Nuru The Light afunguka kuongezeka kwa wabaguzi wasiotaka wageni Sweden, kwanini hataki kuzaa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2023
  • Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
    / @simulizinasauti
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 72

  • @Winstonfying
    @Winstonfying ปีที่แล้ว +5

    Nimependa point moja muhimu sana, sis Nuru ameongea, nchi yetu haitaki kushirikiana na Diasporas. Na tunajichelewesha sana sana, time will tell.

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 ปีที่แล้ว +2

    I live this sister nd she got my favorite song SUBILI USILALE ♥️💯

  • @tommyegan3000
    @tommyegan3000 ปีที่แล้ว +1

    Well said dada Nuru you are quite intellectual , people need to see this interview kuna madini mengi sana

  • @m___ck799
    @m___ck799 ปีที่แล้ว +6

    I enjoyed the topic ya kutokuwa na mtoto..I 100% agree. Kwanini unaulizwa mbona Huna mtoto lakini siyo mbona wewe siyo mzazi bora kwa mtoto/watoto wako!? As for me I have 1 Child and am comfortable and happy with one but kila mara naulizwa when are you having more...and this usually comes from Africans !!I find it irritating ...having a kid /kids is a huge responsibility speaking from experience..

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +2

      Exactly. Watu wanataka kuingilia watu mpaka sehemu nyeti. Kuzaa ni jambo binafsi na Mungu basi. Wabongo wana maswali ya hovyo sana.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 10 หลายเดือนก่อน

      @@damariszuckschwert9489 kuzaa ni muhimu kama huna tatizo kwanini usizae mbona wewe usizae any way fainali uzeeeni utakosa wa kukuuguza

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa sana mawazo yake kuhusu kuwa mama very true itabidi tuongee sio dhambi kutokuwa mama. Maana siku hizi tunazaa watoto tunawaachia wadada wa kazi matokeo yake tunayajua mashoga, wezi, hawana nidhamu hawajitumi hawataki responsibilities. Kuwa mzazi ni responsibility i like that!

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +1

    Interview🔥🔥 I'm registered with union two years ago here in 🇬🇧 wana tupigania mishahara tuongezewe hop soon maana wamewakalia kooni

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar ปีที่แล้ว

    Ahsante brother Sky nime enjoy every minute of it and as usual nasoma sana kwenye hizi interview

  • @berthatz
    @berthatz ปีที่แล้ว

    Dada yetu huyu ameongea point tupu,Apewe ulinzi kuanzia sasa🔥🔥🔥👏🏾👏🏾👏🏾❤️

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales ปีที่แล้ว +1

    LOVE HER ENERGY

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 9 หลายเดือนก่อน

    I do understand you very much my dear ❤️

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 ปีที่แล้ว +1

    Wanawake wengi wanaoishi nchi zilizoendelea huwa wanaiga tabia za makabila hayo na wengine ni kwasababu wanakuwa wapo busy sana na kutafta pesa sasa huona watoto ni kero kwa utaftaji wao. Siamini wakati alipokuwa Tanzania alikuwa na wazo hilo😅😅. Eleza watu kwamba umeigha tabia za Mashariki Kaskazini na Magharibi na sio una kitu kinakuzuia😅

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว +1

    Ushamba na ulimbukeni hupo mkubwa kwa watu weusi jambo ili linasikitisha sana

  • @ghelimafilemon9653
    @ghelimafilemon9653 ปีที่แล้ว

    Hongera Nuru umeongea ukweli, maisha ni ghali balaa, mtu akikukaribisha msosi wake inabidi ushangae kidogo

  • @Igauf3
    @Igauf3 ปีที่แล้ว +1

    Her laugh is contagious !

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog ปีที่แล้ว +2

    I would say Denmark sasa hawataki foreigners kabisa. Kupata visa penyew ni kazi. They have tough immigration laws na kila mwaka wanakaza.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog ปีที่แล้ว

      Wanaguzi sana yani

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog ปีที่แล้ว

      Watu wanakua deported huku na wamekaa miaka mingi huku .

