Mabinti wengi bado hawajajitambua wengi wanaume wanaangalia pia na akili yako je ni ya kujenga maisha au kutwa mnaomba vocha na hela za mawigi alaf mishangazi ni watamuuu uliza wanaume wakwambie mwanamke umri ulioenda na ameshazaa utamuu ni mwingiii
🙄🙄🙄🤔🤔🤔🫣🫣Dah! Huyu bwana mzima wa kichwa kweli 🤔🫣Anaulizwa mashwali anachanganya maneno na eti huyu sio mwanamkwe wa mwisho na Aisha anajichekesha dah! Bwana mshamba sana na anaongea sana anamtia aibu 😂🤣🫣kijana ngosha anatafuta maisha kama Rommy wa shilole 🤣😂🤣😂🫣Bi dada lajichekesha 🤪🤪🤣😂😂Because of love ❤️😂🤣🤣🤪
@@hassanihussein2731 lawama zimekuwa nyingi sana kwa sister.huenda baadhi yetu hatujui hili .kifupi mi nimefutahi dada yetu kupata mwenza..usingo Maza unachosha.mi nampa maua yake dada insha 🙏🙏💪
Nimesoma comment nyingi tu before niandike yangu na wengi wanamponda Isha ooh umri ooh kijana muongo sioni kama ni poa ile minimeona ni wanapendana wanheshimiana na kizuri zaidi ni marafiki, nimewapenda bure sema tu kweli hapo kwa ndoa mutie bidii ndugu zangu kuna na kesho napia kuowa mwanamke mkubwa chambilecho ni sunna mtume wetu (S.W.A) alifanya ivo so sio ajabu.
Mh vinaume viongo no matter how old a lady is a young man can lie to any old woman wanawake hakili ni ndogo sana uyo jamaa yuko hapo for his own reason hakuna mwaume anaependa mwanamke mkubwa kwake
BETTER FANYENI HALAL MUOWANE NA AUTIE ISHA MASHALLAH ANAJUA KUFEKA NA ANAJUA KUPENDA AND MUME MTARAJIWA UKIFANYIWA KITU NA ISHA SEMA THANKS UNAONA YEYE UMEMUEKA SAWA NYELE ZAKE AMEKUBIA THANK LAKINI YEYE ISHA KAKUPANGUSA KITU ON YOUR FACE HATA THANK HUJAMPA THAT IS NOT RIGHT TO HER SHE LOVELY WOMEN YOU ARE LUCKILY TO HAVE HER IN YOUR LIFE
Kaz ambayo sito ifanya ni hii kwa umri kam huu et niziniw na vijan aaah hapan mungu aninusuru pesa na zitafuta kwa shida nisile na qatt wangy nikatafuta mtuy tunae enden nae anizidi yy siyo mim nimzid nikikosa mzee kam mim ni bora ni baki na watt wangu w mtihan
So sweet wenyewe washikaji wanacheka mpaka basi nimewapenda bure Mungu awatunze ndugu zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nini tatizo mabint wanakosa vijana ila Shangazi wapo vizur vijana tafteni pesa mwisho wa cku unafukuzwa kama.......😮
Romy🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Uchebe 😂😂
Mabinti wengi bado hawajajitambua wengi wanaume wanaangalia pia na akili yako je ni ya kujenga maisha au kutwa mnaomba vocha na hela za mawigi alaf mishangazi ni watamuuu uliza wanaume wakwambie mwanamke umri ulioenda na ameshazaa utamuu ni mwingiii
🐕🐕🐕
Vijana wasasa wanataka mtelezo kulelewa msisingizie kuombwa pesa
Mwanaume haongei sana huyu ni mpiga dili tu😅😅😅😅
🙄🙄🙄🤔🤔🤔🫣🫣Dah! Huyu bwana mzima wa kichwa kweli 🤔🫣Anaulizwa mashwali anachanganya maneno na eti huyu sio mwanamkwe wa mwisho na Aisha anajichekesha dah! Bwana mshamba sana na anaongea sana anamtia aibu 😂🤣🫣kijana ngosha anatafuta maisha kama Rommy wa shilole 🤣😂🤣😂🫣Bi dada lajichekesha 🤪🤪🤣😂😂Because of love ❤️😂🤣🤣🤪
