Jamaa aliniuzia mbwa 3, 2 hawakuwa pure boerboel kama alivyoniambia.1 pure boerboel alikuwa na menjes akafa na alikuwa anajua kwa sababu ni kama vile alirudishwa na mteja. Ni vizuri akatambua kwamba tunatumia.gharama kununua hao mbwa, nilinunua kila mmoja 800,000, ni vizuri akawa mwaminifu.Watu wengi wanamlalamikia!!!
Kwakusoma Comment nimegundua Watanzania wengi wamejaa wivu, kutokujiamini, mawazo hasi, wasioamini mapambano ya wengine, na wengi ni wavivu wakufikiria, kila kitu wanasikiliza ili wajibu na sio wa elewe, Watu wanaojielewa ni wa chache Sana na wenye makasiriko ni wengi mnoo😂
Hapo kwenye udongo wa makka naona si sawa miji iliyo tukuka na wala huwezi fananisha na mambo kama hayo makka au madina usirudie tens kufananisha na hizo mambo
imani za hofyo zinatawaliwa na vijana wa hofyo,ko hiyo ni miji iliyotukuka na unakoishi ww hakujatukuka na unasubiri nn kwenda kwenye miji hyo ? mnaaminishwa na waarabu na nyie mnasapot ujinga,hamna tofauti na wakristo wanaoona israel ni mji mtukufu,kulikotukuka ni mahali popote palipo na amani,Mungu yu mahali popote pale na yy hukaa mahali patakatifu so kama yupo popote inamaana kote kumetukuka ni ww tu kupaheshimu kwako,tuache kuwapasifa watu wa mataifa,hii haitofautiani na mtu kusema livingstone ndiye aliyeugundua mlima kilimanjaro,anapougundua mchaga alikuwa hajaumbwa?
@@hanifatanzania7258 Wanamlipa ndio mana kafanya huo uwekezaji hamna mtu yupo tayari kuweka hela kwenye jambo lisilo na faida Bei ya puppy mmoja ni zaidi ya laki Tano
Mbwa ni biashara safii sana Ina pesa congratulations bro ...good investment
The best i have ever seen done in Tanzania congratulations brother
Wachaga salute kwenu.. apa ndo mmetuziilisha ni watafutaji sana
Mm napenda mbwa ni ela tu
Heheh biashara ya mbwa kama unaifuatilia ina pesaaa kinomaaaaaaaaa
Hongera!
Nawapenda Mbwa🎉
''Hizi nyumba ni mzuri kuliko za watu wanazokaa mtaani"😆😆🙌🙌🙌 pesa mwanaharamu
Bongo sis tukion mbwa amekatiza ..n utaskia lete jiwe jaaa..niuweeee🤣🤣🤣
Atalii na nusu 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kweli hayo ni mapenzi 2
Wengine wauza madawa tu...
Hii nyumba ijegwa na mbwa😂😂😂
Big up Sana nice job 👏👏👏👏
Unalipa tra ?
Hii biashara nzuri sana ...watu maskini kimawazo wanahisi anachezea pesa
😂😆😆😆😆 kuanzisha hio unatakiwa kua na pesa ndefu
Kupandisha tu milioni na nusu?? Duh kazi kweli kweli
Sio lazima. Unaanza kidogo u ajikusanya
Mm napambana kaka nakukubali, ila mm mbwa apana 🤣🤣🤣
Hapo kwa mke nmekuelewa "ukishakua na mapenzi nae hujali gharama
Hizo nyumba zinamvito kuliko hom kwangu😥
😂😂😂😂😂
Hiyo kauli ni kweli ,
Jamaa aliniuzia mbwa 3, 2 hawakuwa pure boerboel kama alivyoniambia.1 pure boerboel alikuwa na menjes akafa na alikuwa anajua kwa sababu ni kama vile alirudishwa na mteja. Ni vizuri akatambua kwamba tunatumia.gharama kununua hao mbwa, nilinunua kila mmoja 800,000, ni vizuri akawa mwaminifu.Watu wengi wanamlalamikia!!!