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 ปีที่แล้ว

    Nice one 💯💯💯

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda Dada aise

  • @abdulrajabu8252
    @abdulrajabu8252 ปีที่แล้ว

    truth 💯

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz ปีที่แล้ว +1

    Arrogancy ni dalili na ya kwanza kuwa na laana

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k 10 หลายเดือนก่อน

    Nuru i miss you ❤❤❤❤❤

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial ปีที่แล้ว +1

    Nuru dah zhahabu jamani mi natoka Mozambique 🇲🇿

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    😍😍❤️

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 ปีที่แล้ว +1

    Nuru umezungumza big upp my girl umezungumza mambo mengi .kuhusu familia.maisha .haki za watoto ,kina mama ,wafanyakazi.maradhi,ulimbukeni,nahaki za wafanya kazi,unahitajika kupeleka africa ,tanzania mbele,endelea kuelimisha big upp

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 ปีที่แล้ว

    Hapo kwenye kulipiana chakula umedanganya wapo wake wanaolipia na wapo waume wanaolipia inategemea mnavoishi japo wazungu wana tamaduni tofauti

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 ปีที่แล้ว

    Nimesikiliza hii interview. Inaonekana mfumo wa Sweeden uko tofauti na Denmark. Vitu kweli vimepanda lakini huwezi kulinganisha maisha ya Ulaya na nyumbani. Huku maisha yako balance kimshahara. Denmark kuhusu kuwa Mwafrika peke yako kwenye functions na mikitano ni kitu cha kawaida. Inategemea sehemu unayoishi kuna sehemu Waafrika sio wengi. Mimi nina group langu la jumuiya niko peke yangu. Sijui Sweden vipi siwezi kuzungumzia.

  • @hanihaadamuhanifaadamu4125
    @hanihaadamuhanifaadamu4125 ปีที่แล้ว

    Kachangamkahadilaha😍😍

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 ปีที่แล้ว

    👍❤🇨🇭

  • @isaacelijah6516
    @isaacelijah6516 ปีที่แล้ว +9

    Ubaguzi uko kila sehemu sio hata Afrika uko wa kumwaga. . Ucwacngizie wazungu 2 😂. Kuna wachina, waarabu ndio kabisa namba 1 😭😭😭 na waafrika kwa waafrika 😁😁

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa usemayo💯

    • @KasminaCreation
      @KasminaCreation ปีที่แล้ว

      Umeongea point bro

    • @mwanatz5980
      @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

      😂 Mpaka waafrika tunabaguana lakini hao wenzetu ndio wamezidi

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 ปีที่แล้ว

      @@mwanatz5980 Hakuna mtu mbaguzi kama mwafrica yaani jamani tuko wabaguzi mno

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme ปีที่แล้ว

      kabisa mbaguzi mbaguzi wakupitiliza tunaona mitaoni maneno mengi ya chuki na ubaguzi leo yamerudi kwa watu weusi

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว

    Utofauti ni lazima uwepo, wao wazungu, wana desturi zao, mfano ushoga ni desturi yao, nasi waafrika tuna desturi zetu, hatuwezi kuwa sawa, desturi za kila jamii ziheshimiwe

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 ปีที่แล้ว

    Kunne Sweeden na Denmark social security ni tofauti. Denmark Covid test hæs always been free for all Citizens. Unaigia kwenye computer unapewa available Say and time. Hapakuwa na usumbufu wa kusubiria hata kipindi vha Covid. Vituo vilikuwa vya kutosha na foleni ilikuwa inaenda kwa kasi. Vyumba vya chanjo kila kituo vilikuwa vya kutosha.Ukisubiri sana kwenye foleni lisaa limoja hivi. Anyway nchi ni tofauti.

