Seminary+ualimu...lazima uwe na nidham🙌....hongera sana Mr.Michel....sikuwahi kujua kama ni Mc but nimeanza kukujua kama Mr.Michel...nakuelewa sanaaaa yan unafait mnooo kwa hiyo character🙌
I just love the interview 😍pole sana kwa kuugua MUNGU ni mwema sana amekuinua na kukubariki na kukusahaulisha mapito magumu uliyopitia! Hata wanaougua sasahivi wapate tumaini ipo siku watanyanyuliwa kwa viwango vya juu sana
Nimependa na kufurahia interview hii kwa sababu natamani kufika mahali kupitia fani ya mc, kufanya makubwa na kutimiza ndoto zangu, Asante sana brother wangu Godfrey Rugarabamu.. mcsam_tz
Gara b bila hata hajasema anamuonekano wa ki seminari sana ...dada zamaradi tunaomba intvw na fred vunjabei plz namuonaga nae yuko smart sana tunataka abcd za biashara
Siku zote ujitahidi kujikabidhi mikononi Mwenyezi Mungu maana utawindwa saana na maadui wa mapambano yako. Lakini nina Imani mkeo na wapendwa wako wanakuombea hivyo
Mmmh wanaume wa mwanamke mmoja hayupo hapo anamfariji mkewe mtuu labda hajampata tuuu kula chips KIla cku haipo kuna tym ana miss ugali mlenga au ugali tembere🤭🤭😅
Yaan uyu kaka nampenda tu bure anamuonekano mzri mashaallah Allah akujaalie na Familia yako
Hongera sana Gar B interview ni nzuri sana, kumbe umesoma seminari ndio maana umetulia una adabu Mungu akubariki
Seminary+ualimu...lazima uwe na nidham🙌....hongera sana Mr.Michel....sikuwahi kujua kama ni Mc but nimeanza kukujua kama Mr.Michel...nakuelewa sanaaaa yan unafait mnooo kwa hiyo character🙌
Loved the interview.. Gara B You are awesome! Thank you again for playing a key role in the success of many celebrations.
I like the way gara b anavyoongea coz anaonyesha ni mtu wa hekima Sana, mungu aendelee kukusimamia ufike mbali zaidi 🙏🙏
Weeeeee shakila, kasema kaoaaa
@@olivemwamengonakilimombeya6951ww ndo umenichekesha sana😃😃😃😃 na sio Shakila!
MC GARA B ni mzuri napenda kazi zako, pole kwa changamoto ulizopitia
My best MC of all the time,Interview ni hot 2Kill,Gara yuko vizuri kila Idara IQ kubwa sana.
Brother uko vzr Sana hongra kwa kipaji
I just love the interview 😍pole sana kwa kuugua MUNGU ni mwema sana amekuinua na kukubariki na kukusahaulisha mapito magumu uliyopitia! Hata wanaougua sasahivi wapate tumaini ipo siku watanyanyuliwa kwa viwango vya juu sana
Aminaa
Amina
The interview was good and i love u both. Gara B ur the best
Nimependa na kufurahia interview hii kwa sababu natamani kufika mahali kupitia fani ya mc, kufanya makubwa na kutimiza ndoto zangu, Asante sana brother wangu Godfrey Rugarabamu.. mcsam_tz
A very cool and collected interview
Interview Nzur sana.. hongera zama.. Hongera Garab
I agree nora is very beautiful and emotional too, big up sana schoolmate
You did well on your character as Michael, Inatufundisha sana
Hongera zamarad kwa kazi nzuri mpenzi mungu azidi kukuongoza.
Kasita My school /Regina Mundi umenikumbusha mbali sana ...Askofu Ndorobo our lovely director may God bless him
jamna regina Mundial umenikumbusha mbali sanaa
So nice nime enjoy kusikiliza gara b
Nimeipenda hii interview. Zama unakonga nyoyo zetu hasa.
UKIJIAMINISHA UNAAMINIWA❤
Kaka mpiganaji
Wow wow mc Wa Dunia
Hongera zake aisee I like the way anafanya kazi zake
So handsome. Anaigiza poa Ila mke anayeigiza naye ni pasua kichwa
Namupenda uyo Kaka anaoneka ni mupole sana bongo movi
Wow,,,,Mahenge ni kijijini kwetu pia,,,,,Kasita napafahamu sana sana,,,,nimezidisha kukupenda best
Kiukweli.gara b sikua namjua...siku moja nMuona insta..nikasema uwiii mbona mkak mtamu hv jaman? Uwiiiii....huyu kaka ni 👌..sauti sasa😋,color uwiiii😍
Kweli,so handsome
Ohoooo 🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁😁ww saut tuu upo hoi
🤣🤣jaman kina baba mijengo wenu wakipita humu watawauwa🤣
Kaoa huyu jamen
😊😊😊daaah kumbe mc garab ni x seminarian
Pole Sana kaka yangu hakika mungu ni mwema tena anahuruma kwa waja wake wote
Nice interview
Your the champion in this career mc Garab
Interview nzuri sana. 😘👏
Biger up
Hongera xana interview
I love this guy for real he is so amazing 🇰🇪
Mariam ameoa huyuui jamen
@@olivemwamengonakilimombeya6951jamani simpendi kimapenzi na penda kazi yk na anayo kuwa mbele za watu....
