ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 มิ.ย. 2023
  • PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...
    CREDIT: VIDEO HII INAKUJIA KWA HISANI YA 'KLNT Online TV'
    Mwanasheria nguli wa Kenya, Profesa Patrick Lumumba amehutubia vijana wa Kitanzania ambapo ameeleza mambo mengi...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 92

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +3

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @georgekitosi1514
    @georgekitosi1514 ปีที่แล้ว +8

    Asante kwa kuienzi lugha safi ya kiswahili inayojitosheleza bila kuchanganya kizungu.

  • @nafutarymajogoro30
    @nafutarymajogoro30 ปีที่แล้ว +11

    Professor huyu huw namkubali sana kwa speech zake

  • @lulochristv
    @lulochristv ปีที่แล้ว +6

    I really admire the way he is delivering his messages when he takes the podium,. The way he is organizing all his speeches, I admire and deeply love this man, well knowledgeable in both theological ideologies, social, economics, historical and political things.🙌🏾.
    👏🏾.
    .
    .
    May the Lord keep him for us, Africans.

  • @chrispuspaul5682
    @chrispuspaul5682 ปีที่แล้ว +10

    professor is eloquent in both english and swahili. wakenya hua hatumpi heshma anazo stahiki

  • @patrickbatenga2645
    @patrickbatenga2645 ปีที่แล้ว +12

    Asante Sana Professor, umeongea Kiswahili kizuri Sana kuliko waswahili

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 9 หลายเดือนก่อน +1

    Professor Lumumba ni Zaidi ya wengine Nakukubali zaidi ya Zaidi wewe ni Bora Bora Bora mno wewe ni Mhimili wa Africa..watakaoshindwa kukuelewa tuwazike hawana Faida hata tukiishi nao hawatafaa kwa lolote...❤❤❤

  • @kheriabdu7763
    @kheriabdu7763 ปีที่แล้ว +5

    We need him to be president of Zanzibar

  • @amosbusingyewarugaba2550
    @amosbusingyewarugaba2550 ปีที่แล้ว +1

    Profesa huyu ananivutia kila mala ninapomsikiliza...Mungu ampe maisha marefu

  • @isayarozeck7512
    @isayarozeck7512 ปีที่แล้ว +3

    This is Real meaning Of Professor, More Appriciate PLO,

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe umri mrefu Prof.Lumumba.

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati ปีที่แล้ว +1

    Son of Africa - Proud and love your work PLO-Lumumba.

  • @magidachimija5599
    @magidachimija5599 ปีที่แล้ว +3

    Bora bandari tumpe huyu prof❤

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana profesa kwa speech inayoeleweka sana na elimu ya kutosha

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 ปีที่แล้ว

    Jambo mtumishi wa Mungu, nashukuru, kuona unaongeya kiswahili safi, maana kila nikikufatiliya, naona kingereza sana, uwe natuchangiya kiswahili kwa hutuba zote popote unapo hutubu, ili wa Africa wengi tuwe na changiya na wengine wana kiswahili. Asante

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 ปีที่แล้ว +2

    Ningependa sana awe anaongea kiswahili katika hotuba zake zote inapendeza sana ataeleweka zaidi

  • @kilinyonellious
    @kilinyonellious 10 หลายเดือนก่อน

    I really admire how Plo has content in his speech,,, congrats man of wisdom 💪

  • @t.kolwali1807
    @t.kolwali1807 ปีที่แล้ว

    Waaa! PLO umegonga ndipo. Umezungumza Kiwahili safi sana kweli. Sisi wakenya tunakupenda sana.

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df ปีที่แล้ว

    Mungu ibariki Afrika, pamoja na watu wake, wabarki wazalendo wetu wt waliothubutu kuipigania Afrika yao kwa moyo wa dhati kbs. Wasamehe pia madhambi ya wapumzike kwa amani. Tusamehe waafrika wt na kulifanya bara letu kua lenye nguvu na huru ktk imani na fikra.

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 ปีที่แล้ว +1

    Nice work,you are a real Professor🎉🎉🎉

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 ปีที่แล้ว +1

    Atlist professor leo umeongea kiswahili nami nimekuelewa vzri

  • @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks
    @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks ปีที่แล้ว

    Asante mwalimu nakutakiya maisha malefu

  • @lembrismoringelaizerlaizer8741
    @lembrismoringelaizerlaizer8741 ปีที่แล้ว +1

    Be more blessed

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 ปีที่แล้ว +1

    I do admire this professor 👏👏

  • @user-hp7vm9mv9x
    @user-hp7vm9mv9x 11 หลายเดือนก่อน

    Professor lumumba is an African hello.

