DOGO MTANZANIA ATENGENEZA KITUO CHA RADIO KIGOMA, KINASIKIKA LIVE MTAANI "TCRA MNISAMEHE KWA HILI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มิ.ย. 2022

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @denisjr11media21
    @denisjr11media21 2 ปีที่แล้ว +10

    Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 2 ปีที่แล้ว +83

    Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana

  • @wycliffeaoro9865
    @wycliffeaoro9865 2 ปีที่แล้ว +125

    This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪

    • @hoseamgabo4886
      @hoseamgabo4886 2 ปีที่แล้ว +3

      😂From Mombasa tena

    • @mosseskanini255
      @mosseskanini255 2 ปีที่แล้ว +1

      Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣

    • @ghatilucas7709
      @ghatilucas7709 2 ปีที่แล้ว

      Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 2 ปีที่แล้ว +14

      Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.

    • @wycliffeaoro9865
      @wycliffeaoro9865 2 ปีที่แล้ว +3

      Grace julius, thanks for the interpretation

  • @mohammediddi5385
    @mohammediddi5385 2 ปีที่แล้ว +118

    He’s talented boy
    1/technology
    2/presenters
    3/journalists
    Tanzania 🇹🇿 got talent

    • @omaradan3442
      @omaradan3442 2 ปีที่แล้ว +1

      Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?

    • @mohammediddi5385
      @mohammediddi5385 2 ปีที่แล้ว +1

      @@omaradan3442 😳😳

    • @omaradan3442
      @omaradan3442 2 ปีที่แล้ว

      You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga

    • @jsamtz4460
      @jsamtz4460 2 ปีที่แล้ว +1

      Umeamua uongee cha st......

    • @mohammediddi5385
      @mohammediddi5385 2 ปีที่แล้ว +1

      @@jsamtz4460 nothing

  • @farajafaraja3494
    @farajafaraja3494 2 ปีที่แล้ว +33

    Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA

  • @dianashautiel7099
    @dianashautiel7099 2 ปีที่แล้ว +27

    Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 2 ปีที่แล้ว +122

    Hongera sana Broo Hakika Naipenda sana nchi yangu TANZANIA,, kikubwa tunakuombea serikali ikufikie Ili ufikie malengo yako inshaallah 🙏✍️

    • @Zurushylab
      @Zurushylab 2 ปีที่แล้ว +3

      Serekali ya nn tena jaman sema matajir wanyooshe mikono kwa huyu ndugu yetu aiseee hapa tumuombe maboss wetu wamdhamin huyu ndugu yetu ikiwemo Bakhiressa , diamond na Mooo pamoja na matajiri wote Tanzania..
      (Ukisubilia kiatu kikuvae wakati ujaamua hutoweza kukivaa yani hakitoonekana kabisa)

    • @nuuringoogle4104
      @nuuringoogle4104 2 ปีที่แล้ว

      🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰

    • @cosmasmbugi8570
      @cosmasmbugi8570 2 ปีที่แล้ว

      .sanaa

    • @kingelishathomasonline4842
      @kingelishathomasonline4842 2 ปีที่แล้ว

      @@Zurushylab Kabisa

  • @joysoka3575
    @joysoka3575 2 ปีที่แล้ว +16

    Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen

  • @ariseinspiration
    @ariseinspiration 2 ปีที่แล้ว +15

    Kutoka hapa Kenya hongera sana Kijana kwa ubunifu wako. Sisi wa bara la africa twatakiwa kuendeleza ubunifu wa aina hii na kuufanikisha

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 2 ปีที่แล้ว +14

    Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦

    • @Kiluviadreadlocs
      @Kiluviadreadlocs 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/v2_xwnpUH00/w-d-xo.html

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 ปีที่แล้ว +1

    mashaAllah hongera sana kijana...kama nawe umemkubali gonga like tuende sawa

  • @issamanyota
    @issamanyota 2 ปีที่แล้ว +25

    Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿

  • @muzihiljabili340
    @muzihiljabili340 2 ปีที่แล้ว +53

    Ewe ya rabi tujalie vipaji vyetu viwe vya kheri na vyenye kusaidia jamii 🙏🙏🙏

  • @hassanamran3637
    @hassanamran3637 2 ปีที่แล้ว +2

    Tukubali tukatae wa2 wakigoma 2navipaji vingiiii👏👏👏👏

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 2 ปีที่แล้ว +22

    Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen

    • @KATOPE1
      @KATOPE1 2 ปีที่แล้ว

      Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 2 ปีที่แล้ว +3

      @@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa

    • @KATOPE1
      @KATOPE1 2 ปีที่แล้ว

      @@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 2 ปีที่แล้ว +1

      @@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr

    • @muhammadsalim1301
      @muhammadsalim1301 2 ปีที่แล้ว

      kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.

