo
    @thechanzo  21 วันที่ผ่านมา +7

    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105

  • @jamesverdian2445
    @jamesverdian2445 หลายเดือนก่อน +45

    Idara yetu ya usalama wa taifa ni kati ya idara bora sana shida imeshikiliwa na wanasiasa wanaitumia vibaya
    Inaumiza sana

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 26 วันที่ผ่านมา +1

      Umesema ukweli kabisa

    • @zonko0488
      @zonko0488 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kama imeshikiliwa na wanasiasa basi sio idara bora. Ingekuwa bora ingesimamia malengo mapana ya Taifa na sio matakwa binafsi ya wanasiasa. Haina tofauti na idara nyingine zozote kwenye serikali zetu ambazo zinapelekwa hovyo na wanasiasa wasio waadilifu.

  • @aziadifukira
    @aziadifukira 4 วันที่ผ่านมา

    Hongera msomaji wa makala hii umesoma vizur.Mungu awabariki staffs wote wa TISS

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 หลายเดือนก่อน +14

    Naomba hii historià iruduwe kusoma ni nzuri sana

  • @peterkefand7835
    @peterkefand7835 หลายเดือนก่อน +9

    Hongeren sana. yaani historia yetu ni kubwa sana na ipo kizalendo🎉

  • @Yefta-i2i
    @Yefta-i2i 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hako kamziki kanakopigwa kwa nyuma, tafadhali husikatoe. Safi sana hako

  • @alipipijimmy7605
    @alipipijimmy7605 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera chana chawa ni watu wema Sana na hii idara inatusaidia Sana iwapo kiongozi mwenye mamlaka anawatumia vizuri , pia nashukuru sana maana amani tulionayo ni usalama Wana sababisha nchi yetu iwe na amani pia nampongeza sana mwandishi amechambua vizuri mungu ambariki Sana yupo vizuri sana tuandalia na vitabu.

  • @athumanimuhammadam3601
    @athumanimuhammadam3601 28 วันที่ผ่านมา +6

    Naipenda saaaana kazi hii,,,inapatikanaje???

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 หลายเดือนก่อน +4

    Msomaji wa makala hii umesoma vizuri sana, kiswahili kimenyooka, hakuna shida za L na R, safi sana, japo angepatikana msimulizi mzuri zaidi ingekuwa tamu zaidi.

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 28 วันที่ผ่านมา +1

      Msomaji Mzuri zaidi ni yupi?Huyu kaeleweka vyema tu...

    • @Manyohu.tv1
      @Manyohu.tv1 25 วันที่ผ่านมา

      @@wechemakambo2182 unasifia na kuponda, binadamu bhana😁

    • @nasibuAbel
      @nasibuAbel 13 วันที่ผ่านมา

      mkuu hata hii Mimi nime ipenda sana tu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน +8

    FBI ,CIA ,KGB na zote zinazofanana na hizo, Ni Kazi nzuri lakini kama una hofu ya Mungu Zina maswali mengi saana mbele ya Mungu, some of careers u learn not to question orders in order to put food on the table, hasa ukiwa mtu wa operation, ukipewa maelekezo tu mfyatue fulani haina kuhoji hata kama Ni mwenzenu, mnaweza mumchome Dawa ya usingizi na kumzamisha kwenye swimming pool alafu mnatangaza jamaa kafa Maji, asilimia kubwa mwisho wao huwa mbaya saaana vifo vyao vinatisha

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 หลายเดือนก่อน +4

      Kazi ngumu sana hii ni kazi ambayo unamjua mkurugenzi tu ila watendaji huwajui kma wachawi tu vile yan kuna watu wanaipenda sana hii ila dahh!!! Inaonekana ni kazi hatar sana hasa ukifikiria mwisho wetu kma binadamu

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa kweli ni historià nzuri sana kwa taifa hili ni safi mie nimeipenda big up chanzo

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 หลายเดือนก่อน +17

    kazi nzuri sana hii me napenda sana hii kazi

    • @bakorea
      @bakorea 26 วันที่ผ่านมา

      Kabisa. na kama ulivyoona, wachambuzi wa Chanzo wamezama na kutuletea madini hasa. toka enzi ya Mwalimu mtu kuwa katika idara hii ulijua anakubalika kwa uzalendo, weledi. Zaidi wamezuia maadui wa nje na ndani. Hata Yugoslavia yenyewe ilisambaratika kwa idara yao kutotabiri mipango ya maadui wa nje. Angalia Somalia, hadi leo vita na mgawanyiko, Somali land ilijitenga na hakuna wa kuzuia. Watu kama Kitine hadi leo anakemea kabisa tabia za rushwa na unafiki.

