JUMBA LA KIFAHARI ANALOISHI MBUNGE WA MPENDAE/LINA MSITU,WANYAMA PORI,NA CHUMBA CHA SINEMA NDANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 มี.ค. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 368

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 หลายเดือนก่อน +11

    Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu

  • @missp1814
    @missp1814 3 หลายเดือนก่อน +8

    Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 3 หลายเดือนก่อน +5

    *Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 3 หลายเดือนก่อน +12

    Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤

  • @patimaissa8572
    @patimaissa8572 3 หลายเดือนก่อน +17

    Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur

  • @FatmaZena
    @FatmaZena 3 หลายเดือนก่อน +29

    Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo

    • @user-bu1te3bf8p
      @user-bu1te3bf8p 3 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin yarab

    • @user-qg4wc5dz9r
      @user-qg4wc5dz9r 3 หลายเดือนก่อน +1

      Njaaa itakuponza

    • @mokeya
      @mokeya 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua

    • @mokeya
      @mokeya 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua

    • @abdulwahidmsellem1964
      @abdulwahidmsellem1964 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂why

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 3 หลายเดือนก่อน +18

    😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku

  • @dorynfao
    @dorynfao 3 หลายเดือนก่อน +7

    "Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 3 หลายเดือนก่อน +20

    Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊

  • @salmamkwizu3223
    @salmamkwizu3223 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili

    • @MsJabalkiss
      @MsJabalkiss 2 หลายเดือนก่อน

      Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +27

    Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu

    • @OmanOman-bm1lr
      @OmanOman-bm1lr 3 หลายเดือนก่อน +2

      ❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya

    • @feynalabdul5999
      @feynalabdul5999 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen

  • @mussakhamis3149
    @mussakhamis3149 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏

  • @vincej9275
    @vincej9275 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.

  • @ForodhaniZanzibar
    @ForodhaniZanzibar 3 หลายเดือนก่อน +43

    Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua

    • @ABUUALLY-tv8rl
      @ABUUALLY-tv8rl 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂

    • @ForodhaniZanzibar
      @ForodhaniZanzibar 3 หลายเดือนก่อน

      @@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo

    • @JechaMakameIssa-gs2bl
      @JechaMakameIssa-gs2bl 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao

    • @valencesokoni3291
      @valencesokoni3291 2 หลายเดือนก่อน

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 3 หลายเดือนก่อน +16

    Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa

  • @user-pv3km8cb7s
    @user-pv3km8cb7s 3 หลายเดือนก่อน +4

    Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂

    • @salhaothman8278
      @salhaothman8278 3 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo
      Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 3 หลายเดือนก่อน +5

    Uyu jamaa yuko humble sana

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 3 หลายเดือนก่อน +12

    Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧

    • @salma0000
      @salma0000 3 หลายเดือนก่อน +1

      Alipata malezi mazuri

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho9226 3 หลายเดือนก่อน +4

    From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 หลายเดือนก่อน +5

    Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 หลายเดือนก่อน +2

    Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc หลายเดือนก่อน

      Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 หลายเดือนก่อน +8

    I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta

  • @MrA24G
    @MrA24G 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani

  • @RioIpo
    @RioIpo 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Mbunge wangu Taufiq

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 3 หลายเดือนก่อน +2

    Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.

  • @nasirabdalla8646
    @nasirabdalla8646 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mwiiteni aristote aseme speeeec

  • @suhailaidarousahmed2879
    @suhailaidarousahmed2879 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 หลายเดือนก่อน +2

    Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 หลายเดือนก่อน +12

    Hii si nyumba chuo kikuuuu.

    • @annamosha968
      @annamosha968 2 หลายเดือนก่อน

      Yaani daaah

    • @user-fl7mr4dt1p
      @user-fl7mr4dt1p 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂ndo unachosoma au

  • @ZuhuraKhamis-rw1it
    @ZuhuraKhamis-rw1it 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 3 หลายเดือนก่อน +11

    Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia.
    All in all
    Mpaka miquu chini katembea kudadek
    😂

    • @salehcllassic2325
      @salehcllassic2325 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน

      Nimecheka sanaaaa

    • @KhalidNa-bn4gp
      @KhalidNa-bn4gp หลายเดือนก่อน

      Mpaka uzungumzaj tofa hahha

  • @gracelisso7163
    @gracelisso7163 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee

    • @Luweenamandal2911
      @Luweenamandal2911 3 หลายเดือนก่อน +2

      Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah

  • @user-kh8tr8xh4v
    @user-kh8tr8xh4v 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.

  • @user-pv3km8cb7s
    @user-pv3km8cb7s 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah ❤❤❤
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jeedymasoud4269
    @jeedymasoud4269 3 หลายเดือนก่อน +10

    Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kuna kuishiii na kuishiaaa

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 3 หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi

  • @ahlamsaleh670
    @ahlamsaleh670 28 วันที่ผ่านมา

    Muhishimiwa Kwanza kabisa Sema alhamdulilah sio kwa nyumba alhamduliah kwa mama kuwa hai trust me once mamako ataondoka duniani life is meaningless trust me 😢

  • @mahmoudliwali1919
    @mahmoudliwali1919 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp หลายเดือนก่อน

    Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah

  • @muddychambale5854
    @muddychambale5854 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuzidishie zaidi na zaidi

  • @ashaabdallah9672
    @ashaabdallah9672 3 หลายเดือนก่อน

    Maashallah mungu akuzidishie

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 3 หลายเดือนก่อน

    Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.