Huyu jamaa anafananisha mke na mbwa😂😂😂
Nimwona kwenye mazishi ya star🌟
Fridge zime jaa kuku eebama wee ao kuku unaho wapa mbwa ss tuna taka ata mmoja tulinge na ss tu tuye alufu adi majirani wa jute ww una wapa mbwa
Mlevi uyoooo
unaona maxiara ila bonge la furxa
Ukichezea maisha ukiwa kijana uzeeni lazma uwe mchawi utaturoga utatusumbua😂😂😂😂
hii ni biashara nzuri sana
😂😆😆😆😆
😂😂😅
Nimecheka kifala kweli
Naomba kazi
Wale mkisikia kilimo cha vanila kinatajirisha mnakimbia kulima aya anzen kufuga mbwa mbwa
Vanilla zikoje
Duuuu South Africa wanafika mpaka Tanzania Arusha project za Cape tonw
Akili Huna umekod mbwa wa walinz utangaze biashara vzr..
Wivu
Jct be inspired
Import pitbull toka South kule wanawauwa sababu ya ukali.. utuuzie kwa Bei ndogo.
Kwakusoma Comment nimegundua Watanzania wengi wamejaa wivu, kutokujiamini, mawazo hasi, wasioamini mapambano ya wengine, na wengi ni wavivu wakufikiria, kila kitu wanasikiliza ili wajibu na sio wa elewe,
Watu wanaojielewa ni wa chache Sana na wenye makasiriko ni wengi mnoo😂
📌
Hao mbwa huku kwetu wanauzwa Afutatu nashangaa unasema mil150
Wee unasemea Vijibwa sio mbwa😂
@@alloycemillinga1673 vijibwa ni nn na wewe
Hahah hakuna mbwa anauza Afutatu budah
KWELI UZEENI NI WACHAWI WANGA WAKUBWA😂😂😂😂
Udongo wa makka (mecca). ....😄😄😄😄
Anawatukana waislam ukizingatia kwao mbwa ni haram
Hongera sana ndugu yangu
kiswahili kigumu aisee, hii nyumba imejengwa na mbwa
Imejengwa kwa pesa zilizotokana na biashara ya mbwa
Mwaswali ya vijana wa AYO buana weee , 😀😀😀😀
Frijiyangu iko empty lkn fridge yambwa imejaa kuku 😄😄😄
😆😳
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nataka ubwa walioko
Jiandae kuwapokea TRA
Tushazoea mwanamme ndo ananunua mwanamke kwa jamaa umbwa ya kike ndo inanunua dume noma sanaa 🤣
Kweli mimi mbwa hapana naogopa hazini pendi mimi kila mara zina taka kunila
Dah umenichekesha sana
😂😂😂😂😂😂
Eti kunila 😂😂😂ni kweli mbwa huwa anasoma mapigo ya moyo moyo wako ukidunda kwa uwoga anajua ww ni adui ndo anakufwata 😂😂
@@mishikikoti2948 na mbwa hapendi uchawi wala mtu mwenye horizontal, ukivaa hirizi anabweka mpaka anataka kukata mnyororo
@@khadijamahmoud4365 etii eeehh ?? Afazali umenijuza mwaya
Bangi hizo mbwa unafananisha na udongo wa maka
Geast house za mbwa kwa hiyo mbwa anafanya yake wakiwa humo.😂😂
bwana Giza guest house ni nyumba ya kulala wageni❤️
Huyu mwamba habahatishi yupo serious na life
Jiandaeninkula.nyama za.mbwa.nansupu
Kuuza nyama yake haiwezi leta pesa
Rahim kutoka kigoma katumia mbao kujengea mbwa zake😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimaeneo gani bro ulipo nije nijifunze nitumie Aya no ya simu
Dunia Ina mambo mengi sana kuwa makini
Ni kweli kabisa ba mdogo
Hio ya uchawi nipo pamoja nawe
Hongera sana
Hapo kwenye udongo wa Makka umezingua babu ule ni mji mtukufu huwezi kufananisha na kitu chochote kile
Mafanikio yako yasitutie kichefu chefu kauli zako naomba ziwe nzr hiyo Rangi y mbwa wako haiwezi kuwa n thamani ya udongo ama ardhi ya makka
Usianze kuleta udini udongo ni udongo tu alivyosema wa makka naona umeumia
Anawauza or Ni just a shelter home for dogs?
