Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!
Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe. Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇
Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????” Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…
Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako. bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄
ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo
Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,
Msechu anaongea kisomi sana akiulizwa swali kuhusu Mwijaku anamsifia kisha anarudi kwenye point safi sana ila angakua mwijaku yeye ni kuponda tu mwanzo wa maada mpaka mwisho
Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..
Sema na ww Peter Msechu muongo iyo nyumba yako aifiki M 800 muongo ww sote tumejenga iyo nyumba yako inaweza kufika m200mpaka m180 au 150 umo msitake kudanganya watu,tena inategemea finishing ulio ifanya ndani ,ilo boma toka chini mpaka kuezeka maximum M 40 finishing ndo uwa inakula ela labda finishing umefanya M 80 let say,wasanii mmeanza kujenga juzi tu uongo mwingi,
Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani! Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi.. Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.
Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.
Msechu unaakil saaana ,, inatosha umeongea kwa busara Sana Achana nayule pimbi,, maneno mengi,,hotel inajengwa kwa million800,had B,,harafu kale bilion1.3 achen masihara na b jamaniiiiii
mjengo wa marehemu Mengi kule machame lilicost million 800 na lilikuwa ni kasri matata, icho cha mwijaku million 200 tu ata finishing yenyewe ni cheap kabisa
Msechu yuko smart sana high5 kwake.Huyu sasa anasema ukweli slim fit ya DC haifiki ile bei kwa vyumba alivyo sema,there is no value for money pale buana.Na kwanini aongeze masifuri haoni anawapa mtihani TRA😂😂😂😂.Tutampa hongera kujenga lkn asitudanganye yeye sio wakwanza kujenga,nyumba haina hata fanicha inafikaje hio bei? Anatuchukuliaje kwani?👋👋
Kaka mkubwa,,,we jembe umeongea kiungwana...busara na hekma ndo msingi wa kujengana na kutiana moyo...si watu kupata pesa washakimbilia mitandaoni kujisifu,,mtu kajenga ishakuwa nongwa kwa waso na nyumba,,,but kitu muhimu watu waache mambo mengi waangalie maisha yao ili wengine wajifunze toka kwao..
Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!
Big up !
Safi sana Peter, point sana na busara nyingi mnoo kichwani
Safiii Sanaa msechu
Kaka Msechu weka wazi ndo taaluma ya mkeo kasoma Ardhi university ana degree kali mnooo😂
Peter ameongea fact sana huweZ pata interview nzur yenye ukweli kama hii amini hivo😅😅😅😅😂😂
Kaka hongeraaa sanaaa umeongea point sanaaaa hongeraaa mungu akubariki ushushe mjengo mwingineee
Awali sikuwa namfahamu Msechu, kumbe ni mtu mwenye busara zake! 👏👏👏
Alafu ni Msomi pia
Af pia nyumba ya mzechu Ina gharama kubwa kuliko ya mwijaku!
Msechu kaongea vyema sana, sisi wataalamu wa ujenzi tumemuelewa.
Haya ndo maneno yakuongea mtu mwenye akili Big up msechuu
Yaaaan nilikuwa nakusubilia hii interview ya Peter msechu maaana walikuwa wanakutag Sana na nyumba yako Ila umeongea kwa utulivu Sana
Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe.
Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇
Lakini. Nyumba ya Msechu imekaa na msingi mzuri
Huyu chagga Ana uelewa naongea ukweli si kupata sifa..nyumba ya msechu ina kiwango ina dhamani zaidi
Msechu ni Mpare sio mchaga
Msechu nimsanii mwenye akiri nahofu yamungu big up msechuumewaelimisha vizuri vijana
Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????”
Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…
Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako.
bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄
Congratulations mr msechu for ur advise
Mjengo wako naukubali Sana msechu big up mama Lolo
Kusema kweli mi mwenyewe nyumba ya mwijaku siku yielewa japo nami sina 🫠 bora ange jenga nyumba ya chini ya maana
Kiwanja kidogo cha Mwijaku kujenga nyumba ya chini,ndio maana kajenga ya juu ili apate nafasi
😅😅😅😅
Big love from Canada. Naomba namba ya Peter Msechu.
