ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
MZEE ABUNI UMEME WAKE “HAUKATIKI, SIJASOMA, NILITENGENEZA HELIKOPTA WAZUNGU WAKACHUKUA"Millard Ayo
มุมมอง 166K
Watuhumiwa wa Uchawi waibua Kasheshe kwenye MkutanoEdwin Moshi
มุมมอง 78K
MTANZANIA ANAEFUGA MENDE "MMOJA NAUZA Tsh.1000, SOKO NI KUBWA MPAKA NAPAGAWA"Millard Ayo
มุมมอง 264K
บุษบา - มอส รัศมี [COVER VERSION]มอส รัศมี เถิกน้อย
มุมมอง 123K
หงส์รุกคุยซูบีเมนดี้พร้อมจ่าย นักเตะมีแววเปิดใจ 2โจทย์ตีแตกได้ไหม? ข่าวลิเวอร์พูล 8/8/67โคตรแอ็ค KodAct ทันข่าวลิเวอร์พูล
มุมมอง 75K
น้องๆ พี่ติดแพกลางลาวา!!EE
มุมมอง 108K
'พิธา' นำทีม พรรคก้าวไกล แถลงหลังถูกยุบพรรค ยืนยันไม่ทิ้งประชาชน | TODAYTODAY - สำนักข่าวทูเดย์
มุมมอง 234K
Mbunifu wa chanzo kipya cha nishati awaduwaza TANESCO/Umeme wa sumakuDaily News Digital
มุมมอง 29K
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)COSTECH Tanzania
มุมมอง 13K
KIJANA ABUNI UMEME WAKE, UNAZALISHWA KWA UPEPO, HAUJAWAHI KUKATIKA MWAKA WA 21 SASA ...Global TV Online
มุมมอง 9K
Lijue eneo la UDOM Kampasi ya NjombeUDOM TV
มุมมอง 1.1K
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
มุมมอง 236K
MZEE ANAYETENGENEZA RADI SUMBAWANGA KAFUNGUKA, ANAO WATEJA CONGO, KENYA NA SOUTH AFRICAMillard Ayo
มุมมอง 545K
MTANZANIA ALIEBUNI UMEME WAKE "HAUJAKATIKA MIAKA MINNE, NILIISHIA LA SABA"Millard Ayo
มุมมอง 628K
จะเกิดอะไรขึ้นเมื่อเราเดินทางไปในอวกาศด้วยความเร็วแสง #อวกาศ #วิทยาศาสตร์ #ดาราศาสตร์ #แสงPOMSTER Freestyle
มุมมอง 33K
Turkey shooter Olympic 2032 #olympics #turkeyOVERACT
มุมมอง 518K
ดีซะกว่า - COCKTAIL |Official MV|GeneLab
มุมมอง 447K
[TH] VALORANT Champions Seoul - Group Stage Day 5 - DRX vs FNCVALORANT Esports Thailand
มุมมอง 127K
รอจะบอกคำนั้น - KARN The Parkinson x DAOU PITTAYA [LIVE SESSION]ONE MUSIC
มุมมอง 88K
อ่าวพี่!! #supung #เชียร์krkKRK SHORTS
มุมมอง 69K
MZEE WEWE GENIUS KAMA RAIS WETU DR. MAGUFULI.....BIG UP💪
Mmmmmhh!! Unamdhalilisha mzee huyu mbunifu kwa kumfananisha na asiyekuwa na ubunifu
Re h. Ikk
Kama unakubali kuwa elimu ya darasa la 7 ya mwaka 1976 ni sawa na masters ya sasa gonga like millard ayo bro big up msalimie vido vidox mwambie shadow anakusalimu
Tanzania ya viwanda hiyoooo drs la 7 hoyeeeeeeee
Mzee naiona Master's kichwani mwako unaakili kuliko vyeti big up....vyeti vimefungia hazina kubwa.... Wasomi mjitahidi kuiga wenzetu wajerumani walitumia ujuzi wao kumuinua sisi tunafeli wapi?