  • @jimbipeter4520
    @jimbipeter4520 ปีที่แล้ว +3

    Ww ni magufuli mtupu🥰

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 ปีที่แล้ว +2

    asanteni sana

  • @user-gq9tz5nw3v
    @user-gq9tz5nw3v ปีที่แล้ว

    Thank you for your intellectual

  • @BASILHOTAY-dp1ss
    @BASILHOTAY-dp1ss ปีที่แล้ว +1

    Good speech

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge ปีที่แล้ว

    Proffessor wewe ni kichwa pia kwa Africa...Mungu akutunze.

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 ปีที่แล้ว

    PH. LUMUMBA 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @efraimumwakibibi4303
    @efraimumwakibibi4303 ปีที่แล้ว

    MUNGU akubariki limumba, MUNGU ibariki Tanzania

  • @chivatsitsory3399
    @chivatsitsory3399 ปีที่แล้ว

    Long live our African leader

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli waasisi wa mwanzo wa nchi za Afrika walikuwa ni vijana wenye uazalendo, uaminifu na nidhamu

  • @bimulokagera622
    @bimulokagera622 ปีที่แล้ว +3

    PLO huyu anatakiwa kupewa uraia wa Tanzania na tumjengee sanamu la kumbukumbu

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 ปีที่แล้ว

    Nakupenda xan mkuu mambo yko ni mwanga

  • @user-hf9lo2es3z
    @user-hf9lo2es3z ปีที่แล้ว

    Da kipawa Cha pekee ,barikiwa

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w ปีที่แล้ว +2

    Mungu mkuuu

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira9350 ปีที่แล้ว

    Huyu ni Prof kweli

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 ปีที่แล้ว +1

    Kuna kijana yupo hapo ameshiriki kuuza bandari ameingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi na sasa ni waziri.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 ปีที่แล้ว

    Ishi miaka mingi mtu Wa Mungu.

  • @7675kio
    @7675kio ปีที่แล้ว

    Hotuba nzuri sana kwa kuisikiliza lakini ina mapungufu mengi kwenye utekelezaji. Kwa mfano, nani wa kulaumiwa kwa vijana wetu kukimbilia ulaya? Nani asiyependa maisha rahisi? Wanaolaumu vijana wameshindwa kutengeneza mazingira rafiki ambayo yatawawezesha vijana kujipatia mkate wao wa kila siku. Wengi wanawaambia vijana wajiajiri mbona wao hawajiajiri. Bahati nzuri nina uzoefu wa kuajiriwa na kjiajiri. Kujiajiri hasa kwenye kilimo sio rahisi kama wengo wanavyosema. Hata hivyo, mapungufu hayo hayaifanyi hutuba hiyo kuwa moja ya hotuba bora sana kutoka kwa mtu bora sana Afrika.

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 ปีที่แล้ว

    Kiswahili saaaaaaafi sana ameongea prof utadhani ni mTZ duhh

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni professor wa ukweli😊

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 ปีที่แล้ว

    Tatizo viongo wa kiafrica hasa hawa wa Sasa wapo kimasrahi Yao na vizazi vyao tu,, ndo maana tunatoka kwenda ng'ambo ✋

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 ปีที่แล้ว +2

    Yuko wapi natamani nikutane naye..anipe elimu kidogo

  • @stephenkamau8051
    @stephenkamau8051 ปีที่แล้ว +2

    Suprised he knows kiswahili🙆🏾‍♂

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 ปีที่แล้ว

    Wewe mzee MUNGU akubaliki uwe na Maisha marefu

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira9350 ปีที่แล้ว

    namkubali saan hyu Prof,nataman apew nafas kuelimisha vijana zaid kwan ni mtu makini saan na anaongea kiswahil sanifu zaid.ana madin saan ktk bongo yake

  • @dicksonmmasy55
    @dicksonmmasy55 ปีที่แล้ว +2

    Kuna watu tunatamana hata huyu professor aishi.mpaka siku Afrika imwelewe

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 ปีที่แล้ว

    Mbona imeishia nusu bana dah GLOBAL TV vp tena

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 ปีที่แล้ว

    Lumumba ongelea mkataba wa bandari wa tanzania na dubai.