  • @necromanger272
    @necromanger272 2 ปีที่แล้ว +17

    Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man

  • @faza4023
    @faza4023 2 ปีที่แล้ว +14

    Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.

  • @maarufumusic
    @maarufumusic 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni Moja kubwa .....,this guy is blessed...n inshAllah mola ataazijidi kumshushia ujuzi zaidi

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 2 ปีที่แล้ว +6

    Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO

  • @alimondbenson1751
    @alimondbenson1751 2 ปีที่แล้ว +27

    Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania

  • @uzungupoint
    @uzungupoint 2 ปีที่แล้ว +53

    Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.

    • @khalfanseiph491
      @khalfanseiph491 2 ปีที่แล้ว +7

      Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana

    • @fatumasirakwi3700
      @fatumasirakwi3700 2 ปีที่แล้ว +1

      @@khalfanseiph491 Changamoto kivip

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 ปีที่แล้ว +39

    Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥

  • @songamberetv2219
    @songamberetv2219 2 ปีที่แล้ว +78

    Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani

    • @KATOPE1
      @KATOPE1 2 ปีที่แล้ว +9

      Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana

    • @abdulabdallah9688
      @abdulabdallah9688 2 ปีที่แล้ว +2

      Waambie kuongea umbea tu

    • @nurathkhamiss5925
      @nurathkhamiss5925 2 ปีที่แล้ว +1

      Ndo apo sasa

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 ปีที่แล้ว +2

      Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว +2

      Naapo kaishia darasa la sita tu

  • @northfixtz
    @northfixtz 2 ปีที่แล้ว +17

    Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..

  • @Ashelymhangazo
    @Ashelymhangazo 2 ปีที่แล้ว +9

    HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪

  • @youngtygamayamimusicmmc
    @youngtygamayamimusicmmc 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana rafiki I'm boy from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba like kwake

  • @mussayombo2311
    @mussayombo2311 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana bwana Zuberi.
    Ni Jambo la kujivunia Sana kuwa na watu wabunifu Kama wewe.Ifikie muda uwepo Uhuru wa kujitengenezea vitu vya kiteknolojia wenyewe ,siyo MTU anakuwa ametawaliwa na hofu ya Kukamatwa.Haya Mambo tusikaririshane kuwa ni ya wazungu tu.Big up Sana bwana!

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 2 ปีที่แล้ว +19

    Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin4074 2 ปีที่แล้ว +19

    Wazungu wakimjua huyo dogo watamuiba wampeleke kwaoo😂😂🤗🤗

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว +1

      Ndio kabisa lakini kwa sisi tcra watamkamata kwa kufungua redio kinyume Cha sheria

    • @hashimrweabula9
      @hashimrweabula9 2 ปีที่แล้ว

      Umeonaaeee tz vipaji vipoo ilaa ndohvyoo kuenderezwa zsid ndohvyoo

    • @hanirashuwesu4239
      @hanirashuwesu4239 2 ปีที่แล้ว

      Wamchukue tu😂

    • @janethpallangyo2633
      @janethpallangyo2633 2 ปีที่แล้ว

      Wamchukuwe

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 2 ปีที่แล้ว +1

      @@hanirashuwesu4239 hahahhaah!!!watu wamekata tamaa

  • @africangoldenmusic8061
    @africangoldenmusic8061 ปีที่แล้ว +2

    Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 2 ปีที่แล้ว +18

    Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!

