MSWAHILI: ATENGENEZA GARI KWA KUTUMIA INJINI YA PIKIPIKI / INAKIMBIA SPEED 120 KWA SAA / WATU WAWILI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- MSWAHILI: ATENGENEZA GARI KWA KUTUMIA INJINI YA PIKIPIKI / INAKIMBIA SPEED km 120 KWA SAA / WATU WAWILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mungu amjalie kaka yetu kwa kujitahindi. Milango yake ya bahati ifunguke na aweze kuendelea na sifa mzuri na mafanikio ya nduniani isimpite hata kidogo. Hongera sana mdogo wetu🙏🙏
♥️
Asante
Kazi nzuri kijana. Serikali iwasaidie vijana kama hawa katika kujiendeleza katika ubunifu.
Maishallaha mtaji wamasikini ninguvu yake mwenyewe allah azidi kuwatia nguvu papanene tutafika
Wow that's nice keep it Mungu azidi kukuongezea hicho kibali
Hongera sana kwake hivi ndo vitu tunavyovitaka Tanzania…. Investors muiangalie hii kwa hicho pana saaaanaa jamaa anajua kinachotakiwa hapo ni support sasa….
Duh safi sana n hongera sana kijana wa kiafrika kufanya ubunifu mkubwa namna hii🇹🇿😘
Safi sana mzee kwa ubunifu mkubwa. Big Up
Safi sana mzee Zembwela. Nadhani hii clip ingewafikia viongozi
Mashallah, hongera sana mdogo wangu kwa kazi nzuri
Mwanzo mzuri
Au wa mecall mbona kama siyeye
Safi sana kwa ubunifu
Mwenyezi mungu alinde African huu mtanzania ni Bora na miongoni mwa wakwanza ktk greatest artist
Namufurahikiya saaana mashaaallah mungu amubariki
Ongera Sana kwa ubunifu, endelea na fuata mawazo ili ufanye Jambo kubwa zaidi ya hilo
Hongera sana kijana mwenzetu ushauri uliopewa ufanyie kazi tengeneza kikubwa zaidi
Nimependa Sana hiyo gari, Wa TZ oyeeeeeee! Kumbe tunaweza bana nakubali wazee
Hongereni sana mmejitahidi sana na nzuri sana
Mtangazaji fala Sana Ana choyo Sana na kuhusudu na kudharau.
Hafai hata kuwepo kwenye screen mjinga. Aende akadome.
Mpe moyo, msifu mpe matumaini.
Kaka Safi Sana jitahidi kuwa creative mungu akuongoze ufanye makubwa.
Hongereni sana jamani Vijana kwa ubunifu wenu mzuri,,, Serikali iwaangalie kwa jicho la tatu iwawezeshe.
Kazi nzuri sana umeifanya ila ushauri uliopewa na mzee mbwela n mzuri sana kiongeze kiwe na space ya kutosha kitakuwa kitam sana
So talented, Mungu akusaidie sana ufika viwango vya juu
Wapo vizuri tatizo mtaji
Ubunifu wa hali ya juu sana 🙌🇶🇦
Sana
Shida turiyonayo katika taifa letu_hatutakikabisa kuwapa_sapota VIJANA wabunifu. Kijana hongera!!! Mm nikushauri ukomae zaid acha kutegemea saaaana serikal. Hongera sana
hongera sana
Hongera sana Godfrey,ww nimekuvulia kofia,maana nifundi mzuri sana wa magari, now umeunda chako,Hongera sana
Yuko sehemu gani uyu mwamba
Asante
@@godifrey5268 mwanang saanaa unapatikana wapiii naomba namba yako
Yes vizuri sana
Mungu awasimamie mfike mbali ila mtangazaji kweli mswahili khaaa
Well done Tz for Africa keep going with engineering 🇰🇪🇬🇧✍🏽📖🙏🏽
Saf San shida hawatamuona dah
@@sabunitv2121 write to samba suruhu might be a solutioin to exposing tz to the world 📖🛐🙏🏽
Nimeipenda.hongera sana fundi.pia bwana zebwera umenifurahisha sana umempaisha Jamaal mtanzania.nipe tano
Kweli ww kabali Yao babu,chuma big up brother 🙌 umetisha sana hapo kwenye gearbox mzee
Ubunifu mkubwa sana kijana mwenzangu Mungu ajalie upate watu wakukuwezadha upige atua kubwa zaidi dunia ikutambue kwa ubunifu wako
Hongera sana kwake kazi nzuri sana
Acha ufala we mtangazaji sasa unawakosoa hao jamaa unajikuta fundi kumbe msenge acha dharau, Hongera sana hao jamaa
