Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
Ni kweli kabisa ,hakuna asiyetaka ueekezaji shida ni aina ya mikataba. Kila mtu anapenda uwekezaji wa kuboresha. Hata wahindi walioichukua Railways TRC walikuwa wawekezaji.
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
Naongezea hapo tatizo wabongo tukitoboa starehe zinakuwa nyingi sana. Angalia huyu kaka ni mfano wa kuigwa katengana na mke wake lakini anaijali familia yake bado. Ndo maana kafika mbali na ataendelea kufika mbali
Nimemuelewa sn na nimejifunza sn na kanipa nguvu mara mbili ya kupambana yuko vzr interview yenye faida sn kwangu mb zimeenda kwa faida Asante sn Millard 💕
Kujiamini, kuthubutu na juhudi ktk kazi na iman ktk unachokifanya, hard working pay hongera kila mt kazaliwa mtupu, yot ni kutafuta na nidhamu ya kazi, big up sana unatia hamasa kwa hawa vijana wet bongo wamelegea mwili mpk akili 😂😂, wakikutana na maboss wanaweza kuwafunilia mik*ndu ili tu waoate pesa. Mung awasameh kwakwel awape maarifa waamke wafanye kazi.
Hongera sana broo kwakwel umenifumbua macho niongeze bidii ya kupambana kwenye biashara yang kwakwel waliomsikiliza broo wetu naamn hawatokata tamaa ameamsha watu weng walioanza kukata tamaa asante sana nakushukr sana napia nawashukuru wote mulioamn kiiman mung awabariki🙏🙏
Big up brother na big up kwa Ayo TV Ayo TV inapambana kuonyesha chachu ya maisha kuliko kukata tamaa na kujibweteka vijana tupambane tuache kupoteza muda muda nimali sana usikubali kuwa mzigo au tegemezi tumia vyema nafasi yako ulipo kuweza fika utakapo kila kitu hakikosi kikwazo
We are proooud of you mnyalukolo, tell'm what we are made of, diasporans are disciplined, no chawas or viroboto, when we mean it, we mean it. That's why huwa hatuwaelewi viongozi wetu wapowapo tu, sio kwa wananchi but kula bata tu. Kazi kazi tu.
Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
I must say meet him in person he’s such a good person and an inspiration n a serious man
Ungera mkuuu
Mzee wa Ndugu zanguni ndani ya Millard ayo tv 😂 huyu baba ananispire sana mm kama kijana siku moja na mm nitafika alipo inshallaAllah🙏🏽
Yes...mnyalu mwenye akili nyingi, HONGERA SANA KAKA..
Mzee wa madungujeshi,kazi ni kipimo Cha UTU...
Hongera sana fighter nakubali sana kupiga kaz hasa biashara utumishi wa kuajiliwa serikalin siukubali kabisa
Hongera kwakutambua kaziya uporisi Niya unyanyasaji mungu Aibariki kaziyako go bress you
Good story it touches life! You are hero Son of Africa keep it up! You have made it happen
Kama ukikomaa, sehemu yoyote, ukikomaa. Lazima utatoboa tuu. Asante sana @Chriss
Hongera kaka Mungu aendelee kukutetea na kukupigania
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
Kaka hii interview imenipa elimu kubwa sana, na imefanya niwejasiri zaidi nitakapopitia changamoto Big up sana bro kwa kujibu maswali Kwa uzuri sana
Me too my mom always says don't Quit 😢
Yaani huku ulaya ubaguzi wa rangi sio mchezo hongera sana my brother KC umevuka mnoo one love Asante kwa kutia moyo tusikate tamaa❤❤❤❤❤❤💋💋💋
Bado sijaiskiliza poa, but kabisa millard ayo, angefanya ii kitu mwenyewe bwana uyu brother ni mtu mzito. Ana tu inspire vijana wengi, Salute kwake.
Ni kweli kabisa ,hakuna asiyetaka ueekezaji shida ni aina ya mikataba. Kila mtu anapenda uwekezaji wa kuboresha. Hata wahindi walioichukua Railways TRC walikuwa wawekezaji.