    • @Commentsplus
      @Commentsplus 2 ปีที่แล้ว

      Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa

    • @GloriousRestorationTV
      @GloriousRestorationTV 2 ปีที่แล้ว +4

      @@Commentsplus
      Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 2 ปีที่แล้ว

      @@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 2 ปีที่แล้ว

      @@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee

    • @abdalahsambala6667
      @abdalahsambala6667 2 ปีที่แล้ว

      @@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150

  • @frankbinadola5816
    @frankbinadola5816 2 ปีที่แล้ว +60

    More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏

    • @machalilajulius688
      @machalilajulius688 2 ปีที่แล้ว

      Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 2 ปีที่แล้ว +49

    Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe

    • @mwanaishazain7985
      @mwanaishazain7985 2 ปีที่แล้ว +1

      Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni

    • @alexwailod5589
      @alexwailod5589 2 ปีที่แล้ว

      Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 ปีที่แล้ว

      Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 2 ปีที่แล้ว +9

    Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.

  • @rosemaryjanuary7146
    @rosemaryjanuary7146 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimeipenda hii jamani hongera sana kijana Mungu aendelee kukufanya ukue zaidi ya hapo

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 2 ปีที่แล้ว +16

    Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 2 ปีที่แล้ว +3

    SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 ปีที่แล้ว +1

    This what we need in Tanzania 🇹🇿 ongera sana dogo serikali na watu muliopiga atua mbele kidogo ndo wakati wetu Sasa wa kuendeleza vipaji vya watanzania

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 2 ปีที่แล้ว +18

    Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢

    • @rebecashao798
      @rebecashao798 2 ปีที่แล้ว

      Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 2 ปีที่แล้ว

      @@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 2 ปีที่แล้ว +7

    genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 ปีที่แล้ว +3

    Naomba serikali imchukue huyu dogo aingie kwenye jeshi kule aje ajikite na maswala ya mawasiliano tu 🙏🙏🙏🙏🙌

  • @aloyceooga
    @aloyceooga 2 ปีที่แล้ว +6

    Ata kenya tumekupata sana brother keep up bro never give up

  • @jsamtz4460
    @jsamtz4460 2 ปีที่แล้ว +5

    Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi

  • @jacksonmakariusmac8846
    @jacksonmakariusmac8846 2 ปีที่แล้ว +6

    God be with you.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ur blessed ...keep moving keep shinning

  • @monicamagesa8571
    @monicamagesa8571 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutanguliye na akukutanishe na watu sahihi wakukuinua na kukupa support ili uzidi kuwa viwango vya juu, na ufike mahala ambapo Mungu amekukusudia, wewe umebarikiwa sana na Mungu juu ya vipaji vyako ila muombe Mungu akukutanishe na yule atakayekuvusha ili usonge mbele na ukafanikiwe zaidi na zaidi, uje kuwa mtengenezaji wa hapa nchini. Hongera sanaaa kijana.

  • @jamiiredio91.0turkana
    @jamiiredio91.0turkana 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kaka inchinia M wenzangu. Mimi nilitengeneza 7km Lakini sapoti sijapata. Kweli Tanzania kwema.

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 ปีที่แล้ว +8

    Yani dogo hongera sana sana.ila jitetee mwenyewe usimuweke mavunde.uko vizuri sana sana pambana watakusaidia mtafute nape yuko vizuri atakusaidia

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 2 ปีที่แล้ว +34

    Dah!!Kipaji kinapotea tu bure,ungekuwa ulaya wewe kijana kipaji kingeendelezwa.Ila nakutakia kila la kheri,njia za mafanikio zifunguke kwako!!!

  • @yahyakigezi120
    @yahyakigezi120 2 ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana na ongeza bidii pia mungu akujalie ufike mbali

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +2

    Awesome awesome awesome duh😍💕🔨🔨congratulations

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana dogo m/mungu akuzidishie kipaji zaidi ili ufikembali selikali mumuwezeshe kijana afike mbali

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 ปีที่แล้ว +5

    Maskini mungu ampe maisha marefu.serkal mumsamee kwakweli.