Skiliza maelezo utapunguza maswali
@@mosesnyelo1380 ok
Ni kiziwi au ulichagua kutazama ukiwa umemute sauti!?😳😳😳🤷🤷
anauza,Hawa mbwa jamii wanatoka Belgium and German (wanaitwa Belgian shepherd dog)
@@emariusrush3285 ooh.ok.Thanks love.
saf sn kwa pran
Hapo kwenye udongo wa makka naona si sawa miji iliyo tukuka na wala huwezi fananisha na mambo kama hayo makka au madina usirudie tens kufananisha na hizo mambo
Hata mbwa ni kiumbe cha Mungu kilichotukuka hakijajiumba
Kweli Kaka maka na Madina Ni miji iliotukuka
imani za hofyo zinatawaliwa na vijana wa hofyo,ko hiyo ni miji iliyotukuka na unakoishi ww hakujatukuka na unasubiri nn kwenda kwenye miji hyo ? mnaaminishwa na waarabu na nyie mnasapot ujinga,hamna tofauti na wakristo wanaoona israel ni mji mtukufu,kulikotukuka ni mahali popote palipo na amani,Mungu yu mahali popote pale na yy hukaa mahali patakatifu so kama yupo popote inamaana kote kumetukuka ni ww tu kupaheshimu kwako,tuache kuwapasifa watu wa mataifa,hii haitofautiani na mtu kusema livingstone ndiye aliyeugundua mlima kilimanjaro,anapougundua mchaga alikuwa hajaumbwa?
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yani nikanunue mbwa m15 nimelogwa
Hata mimi nawaza kama wewe , ila umaskini tyu ndo unasumbua🤣😂🤣😂🤣🤣hapooo tutafute hela ml 15 siyo nyingi
@@denismvula300 😁Denis bwana nimekusoma kk
Ngoja tukaze Ila kununua mbwa mmmm m15 palefu kk
Lodge za mbwa!? yan X za mbwa au tatzo kichwa habari et lodge za mbwa!!!?
Wew ndo hjuiii maan ya lodge
Lodge n nyumba za wageni hasa za kifanyia ngono au aujui nn au unajifanya auelew
Hiyooo hasa ni akiliii zakoo zinawaza hivyo , Lodge ni nyumbani ya kulala wageni basi
Eeh Unajua but unajifanya aujui nd Hvyo lodge n nyumba ya wageni.....bhn so hao ubwa n wageni!?
Hjackiaaa wametoka nje ya nchi wew🤣
Pita huku
Utamu anapata mbwa mm ndo nalipa ela broo ebukuwa serious broo.
Eti fridge zinejaa kuku 😂😂😂😂😂
😂😆😆😆😆
Sasa Kama kajenga mjengo mkali huo kuku hawezi kuona galama
We kijana tutake radhi.ss wazee tunaombiwa uzeeni tutakuwa wachawi kwa kukosa Mali.
hakuna mbwa wakulinda hapo lugha ya mwili ya mbwa wanazani wanacheza
Wapo ndugu labda kama hujui breeds za mbwa
ungemuuliza na sok lak has la hao mbwa ni wap maan tumejua anako nunua ila watej wak wanako tok ni wap
Wateja wapo wengi sana, Arusha hata mbwa wa kawaida tu wanauzwa na wanasakwa
Laana tupu mbwa.mkubwa wee
Acha wivu wakijinga ww kilambuzi atakula kwaulefu wakamba yake ndugu
@@kelvintenga1217 mbwa haram kuwafuga
@@hanifatanzania7258 haramu kwako ila kwake sio haramu jaribuni kufikiri nje ya 🎁
@@goblessjrtz5464 Najis kwa muislam kumshikashika kukunusa
Du wewe dada alichokiumba mwenyezi Mungu kwani kukiita najisi umba chako ndio ukiite hivyo
Mh mh
🥱
😂😂😂😂😂😂😂makombo
boarding dog
Bangi mbaya mbwa wana bei yachini wewe ukidaganya watu
Kama hujui jambo usiliongelee
@@henryjohn4781 kunajambo gani laamaana hapo hiyo midibwa mtihanitu
@@hanifatanzania7258 Wanamlipa ndio mana kafanya huo uwekezaji hamna mtu yupo tayari kuweka hela kwenye jambo lisilo na faida Bei ya puppy mmoja ni zaidi ya laki Tano
Masikini hata hujielewi. Unawajua mbwa vzr kweli