ALIYETEGENEZA KITUO CHA RADIO KIGOMA AKIBOMOA "TCRA WALIKUJA, NAENDA DAR KUSOMA MIAKA MITATU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 399

  • @kimaronemes5689
    @kimaronemes5689 2 ปีที่แล้ว +34

    Huyu dogo serikali ingempa scholarship nje ya nchi kama China, Japan au Korea akoseme practical skills mambo ya lugha atajifunza taratibu huko huko nje ila anahitaji elimu ya vitendo zaidi kuliko darasani

  • @downtoncargocargo4140
    @downtoncargocargo4140 2 ปีที่แล้ว +7

    mimi nimesoma pcm kibaha , na nimefika marekani, very rarely kuwaona vijana kama hawa, anakosa logic thinking in self explanation, also there is wrong aproach ya uongozi na kijana pia, ilibidi akasome akiendeleza kituo chake, wampatie frequency zake, wamnunulie vifaa vyake ili aendelee, sio kutaka tuu sifa, then nashindwa kuelewa kwanini hawajataka kumpatia logical approach and progressive approach ya huyu kijana

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +99

    Nchi ya Mavi kunuka Tanzania uwezo mdogo wa kufikiri. Hao waliosoma wamegundua nini ....Huyu kijana sio wa kukaa kwenye benchi la shule miaka mitatu na kupata elimu ya kukariri formal education, ilitakiwa kutathimini nini anataka maarifa gani anataka ili kuongeza ubunifu wake. Na upuuzi wa Mavi kunuka wa hao watu Waziri aliowatuma eti aziendeleze hiyo radio , pili kwanza Waziri ilitakiwa aje mwenyewe kumuona huyo kijana na hata Rais mambo haya ya muhimu hawatangazi ila utumbo wanaongea. Nchi ya Mavi kunuka Tanzania 🇹🇿 ya watu million 60 hamna hata innovation centers moja sasa nchi itaendeleaje bila vipaji vya technology na wabunifu kuendelezwa

    • @donjb3178
      @donjb3178 2 ปีที่แล้ว +12

      Huyo dogo dream zake zishakufa tyri, expectations kills people yaani anawaamini TCRA bila hata kushughulisha akili yake kipaji alichonacho hawezi kukikuza shule tena 3 years kukalili vitu visivyo na umuhimu

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 ปีที่แล้ว +7

      Kweli naona washamfelisha lkn sijui ten

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 2 ปีที่แล้ว +22

      Kwa wataalam wa mambo ya radio, sio ajabu Sana. Hiyo ilikua ni simple transmitter ambayo radio technician anaweza ku assemble. Lakini kupeperusha radio frequency Ina sheria zake ambazo huwezi zijua kama hujasoma. Na Kuna madhara kama wewe unapeperusha kihorera, hujui frequency za raia, za police, za kijeshi. Huyo anatakiwa afundishwe basic electronics ili awe na uwezo wa ku repair na kuinstall communication equipment. Mnachosema amebuni si cha ajabu wengi wamefanya kabla. Inabidi aelewe kuengeneza machine ambazo zinavigezo.

    • @knowledgeispower1118
      @knowledgeispower1118 2 ปีที่แล้ว +9

      Naongezea tena ,changamoto kubwa lina ikumba nchi za kiafrika ni kwamba watu wenye akili hawataki kujihusisha na siasa...hivyo wamepewa mamlaka watu wasio na akili wawaongoze watu wenye akili na wasio na akili..matatokeo yake ndio hii

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 ปีที่แล้ว +3

      @@suntzu8959 upo sahihi kaka!

  • @allyhabib2496
    @allyhabib2496 2 ปีที่แล้ว +6

    Well done milad ayo all the best kijana

  • @salumothman3994
    @salumothman3994 2 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akujalie afya njema kijana maana uko unajitaidi sana

  • @othmanabdalla5295
    @othmanabdalla5295 2 ปีที่แล้ว +21

    Afrika,Afrika nimekuita mara mbili mbona uongozi wako umejawa na chuki na roho mbaya zisizopenda mafanikio?

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +21

    Ukiwa na kipaji sio lazima uende ukasome maana elimu ya skuizi ni mashaka tu

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว +1

      Hapo nakataa kusoma lazima yaan,lazima usome usiposoma utakutana na changamoto nyingi sana mpaka utataman uende shule walau uongeze maarifa fulan kwanza Kama wewe ni mbunifu ukienda shule hata ukali na uwezo unatanuka.