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz 7 วันที่ผ่านมา +1

    duuuuu mungu aninusuru sifahamu

  • @nasibuAbel
    @nasibuAbel 13 วันที่ผ่านมา +2

    Upo sa sahihi kabisa naamini hivyo na mimi mwenye ndoto za kuwa kwenye hicho kitengo

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwake Mr Mombo....Mtu Mpole Sana na Mnyenyekevu

  • @saimonmkangala7637
    @saimonmkangala7637 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi nzuri pongezi kwenu, Mungu awatunze.

  • @user-hx7tr5iw8p
    @user-hx7tr5iw8p หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni ya kizalendo Zaidi .nimeipenda ila kuna hichi kizazi kipya kichunguzwe sana kimeweka tamaa mbele kuliko uzalendo adui pia anaweza kuwashawishi wakaleta mihemko. Naipenda nchi yangu na nitaifia nchi yangu ya mababu zetu na bibi zetu mungu ibariki tanzania 🇹🇿mungu ibariki Africa 🌍

    • @bakorea
      @bakorea 26 วันที่ผ่านมา

      hapo sasa. zamani watu wote wa Usalama walikuwa wanaitwa , Vijana wa Mwalimu, ikimaanisha waliopikwa na kupikika, hakuna rushwa, ubadhirifu, unafiki, nk..sasa wakati wa Magufuli yupo afisa wa Usalama wa Wilaya, nadhani Mkoani Arusha alihusishwa narushwa..aibu..ila wachache hao

  • @Stanlykanwakabos
    @Stanlykanwakabos 4 วันที่ผ่านมา

    asante

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 หลายเดือนก่อน +2

    🎉 Hongera sana show up

  • @RaphaelMichael-g3x
    @RaphaelMichael-g3x 24 วันที่ผ่านมา +1

    Big up to TISS

  • @jumankumilwa4139
    @jumankumilwa4139 หลายเดือนก่อน +2

    HONGERA SANA BRO MOMBO

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 29 วันที่ผ่านมา +4

    Hii ilikuwa Idara kabambe sana. Siku hizi nashuku majukumu yake ni kuwakomoa Watanzania kuitumikia CCM. Haijui hata jinsi rasilmali za Tanzania zinavyoibiwa! Hivi wanaweza kuwaambia Watanzania Magufuli alikufaje?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 27 วันที่ผ่านมา

      @@Nedjadist wewe ukitaka afe vipi kwa mfano?
      Siku yako ikifika hata ashuke yesu utakufa tu. Acha kuuliza uozo kama huo jiongeze?

  • @officialkyenx4773
    @officialkyenx4773 หลายเดือนก่อน +2

    mbwa hyo ange kufa tu na mlengaji haku lenga
    vzuri angelenga kichwa tu akafa .mbaguzi sana

  • @ibrajuma8399
    @ibrajuma8399 หลายเดือนก่อน +13

    Hii ni ndoto yangu ila kuipata ndio shida

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 28 วันที่ผ่านมา +1

    Idara ya usalama wa Taifa ni idara Bora Sana pongezi kwao

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa kweli chanzo mpo vizuri kwa stori yote ulioeleza ni kweli kabisa

  • @abdulqadriabdallah9332
    @abdulqadriabdallah9332 5 วันที่ผ่านมา

    Kumbe mzena ni hospital ya viongoz coz mzena alikuwa kiongozi WA usalama WA taifa

  • @Dr_Heart.
    @Dr_Heart. หลายเดือนก่อน +4

    Hii ingewekwa voice na yule shafii ingenoga sana, anajua kusimulia

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 หลายเดือนก่อน +2

      Au Sky Walker wa SNS

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 22 วันที่ผ่านมา

      @@Dr_Heart. hatupaswi kumdharau aliyefanya tukajua badala yake tumtie moyo azidi kuwa bora...Sasa Shafii hakuyajua haya.

