NYUMBANI KWA MC GARA B, UTAJIRI WAKE, MILIONI ANAZOINGIZA "NIMEPITIA MATESO KUFIKIA NILIPO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2021
- Godfrey Deogratias Rugarabam (MC Gara B) utakua umemuona sana kwenye harusi nyingi akisherehesha kama MC nchini Tanzania, vilevile ni mmoja wa Vijana wa Tanzania pia waliotumia mitandao ya kijamii vizuri kutengeneza majina yao (kuji-brand) na kuonesha kazi zao, leo ameongea na AyoTV na kutueleza mengi tusiyoyafahamu kuhusu yeye ikiwemo kazi ya ualimu kwenye shule ya Sekondari ya Kata.
Haya Ndio maisha tunayoyataka kwa wasanii wetu muishi maisha Really sio ya kuigiza kwenye majumba ya wenzenu hongera sana gala b,kwa umri uliokuwa nao umepambana na dua zangu unazo kk
Ukiwa masikini ni wanasemaje ukiwa tajiri wanasemaje Je lipi jema
N shemeji jmn ana pambana sanaaaa.mnoooooo jmni ANAPAMBANA! SANAAA.
Hongera sana gala
Aisee. Huyu mtangazaji nmempenda sana.... amejijua kua hatutak kumsikiliza yeye ila anayemhoji... ana maneno machache mpaka raha.... maswal hayaelezei sanaaa aisee ❣❣❣❣.... mb za mawazo sikuhz hatuna muda na maneno mengi ya watangazaji.... sijapeleka mbele hata kidogo... na MC gara b pia hachoshi kumsikiliza... maswal yametulia❣❣❣
Saaana 👍👍👍
This is a what we call hardwork. Kumbe haya hayajaja kwa bahati. Umeendelea kutufunza kwamba hakuna mafanikio yanakuja kirahisi.
For sure my dear
Kabisa
Yaani wew ni best Mc kwangu napenda sana unavyo host. Keep it up.
Mungu akujalie mema zaidi.
Wallah mb zangu Leo zimeenda kihalali. Sana coz umenifunza vitu vingi mno... Mc wangu WA Dunia mwaaaaa nikija bongo Nina jambo langu lazima uhusike katik khafla yangu aise shukran Sana kwa kunipanua akili yangu
ulitaka zisiende🤣
Hongera sana so Ukimuona mtu na maisha yake-- muache hujui alikoanzia
Nyumba mzuri mashaa Allah wallah ukijituma mungu anakufungulia mpaka ww mwenyewe utashangaa
Kabisa
Kabisa
MUNGU ✅ Mungu ✅ mungu ❎
Asiekukubali basi akapate chanjo haki wewe ni mfano mzuri wa kuigwa kwa vijana tuliowengi umepambana na matunda yanaonekana alafu uko peace sana ya mwana. Hongera Garab
mimi nimependatu Alipo sema ::Alhamdulillah:: ikiwa yeye ni Dini nyingne Mashallah
Jaman alhamdulilah ni lugha ya kiarabu Sio dini
Hhh eti lugha ya kiyarabu
@@bmbright5393 apana kaka nikumshukuru mungu kwa kira jambo
Kipi cha ajabu apo
Chaajabu nn,sisi hatunaga ubaguzi ujue.maana kutamka neno ladini nyingine siyokubadiri dini km mnavyofikiriaga nyinyi.kwenu mtu akitamka yakwetu tu uwiiiiii watu watakavyotukana
Hamna raha kama kuwa na mwanaume anajipenda inamrahisishia sana mke. Ur wife is indeed lucky wallahi. Mc wa harusi yangu mwakani. Yn hata ukiwa booked ntapeleka mbele mpk siku ukiwa friiiiiii🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Namm naomba niwepo🤣👌
Tishaa sanaaa dear 🤝
Acheni tu jamani yani asiejipenda ata huoni raha ya pesa zake it's very board by the way very board bora ata kua single
NI MHAYA aliefanikiwa sana
Lakini no masifa nampenda sana na MUNGU azidi kumwinua kila iitwapo leo
Huyu Mwamba yupo njema sana kimaisha 👏🏾👏🏾👏🏾
MC Gara B upo vizuri mno kwenye maswala ya kazi aisee 🤗 Watu wengi wanahisi Mtu anapata kiurahisi tu 🙄 Tuchape Kazi Jmn 💪✌️
My best Mc
Yesu akutunze ww na familia yko
Unajua sn kazi ❤️❤️❤️❤️❤️
Nakukubari sana mkuuu huko vizuri sana ilove you so much gara B. 😘🥰🥰🥰💃💃
Nimejifunza Sana kwa MC Garab. Asante Millard kwa kucover hii .
So cute and he so humble! Hana majivuno
Very handsome and humble!