    • @hoseasteven6241
      @hoseasteven6241 2 ปีที่แล้ว

      @@ezeedi871 nani alikwambia kusoma ni mhimu , mwanasansi gani akina aizack Newton, Asten wewe uliwahi kusikia wapi walisomea

  • @SalimSalim-ec9jo
    @SalimSalim-ec9jo 2 ปีที่แล้ว +5

    Africa yetu siku zote hubaki nyuma kwa ajili Ya fitna na wivu... Huyu kijana Ana kipaji Mungu kamjaalia ila ADUI Ya mwafrika ni mwafrika... Mpeni support huyu mtoto wacheni drama...

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah aisee,me kwaupande wangu sioni Kama wazo zuri Huyo sio wakukaa benchi saiz ilibid aendelezwe hao waliosomea weeengi tuponao mtaani huku Tz watu tuna felishana saaan

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah bongo kweli usenge. Yaani adi ivi leo dogo bado hajaalikwa kama mgeni wa heshima huko kwenye kijumba chao bungeni.

  • @edvinwissa7960
    @edvinwissa7960 2 ปีที่แล้ว

    Apo kachagua sehemu sahihi coz mwanzo walikosea kumsomesha auto electric naamini kwa sasa ujuzi ataupata vema electronic is the best subject GOD bless this guy kaka millard nimesoma basic electronic lakini kwa uyu jamaa🙏🙏🙏🙏🙏 oligin tallented from Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +12

    Hiyo miaka mitatu ana soma si ana poteza muda mjue kama mtu ana kipaji suala ni kumpa mtaji ili afungue kampuni yake afanye biashara sio kwenda shule ana poteza mda na ubunifu wake

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 ปีที่แล้ว

      Ndohapo wacha tuone itakavyokua

    • @neutraltv9393
      @neutraltv9393 2 ปีที่แล้ว

      duh!..unahsi mtaj pekee unatosha?...elimu muhmu itamfanya ajue zaidi na hata mwenyew analifurahia hilo

    • @elijahmediaservices
      @elijahmediaservices 5 หลายเดือนก่อน

      Kipaji HALISI ni kama kifaranga ndani ya yai, ukikisaidia Sana UNAKIUA , ILA KIPE MUDA wa Kutosha wa majaribio, na pesa kidooogo baasi.
      *Kipaji ALISI Hakiongozwi , Kimezaliwa HIVYO KUJIONGOZA UKIKIONGOZA UNAKIPOTEZA, "KIPE MUDA"
      *KIPAJI KINAHITAJI HARD WORK NA MUDA, NA KUTOKATA TAMAA.
      *KIPAJI HAKIFUNDISHWI, UTAKIHARIBU, KINAJIFUNZA KINACHOTAKA CHENYEWE.
      *NJIA KUU YA KIPAJI KUJIFUNZA NI THOUGH PAIN OR MISTAKES.
      *AKIENDA SHULE AAMINI ALICHO NACHO KUWA NDIO BORA,

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema katulize kichwa mdogo wangu

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 ปีที่แล้ว

    ,Hongera Sana kijana, zuberi,
    Lakini pia hongera Sana Mirald Ayo,
    Kwa kuibua vipaji vilivyopo Underground,
    Mirald Ayo Mungu akubariki Sana.

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 ปีที่แล้ว

    Asante sana Millard ayo kwa kumtoa kijana mungu awabariki sana na azidi kuwatumia kutangaza vipaji vya vijana mbali mbali

  • @afratrad7214
    @afratrad7214 2 ปีที่แล้ว +6

    Kuna tatizo kubwa naliona hapa, Baada ya kumsomesha what next? What does it add on Innovation? We need strategical and not talent killing. Kuna mambo ambayo kama taifa tumekwamisha. Kuna jambo la ziada la kufanya .....

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 2 ปีที่แล้ว +1

    HONGERA SANA NDUGU. NDUGU NAOMBA USIENDE KUTULIZA AKILI, ANGALIA HUKO UNAKOENDA LISIWE KABURI LA KUUA ULICHONACHO.