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 ปีที่แล้ว

    Dunia hiyiiii ndio inchiii yakwnza kwenye ubaguziii

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog ปีที่แล้ว +1

    Wow, Denmark pcr test was free and bado no free. So many benefits here

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +1

      Danmark mfumo wao wa kodi japo uko ju ila ukiwa na tatizo haswa ktk maradhi ndio utaona faida yake.
      Ila umeme ndio msala kwa sasa hapa kodi Ya Nyumba ipo chini kuliko matumizi Ya umeme haswa kipindi hiki cha baridi

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog ปีที่แล้ว

      @@sonnyr1899 Sahihi kabisa. Kodi ni nusu ya mshara ila wako na the best social walfare in the world.
      Kila kitu ni ghali huku. Sweden life is bit cheaper than Denmark.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +1

      @@Witnessvlog
      Nasikia kweli watu wengi wanasema Sweden mambo yao yana unafu kuliko apa Danmark. Nilikuaga uko 2018 na vitu madukani bei yao ni poa sana.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog ปีที่แล้ว +1

      @@sonnyr1899 Yes na wengi huenda kufanya shopping sweden. Unaishi Denmark?

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +1

      @@Witnessvlog
      Ndio kama sa kutoka mji mku Copenhagen.
      Karibu sana.

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz ปีที่แล้ว

    Huyo ni mlezi mtu aliyeshindwa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว

    Ubaguzi wakupitiliza sasa tunaona mitaoni kwa watu weusi maneno mengi ya chuki katika kivuli chakulalamika huku nakujisifu sifusifu nakutumia mda wao vibaya, Leo tunaona vita ya ubaguzi katika Africa baina ya nchi na nchi wakileteana dharau nakejeli

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 ปีที่แล้ว

    Nuru wajina

  • @nshimirimanaradjabu1543
    @nshimirimanaradjabu1543 ปีที่แล้ว

    Nazunguza upunzitu

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 ปีที่แล้ว

    Kiufupi km mwanaadam uzae usizae..matatizo hayawezi kuepukika katika maisha ya mwanaadam .

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 8 หลายเดือนก่อน

    Nuru kabila gani

  • @yusufally5168
    @yusufally5168 ปีที่แล้ว

    Nuru mambo vp? Mm niko Sweden hapa Södertälje Stockholm nichki tafadhar.

  • @zclassichb9614
    @zclassichb9614 ปีที่แล้ว

    NIMEKUELEWA NURU HAYA NISUBIRI USILALE

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 ปีที่แล้ว +1

    Huyu inawezekana akawa msagaji 🤔

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 8 หลายเดือนก่อน

      I thought as much

    • @LovelyRacingHelmet-iv6ti
      @LovelyRacingHelmet-iv6ti 5 หลายเดือนก่อน

      Kama Kuna ukweri vire manayake nimemzuuum kwa mahojiano yake mmmh

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 ปีที่แล้ว +1

    Mtoto wakike ujioni kuwa mama kwedraaa

    • @virendavictoria5174
      @virendavictoria5174 ปีที่แล้ว +2

      Kwani lazima kuwa mama au kutokuwa mama dhambi kwani? Bora yeye ameamua hivyo kuliko wanaobeba mimba na kutupa au kutelekeza watoto

    • @issazalala4907
      @issazalala4907 ปีที่แล้ว +1

      @@virendavictoria5174 Hili swali nalileta kwako vipi mamaako angesema sitakikuwa mama Leo tunge chat 😂 mia35 hautaki kuwa mama Unaua Tu watoto

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว

      Kugoma kuwa mzazi huo ni unyani

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 ปีที่แล้ว

    Dah Nuru amekua chibonge sio yule wa Msela wangu kipindi hiko kweli Ulaya Ulaya tu✌️

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k 10 หลายเดือนก่อน

    Mudogo

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz ปีที่แล้ว +1

    Unaongea ujinga kwenye media

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz ปีที่แล้ว +1

    Unatatukana mama yako na baba yako walifanya mapenzi ukazaliwa mjinga wewe nitafute mie niko nelsinki

  • @Heisgvoice
    @Heisgvoice ปีที่แล้ว

    Ifike number 1 jamani hii ya moto 💣💣💣💣🔥🎼🎼🔥🔥🔥th-cam.com/video/7w_-Yv_R91A/w-d-xo.html