  • @nth3512
    @nth3512 2 ปีที่แล้ว +8

    Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 ปีที่แล้ว +2

    Congratulations kijana. Siio mchezooo. Serikariii walitambue hilooo. Kijana. Amejitahidii sana

  • @meggygitau4079
    @meggygitau4079 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana, very Genius and creative Mungu azidi kukuongoza 🙏

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 2 ปีที่แล้ว +4

    Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 ปีที่แล้ว +6

    Hadi raha yani, Mungu azidi kukusogeza mbele na kukubariki🙏💪

  • @katore1982
    @katore1982 2 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah tabarakaAllahfi....angeiondoa hio picha kubwa ukutani ambayo inaashiria mungu wakihindi kama Shree

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah upo vizuri sana mdogo wangu mungu hazidi kukuinua zaidi na zaidi

  • @bakarimohammed9851
    @bakarimohammed9851 2 ปีที่แล้ว +9

    Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Sana Unajua, Serikali sidhani kama utaweza kukusaidia zaidi ya kukurudisha Veta, Wadau mnaopenda maendeleo Msaidieni Dogo a najua.

  • @mwanahawaayoub6647
    @mwanahawaayoub6647 2 ปีที่แล้ว +14

    Kuna watu wamezaliwa na vibaji jmn daaaa hongera mungu akuzidishie

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashaa Allah Allah akuhifadhi akujaaliye utimize ndoto zako.

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 ปีที่แล้ว +8

    Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana dogo, wewe ni kipaji sana, Mungu akusimamie

  • @malikijuma2759
    @malikijuma2759 2 ปีที่แล้ว +10

    genius ni mtu mwenye matumizi mazuri ya akili,hivyo huyo ni genius sio wale wanangu wa degree holder .

  • @del-mohaa7527
    @del-mohaa7527 2 ปีที่แล้ว +7

    Alafu mabeberu wanatuita sisi hatuna akili watu weusi huyu ni engineer mkubwa sanaaa ningekua na uwezo ningekusupport kwa uwezo wangu wote ila mm pia uwezo wangu bado upo chini natokea kenya 🇰🇪

  • @narymwamba7723
    @narymwamba7723 2 ปีที่แล้ว +1

    Aiseee we jamaa nouma Sana ...hongera mnoo duu🙌🙌

  • @issakellykalonji8879
    @issakellykalonji8879 2 ปีที่แล้ว +1

    BIG TELENTED ✌️✌️✌️🔥 GOD BLESS U MY YOUNG BROOH

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +11

    Mashallah, hongera sana kijana Wetu wa kitanzania

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 2 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana mkuu
    Mungu atutangulie Kakaa

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 2 ปีที่แล้ว +5

    Duuuu huyu wala haihitajiki kumfungia,kama inawezekana tuwekee namba tuanze kukuchangia ujenge kituo cha kueleweka.

  • @lancemulaki5132
    @lancemulaki5132 2 ปีที่แล้ว +15

    Big up kijana pambana dogo hulu Bashu wa TAMISE kafanyake. Hamna aja yakwenda schl

  • @faza4023
    @faza4023 2 ปีที่แล้ว +20

    Sasa Pikipiki veta muda wote inafanya nini huko? Wanataka waseme walitengeneza wao au, dogo kwani kasema alikwama? Wanashindwa kutengeneza za kwao na dogo atengeneze za kwake? Mpk mtangazaji anasema imechukua muda means huko veta wanaduaa tu au ndiyo figisu watu washaingilia. Boxer na mchina hawatauza tena? Kwann hawakuacha dogo amalizie mwenyewe na Kwa maelezo yake sio kwamba alikwama, si watengeneze za kwao basi

  • @edwriter
    @edwriter 2 ปีที่แล้ว +25

    Uyu jamaa ni Genius🙌

  • @allyadam9586
    @allyadam9586 2 ปีที่แล้ว +2

    Super talented guy...he managed all systems with a single brain, waooh. Amaizing ivan

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 2 ปีที่แล้ว +6

    Daa huyu akiendelezwa ni mtu mwingine sana mungu amfungulie milango

    • @mnyongeiddi2454
      @mnyongeiddi2454 2 ปีที่แล้ว

      Shida viongozi wetu hawangalii wao wanawaza siasa vipaji kama hivi wanapuuzia

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 ปีที่แล้ว +6

    Serikali hapo ni kuunga mkono tu kazi iendelee

  • @jonathantvonline4517
    @jonathantvonline4517 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kijana pambania ndoto zako

  • @michaeljm2739
    @michaeljm2739 2 ปีที่แล้ว +2

    Ongera sana kaka Mungu Atakusahidiya kwakipaji ulicho Nacho🙏🙏

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 ปีที่แล้ว +26

    Serikal yetu wako na kina bongo zozo ndo wanawaona wa maana wanaacha kupambania vjana kama hawa wadogo wakomboz wa taifa la kesho 😢

    • @Commentsplus
      @Commentsplus 2 ปีที่แล้ว

      Sasa hapo kipaji kipo wapi yani watanzania mnahemukwaa

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 2 ปีที่แล้ว

      Acha chuki ndugu,Mambo ya Bongo zozo na kipaji cha huyu dogo vinaingiaje?