Kutoka nje kufanya kazi hakikisha unajinyima na Kujifunza Kwa watu wengine
Anne Njeje njoo humu Kuna kk yako wa Isanga Mbeya,akipe Range Mokooo💃💃💃💋
Hongera sana nasary kwa kupewa sifa ya smartness na smart person
Kweli huyu broo wetu Nassary katuwakilisha, kaskazin hatokag fala
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
Naongezea hapo tatizo wabongo tukitoboa starehe zinakuwa nyingi sana. Angalia huyu kaka ni mfano wa kuigwa katengana na mke wake lakini anaijali familia yake bado. Ndo maana kafika mbali na ataendelea kufika mbali
It's an exclusive Inspiration mashallah 👌💯🔥🔥🔥✅🔥 congratulations buddy ukija Kenya boss tucheki
Bg up
Nimemuelewa sn na nimejifunza sn na kanipa nguvu mara mbili ya kupambana yuko vzr interview yenye faida sn kwangu mb zimeenda kwa faida Asante sn Millard 💕
Kujiamini, kuthubutu na juhudi ktk kazi na iman ktk unachokifanya, hard working pay hongera kila mt kazaliwa mtupu, yot ni kutafuta na nidhamu ya kazi, big up sana unatia hamasa kwa hawa vijana wet bongo wamelegea mwili mpk akili 😂😂, wakikutana na maboss wanaweza kuwafunilia mik*ndu ili tu waoate pesa. Mung awasameh kwakwel awape maarifa waamke wafanye kazi.
Haha Yan kwenye kulegea miili na akili hapo umetisha
Oh!dear Lord i give all praise,honor and glory for us🙏🙏❤❤
Kwanza Hongera Sana Bro, Ubaguzi Kweli Upo Katika nchi za wazungu, Lakini Wengine Walikua Sio wabaguzi Bali Walikua Hawakuamini.
😅😅😅walikuwa hawamuamini
Ubaguzi c nje hata hapa nyumbani hata ktk familia kikubwa Kila mtu apambane kuzishinda changamoto.
Hongera sana jamaa ana nidhamu sana
Huyu jamaa kwa kweli anastahili pongezi
Namkubari sana lukosi anafanya kazi kiulafiki pia ni mtani sana..
Mungu hamtupi mja wake anaonekana ni mcha Mungu sana
Una hamasa sana mkuuu, hongera unatupa nguvu ya kuendelea kupambana sisi vijana.
Hongera sana.
I wish ningeendelea. Woga unatukwamisha sana.
Wapo vizuri sana.Hongereni .Nikipata hela nitawatafuta mnabei nzuri
Hongera sana broo kwakwel umenifumbua macho niongeze bidii ya kupambana kwenye biashara yang kwakwel waliomsikiliza broo wetu naamn hawatokata tamaa ameamsha watu weng walioanza kukata tamaa asante sana nakushukr sana napia nawashukuru wote mulioamn kiiman mung awabariki🙏🙏
Big up mzungu mweusi Mungu akuongezee zaidi
Hongera sana kwa mafanikio,lkn hii interview angeifanya sky bundala aiseee tungepata madini mengi sana kutoka kwa huyu mwamba
Kweli kbsaa
Niliagiza Gari kwake 2018 na Likanifikia kwa Wakati huyu Jamaa yuko Humble sana. Jamaa Hana Baya kiukweli
This geneous should be protected
Ndio wanao tunza Ajira za watu wengi.
Weraaaaa. from Isanga to Ayo TV. Hardwork pays. We are Prouuud. Na bado game ndio kwanza inaanza.
UBARIKIWE zaidi 🙏🤝
❤❤❤👏👏👏👍🏼👍🏼
Duh! huyu jamaa kweli amekaa ki Polisi Polisi, ongela mzee.
Nimejifunza kitu kizuri hapa. Salute kaka❤
Masha Allah ukijituma mungu atakupa tu kwani alishasema jisaidie nikusaidie
Well said.
Hakuna fungu km Hilo kwny bibilia.jisaidie nikusaidie
Hivi huo mstari nasikiaga sana unapatikana kwenye kitabu gani?
Kwenye bible hakuna andiko kama hilo
@@zawadichalale4047 kwenye bible hakuna andiko kama hilo hayo ni maneno ya dunia tu
Excellent aiseee
Hongera sana brother ❤
Hongera sana,.. keep up the good work!