  • @jamesjahasa4726
    @jamesjahasa4726 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio ma professor waafrika walio Bora baba anaongea kiswahili huyu hachanganyi lugha ya kikoloni

  • @RobertPaul-cg3rl
    @RobertPaul-cg3rl หลายเดือนก่อน

    MANJALA LIBERATION OF AFRICAN ASSOCIATION LEGACY (LAAL)2024 tha are main purposes are to Advocate of human rights and their resources in TANZANIA and African in general, to emphasize the people of Tanzania and African in general to avoid any entrance of climinal,to maintain peace, unity, independence, solidarity, rights, and responsibilities in case of Economic development especially in Tanzania poorly people living standard

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 ปีที่แล้ว +2

    Kuna vijana wenye akili za wizi humo ndani naona hawamwelewi😆😆

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w ปีที่แล้ว

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭daaaaaah

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 ปีที่แล้ว

    NaOmba kupata link ya hii ibada full

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 9 หลายเดือนก่อน

    Natafuta videos zake za kiswahili.

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 9 หลายเดือนก่อน

    Natafuta videos za Kuza za kiswahili

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 ปีที่แล้ว

    Bado sisi utumwa unatung'ng'ania kwa mfano ukiangalia kama mama zetu wanakimbizana na kununua nywele ili tu wafanane na wazungu

  • @jahsuncamara-kb2ec
    @jahsuncamara-kb2ec ปีที่แล้ว

    Remember mooroko mole shhh secret squirrel 🐿️🐿️🐿️🐿️🐿️

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 ปีที่แล้ว

    Huyu proffesor kiswahili ni hatari kiingereza ndio udiseme kabisaa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +2

    Ulaya hakuna maisha kwa mwafrika😅

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 ปีที่แล้ว +1

    Anajitahd kuongea lugha mbili kww ufasaha kiswahili na English

  • @chombasimon
    @chombasimon ปีที่แล้ว

    Waobinafsisha bandari wanaelewa speech hii kweli?

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee anachokisema anajifungua upande huu na wakati huohuo anafunika upande wa pili,,tu anasema kuhusu cc vijana tumepunguza uzalendo,,noo,c kweli,,yeye aongee na siasa za Afrika na viongozi wetu na kasumba zao za ubinafc ndiO zinatufny vijana tuwe hivi,,vyama tawala vinaona wao ndio watawala milele ,,,Ihanda ni mfano hai, Rwanda pia,,mbona hazungumziagi hizi tawala zakiafrica?

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 ปีที่แล้ว

    Mwalimu angeuchanachana kwa hoja mkataba wa dhalimu wa DPW 😢..

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 ปีที่แล้ว

    kumbe unajua kiswahili barbara

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 ปีที่แล้ว

    Phd

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge ปีที่แล้ว

    Huyu ni mwafrica halisi

  • @pastorwilsonchiusa2910
    @pastorwilsonchiusa2910 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akubariki sana Professor hakika nimebarikiwa sana na mafundisho yako, Uko vizuri hata katika kufundisha Neno la MUNGU.
    Hakika wewe ni mwana Afrika mzarendo kweli kweli, na Kiswahili chako kimeokoka. Wewe ni zawadi ya Wana Afrika.

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga ปีที่แล้ว +1

      Yaaan kawapiga nainjili? Saaafi

    • @abrahamesibanze7394
      @abrahamesibanze7394 ปีที่แล้ว

      Plo kiswahili unakielewa barabara si mjaluo wakawaida

  • @African511
    @African511 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Prof nchini kwao wanamchukulia poa poa sana,lakini nje na nchi yake ni lulu kabisa sisi tunamuona.

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 ปีที่แล้ว

    Maprofesa wetu wanafanya utafiti wa watu wenye nguvu na kiume na kusaini mikataba ambayo hata mwanchi wa kawaida hawezi kusaini

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga ปีที่แล้ว

    Uyu mtu ameongea kitu ambacho mwenye kusikiza inagonga kwa moyo

  • @wilfredsamson6128
    @wilfredsamson6128 ปีที่แล้ว +1

    Atakufa hana alichotusaidia zaid yakulipwa kwenye haya makongamano

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 ปีที่แล้ว +4

      Unataka akusaidie nini kukupa kazi au kukurahishia maisha yako?Yeye anakupa muongozo,na kukufungua akili.Mengine utafanya mwenyewe coz hata mabadiliko huanza na wewe mwenyewe.

    • @BASILHOTAY-dp1ss
      @BASILHOTAY-dp1ss ปีที่แล้ว

      Kwani Shida Iko wapi, ww unalipwa wap

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga ปีที่แล้ว

      @😀😀😀😀😀😀😀

    • @ufanisi901
      @ufanisi901 ปีที่แล้ว

      Wilfred wewe ni shenzi sana. Akili yako iko wapi? Ubongo wako ni ubongolala!

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 ปีที่แล้ว

    Fuuuu