Mtafutaji hachoki Big Up Ayo you re fighting to reach you're destiny 👏👏👏
Millard Ayo...upo vizuri sana
Wanaoungana na mimi kumukubsli huyu mzee mnipe mnipe.like zangu
kama unaamini watu wazamani walikuwa na akili sana #Gonga like hapa...😀😀
Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa
Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa
Heko mzee wetu.
Mungu akusimamie katika zako.
Darasa la saba hao wakati wengine wanawaona hamna kitu mungu ndiyo mjuzi
Hongera sana mzee wangu, naomba serikali ikuwezeshe zaidi
This great, I really like this idea, how I wish Tz Gvt should engage him and start a Technical institute in this compound.
Millard Ayo kazi zako mzuri sana
Hongra sana Baba uko vzr Mungu akutunze na akulinde na vijana wakuige
Wanjombe tujuane hapa😍
neema lkiswaga tunajuana
@@nehemiahmtitu3385 inapendeza cn 😍👏 kaka
Bigap
neema lkiswaga woyooooooo
mambo vp
Ahsante mnoo ayo Tv
WALIO ENDA CHUO SASA ATA KUPIKA CHAPATI YA MAJI HAWAJUI
HAHAHAHAHAHAHA
😀😀😀😀😀
@@Sabrina-rg7tu huhuhuhu tena na wew ndo wale wale
Hahahahahhaaaaaaaa
Duuu iyonikari
Umetisha kwa coment yako.
ingekuwa inchi zilizo endelea huyu mzee angekua millionaire mkubwa sana lkn Africa
Nchi za wapi acheni kukariri
Hongera sana Baba!!!
Elimu siyo njia pekee ya Mafanikio.
Huyu mzee anastahili tuzo kubwa sana hapa nchini na zaidi ya hapo support inahitajika sana
Tunaoelewa maana ya nyengo gonga like 😂😂
😂🤣🤣
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Love upo hadi huku..
😂😂😂
Hongera cn mzee wetu
Hao ni darasa la saba la zamani,hongera sana mzee wetu.
Hongera baba yangu umejitahdi sn
"hakika Rais huyu atutufikisha pazuri"
Ni kweli kabisa
Very inspiring
Asanteni nimeipenda hii
Mzeeee upo vizuriii. Wangapi wana
Mkubali mzeee uyu
@millard ayo
Tafadhari unaweza nipatia mawasiliano ya huyo mzee.
😢😢😢alishafaliki
HONGERA SANA AYO KWA KUWAFUATA WABUNIFU NA WATU WENYEJUHUDI MBALIMBALI WALIPO NJOMBE INA WENGI SANA AINA YA PWAGU WATAFUTE PIA,NI IMANI YANGU MNAMSAIDIA SANA RAIS KUPATAWATU WATAKAO IFIKISHA PAZURI SERIKALI YA VIWANDA,NARUDIA KUKUPONGEZA AYO NA TVYAKO
Kweli pwagu sio shida pwaguzi ndo anazinguaga siku zote
😂😂😂😂😂
Hongera zake baba
changamoto hiyo kwa wasomi na wataalam wetu walolalia taaluma zao.
noma San mzee genius
This is the gift from God
Hawa wajerumani mungu awabariki sana hawalipwi akini fraha yao kuona mtu akifanikiwa sasa tanzania Hahaha hata kama madarakani hawataki kutoka wanawezaje kuthamini wengine mhhh
Very imresive niliatka pia ckufiaa malengoo natamn tenaa......