MSECHU NIMEKUPENDA HUWAVUNJI MOXO VIJANA BALI UNAWATIA MOYO NAO WAANZE TARATIIBU.
msechu unajitambua, upo unique...last time tulikutana ktk tukio la mradi wa mwalimu Nyerere....kwel nilipenda style ya music wako ambao upo ktk promo
Nimeuchukua ushauli wako🙏Hongera sana msechu
Big up Msechu , you were focused . From +254
Safi Sana brother una akili sana msechu nafurahi muno kutupa moyo
Binafsi nimevutiwa sana na nyumba ya msechu ingawa mwijaku nae katu nyoosha🙌
nyumba ya mwijaku haizid mlion 500 iyo bi,1.3 akawambie wamasai
Nikweli nyumba nifinishing. Msechu nyumba yako nzuri sana Finishing nigharama sana pia Mwijaku honger kwakujenga utakuja kukarabati miaka ijayo
Nyota na ing'ae kwako wee nakuombea🎉😊
peter msechu umeongea ukweli kabisa ata me najenga naona ela jinsi nnavotumia ela mwijaku muongo peter yupo saii
Nyumba kujenga taratibu ndio inakuwa nzuri coz unadisaign taratibu na kwa uwakika na kupata material yauhakika unakuwa na mda mzuri wa kuchagua
Congratulations bro kimfaacho mtu nicheke nahakuna kitukibaya urichokitafuta kwa jashorako💪💪
ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo
Nyie nawo na vibanda vyenu vya kufugia mbwa ndo makelele kila siku Mgekua na mjengo Kama wa mulokosi tusinge pumua mbna🗣️🗣️🥴🥴🥴🥴🥴
Msechu umeongea pointi safi sana
Hongera sana Msechu nyumba yako nzuri sana nimeona kwa nje tu hiyo garden na garbions zimepandisha thamqnivhiyo nyumba sana
Msechu Yuko poa sana Hana ubabaifu mwijaku uongo mwingi,porojo😅😅😅😅😅
Safi sana msechu umeongea kama mwanaume
Daah Msechu kiukweli umejenga mwanangu kwanza hapo ndani kwako ni 🔥🔥🔥 tunavionaga kwenye TV
Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,
Msechu anaongea kisomi sana akiulizwa swali kuhusu Mwijaku anamsifia kisha anarudi kwenye point safi sana ila angakua mwijaku yeye ni kuponda tu mwanzo wa maada mpaka mwisho
Mtu ambae hajawahi jenga ndio anaweza kukubali hiyo garama ya 1.3bl lakin ukweli huo mjengo hauwezi zidi 300ml
Wewe ujenzi gharama zake unajua wewe
@@Dianamwansasudddwhaizid ml 350
Co kweli mzee nawewe hujajenga 300 ni ndogo sana kwenye ile nyumba
😂😂😂😂😂
@@DianamwansasudddwNyumba ya bil 1 unaijua wewe?
Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..
Sema na ww Peter Msechu muongo iyo nyumba yako aifiki M 800 muongo ww sote tumejenga iyo nyumba yako inaweza kufika m200mpaka m180 au 150 umo msitake kudanganya watu,tena inategemea finishing ulio ifanya ndani ,ilo boma toka chini mpaka kuezeka maximum M 40 finishing ndo uwa inakula ela labda finishing umefanya M 80 let say,wasanii mmeanza kujenga juzi tu uongo mwingi,
😅😅wnatupiga matango pori
Kabisaaaa
Ni a kiwanja changu huko madongo kuinama nishapata ushaur kwa nsechu yani nikipata matofali 10 mi naita fundi tu
Yani wa Bongo kila kitu munacho fanya lazima mukipost kwenye media😢😅😭 this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani!
Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi..
Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.
flat kukauka vizuri, 2 weeks to 1 month, not 3 months msechu
28day you have m25 or 20 according of engneer recomandation but that is 28 day exactly okay
Afu nikweli nyumba ya mwijaku ni vyumba vilivyobebana TU sio gorofa😂😂😂
Msechu yupo sahihi sana, nyumba yangu ilikua naijenga haraka sana, inabidi niturie ili nifanye kitu kizur zaidi
umeniinspire sana brother msechu sana yan sjawai kua inspired namna hii. nami ntajenga zaidi ya hii
Big nimekupata umejielewa sana
Nawee pia unadanganya nyumba ya chini ulipofika mil 400-500 hapo haijaisha tena!! Tukuulize kitu kimoja tu umeezeka bati ya design gani?
Hapo kadanganya sana na ni muongo sana boma tuu m500 jamaa muongo sana
Hamna nyumba ya mil500 pale. Sana sana 150
Mtu na nusu ..
Busara zimefunika ufaham wa msechu. Hongera kwake kwa kujitambua kiasi hicho
Msechu kwa kweli Mwaka mmoja kujenga nyumba na hela ipo... unaweza jenga nyumba hata mwaka ni mwingii sana .