    • @Dr_Heart.
      @Dr_Heart. 22 วันที่ผ่านมา

      @@wechemakambo2182 Hakuna aliyedharauliwa hapo, kila kazi na mtaalamu wake, haina haja ya kuwa na unafiki kwenye suala linaloeleweka, pongeza panapostaili pongezi....nyie ndo machawa nyie mnataka kusifia kila kitu bastard😎

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p 27 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana idara ya usalama wa taifa Kwa kulinda amani ya nchi

  • @hansmutta2549
    @hansmutta2549 หลายเดือนก่อน +2

    Sikujua kama tuko vizuri kwenye intelijensia big up sana

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216 28 วันที่ผ่านมา +1

    Habyarimana alionywa na Mkuu wa usalama wa taifa Tanzania Luteni jenerali Imran Kombe, Mobutu na Rais Moi hawakuja Tz, walikubali onyo la Kombe, lasivyo habyarimana asingetunguliwa kwenye ndege mwaka 1994 na hatimaye mauaji ya kimbari Rwanda yasingetokea.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 27 วันที่ผ่านมา

      @@peterchristopher5216 Acha kutupeleka peleka wewe, Kombe atawaambiaje hao marais wasije kwani kulikuwa na tatizo gani Dar?
      Huyo Habyarimana na mwenzake wa Burundi wametunguliwa wakiwa wanarudi kwao baada ya kuhitimisha mkutano na sio ndani ya Tanzania, walitunguliwa ktk ardhi ya Rwanda huko.

    • @peterchristopher5216
      @peterchristopher5216 27 วันที่ผ่านมา +1

      @@MilloWamilonga-ft8ir hujaelewa mantiki yangu, najua kuwa hawajatunguliwa Dar, ila Kombe alivujisha Siri ya assassination kwa mmoja wapo, Hadi wengine hawakuja, waliambiana, Habyarimana alishauriwa asiondoke hiyo tarehe, badala yake akalazimisha, yakamkuta.

    • @silvanuskuloshe7995
      @silvanuskuloshe7995 12 วันที่ผ่านมา

      Usijibu mjinga nawe utakuwa mjinga​@@peterchristopher5216

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m หลายเดือนก่อน +3

    Huyo mama waisulamu ndio kwenye hii nchi miaka yote. Yakwake.......

    • @nelsonnikodem1100
      @nelsonnikodem1100 หลายเดือนก่อน

      Lakini serekali yetu Haina dini

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio mpumbavu kweli pimbi wewe.
      Unavyosema muislam una maana gani? Unaijua history ya nchi hii vzr?
      Pwani ya waislam ndio chimbuko wa kila kitu nchi hii.
      Nani alifahamu mikoa ya huko porini?
      Hata uhuru umedaiwa mikoa ya pwani na sio mikoa ya mbugani.
      Acha ujinga waislam ndio vinara wa kila kitu bongo mzima

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 หลายเดือนก่อน

      Wewe ulitaka vp Kwan wanahubir au wanafanyakazi tu? Kazi yao ni utendaji hakuna hata siku moja uliosikia wanahubir ..watu wote wapo huru makanisa yapo na misikiti ipo hakuna siku huyu mama amezuia watu kwenda kanisani wala msikitini sio vzur hata kidogo kuhusisha Serikali na mambo ya kidini ...akili zako Zina ujauzito wa mawazo

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 28 วันที่ผ่านมา +2

    JPM aliwatumia vizuri usalama wa Taifa hasa kwenye maswala ya usama wa uchumi wa Nchi.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 27 วันที่ผ่านมา

      @@JK-uq1tv mbona viroba vya maiti kila siku coco Beach ktk utawala wake, hao TISS walikuwa wapi??

  • @alexdaniel7985
    @alexdaniel7985 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi iendeleeeeeeeee

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 หลายเดือนก่อน +3

    I wonder where you guys get infomations

  • @mosesmagubira3700
    @mosesmagubira3700 หลายเดือนก่อน +3

    Niliwahi kutuma maombi lakini sikufanikiwa . Kisa kikubwa cha kutuma maombi ni uzalendo .

    • @boscofidelis6223
      @boscofidelis6223 หลายเดือนก่อน

      Tafadhali nijulishe namna ya kuomba maombi tafadhali

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri หลายเดือนก่อน +4

    Hii ndiyo Idara iliyo na watu wasiojulikana? Mbona watu wasiojulikana hawajaweza kujulikana hadi leo? Hii Idara haiwezi kuwajua?