Wewe jamaa uko wapi siku hz
Masumbwe au wapi
Kama unaamini Tanzania inaongoza kwa vipaji gonga like
Kipaji kama vile Mwalimu alifananisha na urefu au ufupi wa mtu vitaezabiwa?😚😚😚
Huyo mzee uongeaji wake tu kwa kweli ni mtu mwenye AKILI za kutosha sana sana
Mzee ongela saana ukukwetu rwanda hatunawaze kamawewe ongerasaana
Technology inahtajika sana katika maisha yetu ilituweze kufanya comption na mataifa kiuchumi by Athumani Kamote moshi njoro
Wasomi wadogo wadogo warikuwa faida kwajamii kama sku zote kwani wao wanatambua uwepo wa mungu katika kazi zao. lakini wa vyuo leo niwakuzarisha shida na usumbufu kwa jamii, nakusababisha magonjwa ya kisaikorojia (psychology) kuongezeka. Hawana rorote wana tafuta maisha kiurahisi rahisi ndomana wawo nikupigania viwanja vya politic na uongozi. watu kama hao niwale akishika ungozi frani au madaraka kirakitu uwe na kibari frani iri uunde au ufanye, hawa mara nyingi hugeuka majambazi wa siri. nakuuza wana nchi kwa vikundi vya majambazi, kinacho fuata unapotowa ripoti ya wezi frani sku ifuatayo umesha safirishwa na kuitwa malehemu. Ee Mungu bariki kazi ya mikono ya watu wako na viongozi waelewa.
Honger
Daa mzee kiboko
Na huu ndo uanaume lazima ukaze moyo utafika sehem nzuri
Safi sana mzee
Good brain
Nice
Hongera
Safi sana Mzee
Ni kweli Magufuli alikuwa kiongozi wa kuigwa
Hii inaonyesha ni namna gani mfumo wa elimu wa Tanzania umefeli kabisa kutukomboa.......haumuwezeshi mtu kujitegemea zaidi ya kuwaza kuajiriwa wakati wenye elimu kidogo ndiyo wanaofanya mambo zaidi ya mategemeo, mfumo una urasimu mwingi sana. KUJUA KUSOMA na KUANDIKA TU VYATOSHA vingine ni mbwembwe na kupoteza muda!!!
Baba yangu amesoma darasa la zamani linaloishia la nne lakini humwambii kitu hasa kuhusu ujenzi sijui rangi malumalu na vingine vingi wee acha tu
hyo ni kubwa sana aisee...asant bro millardayo kwa habar za nguvu
Nime ipenda
Ayo hua nakuelewa sana! Huyo mzee ni dhahabu
Mzee ww unadhihirisha kipaji chako na wale wenye elimu ya umeme ya juu waje kwako wajifunze zaidi maana kila siku wanasema kuongeza elimu si bora wangekuja kwako wapate ujuz zaidi
Wasomi wa siku hzi mnachoweza ni kuomba LiKe tu.....😀😀
Yani ni shida saana
@@fatemaligalawa4151 sana mtanzania mwenzangu
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Naweza kupata connection nahuyo mzee plz
Safi mzee😅
Safi sana mirad
jaman
Noma
Huyo jamaa anamzidi yule mwenye degree 4.
Well
Mzee nimekupenda bure
ongela mzee
mzee una akila mali yani inatakiwa kuwalinda sana watu kama hawa.
Nimeikubal hiyo hongera sn mzee
🔥🔥🔥🤝
Tulishafika hapo kwa huyo mzee mwaka 2011 tukiwa kidato cha sita NJOMBE BOYS SECONDARY SCHOOL kufanya project. tuli enjoy sana kwa huyo mzee na alitupitisha kwenye kila sehemu yake aliyopitishia mitambo yake. Alituambia pia huwa analipia hayo maji kwa maji japokuwa ni natural resources
Gifted father
Huyo anaitwa pwagu ni fundi miaka mingi sana
@@hairesellasie1667 kweli
Jamani huyu engineer wa muhimu sana happa tz. Apanue miundombinu yake zaidi. Serikali iliangalie hili kwa jicho pana zaidi
Kujituma ni mtaji.