  • @sadamofficialtz
    @sadamofficialtz 2 ปีที่แล้ว +5

    Tunamuombea afanikiwe🔥🔥🔥

  • @mustaphersamson6174
    @mustaphersamson6174 2 ปีที่แล้ว +3

    BIG UP DOGO, UBUNIFU WA HALI YA JUU, VYEMA KUTII SHERIA BILA SHURUTI.

  • @wilsonmichael1156
    @wilsonmichael1156 2 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana hicho chuo. Asee Mungu awabariki sana na awaongezee

  • @MaadilikwanzaTanzania
    @MaadilikwanzaTanzania 2 ปีที่แล้ว +6

    Hakuna cha elimu, wanaenda kummaliza😢. ANAENDA NA BASIIII😭😭😭

    • @elishayohana2896
      @elishayohana2896 2 ปีที่แล้ว +1

      This is Tanzania bro! Kuna mwingine alibuni ndege ,,gari LA kutumia maji kama fuel ila baada ya ukaguzi kwisha yao habari

    • @abdallahiddy6333
      @abdallahiddy6333 2 ปีที่แล้ว

      Waki mmaliza utanijulisha namimi huku

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว +8

    Naamini TCRA wamemfungia kijana kiaina, ila sio poa kabisa kuua vipaji vya vijana wetu,,,,,,kwanini abomoe na asiboreshe transmitter yake?

    • @kimaronemes5689
      @kimaronemes5689 2 ปีที่แล้ว +1

      Una akili sana mwamba ,hao TCRA wamempunguza kisomi 🤣🤣🤣

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว +2

      @@kimaronemes5689 yaani huo ndio ukweli Kaka,,,,,ila inauma sana kuona wanamzima kiaina, badala ya kumwambia aboreshe!!!

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 2 ปีที่แล้ว +1

      Washamuaribia maisha yake

    • @nereaigogo4442
      @nereaigogo4442 2 ปีที่แล้ว +1

      Ninachojua kurusha matangazo kwa njia ya radio au television inahitaji kibali kwa ajili ya uwajibikaji, maudhui nk
      Kwahiyo wameona wakimwambia dogo kurasimisha kituo itakuwa mtihani kwenye gharama

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว +1

      @@nereaigogo4442 Tunafahamu hayo yote, suala kubwa hapo ambalo nadhani ni la umuhimu mkubwa ni Kwa namna gani kama nchi tuna wapromote wabunifu wa ndani, Kwa hiyo Kwa maoni yangu si busara kumpunguza kama walivyofanya,,,,maana tumeanzisha vyuo vya VETA ili kupromote ubunifu, sasa ikiwa wabunifu tunawazima basi hakuna umuhimu wa kuanzishwa kwake!!

  • @kimmusic7090
    @kimmusic7090 2 ปีที่แล้ว +5

    Naomba wazari wa wa sheria asimamie huyu kijana hiyo elimu ya bure watanzania wanaweza msainisha mikataba ambayo itaua kipawa cha huyu kijana wakampa mikataba ya ajabu na yeye akasaini sababu hana namna viongozi mlindeni huyu kijana

  • @jerryt698
    @jerryt698 2 ปีที่แล้ว +13

    After 3 years in Dar es Salaam all the creativity will be filled with Luxurious life, he will get a job and that will be the end of the masterpiece invention. SAD

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 2 ปีที่แล้ว +2

      Which Invention. A Radio transmitter was invented in 1890 by German called "Macconi". I personally isn't my first time seeing children playing with electronic component to make simple radio, I have seen this as far back as 30 years ago. Those electronic components used to make that simple transmitter can only be learnt at school with right measuring and testing equipment. He has a passion yes, but to help him further is to train him. Also making an equipment which transmit radio frequency is guided by the law that's why he was told to Stop by relevant communication authority. Frequencies are managed and regulated, and allocated for various purposes. They are frequencies for domestic radio broadcasting, military, police, aviation, maritime, and many other applications. These can only be leant at school.

    • @laninatwaha3850
      @laninatwaha3850 2 ปีที่แล้ว +1

      There wasn't any invention bro

    • @jerryt698
      @jerryt698 2 ปีที่แล้ว

      @@suntzu8959 Lets not argue on the ''invention'' since it has several meaning; i am not against formal education that he will receive at the college; however the education system will help him to understand the functions of transmitter, capacitors etc but not creativity. I agree with you on the laws and broadcasting regulations guidance.