Kbisa yaani utadhani co mzaliwa wa kabila flani mkoani Kagera
@@gladnesskombo7490 🤣🤣🤣🤣🤣
All the way from Kasita Seminary, Mahenge. Nakukumbuka sana mzee G-smile wa TYCS Easter conference. Hongera sana broo
🔥🔥🔥🔥
I live in the USA. Sipendi harusi. But I always watch this great man. He dressses to impress. He loves what he does and he is talented. Future spokesperson wa serikali. Mark my words. Kuna siku atanikumbuka kwa hili....
Naungana na wewe japo sio kwa cheo hicho ulichokitaja but nimeona uongozi wa kiserikali ndani yake.
Sawa Sheikh Yahya
Kuna umuhim gan kusema unaishi USA...acha ushamba
@@mgm412 😂😂😂😂🙌🏼
@@winnersstore9161 😂😂😂😂
I really love listening to this guy aki mc kwa Harusi.....he is hilarious n smart sana
You are the best example ever....keep it up.
Mashallah uko vizuri ktk kupambana na maisha ..may God stand with you.
Wow. GaraB may God almighty continue to lift u. More blessings bro from home.
Unawakilisha...
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Nakupenda sanaaaa Kaka mungu akujarie maisha marefu na yenye baraka
Uyu mkaka ni mzuri mashaa allah na yuaongea kwa point😘hapo kwenye upandri pamoto kka yaani uwache kuoa uwache kuwa na watoto uwache kuwa na mke ahaaa ukorophi huo😃
Uwache kuoa ila wazini .
Asingeweza ona alivyozaa kama kuku
Honger sn kaka unamaisha mashaallah uko vizur 👌
l
lo
ol
mol
olol
olo
Ur a genius itoshe kusema hivyo tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
God Bless You Ayo Tv For Such innovation from Gara B keep it up
Brother Mwija, I know you very well i remember tulishafanya kaz pamoja Vodacom na wakat huo wewe ni mwalimu, Ur very true and big fighter, keep it up Kaka angu, Mungu akuinue zaid ya hapo ulipo.
Mwalimu wang wa english Pendamoyo GODFREY RUGALABAMU
Nilikuwa nasubiri huu ushuhuda
Hongera Sana kk, umejenga mjengo wa uhakika, ni mzuri mno aisee!
Hongera the fighting is real bro ,halaf kuna comment mtu anasema freemason roho za kimaskin zitatuisha lin cjui🤣🤣🙌🏽
Uko halipo kuna watu wanamajumba zaidi ya hii Na sio free m nikufanya kazi tu kwa bidii
Beth usijusumbuea Na Hao wapogo tuu hawataki kazi
Yaani ukifanikiwa kidogo tu unaitwa freemason
@@allthingdranabeauty kweli
Roho za umaskini wamezibeba 😆😆
Mlio sikia alhamdulillah like zenu
Si kamshukuru mungu au kakosea
This is a very good promotional interview .
Hadi rahaaa hongera kwakeee anatuhamasisha tutafute pesa
Mashallah hongera mc wang nakukubali sna wallah
Mc wa KIMATAIFAAA....🤗🤗🤗hongera zake kwa family na mafanikio yke kwa jumlaa.mungu awatunze tuseme INSHALLAH 🤗
Wa kimataifa buanaaah
There is the gap between hard working and succession so there is the one who can close this gap, his name is ALMIGHTY GOD, kuna gepu kati ya uchapakazi na mafanikio kwa wacha MUNGU, MUNGU huliondoa gepu ilo na watumishi wake hufanikiwa, na kwa wale wengine humwendea mwivi shetani anawafanikisha kwa mafanikio makubwa kwa tiketi ya kutoa kafara " mafanikio yeyote duniani yana njia mbili ya MUNGU na ya shetani, na kwaiyo huyu jamaa (mc) anaehojiwa hapa anajua siri ya mafanikio yake".
BIG UP, nmependa kwenye ushauri wako, kwamba mtu asiwe na ndoto yakuja kuwa kama fulani, ni ajipange yeye kama yeye
Da nimempenda bure ukisikia mchapakazi na mtafutaji basi ndiyo huyu sasa Mungu akubariki sana kazi ya mikono yako amen
Hongera Sana Mc Gara B.
wahaya tunamajivuno ila tumejariwa kutafuta ongera sana kaka chomaaa💪💪💪
Haaa haa eti majivuno wahaya oyeeee. Omukama atwebembele.
Mashallah, hongera sana *MC Gara B*
Alhamdulilah mungu azidi kukubariki na familia yko ameen
Ndio maana Anahekima sana kwa shughur zake....data pia zinakupngoza👌👌👌
In Very professional way ......