Mapenzi hayachagui .hata mtume aliyoa mwanamke SI saizi yake na maisha yakaendelea.mbona wanaume wakioa mabint wadg hamsemi? Mapenz maelewano❤❤❤❤❤
Mie naona huyo kijana ni muhuni tu, Isha hapo unapigwa na kitu kizito
Kwaiyo mtume ndo alifanya hayo tu ya kuoa mke aliemzidi umri mingine mbona hatuyafati haya ndo tunaona yanamaana
SHUBAAAAAMIT
@@hassanihussein2731 hapana brother vyote vinaumuhimu .ila nilijaribu kuwakumbuxha 2ktk Yale matendo ya mtume hili ni 1wapo lakuoa mwanamke aliyemzidi umri.na mapenzi maelewano 🙏
@@hassanihussein2731 lawama zimekuwa nyingi sana kwa sister.huenda baadhi yetu hatujui hili .kifupi mi nimefutahi dada yetu kupata mwenza..usingo Maza unachosha.mi nampa maua yake dada insha 🙏🙏💪
🤣🤣🤣🤣@@hassanihussein2731
Jamaa mjanja mjanja😂😂
Huyu kaka kunakitu anatafuta kwa isha minishaona😂😂
Pia Aisha atafuta kitu😂😂😂
vijana wa natafuta sehemu za.kutulia na.kutuliza akili.ila ndio.mtulie sasa.na.fanyeni jambo . ili msizini
Nimesoma comment nyingi tu before niandike yangu na wengi wanamponda Isha ooh umri ooh kijana muongo sioni kama ni poa ile minimeona ni wanapendana wanheshimiana na kizuri zaidi ni marafiki, nimewapenda bure sema tu kweli hapo kwa ndoa mutie bidii ndugu zangu kuna na kesho napia kuowa mwanamke mkubwa chambilecho ni sunna mtume wetu (S.W.A) alifanya ivo so sio ajabu.
DIVA NA Abdul sheikh WA mchongo (mke wangu WA mwisho)haya basi ....ILA Chuma kibiji hiyo kinamula mashauzi weeeee😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Sina la kusema yangu macho na masikio👁️👁️👂👂
Habari ndio hiyo mwanaangu ausio wamama wamjini duh😮
Nimewapenda sana ❤ kwanza huyu Dada hanaga skendo za umalaya..Umri just a no
sema uyu jamaa anaonekana mzinguaji anataka kuonekana tu kama anaigiza
Mmmmmmh.......kazi kweli kweli hakuna mapenzi hapo ni swala la maslai
Mamboo
Bora wali nyama kuliko walimwengu
Furahia penzi lako Isha mashauzi
Mhm kazi kweli kweli
Wakna shishi wako wengi
Zuch ❤❤❤❤❤
😂😂😂
Mh vinaume viongo no matter how old a lady is a young man can lie to any old woman wanawake hakili ni ndogo sana uyo jamaa yuko hapo for his own reason hakuna mwaume anaependa mwanamke mkubwa kwake
Huyu kaka mkweli...ila isha angalia ndg yangu usiingie mzimamzima
Nilichokiona jamaa tapeli
Nina miaka 29 na utuuzima wangu huu nilichokiona huyo kaka ni muongo mpk muongo tena..ila kila kheri sis
Saivi haya sio mashangazi tena ni magurdumu
Kwani huyo Isha Ana ukubwa gani? Mwili tu huo na uyo mwamba c mdogo kivile
Ila waschana tukiwa wadogo vibinti tunataka mibaba tukisozeza umri tunataka vijana.
😢yn unaemuona kbsa km muongo hiyo mwanamke tapel kweli mwanamke mwalimy wetu kipofu huyu sikuelewi jmn
🤔🤔🤔🤔🤔 yan hapa ujajipata yn mwakani uyu kwao🫣🫣🫣 amna kitu apoo
Isha kama sikosei nahisi kazaliwa 82 sasa ana uzee gani ni mwili tu huo
Ukweli nilikuwa namuonea huruma mabango ila sasa Nina furaha kuona Aisha amemsamehe mpenzi wake am so sorry wallhi😊
Kamsamehe wapi hii ya zamani
Tukiachanaaa na shishi utakutanaaa na ISHA
Kazi ikooo😂😂😂
😁😁
Dogo msingi kiuno, akifikia malengo yake ya maokoto atasepa tu
Hamna penzi hapo daaah...