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 2 ปีที่แล้ว

      @@jerryt698 I get your point now. It is actually a plus for him to get educated

  • @mtopelamussa7783
    @mtopelamussa7783 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante mungu endelea kumsimamia kijana mwenzangu! Pambana brother, pia nimeshiba ushauri wako tusikate tamaa Inshallah tupambane.

  • @issamkumba8618
    @issamkumba8618 2 ปีที่แล้ว

    Ayo tv mbaki milele nimependa mnawaibuwa watu ambao hata hawakufikili kama watatoka bigup sana

  • @zamoyonialexofficial8738
    @zamoyonialexofficial8738 2 ปีที่แล้ว +5

    I am so disappointed , Yani watu wako wana soma miaka Wana maliza hawaja weza kufaya chochote hata kubuni mbolea , mtu kama huyu alitakiwa kuwekwa kama Nyara ya serikali , hii ni hazina ila sioni initiatives za kumsaidia hii kitu. ila tukipongeze hata hicho chuo kilicho jitolea

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 ปีที่แล้ว +4

    Ndio Maana Elon Mask aliamua kujenga Chuo chake afundishe mwenyewe watoto wake maanaa Ameona Hii Elimu yetu yakuukaa kwenye Viti ukariri upewe mtihani Ufaulu alfu unatoka hujui kitu aliona Ni Ushenzi tuu

    • @neutraltv9393
      @neutraltv9393 2 ปีที่แล้ว

      Kama ulimezeshwa ni ww siyo wote

  • @abbyzidane_5544
    @abbyzidane_5544 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu amzidishie kipaji chake

  • @georgesheto4542
    @georgesheto4542 2 ปีที่แล้ว +6

    Kijana huyu akienda darasani atapotea maana alitokeaga kijana mmoja alitengenezaga helikopta akapelekwa darasani hadi leo sijui yuko wapi

  • @AbuAsmaa84
    @AbuAsmaa84 2 ปีที่แล้ว

    Karibu chuo bora cha Al Maktoum college of Engineering and Technology

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 2 ปีที่แล้ว +5

    Africa Africa. Bara linalo pega teke vipaji vyao naku kumbatia vyawazungu. Wakiamini kwamba wazungu ndowana damu. Niujingamtupu. Vipanji Africa nivingi tatizo viongozi waafrica. Awamini vipaji vyao.

  • @mawazomolani2677
    @mawazomolani2677 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana nawapongeza kwa kuwasaidia

  • @mohani7390
    @mohani7390 2 ปีที่แล้ว

    Yess aendelee

  • @ivandangote1743
    @ivandangote1743 2 ปีที่แล้ว

    Honger San bro maan toka shule ya msingi ulikuwag vizr kwa ubunifu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 ปีที่แล้ว +5

    Maskini mungu azidi kukuongoza zuber.nampenda Sana uyu dogo na atafika mbari🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 ปีที่แล้ว

    Yaani ww kijana si ulishaenda ulifaidika nini Nibora ata wangekupa pesa tu utafute mtu wa kukufundisha English lakini mambo ya kwenda Dar kazi kweli kweli kweli

  • @gamalielistephano8509
    @gamalielistephano8509 2 ปีที่แล้ว

    We subiria kuuliwa kipaji chako tanzania huwezi kutoka mdogo wangu. Tz ukigunduliwa unakipaji kinachofuata nukuliwa tu.

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 ปีที่แล้ว

    Waoh Mungu ampe upenyo kufanya maziri zaidi

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 2 ปีที่แล้ว +8

    Dah!! hii ndo tanzania. Zuberi angalia sana usipotezewe muda ili kipaji chako kipotee.

  • @SadickvicentSimfukwe
    @SadickvicentSimfukwe 2 ปีที่แล้ว

    Sorry Millard Ayo May I get connection to meet with that Guy thanks!!