Hongera kaka Mungu ni mukubwa
hongera sana ila badae msije tuambia muuza unga au kamtoa mtu kafara
Watu hawakosi la kusema
Thanks much brother gara B for inspiration
nyumba nzuri eeeeh😍😍😍
Tufanye kazi tuache zana mbaya pia Mambo mazuri hataki harakaa chimba kwaza mifereji alafu uone Kama huto pata ,,,,kiukweli watanzania tulo wengi ,,wavivu wakufikiriiii ,nakufanya
Nakukubali sana mc gara b Mungu atukutanishe siku moja inshaalah...
Hongera upo vizur mwaya
Hongera Sana MC Mungu akubariki
Nakukumbuka sir rugalabam allah akuongezee zaid na zaid
Safi sana kaka nakupendaga Bure Mungu aendelee kukubariki pamoja na familia yako
Kaka Mungu akuinue viwango vingn zaidi nimejifunza kitu km kijana mwenzako sintokata tamaa kabisa acha nisonge mbele na Mungu wangu kwa jinsi ninavyopambana iko sk nitaziishi ndoto zangu
Maashaallaah mungu akuzidishie inshaallah
Mc wangu huy siku moja Insh'aAllah bado bwana harusi😍😍🤲
😄😄😄😄 @khadijakiba wew ni mm kabisa MC nishampata Garab bado bwana harusi 😃
Mm bwanaharusi tayari mc ndio huyo hapo badotu malipo yake maana sisi ni mwenzangu na mm
Yeuwiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umenifundisha kitu kikubwa mno be blessed a man of God
Wooooow kumbe hii nyumba wanaigiziaga ni yake nzuri mnooo hongera kwakee
Hongera Sana kaka tumekaa ofisi moja 2015
Mwenye nacho ataongezewa na asiye kuwa nacho atanyang,'anywa na alicho nacho,,big up bro, MUNGU akutunze na akubariki Zaid na zaidi,,na katk mambo yako yote mkumbuke MUNGU wako maana ndo kila kitu🖖🖖🖖♥️♥️
Mashaallah Allah akupe maisha marefu
I love it,, well done Brother
Big up
This is A haya I know
Kagera yangu.
Keep it up. Kuchapa kazi ndio msingi na self discipline
Daah hii interview inaushawishi sanaaa vijana tupambane
Wewe si unasubiri kuolewa na kijana mchapakazi 😁
@@obenitejailos7007 mm mwenyewe mchapa kazi, siwezi msubiria mtu,
Nashukuru Mungu kanijalia
Uko vizuri mdogo wangu❤️❤️❤️
Asante bro umenifundisha mengi.
Waoooh!hongera sana mcgarab
Wow MashaAllah
Huyu kaka Yuko vizur mashaa Allah kweny ushereheshaji wa maharusi🤲
Hongera sana Gara B kazi nzuri mnooo, hi Pascal
Nimekuelewa sana Shemeji yangu Mc Gara b, na nimejifunza kitu kikubwa sana hapa.
Great inspiration 🙏
Big up milad ayo,napendaaaa xnaaaa sauti yauyu kaka jaman🤗🙉
eti e?🤣
@@shau78 😁😁😁
Nice sana, afu mcheshi sana,peace unaonyesha huna roho ya kwanini hadi raha yani
Hongera sana Garab umepambana
Bro uko vizuri sana nakukubali mno na hata huku jua kali kweli ww ni noma
Aisee uko professional sana🙌🙌🙌🙌
Ma shaa allah
Bora umeongea ukwel kua mzee alikua yuko vzr... Ila ingekua wengne ungeckia tumekua kweny shida sana
Keep it up my brother 😘🌷💚
Kufanikiwa mpka ujitume hongera sana zidi kupambana
Nampenda sana na kazi zake pia😘
Ww n MC wa harusi yangu🙏inshaalah 🙏yan napenda the way you host🙌🙌
Mamaee kiskia bonge la bangaloo ndo ili sasa mamaee ongela sana baba na mm nta chukua dizain yko ya nyumba iyo duuuu big upsana baba
Hongera Sana kwa kutokukata tamaa
Hongera Gara B nimepata neno kuwa kazi nzuri inajiuza, thank you
dream come true hongera Gara B
One love from kasita seminary 🔥🔥🔥enter to learn leave to serve🔥🔥
Tunashukuru Millard, sio chanell zingine wanatuwekea interview za amber ruty
😂😂😂😂
🤣
😁😁😁😁
😀😀, Millard ni mtu makini sana kwenye kazi zake
interested,much love
Kama wewe ni mhuya gonga like
Ukabila wa nini sasa?
Mashallah 💕💕💕 Niko na 36 🤔🤔 ngoja nifanye kaz Kwa bidiii na zaidi nashukuru Kwa kila hatua
Mahojiano mazuri sana.We kichwa Gala B. Mseminari upo vizuri.
Hongera sana kk manshallah maisha mazur
Mungu akubariki Mc Garab 🔥🔥🔥😍
Dah....! Kweli sir