Jaman awezeshwe anaweza naomba serikali imuendeleze ndo mambo yanavyo anza mapa kufikia kitengeneza magar yetu
Nimeipenda San hiyo ni kitu kikubwa San hiko watu kam hawa wangetusaidia kutengeneza nagari yetu wenyewe wapo wengi sana kama hawa
Very talented, congratulations brother
Hongera sana ndugu yangu. Omba kibali kwa serikali uweze kuunda magari kama hayo na kuuza....👍
Wabongo 2nakuwa wajuaji saaana kuliko mwenye kitu
Sasa hapo zitajitokeza mamlaka za ukaguzi kama mia na zitaleta Giza kwenye Nuru kama yule wa bajaji
Umeona sasa. Yani mpaka RITA wataenda
Nakubal
Na gari la kipanya
😀 Tanzania yetu
Safi Sana,zembwela huyo anaweza kufanya Zaid ya hapo tatizo mfukoni
Ndugu yangu unahoji kuhusu chombo au unaenda kutoa ushauri kwenye chombo cha watu, uliza next model itakuwaje
Simuelew
Respect Sana Kaka!
perfect timing to me, thanks bro.
Wewe mswahili unasumbua sana
Yeye katengeneza ya kuendesha mwenyewe halaf una4ce ikufae wewe
Ingekuwa video chafu wangeomba connection but kwa ubunifu huu hawaongei🤭🤭🤭
Broo nakupenda sana toka ukiwa East Africa redio wee uko nakipaji toka kwa Allah aki unachekesha sana ataukiwa unabonga
Amejitahidi sana! Wange mpa msaada zika zalishwa in mass production then hata wakaanzisha michezo ya hii kama kuleta awareness
Hongera Sana ongeza bidii maana kipaji unacho
Big up sana kwa kazi
Akakakitu noma sana big up from BURUNDI 🇧🇮
Hongera mswahili
Mtangazaji mjinga sana akuna lamana apo ety simama vizuri
Angekuwa mimi unsinge nioji ningeondoka zangu
Mtangazaj far kweli siungetengenez wew yaan unamfundish mweny kipaj chak watangazaji wengine siuach kaz iyo bol uwe polisi
Huyu jamaa ametisha sana🇹🇿🔥🔥🔥
Ni kama anajikuna upeeleee 😅😅😅
Lkn ame tisha sana awezeshwe 2
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice job African boy...
Good one...bei gan kama ukiamua kuuza au kama mtu akitaka umuundie..?
Saafi sana mwanasimba...Simba wa Tanzania...
Nchi ikushike mkono baana...
Huyu kijana anahitaji sana kushangiliwa na kupewa msaada ili akuze kipaji. Inafaa akapeleka ubunifu wake Kitengo cha Ubunifu UDSM - R&D kwani huko anaweza kupata wanataaluma wakaboresha zaidi hapo alipofika.
Amejitahidi sana serekar imuone kwa jicho la pili
kazi nzuri bro
Mswahili ukosawa Kwa upekuzi 👍
Jamaa Yuko vizuri amebuni
Hongera sana kaka unajua
safi sana hii, ubunifu wetu Mtaani
Nampa hongera uyo kijana kwa uvumilivu wa kumsikiliza uyo zembwela maana anaboa ningekua mimi ningemtimua so poa kumvunja moyo badala ya kumtia moyo
Kweli ametumia Lugha za Kejeli sana🤔🤔 yaani
Duuuuuh Aise Huyu Jamaa nihatari Sana Nashauli Apewe ulinzi maana wadhung wanatabia mbaya kwa watu wetu Kama Hawa. Fantastic 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️
Hongera sana kwa kipaji ulichonacho
Uyu mtangazaji msenge sanaaaa
Respect Sana'a kijana
Hongera sana 💯 kwa ubunifu
Idea ya mbunifu wetu ninzuri sana, ila mtangangazaji wetu dah kidogo kajisahau bana mimi nikihojiwa hivo naweza kujikuta napanic tu
Sio mbaya ni muamko wa kumfanya atengeneze kitu Bora zaid
Badala ya kuonyesha tukio...nae anashangaa
Malalamiko mengiiiiii,, sikiliza Kwanza mwenzako ndo Mwanzo wa ubunifu
Kbs
Hafai huyo mzee hajui kumtia moyo mtu
Mpaka anatia kichefuchefu na huyo jamaa ana moyo sana, me ningemfukuza sababu amejawa na kebei
Jamaa wafungue kiwanda,wanaweza sana
Wawoo well done brother very creative.