  • @frankkinyaiya.8217
    @frankkinyaiya.8217 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu Laurence Gama mwanae ndio Leonidas Gama aliyekuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro kwa sasa ni marehem??

  • @goodluckandrew3392
    @goodluckandrew3392 27 วันที่ผ่านมา +1

    Twalipo , KAMBI YA TWALIPO IKO KALIBU NA UHASIBU

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639 หลายเดือนก่อน

    Uchambuzi mzuri saana na Idara yetu ina historia ya kizalendo saana. Kazi kwao viongozi wa sasa nao kuweka historia nzuri kwa kutenda haki kwa watanzania wote na kulinda rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi yao ni mhimu mno Ila kuna halufu mbaya na minong' ono mhimu kujilekebisha maana idara hi kisheria ni nyeti Mungu awapefikra za uweredi katika majukumu yenu.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน

    Historia ni kitu kizuri sana,tunaomba irudiwe,na kurudiwa tena na tena. Kumbe chanzo cha TIS kuwa chini ya Rais ikulu ni hii iliyopelekea Idara hii kuwa chombo chini ya Rais na chama kimoja na ulinzi wa viongozi wa serikali na chama pekee na sio chombo cha usalama wa nchi na maadui kutoka ndani na nje pekee na Polisi kubakia mambo ya ndani ya ulinzi wa wananchi na mali zao!

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba hapa alikuwa laurance Gama na Imran kombe. Kuuawa kwa kombe ni hasara kubwa

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 27 วันที่ผ่านมา

      @@user-pj7ng8il4t kuuwawa ka Kombe haikuwa hasara kwa taifa, bali ilikuwa kwa faida ya taifa
      Ndio maana unakuta yeye aliuliwa na polisi live kwa pengine malengo flan.

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216 28 วันที่ผ่านมา

    Edwardo Mondlane wa Msumbiji alikufa mwaka 1969 na siyo 1965

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 หลายเดือนก่อน

    Mmmh

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 18 วันที่ผ่านมา

    Hapa ndio utajuwa vp muungano huu tulonao m zanzibar hakuekwa hata mmoja kwenye itara hii

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 หลายเดือนก่อน

    Itoshe kusema 'madingi' walikua ni watu wenye akili, wabishi, wenye maono pia wazalendo, tuna kazi kubwa ya kuyaishi yaliyoanzishwa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    ✌️👊👍.

  • @ruahakennelsandvetservices6567
    @ruahakennelsandvetservices6567 หลายเดือนก่อน

    😮😢😢

  • @overplantv21
    @overplantv21 หลายเดือนก่อน

    morning tiss 3:40 3:44 3:47

  • @MohdMohd-fv1my
    @MohdMohd-fv1my หลายเดือนก่อน

    Amani na Usalama tunajivunia...

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 18 วันที่ผ่านมา

    Hii idara hakuna m zanzibar anaewe kuongoza sindio

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo2182 28 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye gazeti la 1965 la nationalist linasema watatu zaidi wakamatwa ni juu ya ile uasi wa jeshi inaonekana picha ya huyo afisa Wayne Mbwambo na J.T.Zangira sasa huyu Zangira baadaye 1977 alikamatwa tenaa na kufungwa kwa kusidiana na Wazungu wa Southern Rhodesia(Zimbabwe),hii imekaaje?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 27 วันที่ผ่านมา

      @@wechemakambo2182 uasi wa jeshi ni 1964, Nyerere alifichwa Kigamboni na matokeo yake Julius hakumsaidia lolote hadi kifo chake.
      Julius alikuwa ni kiongozi mwenye roho ya kwa nini halafu roho mbaya nature

  • @hamzangakola8822
    @hamzangakola8822 25 วันที่ผ่านมา

    Kuna mmoja anaitwa lilungulu umemsahau kwenye hiyo orodha

  • @gregoryntibani6640
    @gregoryntibani6640 หลายเดือนก่อน

    Msomaji ameeharibu kiswahili. "HICHO" na siyo "Hiko"

