TULIANZA KUCHAGUA PETE HATA HATUJAONANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 เม.ย. 2023
- Walikutana mtandaoni, na yeye ndie aliepanda ndege kumfata mwanaume Sweden ambae ni mume wake sasa.
Anasema vijana wapunguze expectations na wawe na goals.
Kupata depression Ulaya ni kawaida kama utakua na expectations kubwa.
Thank you to Neema for allowing it to be online
Mchaga mwenzangu kaongea
Hiyo mtu sahihi kwa wakati sahii namkumbuka mchungaji alikuwa anapendaga sema hivyo .Hongera dada
Big up sana shena nakukubali mno rafiki yangu
Wow 👌 swadacta kishoiya yesu wangu nimekumbuka moshi iko 🔥
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂kishoiya
Nimekupenda bure❤
Maa shaa Allah
Shukran
Nakupendaga mtangazaji
Asante unatuletea madini kweli
Ahsante sana
Ahsante sana 😅😅😅
Sio wote wenye aibu bwana hiyo ni tabia ya mtu kila binadamu ni nusu kwa nusu watesi wapo wabahiili wapo Malaya wapo roho nzuri wapo roho mbaya wapo
Thanks to be open
Woow nampataje mzungu mie jaman!
Karibi darasani
@@OfficialDatingAssistance asant sana!
@@OfficialDatingAssistancedarasa litakua lini
Naomba email yako shena
What did she said in the video?
Awww🥰🥰🥰
😍
Dada zangu mependeza sana Hasa maria
😂😂😂😂Dating up sikufuta😂nmempenda sn huyu dada
Mchaga anaenda kwa budget 😁
😮😮
Dada kaongea vzr sana
Ahsante sana
Hello dear nice to meet you,,,m interested kuwa na mzungu coz ngozi nyeusi ni shida m tired na ngozi nyeusi .....matukio ya ngozi nyeusi yanachosha tatizo uongo mwingi ngozi nyeusi real love kwa hawa wenzetu ndio kitu cha msingi
Karibu
Tuandikie +4367764790884
@@OfficialDatingAssistance dada hili number ni lako au ni za watapeli tafadhali nijulishe Dio nipate kukuoa nawe dada.
Wape somo wadada
Kweli kabisa
Ndio wazungu wanasheherekea sana krismas ata mama alisemaga
Sweden My dream country...ila naona basi tena
Don't give up
Aaaa☹️ muda umeshanitupa
Dada ameleza ukweli kabisa ukitegemea kupewa huku utabaki hoi mwendo wa kufanya kazi mzigo mezani hamna kuwategemezi.
Amesema ukisubiria kupewa utavuna depression 😁
@@OfficialDatingAssistance kabisa mtoto akianza kazi ajiandae kuhama mie first wangu soon anahama.
Pole kwa kuingia na kope ata Mimi ilishawai kuniiingia inakuwa inazinguwaga
Kumbe upo austria gutten morgen
Guten Abend
Good
😂😂 huyu dada nimempenda
She is lovely 🥰
Mimi nmejaribu Sana npate mzungu but wapi saidia mm.nko Kenya
Pole na kope dd
Nawaona warembo watz mnatuwak8lisha huko❤❤❤
Ahsante
Mimi nilipataga mzungu supamaket zaman nilikuwaga nasemaga sinaga bahati ya wazungu japo ngozi nyeupe nabahat nawo hila walikuwa warabu ,wapemba na wahindi siku hizi wanakuja wazungu nilivyokuwa fild ya hotel ndo nilianza kupendwa na wazungu
Dear sorry uwe unawauliza ni mtandao hupi alopata ili tujue jamani ukute kunamitandao mingine hatuijui
Mitandao nimeweka kwa Videos zangu hapo kwa List za Videos utaona
Mimi mwenyewe nakope ndefu paka Kuna dada aliniambia mbona una kope ndefu sema watu hamliziki bado mnaweka kope hila Mimi Mara chache Sana kuweka kope
Ndio mtandaoni wanakuwa hawana aibu.zaman nilikuwaga na aibu nikitumwa nikiona wanaume wamekaa nageuza njia
Hongera sana ODA nazidi kupata maarifa kuhusu Online Dating. Nitaendelea kuwahamasisha Vijana maana wengi bado hawaelewi!
