Kuvi mwanetu uko deep sana kwenye hip hop &rap! .. hawa wanetu wa DAZ wamenikumbusha mbali sana, enzi ya kuchill posta mshatoka Tanganyika Library mida flani ya jioni mnaskilizia sketi za Jite na Forodhani! Pale konda kupigwa mitama ilikua kawaida tu enzi za ma dcm bado zamoto sana
Hakika wasanii wa zaman walikuwa kwel kioo cha jamii japo kwa sasa wachache bado wanawakilisha but all in all big up u did very good music at your prime
@@Sebastianrichard253 yaani ni WA Moto Hadi sasa ttzo ni wadau wa music Kwa sasa hatuskiliz good music Bali kelele na kuzipa big promo ndio tunawapoteza wenye mziki mzuri km daz nundaz, wagosi wa Kaya, mandojo na domo Kaya, kuna sugu n.k hata video za sasa haziendani na maudhui ya mashairi Yao kabisa
Iyo shuka rymes ilikuwa zawad kutoka kwa pfunk baada ya kuwakataa aisee iyo hatar ukiacha iyo kuna maji ya shingo remix hatar kuna nitafanya nn sasa mm nilinunua albam nikiwa mdogo sana
Respect sana manundaz...respect daz mwalimu...alikuwa school mate wangu jitegemee (jite-wutang). Respect kwa nyundo zao zote hakuna unayoweza kui undermine, ila kwa Leo naomba watu wautambue wimbo wao unaitwa "shuka rymes" ni balaa kuliko kawaida...naamini watu wengi sna hawajawahi kuusikia. Much respect!
Sasa Daz Alikuwa Mandul mob yy na Temba ila akaambiwa achague Ndio akaenda Daz nundaz.sasa tulipokua Jite wote school Siku inapigwa hio Nyimbo ndio shule nzina wakajua Kwamba David nyika ndio Daz baba.Had mwalim mkuu alishangaa
@@ChegeMsemakweli-cv4qb Ndio namjua sana m nimesoma na David nyika darasa moja jitegemee mpaka madaftar mengine yake yapo geto.ndio walikua watatu DAZ P. DAZ BABA.TEMBA.DAZ P SI ALIIMBA KAMA UNATAKA KUJA HOME BEBY
@@ChegeMsemakweli-cv4qb We uwon class mate kajala.ndio p funk anakuja Jite kwenye concet anamuona kajala alikuwa miss Bantu P anamtuma sasa RICH ONE Amfanyie mpango ndio kampata
Maswali ya kawaida mnoo, tatizo watangazaji wengi hawajui historia za watu hao, kutafuta watu wanaojua ili kuwapa madini,taasisi inahitaji vitu bora, wanaona kama wakimchukua Iddy Mwanaharamu atatajirika vile, lakini Majizo akimjua Iddy nna uhakika atafurahi....
Hili swala nililiona hata kwenye interview ya Pfunk, Ni maandalizi tu, hata story za kutaka kusikia kitu gani, unakuta msanii kama hayupo aware ataulizwa issue gani,
Kuvi mwanetu uko deep sana kwenye hip hop &rap! .. hawa wanetu wa DAZ wamenikumbusha mbali sana, enzi ya kuchill posta mshatoka Tanganyika Library mida flani ya jioni mnaskilizia sketi za Jite na Forodhani! Pale konda kupigwa mitama ilikua kawaida tu enzi za ma dcm bado zamoto sana
Hakika wasanii wa zaman walikuwa kwel kioo cha jamii japo kwa sasa wachache bado wanawakilisha but all in all big up u did very good music at your prime
@@Sebastianrichard253 yaani ni WA Moto Hadi sasa ttzo ni wadau wa music Kwa sasa hatuskiliz good music Bali kelele na kuzipa big promo ndio tunawapoteza wenye mziki mzuri km daz nundaz, wagosi wa Kaya, mandojo na domo Kaya, kuna sugu n.k hata video za sasa haziendani na maudhui ya mashairi Yao kabisa
La Rhumba noma sana. Na anasound kama sugu enzi hizo nilijua ni sugu kwenye nipe tano
exactly
Ata nmeshtuka
Ni kweli hata mimi nilijuaga ni sauti ya Sugu
Iyo shuka rymes ilikuwa zawad kutoka kwa pfunk baada ya kuwakataa aisee iyo hatar ukiacha iyo kuna maji ya shingo remix hatar kuna nitafanya nn sasa mm nilinunua albam nikiwa mdogo sana
leo ndio nimejua ile verse ya nipe 5 hakuimba sugu
Respect sana manundaz...respect daz mwalimu...alikuwa school mate wangu jitegemee (jite-wutang). Respect kwa nyundo zao zote hakuna unayoweza kui undermine, ila kwa Leo naomba watu wautambue wimbo wao unaitwa "shuka rymes" ni balaa kuliko kawaida...naamini watu wengi sna hawajawahi kuusikia.