👍
Ukikaa vibaya Tanesco watakutumia malimbikizo ya bili ya umeme😂😂😂
kwa kua uzalishaji wa umeme unapofikia KW 100 ndipo utafuatwa na TANESCO lakufanya ni kuzalisha KW 98 ili usibabaishwe na TANESCO kisha upate SAFETY CERTIFICATE uendelee kusambazia vijiji na wananchi wa karibu na kwako kwa urahisi kabisa.
Gd
Nilifika kwa huyo mzee Njombe mji mwema
Kweli
Ayo waambie hao wadhamin wako Azania waambie unga wa ngano PPF huku zanzibar watuleee umehadimika sana
Tanzania tunavipaji vikubwa sana lakini taifa limeshindwa kuwatumia....utasikia oooh wee umesoma chuo gani.Tuna maporopesa hawajui kitu wapo tu ukiwambia wamefanya nini hakuna hata kitu chakukumbukwa kwa taifa
Wanasema njia nyepesi ya kumuua muafrica KIFIKRA weka historia kwenye vitabu waafrica hatupendi kujisomea vitabu. Na kwa hilo makaburu wamefaulu ndo mana wanaichafua BANGI huku mataifa yao wanahalalisha ila ukweli wa bangi uko kwenye VITABU. Hatuzungumzii kwa kuvuta mana ukiizungumzia GANJA watu wanakuona umepotea lakini kumbe tumefungwa mawazo na watu wa dunia ya kwanza.
Nakazia. Hakuna ulazima wa tanesco kutumia gharama kubwa sana kusambaza umeme kila sehem, wakati kuna maeneo ambayo kuna vyanzo vya nishati. Kwa iyo kila rasilimali nishati zilizopo ktk maeneo tofauti tofaut zitumike ili kupunguza gharama za kusafirisha umeme kutoka kwenye vyanzo vichache vilivyopo Tanzania. Big up mzee wewe ni engineer
Vijana hawataki kutuliza vichwa vyao na kuona au kudadavua ndoto zao muda wote wanachati
Wazee kama hawa serikali ingekua inawapa jimbo zima lisambaze umeme wao,nina uhakika tungekua na umeme tunakaa hata miaka mia bila umeme kukatika kisha tanesco wao wangepewa nafasi umeme wao wausambaze viwandani tu
Serikali baada ya kuwapa mazingira mazuri watu kama hawa wanajua kuiba kura swala sio kuwaita ikulu inatakiwa kuwanadlia mazingira mazuri hata kumwanadalia shule afundishe wengi kama kila mwaka atatoa wahitimia mia ndani ya miaka 30 tanzania hatutakuwa na shida ya umeme
Uko Vzr Mzee ajila Kwa ko inapatikana??????
Obedy Fredy , wewe mpelekee vyeti na cv yako, atakuajiri
2po pamoja sana
Pwagu nakufahamu tangu ujana wako unapamba kuhusu umeme mm nilikuwa bafu bite hangafilo hongera
Bug millard Ayo kweli mfatilia vitu vaukweli
Anaitwa mzee pwagu nikitambo sana kaanza haya mambo
Mie nataka ni mtembelee yuko mji gani Njombe
Siku nikienda njombe lazima nifike
Mm nipo njombe ntkupeleka
Ntashukuru kaka
Saf sana.
Tunaomba mwendelezo wa huyu Mzee tangu kumalizika kwa mahojiano haya
Mzee hana hata physics , lakin ni mtaalamu watu wako na physics hata idea yoyote mpka anakufa
Sawasawa
Sema ni hera tu
kashapumzka kwa aman sas mzee wetu
Watu wanakuja nawasaidia sana wananowa mapanga yao..mkoani njombe
Aisee Mzee huyu ni zaidi ya maprofesa wetu wenye vyeti! Angekua USA huyu angepewa heshima yake anayostahili. Sio hawa wasomi wa TZ wakuzalisha shida badala ya kutatua mattzo kwa jamii.
Atimae Mzee Pwagu tumempata,Sasa yeye ndo atasema Pwaguzi yupo wapi????