  • @bas2823
    @bas2823 3 หลายเดือนก่อน

    GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲

  • @MaranduMarandu
    @MaranduMarandu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallha beautiful place❤

  • @user-fe3ws4ud3m
    @user-fe3ws4ud3m 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu nipe ulichowabatik wao mungu akueke na akuongezeee unapotoa

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan 3 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu kweli ni tajir😂😂😂

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 3 หลายเดือนก่อน

      Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏

    • @user-ex6sh1rl4d
      @user-ex6sh1rl4d 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ila haya maisha sio poa yaani daah😢

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 3 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah juzu 1 kwa sik

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 3 หลายเดือนก่อน +1

    hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @salimalrumhy7575
    @salimalrumhy7575 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂

  • @JJ_00755
    @JJ_00755 3 หลายเดือนก่อน +2

    Masha'allah ✨

  • @user-ff2ez9hj4e
    @user-ff2ez9hj4e 2 หลายเดือนก่อน

    ❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 หลายเดือนก่อน +1

    Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉

  • @mjombambuzi4295
    @mjombambuzi4295 2 หลายเดือนก่อน

    Kher, baraka,upendu,uzma,akili na mengi mazur mungu akuzidishie wewe na sisi amin amin

    • @mjombambuzi4295
      @mjombambuzi4295 2 หลายเดือนก่อน

      Kwli baba Kwan psa kuizalisha kunahtaji kufnya matumiz mm nnalak tano na amini nita izalisha kuwa tilion

  • @philisanga866
    @philisanga866 3 หลายเดือนก่อน +1

    Me nkajua utasema namshukur mama yangu mzaz kwa kunizaa we unakumbuka malafiki zako tu. We mpuuz sana mama ndyo kila kitu kwako hiyo siku yako ya kuzaliwa ujue hukujitambua alie kuwa anakutambua wewe ni mama yako pekee huna hud kumshukuru mama yako kwanza ndyo wafate hap marafik zako jua kuwa siku ya kuzaliwa kwako ni siku aliyo pitia mambo mengi mama yako alitukanwa na manes na pia alipelekwa hosptal kwa shida wewe unashangilia kitu ambacho hukijui jua kuwa huo ni ujinga sana. Me nina mke mke wangu alizalia nyumban tena usiku kitu nilicho kiona hakika siwez kufurahia siku ya kuzaliwa kwangu yaan hiyo siku ntampa zawad mama yangu tena ntajitahid nimpe zawad kubwa zaid ya anavo fikilia. Kuzaa sio mchezo mdogo wangu acha kabisa kufurahia siku iyo mama ndye anae jua.

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yote ya nini hayo,mbona hayakuhusu?,wewe unajua Vipi yeye na mzee wake wanavyoishi,hebu kuwa mstaarabu.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 3 หลายเดือนก่อน +2

    🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.

  • @rastapeace9616
    @rastapeace9616 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akupe umri muheshimiwa

  • @Chakol682
    @Chakol682 3 หลายเดือนก่อน +5

    Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 หลายเดือนก่อน +6

    dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno

    • @HassanHassan-sr3fq
      @HassanHassan-sr3fq 3 หลายเดือนก่อน

      Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 3 หลายเดือนก่อน +2

    He has a good heart mashallha

  • @si-qm1ki
    @si-qm1ki 2 หลายเดือนก่อน

    Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 หลายเดือนก่อน +14

    Hivi mwijaku ameona hii nyumba sio anatusifia kichochoro chake

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 หลายเดือนก่อน +2

    Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele

  • @emmanueljohn9286
    @emmanueljohn9286 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂

    • @eunicejohn5520
      @eunicejohn5520 2 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama

  • @hamidhajimakame3700
    @hamidhajimakame3700 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nyumba ina heka Kumi mashaallah

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor7415 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah jumba la kifahati hatare

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 3 หลายเดือนก่อน +3

    Daaah kweli tutafute hela

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni9610 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa
    Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 3 หลายเดือนก่อน +2

    Manshallah ❤

  • @deega1234
    @deega1234 3 หลายเดือนก่อน

    Allah yebarik

  • @bas2823
    @bas2823 3 หลายเดือนก่อน

    I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍

  • @mbwanafeisal2904
    @mbwanafeisal2904 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii

  • @user-in4en3pu2b
    @user-in4en3pu2b 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akujalie kheer

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 หลายเดือนก่อน

    Mashalllah❤

  • @ReshimaAbdalla
    @ReshimaAbdalla 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน

      Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.

  • @user-sf5lk3qo4s
    @user-sf5lk3qo4s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah

  • @user-nf9ck9wk5y
    @user-nf9ck9wk5y 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah allah akubariki

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna msenge mmoja majuzi aliwakusanya wa mama alikua anawapa shilingi elfu ishirini ishirini na kurusha mitandaoni,angalieni wenye pesa wapo kimya na wanasaidia watu sana lakini hatuwajui sio kujionesha onesha mitandaoni

  • @thuweinthabit6313
    @thuweinthabit6313 3 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa Allah

  • @HoneyBeel5
    @HoneyBeel5 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 3 หลายเดือนก่อน +17

    Mulokozi njoo zenji tukusomeshe😂

    • @elizarichard929
      @elizarichard929 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwakwel aje tu

    • @papaamasauti1973
      @papaamasauti1973 3 หลายเดือนก่อน

      Nyumba ni furniture mulokozi katisha sana

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 3 หลายเดือนก่อน

      Onyesha yako sio vya watu. Mulokozi sio mbunge BTW

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 3 หลายเดือนก่อน

      Mulokozi ana kibunda wee😂😂

    • @ForodhaniZanzibar
      @ForodhaniZanzibar 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mulokozi Hana nyumba bhana weeee we umeona iyo nyumba heka10

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaalah

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 3 หลายเดือนก่อน

    Unyama sn 🔥🇶🇦

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watu wanaishi❤