RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2022
  • RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE ZA KIVITA AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI
    Hivi karibuni tulikuletea simulizi ya Ndege ya kivita ya Ukraine, MiG-29 Fulcrum inayoongozwa na rubani aliyebatizwa jina la The Ghost of Kyiv (Mzimu wa Kyiv) ambayo ilikuwa gumzo.
    Ndege hiyi ilipata umaarufu mkubwa kutokana na oparesheni za kijeshi inazozifanya katika Jiji la Kyiv ambapo ilisemekana kuziangusha ndege sita za kivita za Urusi.
    Inaelezwa kwamba ndege sita za Urusi zilitunguliwa Februari 24, 2022 muda mfupi baada ya Urusi kuanza mashambulizi ya anga dhidi ya serikali ya Ukraine na kuanzia hapo, The Ghost of Kyiv amepata umaarufu mkubwa na kuungwa mkono na wananchi wengi wa Ukraine.
    Tukiachana na stori hiyo, turudi hapa Bongo na tukutane na simulizi nyingine ya binti Mtanzania mwenye umri mdogo ambaye anaweza kuendesha helkopa inayoweza kutumika kwenye vita.
    Huyu si mwingine bali ni luteni Usu Hasnat Akbar.
    Ni binti ambaye hivi karibuni alitunukiwa tuzo ya kuhitimu masomo yake ya urubani Afrika Kusini.
    Amesimulia changamoto alizokutana nazo pamoja na mambo mengine mengi. Karibu umsikilize….
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 42

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana na Mwenyezi Mungu akuongezee kujiamini na kazi iendelee.nakupa Big up.watunze wazazi wako

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy 15 วันที่ผ่านมา

    Hongerasana kwakweli mungu akusaidie najua utapitia mitihani mingi

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah ALLAH barik

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 11 หลายเดือนก่อน +1

    hongera sana dear Mungu azidi kukubariki na kukuongoza

  • @irenembisso1601
    @irenembisso1601 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana Asnat akbar

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว +1

    hongera mtt mzuri Mungu akusimamie lnshallha

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana binti yetu we real proud about you

  • @joackimpeter6501
    @joackimpeter6501 2 ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana dada kazana utuwakilishe watanzania big up

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana dada keep it up

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah, hongera sana mdogo wangu, 😘❤️

  • @mkanamc8341
    @mkanamc8341 2 ปีที่แล้ว +2

    👏👏👏👏Never give up

  • @user-fx2gx6fo1e
    @user-fx2gx6fo1e 15 วันที่ผ่านมา

    Daaah tulikua wote pale TMA monduli

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana binti yetu

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kwake

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 ปีที่แล้ว +8

    Ni jambo la kawaida sana kwani urubani hata kijana wa kdato cha nne anasoma tatizo ni kwamba unapataje nafasi kama auna mtu kwenye mfumo .

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 2 ปีที่แล้ว +2

      Mpe hongera mbona kama unalalamika kwa wivu

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 2 ปีที่แล้ว +1

      Kama ni jambo la kawaida mabinti wooooote wangekuwa huko pamoja na wewe mpe mtoto wa mwenzio hongera na wakwako atafanikiwa

    • @yusuphkassimu227
      @yusuphkassimu227 2 ปีที่แล้ว +2

      @@magrethmollel1078 Hyo fani tatizo garama za malipo tu ni makubwa lakini akuna cha ajabu kwenye urubani jaribu kufatilia uone tatizo wandishi wa bongo wamechukulia kama kitu cha ajabu sana ndio nacho Pinga .

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@yusuphkassimu227urubani una vitu vingi, masuala ya kusema hakuna cha ajab ni kelele za tembo, otherwise kila mtu nchi hii angekuwa rubani

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378
    @saddamrashidmohmmedsaddamr7378 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd หลายเดือนก่อน

    Very good

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 ปีที่แล้ว

    Hongera dada

  • @prefectalex9397
    @prefectalex9397 ปีที่แล้ว +1

    ONGERA SANA...........ADAA HAPO SH GAPI

  • @alfamweta9922
    @alfamweta9922 11 วันที่ผ่านมา

    Salut dada

  • @vintz338
    @vintz338 2 ปีที่แล้ว +7

    Huna connection undeshe ndege ya Nan? Endesha ungo wako msumbuane huko mtaani. Kunawatoto huku mtaani ni talented had unaumia ,hawana exposure tu,Ila fresh ...watu wa kawaida huku mtaani ndo wanaolewa

    • @benitoilulatvpilla144
      @benitoilulatvpilla144 2 ปีที่แล้ว

      Keel big

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 18 วันที่ผ่านมา

      Haina connection, kwa jeshi la wananchi kama una vigezo wanavyotaka wanakupeleka kozi wenyewe

  • @user-pt3io6ud2h
    @user-pt3io6ud2h 19 วันที่ผ่านมา

    Sasa siamna vita..

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 27 วันที่ผ่านมา

    Gost sio mtu icho ni kikosi maalum cha jeshi huku ukreni kinaitwa ivo na sio mtu

  • @Jr_gavana
    @Jr_gavana 2 ปีที่แล้ว +1

    Bongo bwana

  • @justinemico1871
    @justinemico1871 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii nchi bwana kama huna watu wewe wahi shamba lako tu huko kijijini. Watu hata salute tu hamna kitu .

    • @faridamohamed4677
      @faridamohamed4677 2 ปีที่แล้ว

      Hongera binti wa Rashid Ajali Akbaru .mmefanana sana baba Allah amrehem

    • @dodwiedwin3944
      @dodwiedwin3944 2 ปีที่แล้ว

      Kwa hiyo ulitaka akusaluti ww!

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 ปีที่แล้ว +1

    wabongo bhana sasa huyu helkopta yule wa uganda anayesukuma ndege kubwa mbona awajisifii hivi dah😂😂😂😂😃😃😃😃

    • @Thomas-lm1dq
      @Thomas-lm1dq 25 วันที่ผ่านมา

      Hivi unajua license ya ATPL na CPL au unaropoka tu.
      Huyo anaweza kurusha ndege kubw kabisa ya abiria.
      Fuatilia hizo kozi za leseni za urubani alizosema zina kuwezesha kurusha ndege gani. Siyo helicopter (hovercraft) pekee.

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂ebwana eeeh atakayesema bongo bahati mbaya mpige makofi

    • @malitomalito
      @malitomalito 2 วันที่ผ่านมา

      Bongo sio Bahati mbaya viongozi ndio Bahati mbaya

  • @mongosimon2065
    @mongosimon2065 หลายเดือนก่อน

    Vp

  • @samlove6339
    @samlove6339 2 ปีที่แล้ว

    Kabinti kazuri

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 2 ปีที่แล้ว

    Nani kamwona yule dada corporal,nimemfurahia anavyo'match'

    • @user-ui1qs9yl1n
      @user-ui1qs9yl1n 28 วันที่ผ่านมา

      Nimemuona mzee na anabeba mzigo nyuma kinomanoma