I love the interview 🥰🥰
Schoomate #DarSec ...Allah is always great
Mc garab ur the best
Gara b bila hata hajasema anamuonekano wa ki seminari sana ...dada zamaradi tunaomba intvw na fred vunjabei plz namuonaga nae yuko smart sana tunataka abcd za biashara
yaaani naisubir haswaa
Ur talented gara B
Napenda san kazi zako Gar B,
Good interview
Leo sound,volume na mike zama' iko sawa,Kaka mzuri sana endelea vivyo hivyo na jobs zako na Mungu akujaalie pamoja na familia yako💪🌞🙏🇰🇪@Kenya.
Mpo vizuri sana
💥👍
Gara B 🔥🔥❤
Namkubali sana kwenye juakali
🔥🔥🔥
God is good
Kaka Michael,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💕💕💕💕
Gara Kama Gara B kubwa💯💯
I love this papa hasa akiimba nakuja ya marioo..I like the way he sing😘😘😘😍
Gara b una sauti nzuri jamni
Duh mungu akujaalie kheri na pole changamoto zile zilizokupata
Barikiwa kaka
You said you wife ia very very beautiful 😍 you're very very handsome too. Mmefanana. Mungu azidi kuwapatia furaha na amani katika ndoa yenu
Huyu kaka pia ni comedian
Waoooh Yaaani sitamani iishe👌 Gara b en Zamaradi💕
Siku zote ujitahidi kujikabidhi mikononi Mwenyezi Mungu maana utawindwa saana na maadui wa mapambano yako. Lakini nina Imani mkeo na wapendwa wako wanakuombea hivyo
Nakupenda Sana uyu kaka❤️❤️❤️❤️
Nmependai interview
I have a passion on Mceeing and from your interview I heard you saying u train people....how can I join the classes
👍👍👍👍🙏
[mwalim wangu
Naungekua padre aisee ungechumisha watu Zambi maana ni hb
Na mpenda mc gara B jaman mkaka mzuri uyu
Dada zama camera yako haipo clear
Umetisha sana Gara B
Hiyo story yako, inaweza ikawa movie.
GaraB una Seminary's look sana
Kabisa hata alivyonyoa
nkubali san gara B kubwa
Best mc forever
Sound engineer wenu a double cross kuna kitu hakipo sawaa
Yuko vzr
Mtu handsome, msafi saana
We tulia, kaoa huyu
@@olivemwamengonakilimombeya6951, kizuri kisemwe, najua ameoa
Nimeona tumbo da Zama..Hongera
Umeliona na weyee jmn mashaallah Alhamdulillah
Mungu amvushe salama natamani mtoto wangu mwenyewe siku moja
sauti yko tu gara
Nimependa Sana hii interview na pia huwa nakufatilia Sana gara B napenda Sana kuwa mc na nilikuwa nafanya kipind nipo shule ila sema bac tu
Nimekuelewa sana hapo kwenye nasaha
Ananifurahisha na mke wake jamn
Sichoki kuitazama hii interview
kumbe homeboy
inamaana ameacha ualimu
Interview za kibongo watu hawasemi wamezaliwa lini!
Uko vizur saan gara b na pole san kwa kupitia matatizo hayo
ZAMA Sauti yako inasikika kwa tabu sana
Namkubali xana uyu mcgarb
Dahh sir Gar B mwalimu wang wa History form two
Usiseme wanaume wote hawajatulia wapo kama hawa kina gara b
Duuu acha we asije kukatazwa kulala usiku sunajua kama ndo mateso yake yanyumbani🤣🤣🤣🤣🤣
@@danismart8778 kwani na mc gara b anachepuka nje ya ndoa? Haha mbona unasema hivyo wacha wee
Hahahahaha, bado hajazaliwaa huyo ambaye aliyetuliaa.. sema tu ni kuwa anajua majukumu yake, hayo mengineyo, ni siri za kambi.. hahahahaa
Niliona story yake ya kuchepuka pale original East
@@nahyialetomia9284 nambie ilkuwaje?🤗
Interview nzuri Garabati 😊
😂😂😂 Gara whaat,,Garabati
Yan unasema tutaenda kujua n kazi gan na ni nani wakati kabla ya kufungua video cover inaonyesha kila kitu
Kumbe muhaya dada ako mim
Eti garaBABA😂😂😂😂
Tuletee Mond na vunja bei
Sauti ndogo
Jamaniiii mkaka mzury uyuuu😭😭😭😭🤲mekupenda bureeee unavyoongea tuuu🤗🤗🤗
Mume wa Mtu
Kafanyaje?????
Saa itakuwaje
Da zama mbona dada wa kazi hautuekei
Gara alitakiwa aendelee na seminary bn coz naona kama ana element za upadri
Kwani we unaitwa nani rafki yangu.......Garabati 😃
Naitwa gara b nani gara b garabati 🤣🤣🤣🤣gara what?
@@ruqayaruqaya4283 garabat
Sasa nikitaka kujiunga na mkopo uwo nafanyaje jamani
Mmmh wanaume wa mwanamke mmoja hayupo hapo anamfariji mkewe mtuu labda hajampata tuuu kula chips KIla cku haipo kuna tym ana miss ugali mlenga au ugali tembere🤭🤭😅
Utakuwa umetendwa sana jamani, wapo tu dear. Pole...its shall be well.