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 หลายเดือนก่อน

    Kikao cha maraisi 2015 au 2005

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud หลายเดือนก่อน +4

    Mbona uteuzi umeegemea udini zaidi..tumeshuhudia matumizi mabaya ya madaraka ya ukiukaji wa katiba na viongozi kuingiza nchi kwenye mikataba isiyonufaisha nchi idara ikiwa kimya maana yake nini. hizi ni nchi mbili zilizouungana.idara inawajibika vipi kuhakikisha viongozi hawatumii nafasi zao kuhamisha rasilimali za upande moja. Isiieshie kushauri tu. Pia ichukue hatua

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      Huna akili kama ni udini basi huyo Julius. Kuanzia TISS wa kwanza hadi wanane na hakuna mtu alieliongelea hilo coz hatuna udini, umefahamu wewe pimbi?

    • @helladeogratias7630
      @helladeogratias7630 หลายเดือนก่อน

      Udini unakuja baada ya kukosekana hoja zenye mashiko.

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 หลายเดือนก่อน

      Kuna sheikh kateuliwa kwani? Acheni mawazo finyu sidhani kma ni uzalendo kuhusisha Serikali na mambo ya dini.
      Siku zote mbona hamjasema kwann? Au sababu ni huyu mama tu je umeona sehemu yoyote kiongozi wa Serikali anahubir dini ?
      Mbona LUKUVI alipoenda kanisani na kuongea udini hukusema lolote?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 26 วันที่ผ่านมา

      @@suleimansalym7537 wakristo huwa hawajiamini, na wengine hujiamini kutokana na dikteta Nyerere kuwa rais wa kwanza lkn hawajui bidii zote zilifanzmywa na waislam wa pwani na ndio wenye pwani yao rasmi, kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani. Dar na Tanga.
      Hata uhuru haujapatikana huko porini bara ndani.
      Kila kitu kwa wastaarabu pwani (DUR AL SALAAM)
      ambayo ndio Dar es salaam ya sasa.

    • @mussakantumba9914
      @mussakantumba9914 25 วันที่ผ่านมา +2

      Ndugu ukisema Udini kwa kuwa aliyechaguliwa ni Muislamu, Basi Waislamu nao wataanza kusema, mbona Wakuu wote wa jeshi la wananchi ni wakristo toka uhuru isipokuwa mmoja tu Abdallaah Twalipo? Kiongozi anatakiwa aingoze vizuri bila kujali dini

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z 15 วันที่ผ่านมา

    Kujiunga unafanyaje napenda pia

  • @naimame763
    @naimame763 หลายเดือนก่อน

    Dahh mung nijalie na mim hii kazi natamni siku moj na mm niwe TISS

  • @shabanikimeru8409
    @shabanikimeru8409 21 วันที่ผ่านมา

    Kwaiyo Tiss ni jwtz au polis???

  • @selemanichimogo4789
    @selemanichimogo4789 หลายเดือนก่อน

    Mbona marehemu ng'itu hayupo

    • @clementiddi5708
      @clementiddi5708 27 วันที่ผ่านมา

      Hakuwahi kuwa mkurugenzi

  • @herrygeofreykilasi8658
    @herrygeofreykilasi8658 27 วันที่ผ่านมา

    😅p

  • @user-sw5kz8ep3e
    @user-sw5kz8ep3e หลายเดือนก่อน

    mbn kam umechanganya apo kweny diwan athuman msuya mbele yake hakuja uyo uliemuek badala yake alikuj moj kw moj Ali iddi

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91 หลายเดือนก่อน +1

    Nifanyeje ili niwe members TISS

    • @henrymjema1685
      @henrymjema1685 หลายเดือนก่อน +1

      Kuwa 🐞

    • @user-tb4ol6yp6c
      @user-tb4ol6yp6c หลายเดือนก่อน +1

      We zombie haujui😂 shughuli kaka

    • @josephjulio6112
      @josephjulio6112 หลายเดือนก่อน

      Kazi siipendi kabisa

    • @BrysonKaduma
      @BrysonKaduma หลายเดือนก่อน

      😂​@@henrymjema1685

    • @clementiddi5708
      @clementiddi5708 27 วันที่ผ่านมา +1

      Umeshaikosa tayari

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda หลายเดือนก่อน

    Okay

  • @alexdaniel7985
    @alexdaniel7985 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi iendeleeeeeeeee

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z 15 วันที่ผ่านมา

    Kujiunga unafanyaje napenda pia