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 ปีที่แล้ว

      @@Commentsplus we unaweza

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 2 ปีที่แล้ว

      @@Commentsplus kafie mbele uko na roho mbaya yako mxxx😏

    • @veronicanditeze425
      @veronicanditeze425 2 ปีที่แล้ว

      Kazi anayofanya bongo zozo sio ya kubeza

  • @kaittheleast
    @kaittheleast 2 ปีที่แล้ว +19

    Kigoma,, nyumba ya vipaji👊👊

    • @yahayamaulana1561
      @yahayamaulana1561 2 ปีที่แล้ว

      Kigoma au Tanzania? Rekebisha kauli

    • @issayajackson360
      @issayajackson360 2 ปีที่แล้ว

      Hahaha mwenewachu

    • @kaittheleast
      @kaittheleast 2 ปีที่แล้ว

      @@issayajackson360 kipaji chako ni kipi mwenewachu 😂😂

    • @kaittheleast
      @kaittheleast 2 ปีที่แล้ว +1

      @@yahayamaulana1561 kigoma sirekebishi kauli 😂😂

    • @issayajackson360
      @issayajackson360 ปีที่แล้ว

      @@kaittheleast mwenewachu hata sina kipaji wee acha tu

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 2 ปีที่แล้ว

    Hongera bro mwenyezi mungu hakujalie upate Itaji lako

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 ปีที่แล้ว

    Yan tanzania tupo vzr jaman
    Tukiwezeshwa hatuna umasikin hata
    Mungu ibarik 🇹🇿 yangu
    Inshallah Utafika mbali kijana

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 2 ปีที่แล้ว +7

    TANZANIA GOT TALENTS ... KUNA WATU WENGI WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU.

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 ปีที่แล้ว +13

    allah kareem azid kumpa nuru daima

  • @vbnmmnbv5292
    @vbnmmnbv5292 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Mungu akujalie zaidi inshallah

  • @angeloelia8224
    @angeloelia8224 2 ปีที่แล้ว +1

    Good job 👍 Kijaanaaa wetu from kigoma

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 ปีที่แล้ว +5

    Nchi zetu zakikolon unaweza tupwandani ukapewa kesi ya uhujumu uchumi watu Wana rohombaya sana nchii

  • @latjam188
    @latjam188 2 ปีที่แล้ว +5

    I can I support You Boy!!

  • @karisacharo2074
    @karisacharo2074 2 ปีที่แล้ว +2

    Very genius boy nakubal sana determination yako God bless u

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s 18 วันที่ผ่านมา +1

    Amefika darasa la sita, amebuni studio ya redio, sis tuliosoma madarasa tujitahidi pia kuwa wabunifu

  • @molifbreezy8496
    @molifbreezy8496 2 ปีที่แล้ว +19

    Bless up gee

  • @justinegerald5095
    @justinegerald5095 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu

  • @denisjr11media21
    @denisjr11media21 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh uyuu chalii mi mjanja mnoo
    Mwenyenzi munguu ambaeikii katika maisha yakee

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 2 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania tuna hitaji vijana kama hawa Good job bro Mungu akutangulie ufike mbali zaid ya hapo

  • @waheedhamad4558
    @waheedhamad4558 2 ปีที่แล้ว +3

    Inshallah naamini ipo siku allah atakukunjulia na utafikia ndoto zako na mafanikio yako kwa uhalali kabisa.....

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 ปีที่แล้ว +8

    Woow amazing saana dogo katisha pig up saana kwake 🙌🙌🇶🇦🇹🇿

  • @maarifatv4778
    @maarifatv4778 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akufanyie wepesi kijana wetu tunajivunia kuzaliwa kigoma tunajivunia kuzaliwa Ujiji