  • @eliashibundabalinze2217
    @eliashibundabalinze2217 2 ปีที่แล้ว +10

    Ajifunze ubunifu upi zaidi ya huo alouonyesha?
    Vipaji vingine siyo vya kusomea ni vya kutoka moja kwa moja toka kwa Mungu.
    Tusubirie miaka mitatu iishe halafu turudi hapa muone kama tutamuona tena huyo dogo

    • @oliversimpliskimariokimari3510
      @oliversimpliskimariokimari3510 2 ปีที่แล้ว +1

      Kama ulimsikiliza vizuri yy mwenyewe aliomba kusoma na shauku yake kubwa anataka kujua kingereza

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 ปีที่แล้ว

      Wataua. Ubunifu alonao. Bora wangemwacha

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 2 ปีที่แล้ว +1

      @@oliversimpliskimariokimari3510 kama hajui Kiingereza aliwezaje kuunganisha hiyo mitambo ya radio station

    • @masatjohnson7113
      @masatjohnson7113 2 ปีที่แล้ว +1

      Ndio tujiulize

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 2 ปีที่แล้ว +1

      @@oliversimpliskimariokimari3510 yaani MTU hana elimu ya kiingereza lakini ameunganisha vifaa na akatengeneza mtambo wa radio.
      Anahitaji elimu ya nini tena?
      Tuko na vijana wengi wametoka vyuo na wanaongea vingereza Vingi lakin hata kubuni mshumaa au baruti hawawezi.
      Sitaki kuamini kama elimu inafanya MTU awe mbunifu nooooh
      Vitu vingine ni automatic toka kwa Mungu.

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 2 ปีที่แล้ว +1

    Achunguzwe vizuri..for security purposes

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 2 ปีที่แล้ว

    Daah amevunja kwa maumivu makali moyoni Mungu yu pamoja nawe ndugu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 ปีที่แล้ว

    Makubwa,pole kijana..husda za waungwana..kha!!!Tanzania,mtihani

  • @samwelirobert2576
    @samwelirobert2576 2 ปีที่แล้ว

    Ushindi mwingi 💪

  • @bamizertv1822
    @bamizertv1822 2 ปีที่แล้ว

    Dogo anapata ustar ,lakini haangalii.itamsaidiaje kiuchumi. Kiufupi innovation Kwa Tanzania hazilipi ndo mana tunaamua kuwaachia.madogo.

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 ปีที่แล้ว

    kijana Mungu akusaidie

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro Bora nenda veta, au tafuta vifaaa endelea kufanya maharifa yako , na chukua vitabu vyako soma mwenyewe, elimu zetu hizi za kibongo mhhh hakuna kitu ni utopolo tu..,

  • @mjahmwajuma1324
    @mjahmwajuma1324 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amsaidie

  • @neemamjengi9913
    @neemamjengi9913 2 ปีที่แล้ว

    Vipaji ni zawadi pekee Mungu anaompatia mwanadamu,ni vizuri kushika mkono ,huku alichokianzisha kikipewa sapoti,na sio kuua

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu amlinde na husuda za walimwengu

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 2 ปีที่แล้ว

    Wasingemvunjia Maan hapo wangemsaidia tu kupanua kituo chake Maan Elim alozaliwa nayo ilikua inamtosha na ingepanuka kupitia huo huo ubunifu, asipoangalia vizur atakiua hicho kipaji chake kabisa, Allah akusimamie

  • @paulromanusy3882
    @paulromanusy3882 2 ปีที่แล้ว +2

    Bahati yetu hili Taifa linachaguana kwa matabaka, ila laaah sivyo tungeuwana sana na tungedharaulika! But Mungu atuepushie sana lisitokee!!!😡😡😡😡😡😡😡😡😡

  • @Best_tz
    @Best_tz 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akusimamie na ufike mbali ndugu yangu

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 2 ปีที่แล้ว

    Waooo kila la kheri 💪💪💪

  • @agyady6260
    @agyady6260 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amuwezeshe ndoto yake isizimike jamani ptuuu nchi ya kuua vipaji Mungu atusaidie tz

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana Acha akaongeze elimu ila asisahau kuwezesha Kwao

  • @mariamjackobo6219
    @mariamjackobo6219 2 ปีที่แล้ว

    Mungu mkubwa sana hongera sana mdogo WANGU mungu akutangulie katika masomo yako.

