DOGO ABUNI TRENI YA UMEME KIGOMA, "GARI MPYA NA MUZIKI WAKE, MAFUTA YA MAWESE YANAWASHA TAA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 330

  • @sophiakaaya8290
    @sophiakaaya8290 7 หลายเดือนก่อน +72

    Huyu mtoto anacho kitu kikubwa sana ndani yake Mungu amuinue saaaana

    • @aminielimushi8709
      @aminielimushi8709 6 หลายเดือนก่อน +1

      Serikali inakiangamiza chao

    • @Barcher4868
      @Barcher4868 6 หลายเดือนก่อน

      Bongo nyoso sana wanachukulia easy alafu mtu akifanikiwa ndo wanajifanya wako proudly ....😅😅😅

    • @ishaqhashim6333
      @ishaqhashim6333 6 หลายเดือนก่อน +1

      indeed Amen

  • @godblessmakupa9231
    @godblessmakupa9231 7 หลายเดือนก่อน +28

    mungu akubariki unakipaji kikubwa taasisi, viwanda pamoja na serikali huyu kijana mwendelezeni anakitu ndani yake

  • @user-lo9fx1fq1x
    @user-lo9fx1fq1x 7 หลายเดือนก่อน +15

    Umetisha dogo Mungu akusaidie hakika unaweza sana

  • @actsboy5587
    @actsboy5587 7 หลายเดือนก่อน +11

    Kigoma ya vipaji, hongera sana Utafika mbali sana dogo

  • @charlessentiyongo8484
    @charlessentiyongo8484 6 หลายเดือนก่อน +5

    Dogo Yuko vizuri sana, Mungu ampe siku nyingi za kuishi

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 6 หลายเดือนก่อน +1

    Maashaallah mtoto Allah akutimizie ndotoyako

  • @langrishuruma2858
    @langrishuruma2858 7 หลายเดือนก่อน +25

    Home of talent 💪💪

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mashaaa allah unatisha sana nakuombea mungu uzidi kuwa juu zaidi

  • @charlottesindayigaya2030
    @charlottesindayigaya2030 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera saaaaaana kijana wetu yuko vizuri saaaaaana, Mungu akubariki saaaaaana kwa vipawa ambavyo Mungu amekupa. Tanzania msaidieni kijana wetu huyu.Awe faida kwa Taifa letu Hapa Tanzania. I watch from Norway 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯

  • @Malakitzkigoma
    @Malakitzkigoma 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kama.we muha gonga like waha wote. tujuane

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hongereni sana Millard Ayo. Mmemtendea haki Christopher

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde na mahasidi.

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 6 หลายเดือนก่อน +3

    yaaan huyu mtoto sio tu wakwenda veta bali kunahaja sana ya uwanzishwaji ya vituo vya vipaji na ubunifu maana nikikumbuka yule wamwanzo aliyepelekwa veta kwa mara ya mwisho anaonesha kweli aliongeza ujuzi lakini bado alihitaji zaidi ya pale. Hongera sana kijana wetu

  • @rodaraphael9721
    @rodaraphael9721 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mkaka Mungu akupe maisha marefu utimize ndoto zako

  • @user-ls1zx9ip8y
    @user-ls1zx9ip8y 6 หลายเดือนก่อน +3

    nakuona mbali sana dogo❤❤

  • @user-bk1vj1mh6y
    @user-bk1vj1mh6y 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusimamie home boy

  • @user-cv9mx1uj3i
    @user-cv9mx1uj3i 6 หลายเดือนก่อน

    Mola akuhifazi naakufikishe mbali from Burundi 🇧🇮 we love you

  • @neemageorge3270
    @neemageorge3270 6 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations...ukiwezeshwa nakuona mbali sana ... MUNGU akusaidie na akukutanishe na watu sahihi ili uweze kufanikisha malengo yako

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 7 หลายเดือนก่อน +43

    System yetu ya elimu ibadilishwe wanafunzi wawe huru kusomea wanachokipenda kama wenzetu wanavyofanya😮

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa ujue bado elimu yetu inafata muongozo wa mkoloni serikali yetu haijaamua bado kufanya vya kwetu kama waTz

    • @KhamisHassan-dz9yw
      @KhamisHassan-dz9yw 6 หลายเดือนก่อน +1

      Shida serikali iko mbali na wanachi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa hapa ndipo tunafeli maana kila kichwa kina mfumo wa kipaji halisia kwa kila binaadamu

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide 6 หลายเดือนก่อน

      Fact

    • @lawjrichard877
      @lawjrichard877 6 หลายเดือนก่อน +1

      shida ni huyu mkoloni bado tunamuabudu hivyo ndo mna tunaua vipaji vyetu ila sio kwamba hatuwezi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ni zamu ya kigoma sasa.
    MashaAllah 🎉🎉🎉

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana.Kigoma isaidiwe

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 7 หลายเดือนก่อน +20

    Serikali yenyewe ya mwigulu Nchemba na mama samia kipaji chake kitaishia apo apo kigoma

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 7 หลายเดือนก่อน +1

      Acha tu

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 7 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani amuulize masudi kipanya hawa watu hawataki tuonueshe ubunifu wetu duniani 🤔au tunaogopa kukosa misaada Nchi hii Tunakufa Na madeni😭😭😭Hongera kijana wetu nje ya Nchi utafanikiwa🙌🙌🙌

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hapana, kijana hatoishia hapo Bali atasonga mbele, ATAKUA ENGINEER kwny viwanda mbalimbali huko ugaibuni

    • @njuka3515
      @njuka3515 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa ifike wakati vyombo vya habari vilipoti taharifa kama hivi nchi zilizo endelea watawachukua huko na kuwaendeleza

  • @NeemaYohana-ob5ex
    @NeemaYohana-ob5ex 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera dogo

  • @user-qg7gj5om4e
    @user-qg7gj5om4e 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusimamie mwangangu,
    Very respect

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 6 หลายเดือนก่อน +2

    He's so brilliant

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kigoma kuna utajiri kibao Zitto fuatilia hiyo🎉

  • @elizabertndomba9760
    @elizabertndomba9760 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari daaa,Mungu amzidishie kipaji zaidi

  • @nobleonlinetv9128
    @nobleonlinetv9128 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kigoma kuna vipaji vikubwa sana ni vile serikali haijaamua kuuzingatia huu mkoa

  • @esterrobert6063
    @esterrobert6063 6 หลายเดือนก่อน

    Hakika dogo unaweza, Mungu akuinue zaidi

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 7 หลายเดือนก่อน +4

    Umetisha sana

  • @casfeta-tayomikigomatochan9807
    @casfeta-tayomikigomatochan9807 7 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu kijana anaweza sana na kipaji chake ni cha kipekee.
    Serikali, wadau, hasa watu wa usalama (nyumbu, Mizinga) chukuweni huyu kijana.
    Nchi yetu itapiga hatua kama tunaweza kuwekeza kwa vijana wa aina hii.

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 6 หลายเดือนก่อน

    Dogo anajua Sanaa

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 7 หลายเดือนก่อน

    MashaAlla 👏👏👏💪💪🔥Allah Akuhifadhi 💫na Akuimalishe Elimu yako 💫👌💯

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera,kina masud kp,yule dogo wa kigoma pkpl, trekta SUA .....na wengine weengi shida iko kwenye politics of Development .......hapa hamtatazamwq tena

  • @jrnyambo5342
    @jrnyambo5342 7 หลายเดือนก่อน +3

    TZ tunautajiri mungu katubaliki kijana aenderenzwe katika kipaji alicho balikiwa.

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 หลายเดือนก่อน +5

    Serikali yetu inatuletea madaktari wa kuongeza maumbo ambavyo havileti maendeleo yoyote katika jamii zaidi ya kuongeza uzinzi tu kwa taifa kijana kama huyu hutaona wakijitokeza kuendeleza hiki kipaji 🤦🏾

  • @ktigerman5736
    @ktigerman5736 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu amfikishe mbali na akafanye makubwa zaidi ili kuweza kuisaidia jamii na Taifa kwa ujumla.

  • @queensalema5262
    @queensalema5262 7 หลายเดือนก่อน

    Atafika mbal,Sir God ambless more

  • @judithjohn2698
    @judithjohn2698 6 หลายเดือนก่อน +1

    Utafika mbali mdogo wangu😊😊😊😊😊

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nomà Saana blood 💪 NaqubaR 💯👊🖐🏿🔥💥

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 7 หลายเดือนก่อน +7

    Much respect

  • @user-du8jb5qc2n
    @user-du8jb5qc2n 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera janja

  • @Dantaata
    @Dantaata 7 หลายเดือนก่อน +7

    aah hii nchi hii mdogo wangu achana na hicho kipaji km baba yako hana uwezo basi imeisha,, serikali inawaza madangulo tu

    • @user-yh6we5rv6p
      @user-yh6we5rv6p 7 หลายเดือนก่อน

      Viongozi iyo ndo azina ya nchi

  • @nzungupatrick9308
    @nzungupatrick9308 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu amulinde

  • @user-sz5bv9xk7i
    @user-sz5bv9xk7i 6 หลายเดือนก่อน

    Big up sanaaaaa

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 7 หลายเดือนก่อน +3

    mungu akusaidie ila Kwa bongo hii sijui

  • @andrewkalubi3524
    @andrewkalubi3524 6 หลายเดือนก่อน

    Well come at kiigoma..hongera sana kijana etu.leka tutigite

  • @user-tj1zh4lo7i
    @user-tj1zh4lo7i 6 หลายเดือนก่อน

    Afu handsome sasa dah❤❤🙏mungu akuinue

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah8154 7 หลายเดือนก่อน

    Ulakozye, hongera sanaa shemeji yng naamini Kun sk tutapat ht treni y kwenda kigomaa

  • @bodyaman
    @bodyaman 7 หลายเดือนก่อน +1

    Christofa John Masanja Hongera SANA

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 3 หลายเดือนก่อน +1

    Samaki na Mawese ya Kigoma Zinaongoza Akili Sana na Kuna Kipaji

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 7 หลายเดือนก่อน

    Umetisha dogo

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 7 หลายเดือนก่อน

    Good jobs congratulations 👏🎉🎉

  • @user-tq2rk8jw3s
    @user-tq2rk8jw3s 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallh mungu akuzidishie ufike mbal utimize ndoto zako

  • @user-zk5yi3hu4t
    @user-zk5yi3hu4t 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera

  • @user-th6lx6yi1q
    @user-th6lx6yi1q 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kijana fahari ya kigoma Masanja family

  • @user-uc8bo7ev8u
    @user-uc8bo7ev8u 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutimiziye ndoto yako kijana.

  • @LinusEdward
    @LinusEdward 7 หลายเดือนก่อน +2

    Home is the best

  • @adelaidekalongora5417
    @adelaidekalongora5417 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kijana Kwa sayansi ya ubunifu naiomba waziri amsimamie huyu kijana ana kitu kizuri sana

  • @user-qg2ct7fj1n
    @user-qg2ct7fj1n 6 หลายเดือนก่อน

    Good job my son

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 3 หลายเดือนก่อน

    Ongera sana kijana. chahatari katika inchi zetu za kiafrica kuna wabunifu wazuri wanaosubutu.ila ma, inginier watu wengi ni boya nafala sielewi kwa nini wanapoteza mda wao bure uko chuo kikuu.kisha badae wasionyeshe miujiza ya elimu yao.

  • @jumabisale9974
    @jumabisale9974 6 หลายเดือนก่อน

    Kibongo bongo kwa selikari ni uongo. Mpaka ije/zije kampuni toka nnje ya africa ndio mambo yatakuwa mazur kwa watu wenye ubunifu. Maana hata ukisema eanzishe factory duùh msululu ni mrefu saana pia hata taasisi z kifedha haziko tayari kuwekeza ktk ubunifu.

  • @abdallahferouz9238
    @abdallahferouz9238 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu dogo katunukiwa kipaji kipo mkubwa sanaa Maa shaa Allah

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sema Africa atuna nyenzo vipaji vinapotea tu

  • @jeremiahkileo6641
    @jeremiahkileo6641 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dogo serikali kupitia wizara ya Elimu inabidi imuangalie kwa jicho la tofauti ili kumuendeleza katika kitu ambacho Mungu ameweka ndani yake

  • @ronmadini2009
    @ronmadini2009 7 หลายเดือนก่อน +2

    Home boy..🔥🔥

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 7 หลายเดือนก่อน

    Wazungu watakuja kuwadaganya eti wamchukuwe wampeleke ulay ila sisi wenyewe tu abaki nyuba sana ❤❤

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 7 หลายเดือนก่อน +3

    Duh huyu serikali imuunganishe na wafadhili ana talent kubwa mno.

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 7 หลายเดือนก่อน

      Tatizo kwani weee usiwemfadhiri kumuuunga mkono na ubunifu wk

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yan Masha Allah Kuna vpaj

  • @AndrewwPhillipo-es8nd
    @AndrewwPhillipo-es8nd 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kigoma talent for our life

    • @tawiso_online_tv.
      @tawiso_online_tv. 6 หลายเดือนก่อน

      Mnajua kujipigia vyetezo😂

  • @Yonaedson
    @Yonaedson 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wachukue huo mwonekano wa tren aliyoitengeneza kijana na cyo wanatapeliwa nawachina wanatuletea makontena et nitren yaumeme

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 7 หลายเดือนก่อน +4

    Vipaji vya namna hii cjui vinaishiaga wapi....

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 6 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah ❤❤❤

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 6 หลายเดือนก่อน +7

    Duuh kwa nchi yetu hii,dogo omba jamani,China,na nchi zingine wakuone.
    Mungu akukumbuke mtoto wetu uende mambele

  • @WilsonEmmanuel-bs6op
    @WilsonEmmanuel-bs6op 7 หลายเดือนก่อน +2

    Safi Sana dogo mungu akuinue

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 7 หลายเดือนก่อน +6

    Kigoma safi❤❤❤

  • @JansanMokiwa-hr6hl
    @JansanMokiwa-hr6hl 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo ataishia hivyo hivyo Tanzania yeti naijua 😭😭😭

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 7 หลายเดือนก่อน

    my home now good boy hongera Sana

  • @KibwizeTv
    @KibwizeTv 6 หลายเดือนก่อน

    What are genius guy in Africa HQ😮❤❤❤

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 7 หลายเดือนก่อน

    Tanzania kuna vipaji but mpaka uonekane mmmh jasho mpaka likutoke congratulations boy

  • @abuusalum928
    @abuusalum928 7 หลายเดือนก่อน

    Ma shaa Allah

  • @mkumbosamson7981
    @mkumbosamson7981 7 หลายเดือนก่อน

    Kigoma ni nchi nyingine,haaa waha noma sana

  • @JonathanMekenywa-gf1st
    @JonathanMekenywa-gf1st 6 หลายเดือนก่อน

    Duh hongera kijana

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 7 หลายเดือนก่อน

    Massnja we noma

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 7 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ni Designer apelekwe NASA Marekani wanataka watu kama hao.

    • @annagilbert4547
      @annagilbert4547 7 หลายเดือนก่อน

      Ypo vzur xana xelkal iliangalie hilo

  • @bodyaman
    @bodyaman 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu Kijana apewe ulinzi na Taifa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 หลายเดือนก่อน

    Asaidiwe sana.🎉

  • @InnovationWithAmaniKiwale
    @InnovationWithAmaniKiwale 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana kijana nimependa sana.

  • @actsboy5587
    @actsboy5587 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bravooo

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 7 หลายเดือนก่อน

    Mama sqmuya iko wapi hahò do watoto wakuchukuwa wenye vipaji ❤❤ mungu akutaguliye baba ❤

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba Mungu amlinde pia kama serikali kama itaweza kumuwezesha kimasomo

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba uyooo❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa Tanzania 🇹🇿 huyo watu watamuacha tuu hatuna viongozi bora bali tuna bora viongozi

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 6 หลายเดือนก่อน

    SERIKALI imsaidie huyu kijana ni physician Brain..

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah❤❤❤

  • @sadabakari-hs8tn
    @sadabakari-hs8tn 6 หลายเดือนก่อน

    Bigap sanaaa

  • @dezideliusandrew2139
    @dezideliusandrew2139 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Boys

  • @frankmanjati19
    @frankmanjati19 6 หลายเดือนก่อน

    Kigoma sec is the nice place to live
    Nimesoma hapa jamnii

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 7 หลายเดือนก่อน +12

    VIJANA WABUNIFU WEKEZENI NGUVU SANA KWENYE AGRICULTURAL MECHANIZATION ILI KUINUA KILIMO NCHINI NA MTAPATA FEDHA SANA IN FUTURE