Aibu.poleni wenzangu muda ukipita tafuta rika lako ambaye hana mtuu looo huyu dada.hawaendani wanawake twajilalilisha huyu ni mwanayo
Joshua pumzi zinakuhadaa niko pale mungu atakavo kuzalilisha
Dogo IPO siku utalia km beberu tafuta pesa
Yametimia!
@@homeboysinstallers8794 hakupoi
Maneno yakaka nayaamin sasa isha ndo ataki kumsamehe
Yaani mtangazaji kamzidi muonekano huyo kibenten wa Isha mashauzi,,, mpaka Isha mashauzi anaona aibu
Serikali hamtukomoi kutunyima ajira teyar tumepata njia mbadala 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 ni sheeeda
Kwa Sasa ni Mwendo wa Mishangazi!!!😂😂😂😂😅😅😅
😂😂😂nimecheka tena mishangazi yenyewe mibonge bonge
😅😅
😁
Mishangazi yenyewe yamenenepeana kweli
Mishangaziii tuko vizuriii, tunaupendo wa dhati na tuna helaaa😂
Mmmmmmm jamaniiiiiii usijimalizeeeeee mdogo anguuuuuuu hayaaaaaa mchaga mama mkwe mualikeni mama angu tabu mwaimu
OVYO MYOTO WAKO UNAMFUNDISHA NINI WALANIFU MLOKOSA MALEZU KWAWAZEENU MTOTO ALOLELEWA KWAAIBU HAINESHI HAWARQ MITANDAONI
Yaan maelezo tu yanajitosheleza kuwa dada kaamua kukusaidia😅
Kila la her inshallah..mdumu kwenye ndoa yenu
KWELI AJIRA NGUMU ILA NIMEWAPENDA NA NIMECHEKA HADI NIMELIA
BETTER FANYENI HALAL MUOWANE NA AUTIE ISHA MASHALLAH ANAJUA KUFEKA NA ANAJUA KUPENDA AND MUME MTARAJIWA UKIFANYIWA KITU NA ISHA SEMA THANKS UNAONA YEYE UMEMUEKA SAWA NYELE ZAKE AMEKUBIA THANK LAKINI YEYE ISHA KAKUPANGUSA KITU ON YOUR FACE HATA THANK HUJAMPA THAT IS NOT RIGHT TO HER SHE LOVELY WOMEN YOU ARE LUCKILY TO HAVE HER IN YOUR
LIFE
Mhm isha kafa kaoza.
Mwanamme anaeongea sana,SIMPENDI
Same
Mshua wangu anapiga muda wowote anapotaka😅so dogo usijimalize sana
Mwaka mzima kumbe munazini tu sio kuoana
Mmmh uongo huo bwana kick hyo😂😂😂😂
Hakaagi na wanaume utemi mwingi halafu anapenda kutawala wanaume mtu mwenyewe jike dume
Isha hana ukubwa wa hivyo
Nakubali braza kwa maneno yko umri n namba 2❤❤❤❤
Nimaisha magumu au Kwa vijana au Nini tatizo
Jamaa kakwambia ana kazi usichoelewa hapo nn?
@@danimtenga6962 kutembea Na watoto
Kipi kigum hapo kijana Ana kaz yake ingia Instagram yake ya Isha kamtag
@@ukhutfatumah1154 kamtagi jina gani chaumbea Mimi nikaone
Acha kukalili we fala
Nguruwe wasojielewa watajubu mkome msinijibu maluuni nyie
Isha anaonekana kapenda sana
Mwanzo wamaelezo uwanirahaa😂😂 Masha Allah kila laheri inshallah ❤❤❤
uyu dada kashahanyikiwa na mapemzi akawa shizi amelamba asali kwe shuma haàaaa eti ragikiyake wa 1 eerr mungu wangu sitaki kulewa mapenzi ya kiziwi manina akili
Hapo Isha anavyosifiwa anajiona yy ndo mwanamke😅😅😅😅kijana anaonekana hamna lolote kwa kweli
Umechoka kulala peke yako
Vijana atafuteni kazi badae mnapigwa chini kinomanoma
Muwe mnaona aibu wanawake ata kuwavulia nguo navitoto vidogooo😢😢😢😢😢😢
Hizo nguo wanazowavuria na na hizo Kuma wanazowapa ni vyawo wewe unawashwa wapi
Kweli dada Khadija. Halafu dada Mashaunzi aangalie sana kuna kitu anakifuata huko mbelen:tena mchaga awe makuni Aisha.