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amtangulie

  • @danielwilfred2609
    @danielwilfred2609 2 ปีที่แล้ว

    Uyu dg gifted sana, hamna kukariri apo n ma idea yanawaka tu kichwani

  • @directorsnigar625
    @directorsnigar625 2 ปีที่แล้ว

    Daaaah SAFI SANAAAAA WABUNIFU WANAPATA MOYO SANAAAAAA

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 ปีที่แล้ว

    Magu angekuwepo hawana kazi mzee

  • @kuntakinteomolo2832
    @kuntakinteomolo2832 2 ปีที่แล้ว +2

    Yaani kijana zuber unatisha,,wewe ni zaid ya mfugale

  • @vivianavivy3656
    @vivianavivy3656 2 ปีที่แล้ว

    Yani Tanzaniaaa Tanzaniaaaa😏

  • @daisythetech
    @daisythetech 2 ปีที่แล้ว +4

    Sometime publicity huwaga inaponza na kuua vipaji vya watu......watu weng wa hapa tz walijitokeza kwa idea mara zote serikali ndo inawashusha...sidhani kama huyu dogo angekua ameonekana au kujulikana nafikiri watu wa eneo lake hapo wangeendelea kuburudiaka na idea yake ya kuanzisha redio

  • @thetrends472
    @thetrends472 2 ปีที่แล้ว

    aaaaahhh kudadeki sijui kama wamefanya kwa nia ya kumsaidia hebu tuone

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 2 ปีที่แล้ว +3

    Sasa si wangekiacha kiendelee na yeye huku anasoma daah jaman nimeumia sana yaan😭😭😭

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 ปีที่แล้ว

    Ulitakiwa useme muheshimiwa au Waziri Nape, kwa Watanzania tuna kitu kinaitwa kuheshimiana cc kwa cc, kwa wakubwa na wenye mamlaka.
    Hongera sana Zuberi, Mungu azidi kukutangulia...ndoto yako ni nini? Waambie ndoto yako.

    • @bobwhite9252
      @bobwhite9252 2 ปีที่แล้ว

      Acha uchawa wewe mama wa mkoani

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu nimwema kwakila kitu

  • @kassebo
    @kassebo 2 ปีที่แล้ว +3

    Zuberi. Hiii Elimu uliyo nayo. Haukuisomea. Ni Elimu uliyo zaliwa nayo. Kuwa makini Sana. .unaweza ukapewa nafasi ya kusomea hiyo Elimu lakini usipewe nafasi ya kupata mafanikio kupitia hiyo Elimu. Chamsingi mtangulizeni MUNGU. Maaana wasomi niwengi sikuizi ila hawana ajira

  • @msusasandali5833
    @msusasandali5833 2 ปีที่แล้ว

    Hii nchi hii daaah ya hovyo Sana wallah

  • @jovinusjovenary1011
    @jovinusjovenary1011 2 ปีที่แล้ว

    Afriqu

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 2 ปีที่แล้ว

    Ameshapoteza kila Kitu Pesa N Pesa Na Shule n shule😀😀😀😀😀

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว

    Ngoja ukaanze kufundishwa hesabu za kutafuta X na Y ndo utajua cha mserereko kinaponza ila ukifeli usidhan serekali itakubeba tu niko hapa nakuombea ukangare urudi na ujuzi zai🙏🏽

  • @Cristiano-e1g
    @Cristiano-e1g 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukifika dar kumbuka kuna kidimbwi

  • @josengumbi4029
    @josengumbi4029 2 ปีที่แล้ว +3

    Hapo ndoto zake zinazimwa mazina yani, tunaomba feedback ya huyu next three years.

  • @nasramsomalizulkhan4741
    @nasramsomalizulkhan4741 2 ปีที่แล้ว

    Yaani hatutamsikia tena DAH

  • @bongolegacy
    @bongolegacy 2 ปีที่แล้ว

    MillardAyo tafadhali tutafutieni "Frank Wire" mbunifu wa kitambo kidogo. Alikuwa na mambo mengi zaidi tunaomba tujue yuko wapi na amefikia wapi kwenye ubunifu wake.

  • @stukiaally4690
    @stukiaally4690 2 ปีที่แล้ว +1

    Huu ni upuuzi, badala ya kumuwezesha vifaa na kumpa wataalam wamuelekeze matumizi, unamwambia abomoe, aende shule miaka 3

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +2

    Kijana Mavi kunuka Tanzania watapoteza kipaji chako mswahili yeye anawaza kutombana tu na majungu na kuzaliana kama panya na starehe. Kijana tafuta connection ya wazungu au nchi za Ulaya na Marekani watakupa sponsorship na wazungu wanathamini sana kama uko smart, wenzako tuko na uwezo mkubwa IQ tumeona Mavi kunuka Tanzania inatupotezea muda tuko Ughaibuni na ngozi nyeupe inatuthamini sana na tunalipwa vizuri tu