Big up brother na big up kwa Ayo TV Ayo TV inapambana kuonyesha chachu ya maisha kuliko kukata tamaa na kujibweteka vijana tupambane tuache kupoteza muda muda nimali sana usikubali kuwa mzigo au tegemezi tumia vyema nafasi yako ulipo kuweza fika utakapo kila kitu hakikosi kikwazo
Big up sana kwa huyu Mnyakyusa/Mnyalukolo
Mhehe aliezaliwa Mbeya
Aisee mkuu uko vizuri, umenipa nguvu zaidi ya kusaka chambi, 🎉 bravo bro, umeni inspire sana!! Tuchape kazi vijana
Mwandishi bana unataka kujua kiwango Cha pesa MTU ana kwambia anaingia zaidi ya makontena 20🙌🙌😃😃
great inspiration
Asante sana my brother Kwa ushauri wako mzuri sana
Hongera sana Mwalukosi
Naona Madungu jeshi naMinada mingi sana East Africa ukiacha Tanzania, Mungu akusimamie
Kazi ni kipimo cha utu👏👏👏👏
We are proooud of you mnyalukolo, tell'm what we are made of, diasporans are disciplined, no chawas or viroboto, when we mean it, we mean it. That's why huwa hatuwaelewi viongozi wetu wapowapo tu, sio kwa wananchi but kula bata tu. Kazi kazi tu.
Good interview, kongole kwake umetupa madini ya kutosha sana bro big up
Wow it's amazing 😊
Hongera Sana Bro.
Apart from business man, this guy is a comedian tho😂😂😂😂 #madungujeshi #babydungu😂😂😂😂
Hii interview ni kubwa Sana kwenye maisha yangu Daa!! Yuko positive sana
Hongera kwa historia yako umetoka mbali
Touching and powerful message . Kc team big up
I Can See Your Hard Work Brother!!
Safi sana baza , maisha ni vita ,hakika umepigana na umeshinda
Mungu akupe maisha marefu uendelee kujengea heshima Tanzania
I can see your hard work
so far huyu jamaa anakitu kikubwa cha kuinspire vijana wengi wanaojitafuta.. big up sana kwake na kwa AYO TV
Hongera sana 🙏🏿🙏🏿
Hongera sana kaka
Nice nimeipenda
Big up KC motors
Mashaallah najipanga nikipata pesa nakuja kuchukua gari
N.B kwenye biashara yoyote kuwa competative ws bei, wanaofanikiwaa sana ni wale wanaokusanya faida ndogo ndogo pesa izunguke
Jamaa anaongea kwa kujiamini na amenifurahisha Sana very hustler❤
Mungu akubariki sana kaka yangu
utupe namba yako
Ndugu zanguni, Hongera Mr. Lukosi
Boss hongera sana
Hongera sana uko vizuri.
Hongera kaka
Mtu pekee sana anatu inspire Mungu akuinue zaidi
Salute kwako mwamba
huyu mwamba nouma sana nakubali kc mzee wa madungu jeshi
Waliokulia isanga mbeya hamna garasa tujuane hapa Kwa like watoto wa green city💥💥
Tupo
Tupo baba
@@rebeccampeta6650 inapendeza
Kwetu kyela
Tupo wengi sana wa isanga
Dah baby dungu imeenda kwa 11?!! Iyo fair sana gari nzuri sana iyo
History yake nzuri
Hongera sn ukianguka nyanyuka usikate tamaa
Kc love this from burundi
Asante sana kaka umenijenga sana na kidogo nilichonacho
Nakubari mupambanaji Sana du ape kazi dufanye kazzzi naomba iniajiri sinakazi nabo reka uku sauzi wanaduteza wafurika wenzetu
this guy is so inspiring 🙌🏾
Chris anajieleza vizuri na ana sound kama vunja bei.
wote wa nyanda zaa juu za kusini
Umeni inspire sana bro,Much respect to you.
Big up sana kaka,pambana,mm nataka hicho kigari cha ten million
Kaka Mungu akubariki. Namba za simu
Umetoka mbali watching from Kenya
Inspired❤
your story has inspired me in deep
Aisee mwenyezi mungu nimwema sana
respect sanaa mkuu, umenimotivate sana,
mbeya city on top
Hongela sana kakaangu napole na changamoto
Good history!
Hongela mjomba mungu akubakiki
REAL G.. SSLUTE 2 THE GANGSTA
Ayo TV 🔥
Good man keep going👍