Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
Njoo arusha Waziri tunabambikiwa bill za majani
Vibaka WA Kodi zetu hao
Poleni, ujinga uliopitiliza. Vitu vingine haviitaji waziri
MH, njoo na kisesa Magu Mwanza ni taaabu tupu
Uweso njoo masasi mtwara hufiki kabisa Kuna madudu sana
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
Uweso nimekusoma ukichekano utavuna mabuwa alafu wakika pembeni wanasema Sisi mbaya
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya
Hata huku makabe
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
Hiyo Nifuraha. Lakini Kiakili Nifuraha Iliyochanganyika Nahasira.
Sijui watu wana matatizo gani.Alafu kupata maji shida kweli kweli ukiritimba.
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
Mama Huyo. Tanzania ya Maendeleo Tunaitaka
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
Mh njoo Morogoro Morowasa utalia maji tunapata mara moja kwa wiki kwa mwezi mara 4 bili inakuja 40,000/= Bhopal kata us bigwa
Naona sasa kakayangu umeamka sasa ila ujachelewa nilijuwa kasiyako imeisha ilanakujuwa Utendajiwako sinamashaka nawewe
Wanajifanya Miungu watu watumishi hawa sana ata ukipiga awapokei
TUNAKUOMBA SASA MTUPUNGUZIE MALIPO YA KUWEKA MAJI
MAJI YANAPITA MLANGONI UKIULIZA KUWEKA MAJI SH 270,000/=
Mh waziri dawasa nitatizo niwazembe sana
Moja Kati ya hazina kubwa ktika Taifa letu Ndugu aweso mzalendo wa kweli
Aweso huo ni ujinga tu kuondoka naye huyo Eliza ndo umeleta maji hapo?
Huo ujinga sawa Wewe ungefanyaje?mwenye akili
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
Ni actual au sinema
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
Ila wanawake dah!😅
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
Masikini hua tunafulaiya mwenzetu anapo pata shida
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
Tenganisheni siasa na kazi
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
Wazir njoo arusha mateves tunateseka na idara,ya,maji bil laki 3 kwa,mwenx na,barabara,vumb tynashidw,hata,kuuza yaya
awesoooooo safiiiiii
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
Hiii 😂nchi inakiki 😂
Ila kunawakati mwingine inakela
Hivi Tanzania tukoje?
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
wanawake jamani wanashabikia mwanamke mwenzao afukuzwe
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
Arusha mtaa x ndo balaa
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
Njoo bonyokwaa mkuu
timua haoooo
if huu ugonjwa dawa yake nn
😊
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
Fukuzaaaa
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
Mtumbue huyo hawafai
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
Awesu fukuza kazi wazembe hao
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
😂 7:28
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
Wamesema anauza maji
Ujinga mtupu
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie