Hongera saaaaaana kijana wetu yuko vizuri saaaaaana, Mungu akubariki saaaaaana kwa vipawa ambavyo Mungu amekupa. Tanzania msaidieni kijana wetu huyu.Awe faida kwa Taifa letu Hapa Tanzania. I watch from Norway 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯
yaaan huyu mtoto sio tu wakwenda veta bali kunahaja sana ya uwanzishwaji ya vituo vya vipaji na ubunifu maana nikikumbuka yule wamwanzo aliyepelekwa veta kwa mara ya mwisho anaonesha kweli aliongeza ujuzi lakini bado alihitaji zaidi ya pale. Hongera sana kijana wetu
Yaani amuulize masudi kipanya hawa watu hawataki tuonueshe ubunifu wetu duniani 🤔au tunaogopa kukosa misaada Nchi hii Tunakufa Na madeni😭😭😭Hongera kijana wetu nje ya Nchi utafanikiwa🙌🙌🙌
Huyu kijana anaweza sana na kipaji chake ni cha kipekee. Serikali, wadau, hasa watu wa usalama (nyumbu, Mizinga) chukuweni huyu kijana. Nchi yetu itapiga hatua kama tunaweza kuwekeza kwa vijana wa aina hii.
Hongera,kina masud kp,yule dogo wa kigoma pkpl, trekta SUA .....na wengine weengi shida iko kwenye politics of Development .......hapa hamtatazamwq tena
Serikali yetu inatuletea madaktari wa kuongeza maumbo ambavyo havileti maendeleo yoyote katika jamii zaidi ya kuongeza uzinzi tu kwa taifa kijana kama huyu hutaona wakijitokeza kuendeleza hiki kipaji 🤦🏾
Ongera sana kijana. chahatari katika inchi zetu za kiafrica kuna wabunifu wazuri wanaosubutu.ila ma, inginier watu wengi ni boya nafala sielewi kwa nini wanapoteza mda wao bure uko chuo kikuu.kisha badae wasionyeshe miujiza ya elimu yao.
Kibongo bongo kwa selikari ni uongo. Mpaka ije/zije kampuni toka nnje ya africa ndio mambo yatakuwa mazur kwa watu wenye ubunifu. Maana hata ukisema eanzishe factory duùh msululu ni mrefu saana pia hata taasisi z kifedha haziko tayari kuwekeza ktk ubunifu.
Huyu mtoto anacho kitu kikubwa sana ndani yake Mungu amuinue saaaana
Serikali inakiangamiza chao
Bongo nyoso sana wanachukulia easy alafu mtu akifanikiwa ndo wanajifanya wako proudly ....😅😅😅
indeed Amen
mungu akubariki unakipaji kikubwa taasisi, viwanda pamoja na serikali huyu kijana mwendelezeni anakitu ndani yake
Umetisha dogo Mungu akusaidie hakika unaweza sana
Kigoma ya vipaji, hongera sana Utafika mbali sana dogo
Dogo Yuko vizuri sana, Mungu ampe siku nyingi za kuishi
Maashaallah mtoto Allah akutimizie ndotoyako
Home of talent 💪💪
Mashaaa allah unatisha sana nakuombea mungu uzidi kuwa juu zaidi
Hongera saaaaaana kijana wetu yuko vizuri saaaaaana, Mungu akubariki saaaaaana kwa vipawa ambavyo Mungu amekupa. Tanzania msaidieni kijana wetu huyu.Awe faida kwa Taifa letu Hapa Tanzania. I watch from Norway 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯
Kama.we muha gonga like waha wote. tujuane
Hongereni sana Millard Ayo. Mmemtendea haki Christopher
Mungu akulinde na mahasidi.
yaaan huyu mtoto sio tu wakwenda veta bali kunahaja sana ya uwanzishwaji ya vituo vya vipaji na ubunifu maana nikikumbuka yule wamwanzo aliyepelekwa veta kwa mara ya mwisho anaonesha kweli aliongeza ujuzi lakini bado alihitaji zaidi ya pale. Hongera sana kijana wetu
Hongera mkaka Mungu akupe maisha marefu utimize ndoto zako
nakuona mbali sana dogo❤❤
Mungu akusimamie home boy
Mola akuhifazi naakufikishe mbali from Burundi 🇧🇮 we love you
Congratulations...ukiwezeshwa nakuona mbali sana ... MUNGU akusaidie na akukutanishe na watu sahihi ili uweze kufanikisha malengo yako
System yetu ya elimu ibadilishwe wanafunzi wawe huru kusomea wanachokipenda kama wenzetu wanavyofanya😮
Kabisa ujue bado elimu yetu inafata muongozo wa mkoloni serikali yetu haijaamua bado kufanya vya kwetu kama waTz
Shida serikali iko mbali na wanachi
Kabisa hapa ndipo tunafeli maana kila kichwa kina mfumo wa kipaji halisia kwa kila binaadamu
Fact
shida ni huyu mkoloni bado tunamuabudu hivyo ndo mna tunaua vipaji vyetu ila sio kwamba hatuwezi
Ni zamu ya kigoma sasa.
MashaAllah 🎉🎉🎉
Hongera sana.Kigoma isaidiwe
Serikali yenyewe ya mwigulu Nchemba na mama samia kipaji chake kitaishia apo apo kigoma
Acha tu
Yaani amuulize masudi kipanya hawa watu hawataki tuonueshe ubunifu wetu duniani 🤔au tunaogopa kukosa misaada Nchi hii Tunakufa Na madeni😭😭😭Hongera kijana wetu nje ya Nchi utafanikiwa🙌🙌🙌
Hapana, kijana hatoishia hapo Bali atasonga mbele, ATAKUA ENGINEER kwny viwanda mbalimbali huko ugaibuni
Kweli kabisa ifike wakati vyombo vya habari vilipoti taharifa kama hivi nchi zilizo endelea watawachukua huko na kuwaendeleza
Hongera dogo
Mungu akusimamie mwangangu,
Very respect
He's so brilliant
Kigoma kuna utajiri kibao Zitto fuatilia hiyo🎉
Hatari daaa,Mungu amzidishie kipaji zaidi
Kigoma kuna vipaji vikubwa sana ni vile serikali haijaamua kuuzingatia huu mkoa
Hakika dogo unaweza, Mungu akuinue zaidi
Umetisha sana
Huyu kijana anaweza sana na kipaji chake ni cha kipekee.
Serikali, wadau, hasa watu wa usalama (nyumbu, Mizinga) chukuweni huyu kijana.
Nchi yetu itapiga hatua kama tunaweza kuwekeza kwa vijana wa aina hii.
Dogo anajua Sanaa
MashaAlla 👏👏👏💪💪🔥Allah Akuhifadhi 💫na Akuimalishe Elimu yako 💫👌💯
Hongera,kina masud kp,yule dogo wa kigoma pkpl, trekta SUA .....na wengine weengi shida iko kwenye politics of Development .......hapa hamtatazamwq tena
TZ tunautajiri mungu katubaliki kijana aenderenzwe katika kipaji alicho balikiwa.
Serikali yetu inatuletea madaktari wa kuongeza maumbo ambavyo havileti maendeleo yoyote katika jamii zaidi ya kuongeza uzinzi tu kwa taifa kijana kama huyu hutaona wakijitokeza kuendeleza hiki kipaji 🤦🏾
Mungu amfikishe mbali na akafanye makubwa zaidi ili kuweza kuisaidia jamii na Taifa kwa ujumla.
Atafika mbal,Sir God ambless more
Utafika mbali mdogo wangu😊😊😊😊😊
Nomà Saana blood 💪 NaqubaR 💯👊🖐🏿🔥💥
Much respect
Hongera janja
aah hii nchi hii mdogo wangu achana na hicho kipaji km baba yako hana uwezo basi imeisha,, serikali inawaza madangulo tu
Viongozi iyo ndo azina ya nchi
Mungu amulinde
Big up sanaaaaa
mungu akusaidie ila Kwa bongo hii sijui
Well come at kiigoma..hongera sana kijana etu.leka tutigite
Afu handsome sasa dah❤❤🙏mungu akuinue
Ulakozye, hongera sanaa shemeji yng naamini Kun sk tutapat ht treni y kwenda kigomaa
Christofa John Masanja Hongera SANA
Samaki na Mawese ya Kigoma Zinaongoza Akili Sana na Kuna Kipaji
Umetisha dogo
Good jobs congratulations 👏🎉🎉
Mashaallh mungu akuzidishie ufike mbal utimize ndoto zako
Hongera
Hongera sana kijana fahari ya kigoma Masanja family
Mungu akutimiziye ndoto yako kijana.
Home is the best
Hongera sana kijana Kwa sayansi ya ubunifu naiomba waziri amsimamie huyu kijana ana kitu kizuri sana
Good job my son
Ongera sana kijana. chahatari katika inchi zetu za kiafrica kuna wabunifu wazuri wanaosubutu.ila ma, inginier watu wengi ni boya nafala sielewi kwa nini wanapoteza mda wao bure uko chuo kikuu.kisha badae wasionyeshe miujiza ya elimu yao.
Kibongo bongo kwa selikari ni uongo. Mpaka ije/zije kampuni toka nnje ya africa ndio mambo yatakuwa mazur kwa watu wenye ubunifu. Maana hata ukisema eanzishe factory duùh msululu ni mrefu saana pia hata taasisi z kifedha haziko tayari kuwekeza ktk ubunifu.
Huyu dogo katunukiwa kipaji kipo mkubwa sanaa Maa shaa Allah
Sema Africa atuna nyenzo vipaji vinapotea tu
Huyu dogo serikali kupitia wizara ya Elimu inabidi imuangalie kwa jicho la tofauti ili kumuendeleza katika kitu ambacho Mungu ameweka ndani yake
Home boy..🔥🔥
Wazungu watakuja kuwadaganya eti wamchukuwe wampeleke ulay ila sisi wenyewe tu abaki nyuba sana ❤❤
Duh huyu serikali imuunganishe na wafadhili ana talent kubwa mno.
Tatizo kwani weee usiwemfadhiri kumuuunga mkono na ubunifu wk
Yan Masha Allah Kuna vpaj
Kigoma talent for our life
Mnajua kujipigia vyetezo😂
Wachukue huo mwonekano wa tren aliyoitengeneza kijana na cyo wanatapeliwa nawachina wanatuletea makontena et nitren yaumeme
Vipaji vya namna hii cjui vinaishiaga wapi....
MashaAllah ❤❤❤
Duuh kwa nchi yetu hii,dogo omba jamani,China,na nchi zingine wakuone.
Mungu akukumbuke mtoto wetu uende mambele
Safi Sana dogo mungu akuinue
Kigoma safi❤❤❤
Huyo ataishia hivyo hivyo Tanzania yeti naijua 😭😭😭
my home now good boy hongera Sana
What are genius guy in Africa HQ😮❤❤❤
Tanzania kuna vipaji but mpaka uonekane mmmh jasho mpaka likutoke congratulations boy
Ma shaa Allah
Kigoma ni nchi nyingine,haaa waha noma sana
Duh hongera kijana
Massnja we noma
Huyu ni Designer apelekwe NASA Marekani wanataka watu kama hao.
Ypo vzur xana xelkal iliangalie hilo
Uyu Kijana apewe ulinzi na Taifa
Asaidiwe sana.🎉
Safi sana kijana nimependa sana.
Bravooo
Hongera sana
Mama sqmuya iko wapi hahò do watoto wakuchukuwa wenye vipaji ❤❤ mungu akutaguliye baba ❤
Naomba Mungu amlinde pia kama serikali kama itaweza kumuwezesha kimasomo
Mwamba uyooo❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿
Kwa Tanzania 🇹🇿 huyo watu watamuacha tuu hatuna viongozi bora bali tuna bora viongozi
SERIKALI imsaidie huyu kijana ni physician Brain..
Mashaallah❤❤❤
Bigap sanaaa
Safi sana Boys
Kigoma sec is the nice place to live
Nimesoma hapa jamnii
VIJANA WABUNIFU WEKEZENI NGUVU SANA KWENYE AGRICULTURAL MECHANIZATION ILI KUINUA KILIMO NCHINI NA MTAPATA FEDHA SANA IN FUTURE
Umenena vyema