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว

      Mavi kunuka tanzania😂😂

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 2 ปีที่แล้ว +1

      Unavyoabudu mizungu/miarabu itakua tayari wanakusukuma mavi

    • @leilahhassanomary7189
      @leilahhassanomary7189 2 ปีที่แล้ว

      Mkataa kwao ni mtumwa 😂

    • @catherinemzurikwao3265
      @catherinemzurikwao3265 2 ปีที่แล้ว +2

      Huna lolote, mstaarabu hutoa ushauri na suluhisho la matatizo pasipo kutumia lugha ya matusi. Ungekua na IQ kubwa usingeikataa nchi yako na kuamua kuishi kwa wakoloni. Huko uliko umebuni nini? Kazi tu kutukana mtandaoni! Stupid nonesense

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@Burner_Acc ni wazungu mbwa wewe hapo hadi chupi uliyovaa wamegundua wazungu , hiyo simu kitochi chako wao ndio wamegundua . Waarabu hawana akili za wazungu , nguo ulizovaa kuficha matako yako makubwa na mkundu wamegundua wazungu mbwa wewe halafu unaropoka kama umekaria uboo fala wewe . Haya kama chako kama wewe umeleta faida gani humu duniani ??

  • @biottomollel6527
    @biottomollel6527 2 ปีที่แล้ว

    Genius 🤛🏿

  • @Bari686
    @Bari686 2 ปีที่แล้ว

    Cha msingi dogo tumia kipaji ulichonacho kutengeneza bundki alafu unazikodsha,,
    Utakuja kunishkru

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 2 ปีที่แล้ว

    Wameshaua kipaji

  • @gililwise
    @gililwise 2 ปีที่แล้ว +1

    Electronic ni ngumu sana kwa mtu ambaye hajasoma.mngeboresha tu kipaji chake kwa kumsapoti

    • @vamos842
      @vamos842 2 ปีที่แล้ว

      Ni kwel ila pia anahitajika kuongeza maarifa ila inapaswa aendelee na uvumbuzi ikibidi awapo masomoni☺️

  • @johngasto4154
    @johngasto4154 2 ปีที่แล้ว

    Nimefurai nataman ningekuwa mim hongera dogo

  • @frankluhu5322
    @frankluhu5322 2 ปีที่แล้ว

    Ohooo wasije haribu kipaji chake wataend kumuajili ubunifu unaisha TZ ya kifala sana

  • @MrflashMobile
    @MrflashMobile 2 ปีที่แล้ว

    Daaaah mchi yakijinga Sana 😁😁😁😁😁😁😁

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 ปีที่แล้ว

    Mmmhm

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 ปีที่แล้ว +1

    Fanya mkataba kwa maandishi wasije kukugeuka

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 2 ปีที่แล้ว

    Wamekumaliza

  • @salumhafidhally5927
    @salumhafidhally5927 2 ปีที่แล้ว

    Maisha saiv unaweza kutoboa Kwa kipaji tu

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 2 ปีที่แล้ว

    Washammaliza huyu daaah

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 2 ปีที่แล้ว

    Uje tu bongo mzee uwone madem kibao upotee kbs kbs na kipaji chako kigoma madem kawaida2 karibu sana mji wa warembo tukpoteze 💤🇷🇺💪🚀🤣😜

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo imetoka hivo

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 2 ปีที่แล้ว

    Huyo dogo inatakiwa asahidiwe kuendeleza kipaji chake

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +7

    Hiyo scholarship kijana Zuberi asaini pamoja na mwanasheria na isomeke hamna haki juu ya intellectual rights zozote za kijana Zuberi. Kijana ukienda Dar utaenda kuteseka hawa watu sio wa kuwaamini na wabongo sio watu wa kuthamini vipaji kukugharimia kila kitu kwa miaka mitatu inaleta wasiwasi sana

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 ปีที่แล้ว

      Akitengeneza kitu akiwa bado yupo chini ya uangalizi wa chuo basi hiyo ni mali ya chuo
      Hakuna chuo chochote duniani hakina sheria hiyo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilikua tu watatoa hat mm nikitengezenza hiv vitu simple Ila vitisho sasa

  • @eliakimuesau3233
    @eliakimuesau3233 2 ปีที่แล้ว

    Saf san dogo MUNGU akutangulie