Safi sana félicitations ila jalibu ukapanue kidogo ili kisha uweke kiyo cambele ili upunguze mupepeyo wambele kaza Kaka umepatiya kabisa🇧🇮 😍
Honger sana kwa ubunifu broo!👊👊
Waswahili baraaaa
Mtangazaji ovyoo sanaaa afaih hata kidogo
Sisi tuna ma genius sana sema wazungu wako na wivu sana hawapendi tunachokifanya
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Look so good idea
Ni vizuri tuka support vipaji like this 🔥🔥
Hii ni concept ya kile kigari cha lodilofa...wahenga mtakuwa mnanisoma.
Kazi safi
Kijana hongela sana ila muandishi wahabari sijampenda mjuaji.
Safi sana ubunifu mzuri
Safi sana kabisa
Ujuaji mwingi zembwela .....unasahau jamaa kajitengenezea yy na vipimo aliweka kwa ajili yake sasa unalazimisha kiwe unavotaka wew.....All in All muhamasishe jmaa mana kajitahidi then weka oda yako akutengeezee unayotaka wew
Idea nzuri
Safi sana 🙌🏻 ila uyu mtangazaji nahisi kapiga tungi, ovyo kabisa👎🏼
Keep moving
hongera mwana tz mwenzangu yani roho imeniuma sana viongozi wenye dhamana mkoap wanatuzalau sana wenye vpaji mtaani kipaji chenye kuangariwa ni mpiratu jamani huo niutajiri veta mkoapi sido mkoapi kusanyeni vujana kma hao wengi wanaishia mtaanitu mnataka nani ajetusaidie r.i.p jpm ungekuepo saaizi nadhani tusikika sauti zetu
Muhusika ya hii Briefing ana uelewa mdogo sn wa kutofautisha maana halisi ya gari na pikipiki na ndiomaana kaweza kuongea kwamba "mtu katengeneza gari kwa kutumia engine ya pikipiki,hiyo siyo gari bado ni pikipiki sababu engine yake ni pikipiki,najua akil yake inajua kwamba kila chombo cha moto chochote kilicho na mataili manne bc ni gari lkn si kweli,mfano trekta siyo gari bali ni machine operate,yale yote makatapila siyo magari ni mashine operete,hivyo tofaut ya gari pikipiki ndege na kadharka ni Engine na siyo kingine
I love Africa! Total Freedom! No licensing to drive! Thank you God!
What r u talking about no licence to drive in africa? Not from our current africa plus this guy just said he is a driver. Where n how do u think he learned about how a manual transmission works? Vyeti viko mkononi. Of cause there is freedom but that does not mean no licences. Usipoteze watu kwa uongo.
That's not true.
Nice one
Hahahah lol unazani sisi wanyama?
@@ruthwatson3057 You are right, but maybe you didn’t understand my point. Does the driver have a license to drive that invented vehicle? If yes, when will it expire? In the USA that vehicle cannot be on the road. There are procedures to let it be on the road.
I understand we are on the same page.
You tell me. Is it true that if you hold a class c driver’s license, you are “legally” allowed to ride a motorcycle or other types of vehicle in Tanzania?
I LIKE OUR (AFRICAN) LIFE STYLE.
Elsewhere you must be licensed for different types of vehicles.
I LOVE MY CONTINENT (Africa)!
Nimeipenda na mm naitaji km hii
hongereni wamba
Duhhhh uyo jamaa noma Sana najivunia kuwa mswahili
MashaAllah
High level
Sema shida ya waafria hawawekagi maarifa yao anajua thaman ya alivyovitumia t lakin mzungu cost m6 ataweka na maarifa yake M3 wewe unatumia m2 halaf unauza M3.2
Kwaniwe sio mu africa?
Sawa mzungu
Nimeipenda iyo ya kwanza kumbe tunaweza kutengeneza ferari bongo