Sio mtu meeda au media
Kaz ambayo sito ifanya ni hii kwa umri kam huu et niziniw na vijan aaah hapan mungu aninusuru pesa na zitafuta kwa shida nisile na qatt wangy nikatafuta mtuy tunae enden nae anizidi yy siyo mim nimzid nikikosa mzee kam mim ni bora ni baki na watt wangu w mtihan
Hao watu wazima dada wanavisukari! Shaur yakoo😅😅
@@Kidotii siyo kweli kwa hiyo watuy wazima wakike ndo hawana kisukar am
@@Kidotii😅😅😅😅😅
Visukari na preshaa
Kashakua shoga yako tena
Hii mishangazi hii mna mambo sana.
Maigizo hayo
Umri ni nombre tu.
Afu kuna mm msichana mdogo sina mpenzi duuuuuh! Kweli shangazi zetu mna balaaa
Njoo
@@amosihokororo9702 😅😅
Mchaga hatoii pesa utamlisha huyo moka ukome
Halafu tujetuskiye mambo ya gurdumu
Ni mapenzi mzidi kupenda mbona mnaendana haya tafuni sasa mengine ya maana maishani.achaneni utoto.
:dada Aisha huyo mrembo anaonekana kama anabeza hivi hapo pembeni ni nani?
Kijana acha ujinga
Huyu kaka ni mhuni sana maneno yake sizani kama watadumu
Bigap San kwamwamb mapenz mauwa huchanuw popote
Safi hiyo Asha. Tunakuombea udumu naye❤❤❤❤
Si wapenzi hio ni kiki kama kawaida yao TZ kuna nyimbo hapo
Wanalongana sema isha ana mwili mkubwaaaa😂😂😂😂
Yn kijana wa watu umewekwaaa😅😅
Mwendo kasi na mashngazi
Mashangazi tuashieni my wetu au kisa pesa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa Vibe aisee vitu vya wanawake wanavyopenda
Sema Shangazi ukimzingua anakuacha paap
😅😅😅😅 yani ni shwaaaaaaa
Mapenzi hayana umri, chezea penzi weweeeee
Mapenzi yakiwa mapya yana nguvu.mungu awajalie ameen
Nilikuona unamaana kumbe akili kama za mtingila 2
Isha sio mkubwa ji mwili tu
❤❤❤ nakupenda daisha mlee kijana
Aya sasa baba watto na shangazi isha😅😅
Isha hongera..biinafsi nakupenda mwanangu...huna makuuu..
Tusubiri nyimbo ya mapenzi hapo
Nampenda sana isha ❤
Vijana tutafute pesa tutakula vyahalamu
Lakini Isha Masauzi nilianza kukuona kitambo kumbe ulikua single
Tatzo we domozege
Mbona mim sipatagi mashangazi jaman munawapataej kila nikiwatongoza nakomeshwa na kesi hupelekwa nyumbani kwa wazee😢
😂😂😂😂njoo mm pia natafuta vibenten
Watoto wa mjini tumekuelewa kaka
Uyoooo naeee wakufikishaaa miezi duuu Vin
Ok, 👍 Amen 🙏 ni jambo jema kua wapenzi 🥰🥰🥰
Mijitu inapenda kulelewa pumbavu
Mm mbona natafta mishangazi sipati jamani mie nataka mshangazi wakunilea
😂😂😂😂tafuta ela
Nenda kwenye nyumba za malezi😂😂😂
@@rajabdibwa6415 duuu umetishaaa
Kwan kijijin kwenu huna shangaz
Njoo ujeruman nikuconnect na MISHANGAZ ya kizungu
Hii ni Kiki tu
Ngoja nitafute Hela kumbe naweza kupata kakijana nikatakacho
😅😅😅😅😅😅😅