Much respect!
Daah Ile kopo ndo funika bovu kuliko nyimbo yyt aisee goma linaamsha sanaaa
Kwelinnakubari.mzazi
Wakwanzaaaaaa❤
Much respect #kuvifacts
Kipindi pendwa sana ....Big presenter Jabir
Muziki Tanzania Mwisho 2003 sasa ni Top shelf
Daz bado anakula ngada
La rhumba alikuwa mkali sana
Ttz mapresenters wetu wanaongea sana kuliko wanaohojiwa
Verse ya marehemu pablo ndiyo ilikuwa kali kuliko zote.
Sasa Daz Alikuwa Mandul mob yy na Temba ila akaambiwa achague Ndio akaenda Daz nundaz.sasa tulipokua Jite wote school Siku inapigwa hio Nyimbo ndio shule nzina wakajua Kwamba David nyika ndio Daz baba.Had mwalim mkuu alishangaa
Yule wa manduli mobb sio daz baba yule ni daz p
@@ChegeMsemakweli-cv4qb Ndio namjua sana m nimesoma na David nyika darasa moja jitegemee mpaka madaftar mengine yake yapo geto.ndio walikua watatu DAZ P. DAZ BABA.TEMBA.DAZ P SI ALIIMBA KAMA UNATAKA KUJA HOME BEBY
@@ChegeMsemakweli-cv4qb We uwon class mate kajala.ndio p funk anakuja Jite kwenye concet anamuona kajala alikuwa miss Bantu P anamtuma sasa RICH ONE Amfanyie mpango ndio kampata
Mm naombeni kuuliza nani alianza ile verse ya kwanza ya ngoma ile ya kamanda??????!!!
Dazi baba
Larumba ni noma san jmn ule mstari wake kwenye nipe tano ni faya
Maswali ya kawaida mnoo, tatizo watangazaji wengi hawajui historia za watu hao, kutafuta watu wanaojua ili kuwapa madini,taasisi inahitaji vitu bora, wanaona kama wakimchukua Iddy Mwanaharamu atatajirika vile, lakini Majizo akimjua Iddy nna uhakika atafurahi....
Hili swala nililiona hata kwenye interview ya Pfunk, Ni maandalizi tu, hata story za kutaka kusikia kitu gani, unakuta msanii kama hayupo aware ataulizwa issue gani,
Njoo wewe na Iddy pia mfanye kaka ntawaachia kiti hiki mkuu
Karibu na ww uje uulize kaka vzuri ukitaka hii nafasi nakupa hata uwe guest presenter 😀
Wivu sasa
Most underrated talents
Larumba alitisha michano ilieleweka sama
Unajua interview inahitaji umakini sana kujibu nakatika kujibu ferouz anajua kujibu sana
Daz nundaz vipaji vilikua vikubwa lakn vimeharibiwa na mihadarat
Acha uongo..mfano hapo nan umeona anatumia mihadarat...a ha story za kuambiws
Nazi.nundazi.nawakubarisana.
Nasikia kwa mbali hapo Nas is the name
one love
Alianza verse ferooz
Larumba aliua sana
Ila daz akili yake haipo hapo😊...
Yuko sawa ispokua yuko hivyo sku zote mtaratibu mnoo
😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@FahadAbubakari kweli namfuatiliaga Sana huyu broo Yuko Sawa
@@msakadoobongeladada-uh3sk ujue kila mtu kaumbwa namna yake wengine si fasaha sana kuzungumza
Jaje mkongwe uwaje koo kunitambuu au jaje
Nakudawia tu mkongwee
jaje hebu nambia kwanza 🤣