Nyumba nzuri hata kama una pesa ya kutosha atleast kuanzia mwaka
si kweli thamani ya nyumba ya peter au mwijaku kuwa bilioni ...watu tumejenga na tuna mahekalu na thamani zake hazifili hata mil 130
Acha zako wewe finishing ya Msechu ni hatari na nusu.
Peter umeongea point sana yaan hubabaishi
Msechu miezi mitatu sio kweli... nisiku 21 tu.. ila kazi haisimami.
Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.
Kaka msechu kunywa soda mm nitakulipia kwa kututia moyo vijana tutajenga mdgo mdogo
Na siyo miezi 3 kisha ukae ni wiki 3au hata mwezi mmoja mi injinia umekosea hapo
Una b moja unajenga mwaka mzima unajenga nini?
Hongera sana peter na asante kwa kutufundisha vijana
We Mwenyewe ndo wale wale tu wa majisifa huna jipya
Nyumba ya msechu ndo nyumba hasa. Ni kubwa, ina nafasaf kubwa.
We ndoumeongea point sio mwijaku mpenda masifa
Nyumba ya Mwijaku haifiki hata robo hapa
❤❤point .❤❤ila hiyo nyumba ya Mwijaku ni ya kawaida sana. Hiyo qarama anayoisema hamna.kama.kiki labda sawa.kawaida sana
Gharama aloitaja Mwijaku ni kikombelezo tu
Wasanii wote wangeishi ktk ukweli km Msechu, Jamii ingeelimika sana kupitia Muziki wao na Maisha yao binafsi
Wewe unabusala saana kaka msecu safi sana
Very matured
Mwijaku.I think is crazy person
Dah kwel yupo vizur mashalah
Msechu ungekua mshauri wa taifa tu ili watu tuendelee kimafanikio
Akili kubwa SANA mwanangu...hongra Petermsechu
Msechu anaongea facts
Nimejifunza kitu kwako bro
Hata boss wa doto magar ilisifu nyumba ya peter
Msechu una akili sana
Aisee nimekukubali sana umenyooka sana yani umeongea ukweli mtupu...ghorofa bila quality ya finishing nikama jengo la chuo😅😅
Kaka ww ndo muanzilishi wa hili battle la ujenz wa nyumba big up umetu inspire sanaaa kaka asant saaanaaa
So so true 👍 nyumba hujengi siku moja
Rekebisha hapo kaka ni wik 3 siyo miez 3 (eng chacha
Gorofa ukizeeka utapandaje juu
Msechu unaakil saaana ,, inatosha umeongea kwa busara Sana Achana nayule pimbi,, maneno mengi,,hotel inajengwa kwa million800,had B,,harafu kale bilion1.3 achen masihara na b jamaniiiiii
Akuna nyumba nzuri kama ya mbowe
Point sana msechu
Umeongea vizuri saaana umewatia moyo vijana
mjengo wa marehemu Mengi kule machame lilicost million 800 na lilikuwa ni kasri matata, icho cha mwijaku million 200 tu ata finishing yenyewe ni cheap kabisa
Msechu yko real sannnah.
Msechu yuko smart sana high5 kwake.Huyu sasa anasema ukweli slim fit ya DC haifiki ile bei kwa vyumba alivyo sema,there is no value for money pale buana.Na kwanini aongeze masifuri haoni anawapa mtihani TRA😂😂😂😂.Tutampa hongera kujenga lkn asitudanganye yeye sio wakwanza kujenga,nyumba haina hata fanicha inafikaje hio bei? Anatuchukuliaje kwani?👋👋
Mwijaku anazungumza kama mtto
Mbona umesema mtu akija na biliion 3 huuz, nawee ni mnafk tu
Kunawakati ukiwa na kitu unachokipenda huwezi shawishika kukiuzaa Kwa thamani yeyote nazan hanampango wa kuuza
Ushawahi penda mali yako wew?ukipenda mali yako mtu hata aje na hiyo hela huuzi
Kuna kitu kikubwa nimejifunza na kuwa inspired
Peter msechu umesema kweli
Kaka mkubwa,,,we jembe umeongea kiungwana...busara na hekma ndo msingi wa kujengana na kutiana moyo...si watu kupata pesa washakimbilia mitandaoni kujisifu,,mtu kajenga ishakuwa nongwa kwa waso na nyumba,,,but kitu muhimu watu waache mambo mengi waangalie maisha yao ili wengine wajifunze toka kwao..
Kweli kabisa brother
Alafu iyo H yenyewe feki
The big brain talking points
Umenene hapo kakaa🎉