Ahsante sana, Nashukuru sana 🙏
Mambo naomba unieleweshe kuhusu online dateng
Madam naomba namba yako.ya wsp
Kwel wengine wanakuwaga na nia nzur tu nilikutanaga na mkaka mzur tu fb akawa anazungumzia maswala ya ndowa sema nikapata safar ya gafla ya mbali nikawa nimeondoka kabla hatujaonana
Ndo nilitaka sema wengine wanakuwaga waoga.hila upo kama mimi nikisita uwa ndo naogopaga kufanya ndio ubalozi unakuwa wanajuwa nilisema hilo
Ok Binti" 33:33 ¥Kama ulilelewa kimaadili ya Kiafrika na unaamini haita athiri asili yako ya Tamaduni za kiafrika na hasa kabila la Wachaga ni Sawa Ila Wazungu wana Tamaduni zao Mtoto atabaki kuwa ni raia ya huko Na uombe Mungu ndoa isivunjike maana utatelekezwa Uko ushaidi kupitia Mabinti wengi huko kukumbwa na matatizo Ushauri hakikisha unakuwa Karibu na Ubalozi wako
Kwanini atelekezwe lakini ?
Kwanini unaona basi Tena ata Mimi Sweden Norway nilipataman
Yule mzungu naye alisema hajawai kuwa na muafrica ndo alikuwa anataka kujalibu kuwa na muafrica
Joint account
Mbona hajaonyesha picha ya shemeji
Alilipia mana wengine wanasema Mambo ya kulupia
Ndio angesema date ipi aliyokuwa nayo mana zipo nyingi
Hahaha,vishoia😂
🤣
😂mambo yalienda valuo
Inapendeza sisi tulioko ugaibuni tunapata mambo mengi ya kujifunza
Amen 🙏
Hongera mwaya. Mm natamani sana lkn hata namna ya kuingia kwa hizo official dating sijajua. Naomba mnieleweshe ndugu zangu
Hidaya Mimi zipo kibao unatafuta majina ya magrupu inakuletea join unajiunga hila mengine yanakuwa yanakuuliza maswali mawil matatu au wanaweza kwanini unataka kujiunga na hili grupu au maswal mengine
@@VickKulekana-si1ib my dya kuna wakati inaniambia update na inakua km wanataka nilipe inakuja interms of dola,namna ya kuendelea ndio changamoto. Nakwama hapo.
Sweden sehemu gani?niko Sweden pia
That’s nice
Upo sehemu gani Sweden ?
You have swed bf?
Julbord 😅😅😅fika
Fika 😁
Du glämnde Jul Tomten😅😅😅
Hi shena naitwa grace nilikuwa naitaji namba ya dada apo coz me nitaelekea Sweden na nakutana na mtu wangu kwa mara ya kwanza so plz help me to communicate with her
Niandikie kwa DM ya Instagram kama upo kwa Instagram
Lakini dada date zote wanasema adi ulipiye
Nyingi ni za kulipia lakini unaweza tumia bila kulipia pia
Ndio nyingi unalipia
Ukilipia ndo wanakuunganisha na mtu unayemtaka ambaye umemuona wakimtangaza
@@OfficialDatingAssistancennnawezaje nawezaje kutumia bila kulipia? Maana kila ukitaka kujibu au kutuma email unaona unaambiwa upgrade. Msaada please.
Sweden unaishi wapi?
Wewe unaishi Sweden ?
KUNA JAMBO MOJA ANGETUAMBIA NI DATE APP GANI ALIKUTANA NA MUME WAKE??
Dating site nimeziweka kwa video
Kuna dada mmoja mkenya sijui mnaijeria nilikuwaga namuonaga Sana yutub aliolewa na mzungu na wana mtoto kumbe naye badaye nikaja kuona alimpata mumewe uko walikuwa wamesema kwenye hayo magrupu wakawa wanawapongeza
Hiyo mtu sahihi kwa wakati sahii namkumbuka mchungaji alikuwa anapendaga sema hivyo .Hongera dada